imaan newspaper issue 1

Upload: imaan-newspaper

Post on 12-Feb-2018

1.640 views

Category:

Documents


3 download

TRANSCRIPT

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    1/19

    SSN 01 - 00005618 BEI: SH800/- KSH80/- USH1,200/- JUMATATU, APRIL 13, 2015 www.islamicftz.o

    huwatoawatugizani

    Hemed bin Jumaa:alinufaisha wengi kwa

    elimu yake - Uk 5

    Waislamu wadai usawa sera mpya ya elimu

    Tumeahidi, tumetimiza

    ni shahidi

    Kauli ya Mwenyekiti TIF Uk. 2

    ALLAHHead office, Lumumba StreetOpp: Viwanja vya Mnazi Mm oja, P. O Box 779 Dar es Salaam,

    Tanzania, Tell: 255 22 2182482/ 255 222184419Fax: 255 22 2181424, E-mail: [email protected]

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    2/19

    www.islamicftz.o

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 20

    2

    Shukrani zote anastahiki

    Allah Subhaanahuu waTaala na rehma na amaniziwe juu ya mjumbe wake

    Muhammad na maswahaba wakena wale wote wenye kufuata uon-

    gofu alokuja nao hadi siku ya mal-ipo. Ndugu msomaji, leo ni sikunyingine muhimu sana kwetu

    kama Waislam, Watanzania natasnia ya habari kwa ujumla kamailivyo muhimu kwa taasisi yetu yaThe Islamic Foundation (TIF).

    Hii ni kutokana na ujio wagazeti hili Imaan ambalo unaliso-ma hivi sasa. Hakuna asiyeelewaumuhimu wa vyombo vya habarikatika ulimwengu tunaoishi. Watu

    wasio na vyombo vya habari nisawa na mabubu kwa sababu ni

    vig umu wengi ne kuju a bubuanafikiria nini.

    Taasisi ya The Islamic Founda-tion, pamoja na huduma nyingineza kielimu, kiimani, kiafya na ki-

    jamii, il iahidi kuuhudumia um-mah katika nyanja ya habari, na

    tukaanza na redio mwaka 2003 namwaka 2013 kwa michango yenu

    ya hali na mali tukaanzisha tele-visheni Imaan.

    Gazeti Imaan ni mwendelezowa hatua ambazo The Islam icFoundation imezichukua katikahali ngumu ili kutimiza azma yetu

    ya kuanzisha na kuendesha vyo-mbo vya habari ambavyo, kwa uw-ezo wa Allah, tunataraji vitakidhi

    kiasi fulani mahitaji ya ummah ki-habari kwa kutoa habari za kwelina kwa uadilifu kwa kuzingatia

    imani sheria za nchi yetu na misin-gi ya Uislam.

    Tunawaomba kama tulivyow-aomba wakati wa kuzindua tele-

    visheni Imaan na kama tunavyow-aomba kila siku kuzidi kuliwezeshagazeti Imaan kwa kulinunua, kuli-soma na kuwezesha wengine wali-pate ili sote kwa pamoja tuwezekufikia malengo ya kuanzishwakwake ambayo ni kuwatoa watukatika giza na kuwapeleka katikanuru kwa uwezo wa Allah.

    Tunafahamu kuwa katikautekelezaji wa azma hii, kiubinad-amu upungufu na kasoro mbalimbali bila shaka zitakuwepo, lakini

    tutafanya kila tuwezalo kufikiamategemeo yetu.

    Nasaha zetu kwenu wasomajiwetu ni kuwaomba myatazamemazuri tutakayoyafanya kwa uwe-zo wa Allah na mzidi kutuombeadua na kutupa udhuru katika up-ungufu na kasoro mtakazozionahapa na pale, kwani hakika mka-milifu ni Allah subhaanahuu wa

    taala peke yake.Gazeti Imaan toleo la kwanza

    alhamdulilaa hilo hapo mikononimwenu hivi sasa. Tuliahidi, Tu-metimiza na Allah ni Shahidi.

    Shukran,Aref Nahd - MwenyekitiThe Islamic Foundation

    Kauli ya Mwenyekiti TIF

    NA YUSUFU AHMADI, DAR ES

    SALAAM

    Waislam nchini Tanzania wamesemamambo pekee yatakayositisha harakati zaoza kudai mahakama ya kadhi ni kupatikanakwa mahakama hiyo au kukoma kwa uhai

    wao na vizazi vyao.Aidha, Waislam wameukataa mpango

    wa Serikali wa kurasmisha na kuipa uhala-lali mahakama feki ya BAKWATA ambayowatendaji wanateuliwa na Mufti wa taasisihiyo.

    Katika tamko la taasisi za kitaifa 11 za Ki-islam lililosomwa na Sheikh Muhammad

    Issa, Waislam wamesema wamechoshwana hadaa za Serikali ambayo imekuwa iki-

    wapiga danadana tangu mwaka 2005 ili-poahidi kupitia ilani ya uchaguzi ya CCMkushughulikia suala hilo.

    Serikali iliendelea na hadaa zake katikaBunge Maalum la Katiba baada ya WaziriMkuu, Mizengo Pinda, kuahidi kuwa Seri-kali ingewasilisha suala la Mahakama yaKadhi kwenye kikao cha Bunge la Jamhuri

    ya Muungano cha Januari 2015 ili chombohicho kitambuliwe kisheria.

    Serikali ilifanya hivi ili kupoza wajumbe

    kutokana na baadhi yao kuhamasishanakuipigia kura ya kukataa Rasimu ya Katiba

    iwapo mahakama ya kadhi isingeingizwa.Pinda aliahidi kufanyia marekebisho

    Sheria ya Mahakimu, sura ya 11 na Sheria yaKiislam sura ya 375 ili kutambua Mahaka-ma ya kadhi kwa lengo la kuhakikisha umo-

    ja na mshikamano vinadumu kwa Watan-zania.

    Serikali ilishindwa kutekeleza ahadiyake Januari. Imeshindwa kutekeleza tenakatika kikao cha Machi mwaka huu.

    Tamko la Waislam limeelezea kusikit-ishwa kwao na udhaifu wa Serikali ili-

    yoonyesha kuwa haiwezi kufanya jambo

    mpaka kanisa litoe maelekezo, na kanisalikipinga, serikali nayo itapinga.

    Sehemu ya tamko hilo inasema: Wlam hatukubali kabisa mwenendo huu

    matamko ya maaskofu yenye kuingmambo ya Waislam kuachwa uendelee.Iwapo Serikali itakaa kimya na kur

    misha mwenendo huu wa kupokea makezo kutoka kwa maaskofu na kuyafankazi utapelekea makundi haya mawili kuna uhasama na hatimaye kuvunjika kamani iliyopo.

    Mwenyekiti wa Jumuiya na TaasisKiislam nchini, Sheikh Musa Kundeamesema kila unapojadiliwa muswadaKadhi, maaskofu hualikwa na kuulizwkwamba maaskofu huwa wa kwanza kataa, na hapo Serikali hupata uchoch

    wa kupita.Kundecha alisema:Serikali ha

    dhamira ya kweli ya jambo hili na inahaWaislam. Lakini pia inataka kuwavunatika katiba na uchaguzi, alisema She

    Kundecha.Sheikh Kundecha na wasomi weng

    wa Kiislam wanaowakilisha taasisi hizwameyaita madai ya maaskofu kuwa mhakama ya kadhi inakiuka katiba ya mw1977 kuwa yanatokana na husda na haymsingi wowote.

    Aidha, Waislam wamehoji kuwa, kamahakama ya kadhi inakiuka katiba knini Waislam walipopendekeza iwekndani ya katiba inayopendekezwaisikiuke katiba, maaskofu bado walipin

    Waislam wamesema mahakama ya kahaiwadhuru Wakristo na ndio maana hnchi za kisekula za Kenya na Uganda wazo.

    Hata hivyo, katika harakati za kumahakama ya kadhi, Waislam wameta

    baisha kuwa hawataikubali mahakam

    kadhi feki ya BAKWATA na kuitaka Skali irejeshe mchakati wa mazungumz

    Waislam kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu haka iwezekanavyo.

    Waislam wamesema si sahihi kwa Skali kuwalazimisha Waislam wote wchini ya BAKWATA ambayo ni moja tu

    ya taasisi nyingi za Waislam Tanzania. Tko la Waislam limetaja uamuzi huo wa Skali kuwa unaenda kinyume na KatIbara ya 19 (1) ya katiba ya Tanzania.

    Kifungu hicho cha Katiba kinaseKila mtu anastahili kuwa na uhuru wa m

    wazo, imani na uchaguzi katika mambdini, pamoja na uhuru wa mtu kubadildini au imani yake.

    Akijibu madai ya kuwa Waislam meikataa mahakama ya kadhi, Mwenye

    wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nch

    Sheikh Kundecha alisema hakuna madhebu, hususan wahabi au ansari

    Mahakama ya Kadhi:Waislam wachoshwa na hadaa za Serikali

    Sheikh AliBaswaleh akitoanasaha zakekatika Kongamanoa jumuiya nataasisi za kiislam

    kuhusumahakama yakadhi na katibanayopendekezwaililiofanyika hivikaribuni katikamsikiti waKichanganiMagomeni jijiniDaresalaam. (PICHANA SELEMANI MAGALI)

    U

    HABARI

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    3/19

    www.islamicftz.org

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2015

    Waislamu wadai usawa sera mpya ya elimu

    NA WAANDISHI WETU

    Taasisi mbalimbali za kiislamzimeitaka serikali kutendahaki kwa kutumia vigezosawa katika usajili na ukagu-

    zi wa shule za Serikali na zile zisizo zakiserikali.

    Aidha, taasis i za kii slam piazimepinga Shirikisho la Wamiliki naMameneja wa Shule na Vyuo visivyovya serikali Tanzania (TAMONGSCO)kuitaja BAKWATA kuwa mwakilishiwa shule zinazomilikiwa na taasisi zakiislam katika uandaaji wa mchakatowa muswada wa elimu wa mwaka2015.

    Waislam walitoa kauli hizo katikakikao kilichowakutanisha wawakilishiwa shule zote zisizo za kiserikali nawakuu wa wizara kujadili sera mpya yaelimu 2014 na muswada wa sheria yaelimu 2015.

    Mkutano huo wa wadau ulihud-huriwa na Katibu Mkuu wa Wizara yaElimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Si-funi Mchome, Kamishna wa elimuProf. Eustella P.Bhalalusesa na maafisawengine waandamizi wa wizara hiyo

    wanaoshughulikia sera na sheria.Akiongea katika mkutano huo,

    Sheikh Muhammad Issa, aliyewakili-

    sha Baraza la Taasisi za Answar Sun-nah Tanzania (BASUTA) alisema,Serikali imekuwa ikizingatia kwa uka-milifu vigezo vyote kabla haijasajilishule zisizo za kiserikali lakini ime-kuwa ikilegeza vigezo kwa shule zaserikali. Sheikh Muhammad ametoamfano wa shule za kata ambazo ny-ingine zimesajiliwa bila kutimizamasharti ya vigezo vilivyowekwa.

    Kwa mujibu wa muswada huo waelimu kifungu cha 72 (1) kinacho-husika na usajili wa shule za msingi nasekondari, baadhi ya vigezo vinavyoz-ingatiwa ni pamoja na idadi ya kutosha

    ya walimu wenye sifa, vifaa vya ku-fundishia na kujifunzia, majengo ya

    kutosheleza idadi, jinsia na umri, maz-ingira na miundo mbinu minginemuhimu.

    Hali hii inafanya uwekezaji katikakuanzisha shule zisizo za kiserikalikuhitaji fedha nyingi, na hivyo kupele-kea kiwango cha juu cha ada kitaka-chofidia gharama za uwekezaji. Maranyingi kiwango hicho ni kikubwa kwamzazi, Sheikh Muhammad alisema.

    Sheikh Muhammad alisema ki-wango cha juu cha ada katika shule zi-sizo za serikali kimesababishamrundikano mkubwa wa wanafunzikatika shule za umma wakati mashule

    yasiyo ya serikali yana upungufumkubwa wa wanafunzi.

    Sheikh Muhammad alisema halihiyo pia inajitokeza katika ukaguzi washule ambapo Serikali mara nyingi in-

    achukua hatua haraka za kuadhibushule zisizo za kiserikali zisipokidhi vi-

    wango hata kwa kiasi kidogo, wakati ni

    nadra kwa Serikali kuadhibu shulezake ambazo nazo nyingi hazitimizi vi-wango. Kuhusiana na pendekezo laTAMONGSCO kwa Wizara ya Elimu

    linaloitaja BAKWATA kuwa ni mse-maji au mwakilishi wa shule za kiislam,Sheikh Muhammad amesema Bak-

    wata imesajiliwa chini ya RITA kamaambavyo taasisi nyingine za Kiislampia zimesajiliwa RITA. Kwa hiyo mbe-

    le ya sheria taasisi hizi zote ziko sawa.Sheikh Muhammad pia amesema

    kwa mujibu wa katiba yake, BAKWA-TA ni ya Waislam wa madhehebu yaShafi wakati Waislam wa Tanzania nimadhehebu mbali mbali kama vileIbadhi, Answari, Hanafi, Hambali,

    Maliki, Shia n.k.Pia Sheikh Muhammad amese

    katika medani ya elimu, Bakwata

    shule chache nchi nzima, wakati taazingine zina shule zaidi ya 100.Wakati kwa Waislam Serikali

    fanya Bakwata kuwa msemajiWaislam, kwa Wakristo ni CSSC inojumuisha madhehebu ya Wakato

    Walutheri na Anglikana. Kwa nini Waislam liteuliwe dhehebu mkuwakilisha mengine na isiwe hikwa wakristo? Alihoji Sheikh Muhamad Katika mkutano huo, wa wa

    wa TAMONGSCO na wizara ya elimakundi mengine ya shule zisizo zserikali yaliyowakilishwa ni pamojshule za majeshi, vyama vya siasa, vma visivyo vya kiserikali (NGOmashirika ya misaada na makamp

    Kiwango cha juucha ada katikashule zisizo za ser-ikali kimesababishamrundikano mkub-wa wa wanafunzikatika shule zaumma wakatimashule yasiyo yaserikali yana upun-

    gufu mkubwa wawanafunzi.

    Wadau wa elwakijadili jamkuhusiana nasera ya Elimumwaka 2014

    Mswada waSheria ya Elim2015 jijiniDaresalaam,kutoka kushoni SheikhSuleimanKilemile, SheKhalfaniAthumani,SheikhMuhammadiIssa, Katibumkuu waTAMONGSCOBenjaminNkonya naSheikh NasorMajidi. (PICHA SELEMANI MAGA

    Waislamu wachoshwa na hadaasunni, inayopin-

    ga mahakama ya kadhi kama ili-vyowahi kuripotiwa huko nyumana baadhi ya vyombo vya habari.

    Alisema kinachopingwa ni ki-tendo cha Serikali kupeleka bun-geni marekebisho ya tamko lasheria ya Kiislam badala yamuswada wa mahakama ya ka-dhi. Kadhalika Waislam wanap-inga Serikali kumpa Mufti mam-laka ya uteuzi wa makadhi naWaziri wa Sheria na Katiba ku-tunga kanuni za kuendesha ma-

    hakama hiyo.Tumekutana hapa kuondoa

    utata huo, tulichokuwa tunakip-inga kule (bungeni) ule haukuwamuswada wa Kadhi, bali ni ma-

    badiliko ya tamko la sheria ya kiis-lam, ndani yake kulikuwa namambo makubwa mawili;kumpa mufti mamlaka ya kuteuamakadhi na kumpa waziri waKatiba na Sheria kutunga kanuniza uendeshaji wa mahakama yakadhi, alisema Sheikh Kun-decha.

    Awali, akizungumza katikakongamano hilo, Sheikh Rajabu

    Katimba aliwataka Waislamkuwa kitu kimoja katika kushu-

    ghulikia masuala yao na kuachaunafiki uliotamalaki miongonimwao na kuonya kuwa hawako

    tayari kumvumilia mtu wa nam-na hiyo.

    Umma wa kiislam kwa baha-ti mbaya unawanafiki ndani, wa-nafiki hawa ni wabaya, kwa mus-

    takabali wa sasa tunaokwendanao, hatuko tayari kumtanguliza

    tunae muona na sijida kubwambele anauhujumu Uislam, ni

    bora hata mara mia kumtanguli-za kafiri anekubali kutekeleza tu-

    nayoyataka kuliko kumtangulizamnafiki, alionya Katimba.

    NATOKA UK 2

    NA IS-HAKA KIHEMBA

    Serikali ya Saudi Arabia kupitia ubalozi

    wake nchini Tanzania umekabidhi msaada

    wa tani mia moja za tende zenye jumla

    ya Tsh. Milioni 100 na 96 elfu kwa serikali

    ya Tanzania ikiwa ni ishara ya mahusiano

    mema baina ya nchi hizo mbili. Makabi-

    dhiano hayo yamefanyika hivi karibuni

    katika ubalozi wa nchi hiyo jijini Dar es

    salaam kwa kuwakutanisha watumishi

    mbali mbali wa ubalozi huo na maafisa

    waandamizi wa serikali. Akizungumza

    mbele ya waandishi wa habari wakati wa

    kukabidhi msaada huo, mtumishi kutoka

    wizara ya mambo ya fedha nchini Saudia

    Arabia, Mohamed Alhajabani alisema

    kuwa tende hizo ni zawadi ya Mfalme Sal-

    man bin Abdulaziz kwa Watanzania.

    Kwa upande wake, afisa mwandam-

    izi wa serikali, Leonce Bilauri ambaye

    alimwakilisha mkurugenzi wa idara ya

    mashariki ya kati, balozi Hassan Simba

    Yaya, alisema: `Serikali ya Tanzania

    inatambua mchango mkubwa wa Saudi

    Arabia katika kuchangia maendeleo

    nchini, lakini pia niwahakikishie kuwa

    kiasi hiki cha tani mia moja za tende zita-

    wafikia walengwa, kwani zitakabidhiwa

    kwa taasisi zinazohusika ili zisambazwe

    kwa wananchi.

    Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa

    taasisi ya The Islamic Foundation, Aref

    Nahdi ambaye alialikwa kushuhudia mak-

    abidhiano hayo, ameliambia gazeti hili

    kuwa Watanzania wanatakiwa kushukuru

    kwa kupatiwa hidaya hiyo, ambapo pia

    alizitaka taasisi zitakazogaiwa amana

    hiyo kufanya uadilifu kwa kuwafikishia

    walengwa.

    Saudia yaipa Serikali ya Tanzania tani 100 za tende

    HABARI

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    4/19

    www.islamicftz.o

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 20

    4

    MHESHIMIWA SPIKA,NAOMBA NIKUSHUKU-RU SANA.

    Mheshimiwa Spika,naomba na mimi nimpongezeMheshimiwa Rais kwa hotuba

    yake aliyoitoa tarehe 4 Novem-ba, 1998 hapa Bungeni. Hotubahii Mheshimiwa Spika ina uk-

    weli, ina usahihi na pia inauungwana. (Makofi).

    Mheshimiwa Spika,baa-da ya kusema hayo, ningependasasa niende kwenye vile vifungunilivyosema kuwa nitavinukuu.Katika hotuba hii ya Mheshimi-

    wa Rais, mwisho inasema hivi,Mheshimiwa Spika, baada yamiaka mitatu ya Urais, nath-ubutu kubadili maneno ya msa-nii mashuhuri wa visiwani, Siti

    bint Said na kusema Tanzania ninjema atakaye na aje. Nchi yetuMwenyezi Mungu ameibarikisana. Ni nchi ya umoja, amani,upendo, bashasha, ukarimu uli-opindukia. Ni nchi ya wapendausawa na haki. Umoja wetu wakitaifa unatokana na imani yetu

    ya dhati juu ya usawa wa binad-amu mbele ya Mwenyezi Mun-gu na mbele ya sheria. Umojaunaoimarishwa na sera sahihiza kujenga jamii na kuandaamazingira ya maendeleo ya haki,amani na utulivu kwa wote.(Makofi)

    Mheshimiwa Spika,baa-da ya hapo, Mheshimiwa Raisanaendelea. Anasema hivi,Umoja unaotahadhari sera,kauli, tabia na vitendo vinavy-oweza kupanda mbegu za mfar-akano, chuki na kutoaminianamiongoni mwa Watanzania.Ningependa niyarudie manenohaya. Umoja unaotahadhari

    sera, kauli, tabia na vitendo vina-vyoweza kupanda mbegu zamfarakano, chuki na kutoamin-iana miongoni mwa Watanza-nia. Umoja unaolindwa kwa vita

    vya kudumu dhidi ya ukabila,udini, ubaguzi wa rangi, jinsiaau majimbo.

    Mheshimiwa Spika,mia-ka mingi iliyopita, kwenye 1658

    A.D. Mtu mmoja Galileo alise-ma, Dunia ni mviringo. Maku-hani wakamwambia huyu ana-kufuru, akashitakiwa akahuku-miwa kuuawa na akachomwamoto. Leo Galileo amekuwa

    Vindicated. Kwa bahati mbayaGalileo mwenyewe hayupo ku-

    jua kwamba amepata Vindica-

    tion. (Makofi)Mheshimiwa Spika, ninach-

    otaka kusema ni hiki cha umojaunaotadhari sera, kauli, tabia na

    vitendo vinavyoweza kupandambegu za mfarakano. Nimese-ma mara nyingi hapa kwako.Mheshimiwa Rais, hivi karibunialiwahutubia Waislam kwenyeBaraza la Idd, akawaambiakwamba manunguniko yao namalalamiko yao yote atayataza-ma na atayashughulikia aki-shirikiana na Baraza lake la Ma-

    waziri.Sasa nina mambo mawili au

    matatu ambayo nataka kuyase-ma ambayo yanaweza kuletamfarakano. Yanapandwa na

    serikali. Moja, karibuni hivi ka-tika mwezi wa Ramadh an,mwezi wa Ramadhan kwa

    Waislam ni mwezi Mtukufu, nimwezi wa toba.

    Wale jamaa zangu wasiojuatoba ni mwezi wa kurudi kwaMungu. Wakati wa ukoloni namimi nilisoma wakati wa Ukol-

    oni mwezi wa Ramadhan shu-ghuli zote zinafungwa, baadayekwenye serikali yetu wenyeweshule hazifungwi. Lakini baada

    ya muda wanaachiwa watotokurudi majumbani kwao aukwenda kwenye mabweni. La-kini mwaka jana na mwaka huuserikali ikaamua kuwa mitihani

    ya watoto wa kidato cha nneifanywe mwezi wa Ramadhanna iendelee mpaka siku za Idd.Hiyo ni moja ya cheche za mifar-akano.

    Kwa Rehma ya Mungu Al-hamdulil lah, baada yakunungunika Waislam, Waziri

    wa Elimu na Utamaduni alitoamaelezo. Maelezo yale yaka-

    waridhisha Waislam na Mhesh-imiwa Rais akakubali kwa sikuza Idd, watoto wasifanye miti-hani na haikufanywa mitihani.(Makofi)

    Lakini mimi ninalouliza ilesababu ya kuamua mwezi wa

    Ramadhan ifanywe mitihannini? Ni Insensitivity, ni jeurkiburi, kwa sababu kuna wgine ambao ni wazito tuliwkia wakisema, wakitaka kufamtihani na wafanye, hawa

    basi. Mimi nasema watu kahao ndiyo watu wasioitakheri nchi hii. Siyo sisi tunao

    ja kusema hapa hadharani. Hwanaosema wakitaka kufana wafanye na hawataki kuf

    ya basi. Hao ndio wasioitakheri nchi hii. (Makofi)

    La pili, linaloweza kumfarakano ni tabia ya serikakuchelewesha makusudi ku

    dikisha taasisi za Kiislam. Tayoyote ya Kiislam ikitaka kudikishwa serikalini itachumiaka miwili au mitatu. Sabhazitolewi, hata kama kuchunguzi, watu waen

    wakatafute habari kwa nini chukua miaka miwili, mimitatu?

    Mheshimiwa Spika,npata kusema hapa kwammimi ni mlezi wa BarazMaimamu Tanzania. Tumeo

    ba Baraza la Maimamu kudikishwa, sasa ni miaka mitsababu haijulikani. Wengkila wakiomba wanasema lma kipatikane kibali toka BA

    WATA. Leo ningependa n

    ipo sheria inayosema hivyo?ni matakwa tu ya

    KUTOKA MISIKITINI TUJIKUMBUSHE

    Hotuba Ya Mheshimiwa

    Alhajj Kitwana KondoMbunge wa Kigamboni Mwaka 1999 Bungeni Dodoma

    Mzee Kitwana Kondo akiongea na Mwanahistoria, Sheikh Mohammed Said.

    NA KHALID OMARY

    Vijana wa Kiislam nchini wamekum-

    bushwa kuutumia umri wa ujana vizuri kwakuwa chachu ya maendeleo katika dini yao

    na jamii kwa ujumla.

    Ukumbusho huo umetolewa na

    Ustaadh Rajab Salim katika khutba yake

    ya swala ya Ijumaa, msikiti wa Ijumaa

    Mwenge jijini Dar es salaam.

    Tukumbuke tutaulizwa na Allah

    namna tulivyoutumia ujana wetu,

    hivyo ni lazima tuwe na msimamo

    katika maisha yetu ya kila siku kwa

    kuhakikisha tunaishi kwa kuzinga-

    tia muongozo wa Allah, ameeleza

    Ustaadh Rajab.

    Salim alisema, vijana wengi waliopita,

    hususan wakati wa Mtume Muhammad

    (Rehma na amani ziwe juu yake) wa-

    likuwa na msimamo.

    Katika kusherehesha maelezo yake,

    alitoa mfano wa swahaba Said bin Amir

    ambaye alisilimu kutokana na msimamowa swahaba mwingine, Ubeid bin Aadiy

    ambaye pamoja na kupigwa na kuteswa

    na washirikina, bado alisimamia kauli ya

    Mwenyezi Mungu mmoja mpaka alipokata roho.

    Ustaadh Salim aliongeza kuwa, moja kati ya

    watu saba watakaofunikwa na kivuli siku ya

    kiyama ni vijana waliotumia ujana wao vema.

    Hivyo basi, aliwataka vijana kujitahidi kuende-

    sha maisha yao katika misingi ya dini.

    NA KHALID OMARY

    Waislam wake kwa waume wametakiwa kuacha tabia

    ya kudharauliana miongoni mwao, kwani kufanya hivyoni kinyume na mafundisho ya dini ya Kiislam.

    Wito huo umetolewa na khatibu wa Msikiti wa Mo-

    rogoro, Ilala, Dar es Salaam, Sheikh Abdallah Mnape, al-

    ipokuwa akitoa khotuba Msikitini hapo, Ijumaa iliyopita.

    Inawezekana mwanamke anamdharau mwenzie

    kwa sababu yeye amependeza zaidi au yeye ana uwezo

    zaidi, au amezungukwa na familia yenye uwezo, hayo

    ni makosa makubwa, alieleza Sheikh Mnape huku

    akinukuu aya katika Quran kukazia maneno yake.

    Pia Sheikh Mnape aliwakumbusha Waislam kufanya

    mambo mema mbalimbali yatakayowawezesha kuzun-

    gumzwa kwa wema (vizuri) wakiwa hai na hata wataka-

    poondoka duniani.

    NA MASHIRIKA YA HABARI

    Wito wa viongozi wa Kiislam kutaka kuongezwa kwa

    idadi ya misikiti nchini Ufaransa umesababisha upinzani

    toka kwa raia wa imani nyingine za kidini.

    Gazeti la Telegraph lilimkariri msimamizi wa msikiti

    mkuu wa jijini Paris, Dalil Boubakeur, wakati akiwahutu-

    bia Waislam wenye hamasa na dini yao kuwa: Tuna

    misikiti 2,200 na tunahitaji mara mbili ya hiyo ndani ya

    miaka miwili ijayo.

    Kufuatia kauli hiyo, Wafaransa wamepinga suala hilo.

    Kadhalika wamepinga Waislam wanaofanya ibada ya

    swala barabarani kwa madai kuwa wanaongeza mson-

    gamano mkubwa wa watu njiani.

    Gazeti hilo limesema, Waislam wengi wanaamini

    mamlaka ya miji nchini Ufaransa wanazuia maombi ya

    kujenga misikiti hali inayopelekea msongamano huo

    wa watu na maandamano kupinga swala zinazofanyika

    mitaani.

    Tumieni vizuri umri waujana-Ustaadh Rajab

    Sheikh Abdallah Mnapeakemea tabia ya dharau

    Wafaransa wakataa ujenziwa Misikiti mipya

    NILIPATA KUSEMA HAPA

    KWAMBA MIMI NI MLEZI

    WA BARAZA LA MAIMAMU

    TANZANIA. TUMEOMBA

    BARAZA LA MAIMAMU

    KUANDIKISHWA, SASA NI

    MIAKA MITATU U

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    5/19

    www.islamicftz.org

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2015

    HAZINA ZETU

    NA KHALID OMARY

    Mwak a 1977 kup iti ataasisi ya BAKWATA(Baraza Kuu la Wais-

    lam Tanzania) alipa-tikana Mufti wa kwanza, SheikhHemed bin Jumaa bin Hemed bin

    Abdallah bin Said ambaye ana-kumbukwa kama mwanazuoni

    mkubwa aliyenufaisha wengi kwaelimu yake.

    Kwa sababu hii, miaka 14 tangukifo chake, pamoja na tofauti zamitazamo kati ya Waislam wengina taasisi ya BAKWATA aliyokuwaakiiongoza, heshima ya SheikhHemed, kama mwanazuoni, ime-

    baki juu.Makala hii inamuangazia mwa-

    nazuoni huyu mkubwa kwa kuan-galia historia, kazi na mchango

    wake katika kuendeleza Uislam.Sheikh Hemed bin Jumaa, aliz-

    aliwa mwaka 1928 katika kijiji chaDarugube mkoani Tanga, akiwamtoto wa pili kwenye familia yamzee Jumaa bin Hemed. Alipofikaumri wa miaka miwili, baba yake

    alifariki na kulelewa na baba yakemkubwa Sheikh Ally bin Hemed

    bin Abdallah.Sheikh Ally alikuwa ni mmoja

    wa wanachuoni wakubwa wa Afri-ka Mashariki na hivyo basi, SheikhHemed mwenyewe alisoma kwaSheikh Ally na kutokea kuwamiongoni mwa wanafunzi wake

    wakubwa.Sheikh Hemed alijaaliwa kuso-

    ma fani mbalimbali za elimu yadini kwa baba yake huyo zikiwemoHadith, Sira na Fiqhi. SheikhHemed pia alisoma fani nyinginehuko Lamu nchini Kenya kwaSheikh Alhabib Said bin Ahmad AlBaddawiy Jammal Llayl, muasisi

    wa Msikiti wa Rawdha uliopo Kis-

    utu jijini Dar es salaam ambayenaye ni mmoja kati ya wanazuoni

    wakubwa.Kutokana na kuwa na uelewa

    mkubwa na uwezo wa kufafanuamambo mbali mbali angali mdogo,

    wakati akisoma shule huko Tanga,wazungu walitaka kumchukua, la-kini Sheikh Ally bin Hemedalikataa kwa hofu ya kuwa SheikhHemed asingeendelea tena naelimu ya dini.

    Kipaji cha Sheikh Hemedi kil-ianza kudhihiri alipofikisha umri

    wa miaka 19 ambapo alichaguliwakuwa Sheikh Mkuu wa Wilaya yaPangani, kabla ya kuwa mwalimu

    wa dini ya kiislam katika shule yaTanga Muslim School.

    Vilevile Sheikh Hemed aliwahikuwa Imam wa Masjid Riyadh,maarufu kama msikiti wa Ijumaa,uliopo barabara ya tisa mkoaniTanga, msikiti ambao hata baba

    yake mkubwa, Sheikh Ally aliwahikuwa Imam.

    Mbali na shughuli hizo, SheikhHemed bin Jumaa alikuwa akien-delea na kazi zake za siku zote zakufundisha elimu ya dini, kutoamawaidha misikitini na kwenyemikutano mbalimbali. Miongonimwa fani zake kubwa ilikuwa ni

    tafsiri ya Quran.Sheikh Hemed aliendelea na

    kazi za daawah wakati wake wotewa uhai wake kabla na baada yakuwa Mufti.

    Mnamo mwaka 1977 baada yakuundwa kwa Baraza Kuu la Wais-

    lam Tanzania (Bakwata), SheikhHemed alichaguliwa kuwa Muftiakiwa kijana wa miaka 49 na kutu-mikia nafasi hiyo kwa moyo wake

    wote mpaka alipofariki.Sheikh Hemed alifanya mambo

    mengi hususan katika upande wakufundisha na daawah. Sheikh ali-

    wahi kukemea kauli ya aliyewahikuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya

    Wanawake wa Tanzania (UWT)marehemu Sofia Kawawa aliyewa-hi kusema kuna haja ya wanawake

    wa Kiislam kuolewa na wanaumezaidi ya mmoja kama wanaume

    wanavyofanya.Sheikh Hemed anakumbukwa

    kwa vipindi vyake vya redionihaswa vilivyokuwa vikirushwa siku

    ya Ijumaa kupitia Radio TanzaniaDar es salaam (RTD) ambayo sasainaitwa TBC. Mawaidha yake yakuelimisha yalisikilizwa hata na

    wasiokuwa Waislam.Wakat i wa Hij ja ya mwak a

    2002, Sheikh Hemed alishindwakuhutubia, hadi alipoombwa naSheikh Abubakar Zuber aongee

    walau kidogo. Sheikh Hemed al-isema haoni kama ataweza kurudikwa mara nyingine katika miji yaMakka na Madina. Alisema ana-hisi hiyo ilikuwa Hijja yake ya

    mwisho.Kutokana na hilo, SheikhHemed alimkabidhi Sheikh Abu-

    bakar Zuber aliyekuwa mjumbewa Baraza la Maulamaa darasazake za mahujaji ndani ya miji yaMakka na Madina na maeneomengine matukufu.

    Katika khutba yake ya mwishokwenye viwanja vya Arafa, SheikhHemed aliwaasa Waislam juu yakusoma, kupendana, kuimarishaundugu wa Waislam na kufanyaibada.

    Sheikh Hemed alikuwa anas-umbuliwa na magonjwa ya kisu-kari pamoja na presha hali iliyope-

    lekea kulazwa katika Hospitali yaTaifa ya Muhimbili kwa wiki moja,

    ikiwa ni wiki mbili tu tangu ali-porejea kutoka Hijja yake yamwisho.

    Usiku wa kuamkia April 8,2002, Sheikh Hemed bin Jumaaalifariki baada ya moyo kushindwakufanya kazi.

    Sheikh Hemed alizikwasiku hiyo hiyo aliyofa-riki baada ya sala yaalas ir kat ikamakaburi yaMsambwe-ni, Tanga,mazishia m -

    bayo yalihudhuriwa na maelfu yawatu. Watu wengi hawakupatahata bahati ya kugusa jeneza.

    Miongoni mwa watu waliohud-huria ni Rais wa wakati huo Ben-

    jamin Mkapa na viongozi wenginewa serikali. Masheikh wengi kuto-ka ndani na nje ya nchi pia wali-hudhuria. Na huo ndio ukawamwisho wa maisha ya SheikhHemed bin jumaa bin Hemed bin

    Abdallah.Baraza la Ulamaa la BAKWATA

    lil ish ika kwa muda nafa si yaUmufti, kabla ya kum-chagua Sheikh IssaShaaban bin Simbakukaimu na baa-d a e m w a k a2003 alithibi-

    tishwa kuwamufti kamili.

    Marehe-mu SheikhH e m e dalikuwa na

    wake wawili,marehemuRukia Rajaba m b a y ea l i k u w am k emkubwana Abeda

    Abd ulra-him, mkem d o g o .

    Pia Sheikhalijaaliwawa tot o 16 ,wa na um e 9n a w a -

    nawake 7. Wawili kati yao sasa naoni marehemu.

    Masheikh wanavyomzun-gumzia

    Sheikh Rajab Katimbamsemaji wa Taasisi naJumuiya za Kiislamuhapa nchini anasema al-

    imfahamu Sheikh Hemed kamamwanazuoni mwenye elimu

    kubwa za fani nyin-gi in-

    gawa alikuwa akifanya kazi kwenyetaasisi ambayo imeshindwa kuwa-saidia Waislam kwa muda mrefu.

    Sheikh Katimba anasema:Sheikh Hemed alikuwa na elimukubwa za fani mbalimbali, ingawaalikuwa katika taasisi iliyodhalili-sha Waislam kwa kipindi kirefu.

    Sheikh Katimba alimfananishaSheikh Hemed na viongozi wa kiis-

    lam waliopo serikalini ambao wanania ya kufanya mambo mazuri la-kini kutokana na mfumo uliopo

    wanashindwa.Kinyume na sasa hivi, tulikuwa

    tukimsikia Mufti siku za Ijumaaakihutubia, akidarasisha na aki-omba dua kupitia redio. Viongozi

    wa sasa ni nadra kusikia wakitoahotuba, Sheikh Katimba alimsifia.

    Naye kiongozi wa wahadhiri wakiislam hapa nchini, Sheikh Ju-manne Amir alisema SheikhHemed alikuwa ni msomi mkubwa

    Afrika Mashariki na mfanyabi-ashara. Hata hivyo alikuwa na ma-pungufu kama binadamu wen-gine.

    Kabla ya kuwa mufti alikuwana duka la kuuza vyakula Tanga.Sheikh Hemed alitoa fatwambalimbali hasa za maswala yakisheria, ingawa mara kadhaa al-ishindwa kutoa kauli kwenye mas-uala ambayo yalikuwa na maslahi

    ya kiserikali.Naye Sheikh Shaban Mussa,Katibu Mkuu wa Baraza la Sun-nah Tanzania (BASUTA), alim-sifu Sheikh Hemed kuwaalikuwa mwanazuoni mkubwaaliyezungumza kiarabu fasaha

    jambo lililopelekea kualikwakwenye mikutano mbalimbalikatika nchi za kiarabu.

    Tunamuomba MwenyeziMungu amrehemu SheikhHemed bin Jumaa bin Hemed,

    amsamehe dhambi zake na ailazeroho yake mahali pema peponi,

    Aaamiin.Maelezo ya makala haya ni kwa

    mujibu wa mtoto wa MarehemuSheikh Hemed bin Jumaa, Sheikh

    Ally Hemed na Sheikh AbubakaryZuber.

    Sheikh Hemed bin Jumaa:

    alinufaisha wengi kwa elimu yakeKUTOKANA NA KUWA NAUELEWA MKUBWA NA UWEZO

    WA KUFAFANUA MAMBOMBALI MBALI ANGALI MDOGO,

    WAKATI AKISOMA SHULE HUKOTANGA, WAZUNGU WALITAKAKUMCHUKUA, LAKINI SHEIKH

    ALLY BIN HEMED ALIKATAA KWAHOFU YA KUWA SHEIKH HEMED

    ASINGEENDELEA TENA NAELIMU YA DINI.

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    6/19

    www.islamicftz.o

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2

    6

    MHARIRI MTENDAJI: 0715 559 944

    MHARIRI: 0752 559 944

    AFISA MASOKO: 0785 500 502

    HUTOLEWA NA KUCHAPISHWAThe Islamic Foundation

    P.O. Box 6011 Morogoro, Tanzania

    E-mail: [email protected]

    TAHARIRI / UCHAMBUZI

    Sifa zote njema ni zake

    A l l a h p e k e e(Subhaanahu Wataala)na rehma na amani

    ziwe juu ya yule ambaye hakunanabii baada yake, Muhammadibn Abdillah na familia yake namaswahaba wake, na kilamwenye kushikamana na dini

    yake na akaongoka kwa mwon-gozo wake.

    Tunashuhudia kwamba haku-na mola wa kuabudiwa kwa hakiila Allah pekee asiye na mshirika,na tunashuhudia kwamba Mu-hammad ni Mtume wake.

    Tuliahidi, tumetimiza na Allahni shahidi. Hatimaye, baada ya

    jit ihad a kubwa ya mipa ngo,maandalizi na kazi ya uandishi,uhariri na usanifu - kwa nguvu nauwezo wa Allah, gazeti la Imaan

    leo lipo mtaani.Haikuwa kazi rahisi kufaniki-

    sha kuanza kutoa gazeti hili, lakinikwa uwezo wa Allah tumefaniki-

    wa baada ya kujiridhisha kuwagazeti likianza kutoka na kukufi-kia wewe msomaji halitasinzia

    tena, litakufikia katika hali iliyobora kadiri Allah alivyotuweze-sha.

    Kadhalika, uwekezaji mkubwawa hali na mali ilibidi ufanyike ilikununua vifaa na kuajiri watend-aji. Hata hivyo, tunamshukuru

    Allah kuwa pamoja na changa-moto zote zilizotukabili tumewe-za kuanza kwa uwezo wa Allah.Kwa hili tunasema alhamdulillahiambaye kwa neema zake hutimia

    yote yaliyo mema.Gazeti hili limeanzishwa na

    taasisi ya The Islamic Foundation

    (TIF) yenye makao yake makuumjini Morogoro na ambayo piainamiliki Redio na Televisheni yaImaan kwa lengo la kuuhabari-sha, kuuelimisha na kuupaumma fursa ya kujua mazuri yaUislam chini ya kauli mbiu yetukuwatoa watu katika giza na ku-

    waleta katika nuru kwa idhini yaAllah kwa misingi ya haki, ukwelina uadilifu.

    Katika kutekeleza jukumulake hilo la msingi, gazeti hili,kama ilivyo kwa televisheni na re-dio, tutachapisha makala za ku-habarisha na kuelimisha. Tuna-muomba Allah atuwafikishe kwahil i . Tunamuomba AllahSubhaanahu Wataala, asafishenia za watendaji, watende kwaajili ya Uislam, na awape nguvu

    ya kutekeleza majukumu haya

    kwa ufanisi-Amiyn.Moja kati ya maadili ya msingi

    yatakayoongoza gazeti hili ni ku-pigania umoja wa Waislam.Kamwe, gazeti hili halitotumikakuwagawa Waislam wala kufanya

    yaliyo nje ya malengo ya kuan-zishwa kwake .

    Hata hivyo, mradi huu wagazeti la Imaan utakuwa vigumukufanikiwa kama Watanzania,

    Waislam na Wasio Waislam - ha-watatuunga mkono. Maudhui yagazeti hili yanawalenga nyinyi

    wasomaji na hivyo basi tunatege-mea mnunue gazeti na mli-changie kwa hali na mali ili tuen-deleze kazi hii muhimu.

    Gazeti la Imaan, Televisheni yaImaan na Redio Imaan sio vyo-mbo pekee vya habari vya kiislam.

    Gazeti la Imaan litashirikianvyombo vingine vya habari vyislam katika kutekeleza jukuhili muhimu. Wahenga walintunajenga nyumba mo

    twanyanganyana fito za nini?Tunawaomba wasomaji w

    na jamii kwa ujumla kututenuadilifu kwa kutupongeza tapofanya vizuri na kutukosoa knia ya kujenga na si kubomoa p

    wanapoona tunakwenda njmalengo yetu. Hakuna asiyesea, mkamilifu ni All(Subhaanahuu wa Taala) pekni maneno ya Mwenyekiti wa

    Aref Nahdi anayoyarudia mnyingi.

    Tusaidieni kwa misingi ya Ulam ili tufikie lengo la kuumbkwetu. Tunawatakia usommwema wa gazeti Imaan.

    Tuliahidi, tumetimiza na Allah ni shahidi

    Siku za hivi karibuni, niki-

    wa katika shughuli zanguza kimaisha katika eneo

    la Mkenge , wil aya yaMkuranga mkoani Pwani niliwezakujifunza mambo kadhaa toka kwa

    mwanamke mmoja, mkazi wahuko.

    Mkazi huyo ambaye yukokwenye ndoa kwa miaka mitatu,akiwa amejaliwa mtoto mmoja,anasema takribani siku zote zandoa yake, hulazimika kuamka saakumi na moja asubuhi kufanyashughuli za nyumbani, ikiwemokumshughulikia mwanae.

    Mama huyo anasema ana-pochelewa kuamka, mume huwamwepesi kumuamsha huku yeye(mumewe) akiendelea na usingizimpaka pale atakapojisikia kuam-ka.

    Mbali na hilo, mama huyo ana-wajibika kulisha famili a, kum-nunulia mwanae nguo kwa pesa

    ndogo aipatayo kwa kufanyakibarua. Hata pakitokea upungufu

    wa vitu kama mafuta ya taa, chumvin.k, mzigo huo nao hana budi ku-ubeba.

    Ni kutokana na kibarua cha ku-tunza bustani kwa jirani yangu na-pata hela ya chumvi, sukari kwa ajili

    ya chai ya mwanangu, anasemamama huyo.

    Kwa mujibu wa mama huyo,mume wake anaamini kuwa ni ju-kumu la mwanamke kutafuta ma-hitaji muhimu ya familia kwa saba-

    bu yeye (m ume ), ame mpa tiamkewe sehemu ya kuishi. Kadhali-ka, mume anaamini mke ni tunukutoka kwa Allah Subhaanahu

    Wataala, hivyo basi anapoolewa ni

    wakati wa mume kupumzika.Kwanza, nilitafakari jambo hilo

    katika mtazamo wa utamaduni waKiafrika, lakini baadae nikagunduakuwa baadhi ya watu hata huaminikuwa hayo ni mafundisho ya dini

    wakitumia Quran, 4:34, inayose-ma, Mwanaume ni msimamizi wamwanamke kama kigezo.

    Aya hiyo, hutum iwa na wa-naume wengi kuwaonelea wa-nawake. Utasikia wanaume waki-

    jagamba kuwa wamepewa mamla-ka na Allah Subhaanahu Wataala

    na hivyo wanaweza kumtendeamwanamke wapendavyo. Hapapana tatizo la kutokueleweka ayahii na kutafsiriwa kinyume na muk-

    tadha wake.Katika tafsiri yake, Ibn Kathir

    anasema, Mwanaume ni mlinziwa mwa na mke, kwa sa ba buMwenyezi Mungu amewafadhili-sha baadhi yao kuliko wengine, nakwa sababu ya mali zao wanazozi-

    toa.Kama tujuavyo kazi za mlinzi ni

    kuhakikisha usalama wa yule

    anayemlinda pamoja na mali zakevinakuwa salama. Haingii akilinikwa mlinzi kugeuka kuwa kero kwaboss wake. Hiyo ni kinyume kabi-sa na jukumu alilopewa.

    Mwanaume anapaswa kuhak-ikisha anamjali mwanamke kwahali na mali na sio kumuachia ma-

    jukumu yote mazito ya kifamilia,kama ilivyokuwa kwa mama yule.Jambo hilo ni kinyume kabisa namafundisho ya Uislam, kitabu cha

    Allah Subhaanahu Wataala naSunnah za Mtume (Rehma na am-

    ani ziwe juu yake).Katika kisa kimoja enzi za uhai

    wa Nabii Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake), MuawiyaIbn Haydal Alqushayri alipata ku-muuliza Mtume (Rehma na amani

    ziwe juu yake): Ni zipi haki zamke? Nabii Muhammad (Rehmana amani ziwe juu yake) alimjibukuwa miongoni mwa majukumu

    ya mume ni kumlisha mke, kum-nunulia mavazi na kutompiga uso-ni wala kumlaani. Hivyo basi, wa-naume hawana budi kutambuakuwa mwanamke nae amepewahaki zake na Mwenyezi Mungu nakwamba si jambo jema kumbebe-sha mambo mazito ya familia.Huko ni kumkosea Mola wetu nakutia doa Uislamu.

    Waislam hatuna budi kuyata-fakari mafundisho ya MwenyeziMungu Subhaanahu Wataala naMtume Muhammad (Rehma na

    Amani ziwe juu yake) kwa mapana

    zaidi na muktadha wake.Vinginevyo, watu wataendelea kua-mini ubabe wa wanaume ni sehe-mu ya dini, kumbe ni upotofu.

    Mke au mwanamke anatajwana Mwenyezi Mungu Subhaanahu

    Wataala kuwa ni faraja, utulivu ka-tika maisha ya ndoa. Allah ametut-aka kuwaenzi.

    Mola anasema, Na katikaishara zake ni kuwa amekuumbieni

    wake zenu kutokana na nafsi zenuili mpate utulivu kwao. Naye ame-

    jaalia mapenzi na huruma bainayenu. Hakika katika haya bila yashaka zipo ishara kwa watu wanaofikiri. (30:21).

    [email protected]+255 688 938 671

    Uislamu umewaenzi wanawake

    HIVYO BASI, WANAUME HAWANA BUDI KUTAMBUA

    KUWA MWANAMKE NAE AMEPEWA HAKI ZAKE NA

    MWENYEZI MUNGU NA KWAMBA SI JAMBO JEMA

    KUMBEBESHA MAMBO MAZITO YA FAMILIA

    ABDULHAKIM NSOBYA

    NASAHA ZA WIKI

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    7/19

    www.islamicftz.org

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2015

    Ni muhimu kiasi gani kwamakhatwibu wa ijumaakuona kwamba khutba

    wanazotoa zinanufaishawaislamu na kuleta mabadiliko chan-ya katika jamii ya waislamu na wasiowaislamu?

    Katika nyenzo muhimu aliyoiwekaAllah (Subhaanahuu wataala) kwaummah wetu ni khutba ya sala ya iju-maa. Ni sehemu gani yenye hadhi ku-liko mimbari ya khatwibu, mahaliambapo khaatwibu huwafikishia watumaneno ya Mola wao na Mtume waona wema waliotangulia.

    UMUHIMU WA KHUTBA YA

    IJUMAA:

    Kwanza:Khutba ya ijumaa nimuhimu mno kiasi kwamba watuwameamriwa kuiendea mara tu wasi-kiapo adhana ya siku ya ijumaa. Ase-ma Allah Enyi mlioamini, pindi pan-apoitwa (watu) kwa ajili ya swala iju-maa nendeni haraka kunako utajo waAllah na acheni biashara (Al Ju-maa: 9)

    Ndiyo twakuta Mtume (Rehma naAmani ziwe juu yake) akihimiza Wais-lamu kuharakisha kuiendea swala ya

    ijumaa akisema kupitia hadithi yaAbuu Hurayrah: Mfano wa mwenyekuwahi wa kwanza ni sawa na aliyetoasadaka ngamia, na atakayefuatia ni

    kama katoa ngombe, na atakayefuatiani kama aliyetoa mbuzi, kisha ni kamaaliyetoa kuku na wa mwisho kama ali-

    yetoa sadaka ya yai (Bukhari na Mus-lim).

    Pili,mwenye kuiendea swala ya iju-maa anaamrishwa kuoga, kupigamswaki, kuvaa nguo nzuri na kujitiamanukato. Asema Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake): Atakayehud-huria ijumaa miongoni mwenu basina aoge (Bukhari 977, Muslim 844).

    Tatu,Kulazimika kunyamazakimya na kusikiliza khutba kwamwenye kuhudhuria swala ya ijumaana asiwe mwenye kumsemeza mtu.Katika Hadithi ya Abu HurayrahMtume anasema: Utakaposemakumwambia jamaa yako nyamaza

    basi umefanya laghwu (Bukhari naMuslim).

    Nne,khutba ya swala ya ijumaa inahadhi kubwa mbele ya Allah, kwani nidhikru-llwah (utajo/ukumbusho wa

    Allah) kama alivyoiita (9:9) na ni ala-

    ma miongoni mwa alama kubwa zadini ya kiislamu.

    Khutba ya ijumaa hushuhudiwana Malaika kama alivyosema Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) kwahadithi ya Abu Hurayrah (radhi za Al-

    lah ziwe juu yake): Inapokuwa siku yaijumaa inakuwa katika kila mlangomiongoni mwa milango ya msikitimalaika wanaandika waliokuja kwakadiri ya nafasi zao, basi mtu atatan-guliza ngamia, mwingine ngombe,mwingine mbuzi, mwingine kuku,mwingine mbayuwayu na mwingine

    yai. Anapoadhini muadhini na imamuakakaa juu ya mimbari (malaika) hu-funga daftari na huingia msikitini

    wakisikiliza khutba (Bukhar i naMuslim).

    Hadithi hii inaonesha utukufu nahadhi ya khutba ya ijumaa na ina-

    paswa kumfanya khaatwibu aoneumuhimu wa maneno atakayoyasemaakiwa juu ya mimbari kwamba nimaneno yaliyo katika kilele cha utuku-

    fu kwani malaika huyasikiliza.Basi ole wao makhatwibu wenye

    kuandaa khutba zao kwa ajili ya kupa-ta maslahi ya kidunia au hawaielewihadithi hii?

    Tano, pamoja na malaika, piahushuhudia na kuhudhuria khutba yaijumaa waislamu wa hadhi tofauti ka-

    tika jamii na viwango tofauti vyaelimu. Miongoni mwao wasomi na

    wasio wasomi, wanafunzi na walimu/masheikh, wakubwa kwa umri na wa-dogo, wanaume na wanawake, masi-kini na matajiri, watawala na wa-nanchi wa kawaida.

    Na kikubwa zaidi ni kwamba khut-ba na swala ya ijumaa huhudhuriwana wale ambao kwa kawaida hawa-hudhurii swala za kawaida msikitini.

    Kwa hiyo inampasa khatwibu aoneuzito wa khutba yake na atoe khutba

    itakayowafidisha watu wa aina zhizi na alenge kwa wale wengi amhawahudhurii swala za kawamsikitini wala hawana fursa ya kup

    mawaidha na kuhudhuria mihadhna darsa zinazotolewa msikitini.

    Kifupi ni kwamba, hapo ndipo hali pekee watu hao wanapokutan

    walinganiaji na hivyo yampasa khuya khatwibu kusheheni mambo yawafaidisha wote hawa.

    Sita,khutba ya ijumaa na swyake hurejelewa kila wiki na hivyotika mwaka mmoja mwenye kuswijumaa husikiliza khutba hamsinmbili (52). Kwa hiyo khatwibu akikhutba zake uzito unaostahiki na azipangilia maudhui zake mada kakila khutba, khutba hizo huwasemina iliyosheheni hazina kubwilmu na mawaidha yenye kuendele

    Hii ndiyo nafasi ya khutba kimambele za watu na ndiyo khutba ze

    athari.(Itaendelea toleo lija

    Mpaka tutakapofaidika na Khutba za Ijumaa

    NA TAWAKKAL JUMA

    KUTOKA KATIKA QURAN NA SUNNAH

    UTANGULIZI

    Kutoka katika Quran naSunnahni mfululizo wa makalamtambuka zitakazokuwa zikiakisi

    mambo mbalimbali tunayowezakujifunza kutoka katika aya zaQuran na Hadith za Mtume (Re-hma na amani ziwe juu yake).

    Katika makala yetu hii yamwanzo nitazungumzia Quranna Sunnah kwa mukhtasari.Quran ni maneno ya Allah. Haik-uumbwa. Ni asili kutoka Kwake(Allah) na kwake yeye ndiko itaru-di. Kateremka nayo malaikamtukufu Jibrili.

    Quran imebainisha kila jambo.Ni kitabu ambacho haiingii batilikutoka ndani wala nje. Ni muuji-za utakaobaki milele hadi vitu

    vyote vitakapoondoka abaki Allahpeke yake. Ni kamba ya Allah

    yenye nguvu, ni njia iliyonyooka,

    na ni mwangaza wenye kuangaziahaki na njia iliyonyooka. Ndaniyake kuna habar i za yaliyopita,yaliyopo na yatakayokuja, kunahukumu mbalimbali na upam-

    banuzi wa kila jambo.Atakayeacha Quran kwa ujeu-

    ri, Allah atamdhalilisha, naatakayetafuta uongofu kutoka nje

    ya kitabu hiki, Allah atampoteza.Atakayesema kwa kupitia kitabuhiki atakuwa amesema kweli,atakayehukumu kwa kupitia kita-

    bu hiki atafanya uadi li fu naatakayelingania kwenye kitabuhiki atakuwa amelingania katikanjia ya sawa.

    Kitabu hiki cha Quran ni kita-mbulisho cha Utume wa mwisho,

    ni lugha ya dini tukufu ya Kiislam,ni chimbuko la Shariah, na ni ka-

    musi ya lugha ya kiarabu.Kadhalika, Quran ni muongo-

    zo wa maisha ya mwanadamuduniani na akhera. Ni kupitiakitabu hiki watu ndipo wataon-goka. Kitabu hiki kinaondoshamagomvi, kinawataka watu wasi-mame katika maamrisho, maka-

    tazo na kulazimiana na mipakayake.

    Kwa ujumla, kufaulu kwa wan-adamu kuko katika kufuata njia

    ya kitabu hiki na kufeli kwao kati-ka kuacha muongozo wake na ku-

    jiweka mbali na mafunzo yake.Quran ni kiunganishi kati ya

    mbingu na ardhi, na ni agano katiya Allah na waja wake na ndio njiaya Allah ya milele na ndiyo ahaditukufu kutoka mbinguni kwa kilazama na kila pahala. Quran ndiokitabu bora zaidi ya vitabu vyote

    vya mbinguni na ndio uteremshoau ufunuo bora zaidi ya funuo zoteza mbinguni.

    Mtume Muhammad (Rehmana amani ziwe juu yake) anasema:Naapa kwa yule ambaye roho yaMuhammad iko katika mkono

    wake, hakuna yeyote atakayesikiahabari zangu awe ni muyahudi aumnasara kisha asinifuate na akafakatika hali hiyo ila siku ya kiyamaatakuwa ni miongoni mwa watu

    wa motoni.Kitabu hichi kinaanza kimpan-

    gilio wa sura kwa Suratul-Faatiha

    na kufungwa kwa Suratu- Annaa-si. Kimeanza kuteremka siku ileMuhammad (Rehma na amaniziwe juu yake) alipoteremkiwa namalaika mtukufu, Jibril, akiwakatika pango, Jabal Hiraa, kuleMakkah mwaka 610 na kikafikiahatamu yake mwaka 630 paleMtume Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake) alipofariki.

    Jibrili aliyekuwa mteremshajiwa funuo mbalimbali kwa mitumewote wa Allah alihitimisha kaziyake hii mwaka 630. Baada yahapo hakuna aliyeteremshiwa

    wala atakayeteremshiwa ufunuoau wahyi mpaka siku ya Qiyama.Mtume Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake) kakamilishaJengo la Utume. Hivyo hakunaatakayedai utume baada ya hapoila atakuwa ni muongo.

    Wanaojiita au wanaoitwa mi-tume kama Mirza Ahmad wa In-dia, mtume Kobe wa Tanzania na

    wengineo tunaowasikia hivi sasasehemu mbalimbali duniani, nimitume wa uongo. Pamoja naJibrili kumaliza kazi ya kuletaufunuo au wahyi tangu mwaka630 maandiko yanaonyeshakuwa huwa akija dunianipamoja na malaika wenginekatika usiku wa cheona makadirio waLailatul Qadrkatika mwezi

    wa Ramadhan. Mara nyingi aukawaida katika uchambuzi wa vi-

    tabu baada ya kutaja jina la kita-bu huwa anatajwa mtunzi wake.Kwa upande wa Quran lugha

    ya mtunz i hai ingii maanaQuran ni maneno ya Allahambayo hayakuumbwa. Wa-

    tunzi ni viumbe na Quran nimaneno ya Muumba, hivyo sikiumbe.

    K u s e m a k u w aQuran ni kiumbeni sawa nakusema Al-

    lah ka -

    jiumba Mwenyewe. Hivyo itikadiya kuw a Qur an ni kiu mbe nimiongoni mwa itikadi potofu am-

    bazo watu wanatakikakana wajie-pushe nazo.

    Itaendelea toleo lijalo

    KITABU HIKI CHA QURAN NI KITAMBULISHO CHA

    UTUME WA MWISHO, NI LUGHA YA DINI TUKUFU

    YA KIISLAM, NI CHIMBUKO LA SHARIAH, NA NI

    KAMUSI YA LUGHA YA KIARABU.

    Na Sheikh Muhammad Duwaysh

    MLINGANIAJI

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    8/19

    www.islamicftz.org

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATU Aprili13 , 2015

    www.islamicftz.org

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATU Aprili13 , 2015

    NA ABUU MAYSARA

    Jeshi la anga la Marekani liliomba shiri-ka la uchunguzi wa kistratejia liitwaloRAND (Research and Development)Corporation, kuchunguza mwenendo

    ambao utaathiri maslahi ya Marekani na usala-ma katika nchi za Kiislam ulimwenguni.

    Wanastratejia hao walibuni muundowa ku chambua na kungamua

    mielekeo ya kiitikadi ndani yaummah wa Waislam, kuchun-guza mipasuko miongoni mwamakundi mbali mbali na ku-fuatilia sababu za mudam r ef u n a m f upi za

    kuongezeka kwa misima-mo mikali.

    Muundo huu wa

    uchambuzi ungesaidiawa tu ng a se ra wa

    Marekani kuelewa stratejiaza kidiplomasia (kisiasa) na

    kijeshi zinazoweza kutumika ka-tika eneo hili muhimu la ulimwen-

    gu.Stratejia ya kuangamiza na kufar-

    akanisha Waislam:Kwa mujibu wa andiko lao, RAND

    waliona kwamba ili kuwafarakanishana hivyo kuangamiza Uislam, ina-

    wapasa kutambua misima-mo minne muhimu ya

    Waislam duniani.Kwa mujibu

    wa RAND,m i s i -

    mamo

    hiyo minne ni Siasa Kali (Fundamentalists),Wahafidhina (Conservatives/Traditionalists),Wanamageuzi (Modernists) na Wasekula (Sec-ularists).

    Siasa Kali, Imani Kali. Hawa wanakataa mi-fumo ya kidemokrasia na mila na utamaduni wawamagharibi. Wanataka mamlaka ya Munguisiyopingika na dola ya Kiislam ambamondani yake watatekeleza misimamoyao mikali ya sheria na maadili yakiislam. Tofauti na wahafidhi-na, hawa wanakubali kutu-mia uvumbuzi na te-knolojia ya kisasa kufi-kia malengo yao.

    Wahafidh ina Kwa mujibu waRAND, kundi la pilila Waislam duniani

    kiitikaadi ni lile lenyemsimamo wa kutakakuhifadhi Uislamkama ulivyokuwa zam-ani. Hawa wana masha-ka na uvumbuzi wa kisasana mabadiliko ya teknolo-jia.

    Wanamageuzi wa kisasa Hawa wanataka ulimwengu wakiislam uwe sehemu ya maendeleo yakisasa ulimwenguni. WanatakaUislam wa kisasa kwa kuu-fanyia mageuzi

    makubwa Uislam uende sambamba na zama zasasa.

    Wasekula - Hawa wanataka ulimwengu wakiislam ukubali mgawanyo wa dola na dini kwamfumo wa demokrasia na maendeleo ya viwan-da ya nchi za magharibi ambapo dini itaachwa

    itawale masuala binafsi ya mtu nahaina nafasi katika jamii au dola.

    Wanastrate jia hawa waRAND wanasema makun-

    di haya yana tofauti namisuguano kuhusu

    masuala muhimua m b a y o n i

    chanzo chamizozo ka-tika ulim-wengu waki i s l am ,

    ikiwa nipamoja

    na sia-s a ,uhuru

    wa mtubi na fs i,

    elimu, hadhiya mwanamkekatika jamii, kesiza jinai na uhalaliwa mabad iliko

    au mageuziya ki-

    siasa na kitamaduni kwa mujibu wa umaghar-ibi.

    Wenye msimamo mkali ni maadui wa nchiza magharibi na haswa haswa Marekani na kwakiwango fulani wanadhamiria kuharibu nakuangamiza demokrasia ya kisasa.

    Kwa m ujibu wa RAND, sera yaMarekani basi iwe ipi? Supportingthem is not an option, except fortransitory tactical considerations

    yaani Kuwaunga mkono si chaguo stahiliisipokuwa kama ni fikra ya mpito ya kiufunditu.

    Maana yake ni kwamba, wamagharibi wa-naweza kuwaunga mkono wanaowaita siasa kaliau imani kali kama mbinu ya muda tu ya kuuan-gamiza Uislam kama wafanyavyo sasa hukoSyria ambako wanaviunga mkono vikundi vyawaasi kwa silaha, fedha na mafunzo. Makundi

    kama Al Qaeda, ISIS na hata Boko Haram ya-meibuka kwa mpango huu kisha hao hao wana-kuja kutangaza vita na makundi hayo na kuzidikuuvuruga Uislam.

    Wahafidhina, kwa mujibu wa RAND, hawawana msimamo wa wastani lakini pia kuna to-fauti kadhaa miongoni mwa makundi ya kihafi-dhina.

    Baadhi ya wahafidhina wako karibu na siasakali. Hakuna wahafidhina wanaokubalidemokrasia, mila na desturi za kisasa ingawajewanaweza kuzistahamili huku wakizuia chukizao.

    Wanamageuzi ya Kisasa na wasekula wakokaribu zaidi na nchi za magharibi na maadili na

    sera zao. Lakini kwa ujumla wako katikanafasi dhaifu kuliko makundi men-

    gine, hawana wafadhili wenyenguvu, vyanzo vya fedha, miun-dombinu imara na jukwaa la ki-

    siasa. Wasekula wana matatizo makubwa wana-pozungumza na Waislam wahafidhina zaidi kia-si kwamba wakati mwingine hawakubaliwi naWaislam wengine, kutokana na kutofautiana

    kukubwa kiitikadi.Waislam washika mwendo wa zama za jadi

    ya kiislam (traditional orthodox Islam) wanachembechembe ya demokrasia zinazoweza ku-

    Stratejia ya wamagharibi kuwagawa WaislamuWAMAGHARIBI

    WANAWEZAKUWAUNGA

    MKONOWANAOWAITA

    SIASA KALIAU IMANI KALI

    KAMA MBINUYA MUDA TU YAKUUANGAMIZA

    UISLAM KAMAWAFANYAVYOSASA HUKO

    SYRIA AMBAKOWANAVIUNGA

    MKONO VIKUNDIVYA WAASI KWASILAHA, FEDHA

    NA MAFUNZO.

    MAANA YAKE NI KWAMBA,WAMAGHARIBI WANAWEZA

    KUWAUNGA MKONO WANAOWAITASIASA KALI AU IMANI KALI

    KAMA MBINU YA MUDA TU YAKUUANGAMIZA UISLAM KAMA

    WAFANYAVYO SASA HUKO SYRIAAMBAKO WANAVIUNGA MKONO

    VIKUNDI VYA WAASI KWA SILAHA

    wakubwa? Hilo la pili. (MMheshimiwa Spika,la tatu, Sura y

    na ya 31 ya Quran inamtaka mwanamwa miaka 9 avae hijab. Hijab maana yamikono mirefu, avae shungi, avae gwansuruali inayoficha mapaja na mpakanajua ya kwamba serikali imetoa agizo shule kwamba wafanyiwe hivyo wale wnaotaka, sheria zote zinavunjwa.

    Dini ya Kiislam inakataza pombe, Wkunywa pombe. Sasa hilo anafanya mw

    Lakini ninajua pia ya kwamba kunhuku, kuna viongozi wa idara ya elimkataa kutekeleza sheria hii au agizo hiliekaa kimya, nataka nijue ni kwa sababukwa nini. Hii ni amri ya Mwenyezi MuRais anasema tusifanye chochote kinamifarakano.

    Mheshimiwa Spika, lingine ni kwamka wa 30 wa uhuru. Siku ya Ijumaa nkwa Waislam kama ilivyo kwa siku ysiku muhimu kwa Wasabato kama ilivJumapili ni siku muhimu kwa Wakristkini siku ya Ijumaa ingawa kuna agkwamba Waislam waachiwe waende wviongozi siku ile ndiyo siku ya kufanya

    ili kumzuia Mkurugenzi ambaye ni Manapenda kazi yake aogope. Shule zinJumapili vitoto vidogo vidogo vya Kikrda kusali. Jumamosi vitoto vidogo vidovinakwenda kusali. Siku hizi vitoto vidKiislam vinataka kwenda na wazazi utaratibu ufanywe wa dhamiri kabismaa saa 6 kazi basi kwa Waislam. WaBoard Meeting waache wafanye saa 8na shule zote za Primary na Secondaryili kuwapa nafasi watoto wa Kiislam wwali. Mheshimiwa Spika, nina mengimbia mwisho. La mwisho, Rais aliwaawote pale Dar es Salaam kwamba ataliala la elimu. Lakini akawashauri kwamdhili ambao hivi sasa wanatujengea Mpia shule. Hilo jambo zuri, na Waislamninajua ya kwamba Waislam wanatakkumwendea Rais kwenda kumshukurubo moja, natoa mfano wa Dar es Salaamnafikia asilimia 70 au zaidi. Kwenye mlam wengi kuliko Wakristo au watu wwengi, hawana kazi, jela watakuwa we

    Lakini tuende kielimu. Ninayo riphuu. Waliofanya mtihani wa darasa ldarasa la tisa, asilimia 71 Waislam. Awengine. Walioshinda katika wale asiimia 21. Katika wale 29 walioshinmwenyewe. Katika asilimia 29 waliokni asilimia 79. Katika asilimia 71 waliola tisa ni asilimia 21.

    Sasa kuna moja, ama Waislam wayao haifanyi k azi, ama mtu ukiwa Mhuna kitu, ama kuna k itu. Sasa namanayehusika, anaposema aseme ya kwilivyo Waislam wameumbwa wajinga. vyo kuna sababu kadha, kadha. Mwalisema zamani ifanywe bidii ya kuw

    iokuwa chini. Sasa bidii hii siyo ya kuwiokuwa chini. Bidii hii ni ya kuwakaiokuwa chini.

    Mheshimiwa Spika, Rais MkapWaislam. Tuli mwendea, mimi mmmambo mengi ambayo ameyashughulika ya kwamba mambo haya tuliyoyoambiwa na viongozi wa Kiislam kulyashughulikia. Lakini ninaamini kabhataweza peke yake bila ya msaada wa vhao walioko hapa. Wakisema hawa kwawaida yao hiyo. Atapata tabu Rais wanwa Spika, kengele ya pili imelia. Nashukini nataka niseme kwamba haya niliyma kwa sababu najua mimi kwambmfarakano ni suala kubwa. Penye mfamaendeleo. Penye mfarakano hakunKwenye mfarakano kuna ghasia. Kwa eomba tufanye kila jambo mfarakanoserikali imsaidie Rais katika kutekelezkwa makundi yote ili pawepo na usawa

    Hotuba Ya KitwanaINATOKA UK 4

    MAKALA MAALUM

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    9/19

    www.islamicftz.o

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 20

    10

    NA HAFSWA MADIWA

    U

    islam umem-ruhusu nakumhimizaMuislam aji-

    pambe na kupendeza iliapate kustarehe na yalealiyoumbiwa na Allah

    (Subhaanahu Wataala)katika mapambo, libasi na

    vyombo.A ll ah (S ub ha an ah u

    Wataala) anasema kat ikaQuran: Enyi wanadamu!Hakika tumekuteremshieni

    juu yenu vazi litakalo sitir itupu zenu na vazi la kujipam-ba na vazi la uchaji hilo ndilobora kwenu(7:26).

    Vazi la mwanamke wa Ki-islam lina masharti yake.Makala hii fupi itaangaziamasharti haya ya hijab.

    Kwanza, Uislam umem-haramisha mwanamke ku-vaa nguo zenye kudhihirishaviungo vya mwili wake navilevile umeharamisha nguo

    zenye kubana, hasa sehe-mu ambazo zinawa-

    vutia watu kamam a z i w a

    (mati-t i ) ,kiuno,maka-

    lio na

    kadhalika.Kwenye jamii zetu wanawake wame-

    kuwa wakivaa hijab za kubana zenye ku-dhihirisha maungo yao. Ustaadhat Ai-sha Kirangi wa Kimara anasema: Mtuanaweza kununua baibui pana yenyekumstiri vizuri, lakini ataenda kuipun-guza (maarufu kuishepu) iendane namwili.

    Kadhalika, hijab yatakikana ieneemwili mzima. Allah Subhaanahu

    Wataala alimwambia Mtume Muham-mad (Rehma na amani ziwe juu yake):Ewe Nabii! Waambie wake zako, na

    binti zako, na wake za Waumini wajiter-emshie nguo zao. Hivyo ni karibu zaidikuweza kutambulikana wasiudhiwe. NaMwenyezi Mungu ni Mwenye kusame-he, Mwenye kurehemu (33:59).

    Tujiulize ndugu zangu Waislam jamiizetu zinafata mafundisho haya yaMtume? Kwa kiasi kikubwa, jawabu ni

    hapana. Na kadri siku zinavyo kwendadhana ya hijab inapotea kabisa. Wa-nawake wanavaa kama fasheni tu na sikujisitiri.

    Wanawake wameamrishwa wasidhi-hirishe mapambo yao ila kwa waumezao na wengine miongoni mwa ndugu

    walioruhusiwa na sharia. Kwa hadith hii,mwanamke anakatazwa kujipamba nakupita barabarani kama ilivyozoelekasasa ambapo wanawake hawajali.

    Ustaadhat Aisha anasema, wanawakewengi wa kiislam wakiwa majumbanimwao na waume zao hawajipambi lakiniakitoka anajipamba mpaka hata mumehamtambui mkewe.

    Aisha amekemea wanawake wal-iobadilisha dhana ya hijab na kuifanya nimtandio tu na vazi lingine lolote. Anase-ma: Wapo mabinti wanavaa fulana, su-ruali ya jinzi na ushungi mfupi usiofuni-ka vifua vyao wakisahau kauli ya Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) inayo-

    wataka wanawake washushe shungi zaohadi chini ya vifua vyao.

    Pili, hijabu ya mwanamke yatakiwaisiwe na manukato. Hadith ya Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) inase-ma: Mwanamke yeyote atakayejitiamanukato kisha akawapitia watu ili wa-pate kusikia harufu yake nzuri basi huwani mwenye kuzini na kila jicho litaka-

    lomtizama huwa ni zinifu.Tatu, hijab inatakiwa isiwe yenye

    kuonyesha (transparent) bali iwe nzito.Kundi kubwa la wanawake wa sasa wa-navaa nguo za kulalia watembeapo mi-

    taani. Nguo hizo humuonyesha hadi

    nguo ya ndani. Haya sio kati ya mavazituliyoruhusiwa kuvaa wanawake wa ki-islam.

    Nne, hijab haipaswi kuwekwamapambo. Uislam umekataza kukiukamipaka katika mapambo hususan ku-

    badilisha maumbile ya aliyoumba AllahSubhaanahu Wataala, kwani kufanyahaya, kwa mujibu wa Quran ni kutekele-za kazi ya shetani.

    Kwa mujibu wa Quran 4:119, Sheta-ni ameahidi: Na hakika nitawapotezana nitawatia matamanio, na nitawaam-risha, basi watakata masikio ya wanya-ma, na nitawaamrisha, basi watabadilialiyoumba Mwenyezi Mungu. Na

    mwenye kumfanya shetani kuwamlinzi wake badala ya Mwenyezi Mgu, basi huyo amekhasiri khasaradhaahiri.

    Kubadilisha maumbile ni kama mibabu ya kujitengeneza (plastic surgekuunganisha nyele, kujichubua ngozkunyoa nyusi. Hawa wote wamelaa

    wa.Ama katika hadith, Mtume ame

    laani mwenye kuchanja, kutia chalmwenye kuchanjwa, mwenye kuchomeno na mwenye kuchongwa. Mtu(Rehma na amani ziwe juu yake) amewalaani wenye kutoa nyusimwenye kutolewa. Mtume amewalamwenye kuunga nywele na mwenyeungwa.

    Kadhalika, hijab haipaswi kuwakifahari au ya kujivuna. Mtume anaseMwenye kuburuta nguo kwa majivu

    Allah Subhaanahu Wataala, hatom

    zama mtu huyu siku ya kiyama.Siku hizi kuna mavazi mbalimbathamani ambayo wanawake wananukwa lengo la kujitofautisha na wanaw

    wenzake, aonekane yeye bora.Wanawake wa sasa wa kiislam

    navaa nguo za kiume, jambo lililohmishwa. Allah Subhaanahu Watameharamisha kwa muislam mwamume na mwanamke kuvaa vazi la sia nyingine. Mtume (Rehma na amziwe juu yake) anasema: AlSubhaanahu Wataala wanaume a

    walaani wenye kuj ifananisha na wnawake, na wanawake wenye kujifanisha na Wanaume(Bukhari).

    Mwanamke wa kiislam ajipambeje?

    Nguo ya mwanamke inay-oburuza inapopata najisi

    Swali la kwanza: AliulizwaSheikh Muhammad Ibrahim AluSheikh (Allah amrehemu), kuhusuhukumu ya nguo ya mwanamke ili-

    yoingia najisi kwa sababu ya kubu-ruza.

    Jawabu: Haina tofauti na viatuvilivyokanyaga najisi na kisha ku-kanyaga kitu kikavu kilicho safi, nakitu kikavu bila shaka husafisha, nahii ndio kauli yenye nguvu. [RejeaFatwa wa Rasaailu Sheikh Muham-mad Ibrahim Aalu Sheikh 2/92]

    Mtoto aliyekojolea nguo yamwanamke katika Swala

    Swali la pili:Liliulizwa jopo lakudumu la fat-wa la Saudi Arabia:Mimi nilitawadha kwa ajili ya swala,na mtoto niliyembeba akaichafuanguo yangu kwa mkojo, nikaioshakwa maji sehemu iliyoingia mkojo,na kisha nikaswali bila ya kutawad-ha tena, je swala yangu ni sahihi ?

    Jawabu:Swala yako ni sahihi,kwani mkojo wa mtoto ulio-kumwagikia hautengui udhu, una-chotakiwa ni kuuosha tu mkojo ul-iokumwagikia. [Rejea Fataawa la-

    jnatud Daimah 5/286]

    Twahara inayotokana namkojo wa mtoto

    Swali la tatu:Liliulizwa jopo lakudumu la fatwa la Saudi Arabia:Mwanamke anapojifungua mtoto

    wake wa kike au wa kiume, huwahawi mbali naye katika kipindi chaulezi wake, mara nyingi humpakatamapajani mwake, na mara nyinginenguo za mama humwagikiwa namikojo. Je katika mazingira kamahayo sharia humtaka mama huyuafanyeje? Na je kuna hukumu maa-

    lum inayomhusu mtoto wa kiumeiliyo tofauti na ya mtoto wa kikekuanzia kipindi cha uzazi mpakaanapofikisha umri wa miaka miwili?

    Swali letu hapa linahusu zaidi katikaupande wa twahara, swala na usum-

    bufu wa kubadilisha nguo kila waka-ti.

    Jawabu:Kwa mkojo wa mtotowa kiume litanyunyiziwa maji eneoililoingia mkojo, ikiwa kama mtotohajaanza kula chakula. Ikiwaameanza kula chakula, hapo pata-oshwa. Ama ikiwa ni mkojo wa mto-

    to wa kike, kiujumla ule mkojo wakehuoshwa, sawa ikiwa ameanza kulachakula au hajaanza. Na msingi wamaelezo haya ni riwaya iliyopekewana Imam Bukhari na Muslim, AbuDaud na wengineo. AnasimuliaUmmi Qubays bint Mihswan:Kwamba yeye alikuja na mwanawemdogo wa kiume, ambae hakuwaameanza kula chakula mpaka kwa

    Mtume rehema na amani ya Allahiwe juu yake, Mtume alimpakatamapajani mwake, (mtoto) akakojoakwenye nguo ya Mtume, Mtume re-hma na amani ya Allah iwe juu yake,aliagiza maji na kuinyunyizia ile se-hemu na wala hakupaosha. Ime-

    tolewa na Abu daud, I bn Majahkutoka kwa Ummi Qubays bintMihswan: Ataosha kwa mkojo wamtoto wa kike na atanyunyiza kwamkojo wa mtoto wa kiume. Na kati-ka riwaya nyingine ya Abi DaudAtaosha kwa mkojo wa mtoto wakike na atanyunyiza kwa mkojo wa

    mtoto wa kiume kama hajaanzakula. [Rejea Fatwa lajnatud Daim-ah 5/368]

    Kuchafuka nguo ya Daktarina Muuguzi kwa maji ya uzazi

    Swali la nne:Liliulizwa jopo lakudumu la fat-wa la Saudi Arabia:Inapochafuka nguo ya daktari aumuuguzi kwa damu au maji ya uzazi,

    je inafaa kuswali na nguo hizo? Nahasa ukizingatia ugumu wa kazi namazingira sumbufu ya kubadilishanguo katika kila swala?

    Jawabu:Daktari au muuguzianatakiwa aandae mavazi safi kan-doni mwake atakayoyatumia kwaswala badala ya zile zilizochafuka, nahilo halina usumbufu. [Rejea Fa-

    taawa lajnatud Daimah 5/384]

    Maji ya josho yaliyobakishwana mwanamke

    Swali la tano:Aliulizwa SheikhAbdur Rahmani Assaadiy (Allahamrehemu),

    Ni ipi kauli sahihi kuhusu mwa-naume kujitwaharisha kwa maji yali-

    yobakishwa na mwanamke?Jawabu:Tofauti iliyopo kwenye

    madhehebu ya wanazuoni katika su-ala hili inajulikana. Moja kati ya ri-

    waya mbili za Imam Ahmad inaelezakuwa: Mwanaume hakatazwi nasharia kujitwaharisha kwa mabaki yamaji yaliyosazwa na mwanamke ka-

    tika josho au matumizi mengine,yaani- hakuna tofauti kati ya kutu-miwa katika josho la kujitwaharishaau kuondoshea uchafu. Na hii ndiokauli sahihi, kwani Mtume (Rehmana Amani ya Allah iwe juu yake) ali-

    wahi kuoga kwa maji ya josho yali-yobakishwa na Bi. Maimuna. Nayoni hadithi sahihi zaidi kuliko hadithiinayomkataza mwanamume kujit-

    waharisha kwa maji yaliyobakishwana mwanamke.

    Lipo kundi la wanazuoni wasioaf-iki usahihi wa hadithi hii, lakini ni ha-dithi isiyo na mshindani. Na mtaza-mo huu unaungwa mkono na amri

    ya jumla ya kujitwaharisha kwa ku-tumia maji bila ya kiziwizi, yaani-maji ambayo hayajachafuliwa na na-

    jisi yanaingia katika ujumla. Allah

    anasema: (.....Na msipopata majbasi tayamamuni vumbi lilio safi) AlMaidah aya ya 6.

    Sharia haikuruhusu kutayamamila baada ya kukosekana kwa maji, n

    bila shaka haya tunayoyazungumzhapa yanaitwa maji. Sharia siku zothaikatazi kitu isipokuwa kwa sababuna haya nayo ni maji kama ilivyoelekezwa na Mtume (Rehema na Amani ya Allah iwe juu yake): Hakikmaji hayaingiwi na janaba. Hili n

    jambo la kisharia, na lau mwanaumingekuwa anakatazwa kujitwaharisha kwa mabaki ya maji yaliyoachw

    na mwanamke, bila ya shaka lingekuja andiko sahihi kulibainisha suala hilo. Na hapa ndipo ilipotudhihirikia kuwa kauli tuliyoitoa ndio sahihi.

    Ama kuhusu riwaya ya pili yImam Ahmad na ambayo ndimashuhuri kwa watu wengi wa zamhizi iliyomkataza mwanamume ku

    jitwaharisha kwa mabaki ya maji yaiyosazwa na mwanamke katika joshokwa bahati mbaya hadithi iliyotumika kuitolea ushahidi rai hii haikidhhaja, kutokana na udhaifu na kukinzana kwake na dalili nyingine. Amkukomea katika josho la janaba pekee hakuna dalili. [Rejea Almajmuul Kaamilah limuallafaatSheikhi Ibn Saadiy 7/88]

    FATWA KWA MWANAMKE WA KIISLAMNA SHABANI MUSA

    UWANJA WA WANAWAKE

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    10/19

    www.islamicftz.org

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2015

    1

    Ndugu mpenzi msomaji,kwanza kabisa nashikakalamu kudhihirishafurah a y angu na

    shukran zangu za dhati kwa AllahSubhanahu Wataala kwa ku-

    tuneemesha kuwa na chombo hikimuhimu katika kupashana habari,kuelimishana na kuitana katika njia

    ya sawasawa ili tutoke katika kiza nakuingia katika nuru kwa idhini ya

    Allah Subhanahu Wataala.Ninatumaini tutakitumia vizuri

    chombo hiki, tutakienzi na kukilin-da ili kihudumie na kuinufaisha

    jamii kwa ujumla.Aidha nachukua fursa hii kuku-

    karibisha katika mfululizo wamakala mbalimbali juu ya maswalaya biashara na uchumi kwa mtaza-mo wa Kiislam. Kwa hakika Uislamni dini ambayo imekamilika kwakutoa muongozo katika kila nyanja

    ya maisha ya mwanadamu ikiwemonyanja ya uchumi na biashara.

    Bila shaka watu wengi wame-kuwa na shauku kutaka kujua mfu-mo wa kibiashara na uchumi waKiislam, uwepo wa taasisi na ma-shirika yanayotoa huduma za kifed-ha za Kiislam hapa nchini na nje pia

    kumeibua maswali na chachu yaku-taka kujua vipi huduma hizi zinawe-za kutolewa bila riba na vipi benkiza kibiashara zinaweza kujiendesha

    bila riba.Shabaha ya mfululizo wa makala

    hizi ni kudurusu mada mbali am-bazo zitatoa mwangaza na uelewa

    kwa wasomaji juu ya mfumo wakifedha na uchumi wa Kiislam,hivyo ndugu msomaji shime usiko-se makala hizi.

    Leo katika makala yetu hii yaawali napenda kueleza juu yaumuhimu wa kufahamu utaratibu

    wa kibiashara na uchumi wa Kiis-lam. Inafahamika kuwa lengo lamaisha ya mwanadamu ni ku-muabudu Allah Subhanahu

    Wataala kwa kutafuta radhi zake nakumridhisha yeye tu katika kilakipengele cha maisha yetu.

    Kujua utaratibu wa kibiasharawa Kiislam kutasaidia katika kufi-kia lengo hili, kwani tutaelewa

    namna ya kufanya miamala ya kibi-ashara katika utaratibu ambao una-zingatia halali na kujiepusha naharamu.

    Ikumbukwe kuwa moja ya mas-wa li am bay o mw an ad amu

    ataulizwa ni vipi alichuma na kutu-mia. Hii inaashiria kuwa nyanja hiini muhimu sana na tunahitaji radhiza Allah Subhanahu Wataala piakatika eneo hili kwa kuchuma nakutumia katika njia za halali.

    Wapo wanaoweza kuuliza na

    kustajabu vipi dini izungumzie bi-ashara, huku si kuchanganya dinina biashara! Hawa hawatakuwambali na watu wa Shuaibu (Rehmana amani ziwe juu) pale waliposemaEwe Shuaibu! Ni swala zako ndizozinazokuamrisha tuyaache wal-iokuwa wakiyaabudu baba zetu, au

    tuache kufanya tupendavyo katikamali zetu? ... (11: 87).

    Watu wa Shuaibu walikuwa nadhana ya kutenga dini na biasharahata walipoonywa juu ya kupunja

    vipimo na mizani katika biasharazao wakahoji uhusiano wa swala zaShuaibu na biashara zao.

    Kwa hakika dini yetu hii tukufuhaiishii tu kwenye swala katika kutanne za misikiti yetu bali huangaza

    nyanja zote za maisha mpakakwenye miamala yetu ya kibiashara.Swali la kujiuliza ni je kweli swalazetu zina uhusiano na miamala yetu

    ya kibiashara? Zinatusarifu kwelikuendea biashara zetu kwa kujisal-imisha kwa Allah?

    Wakati wa uongozi wake, Umarbin al-Khattab (Radhi za Munguziwe juu yake) alikua akipita sokonina bakora kuwaadhibu wafanyabi-ashara ambao hawajui kanuni zaKiislam juu ya kuuza na kununua.

    Ali kua akionya kwa kaul imbalimbali maarufu kama vile:Asifanye biashara yoyote katikasoko letu asiyejua riba ni nini naAsiuze yoyote katika soko letuisipokuwa yule ambaye anaelewa

    kanuni za Uislam, vinginevyoatakula riba kwa kupenda au kuto-penda.

    Hapa tunajifunza namna ganiswala la kujifunza na kuwa na ufa-hamu juu ya taratibu na kanuni zaKiislam za kufanya biashara lilivy-opewa kipaumbele na umuhimumkubwa katika zama za maswa-haba na kuwa ndio kigezo kikuu chakupata leseni ya kufanya biashara.

    Ni wangapi katika zama zetuhizi wanaweka jambo hili katikampango wao wa biashara na wana-

    jifunza elimu hii kama wanavyo-tafuta mtaji kabla ya kuanza bi-ashara? Nikina nani wanaojali kulariba kwa kupenda au kutopendakatika biashara zao leo? Wangapi

    wanajua riba ni nini na inatofau-tiana vipi na faida? Insha Allah tut-ajitahidi kufahamishana katikamfululizo wa makala hizi.

    [email protected]+255713996031

    Biashara na uchumi katika Uislam

    SHABAHA YA MFULULIZO WAMAKALA HIZI NI KUDURUSU

    MADA MBALI AMBAZOZITATOA MWANGAZA NA

    UELEWA KWA WASOMAJI JUU

    YA MFUMO WA KIFEDHA NAUCHUMI WA KIISLAM, HIVYONDUGU MSOMAJI SHIMEUSIKOSE MAKALA HIZI.

    UCHUMI NA BIASHARANA JAMAL ISSA

    NA AHMED BAWAZIR

    Am es em a Mt um e Muha m-mad (Rehma na amani ziwe juu yake).

    Ingelikuwa kuna Utume baadayangu basi angelikuwa Umar Ibn

    Khattab.[Sahih Bukhari Juzuu ya 5, kitabu

    57, no. 38].Nukuu zake:

    Amesema Umar Ibn Khattab (Ra-dhi za Allah ziwe juu yake ): Mmoja

    wenu angelijua ujira wa kumwambia

    ndugu yake Jazak Allahu khairan, (Al-lah akulipe kheri) basi mngezidisha

    kuambiana hivyo baina yenu. - [ibnAbi Shaybah, 5/322]

    Amesema Umar Ibn Khattab (Ra-dhi za Allah ziwe juu yake ): Hakunakheri kwa watu ikiwa hawashauriani

    na hakuna kheri kwa watu ikiwa ha-wataki kushauriwa - [Risaalat Al-

    Mustarshideen, 71]Anas (Radhi za Allah ziwe juu yake

    ) amesema: Nilimsikia Umar akiwapeke yake nyuma ya ukuta akisema:Naapa kwa Allah!, Utamuogopa Al-

    lah kiuhakika, ewe mtoto wa Khattab,au Allah atakuadhibu - [Mukhtasar

    Minhaj Al-Qasidin of Ibn QudamAl-Maqdisi (p. 426)].

    Amesema Umar Ibn Khattab (dhi za Allah ziwe juu yake ): Jiepusni na maadui wa Allah katika sher

    zao - [Ahkaam Ahl al-Dhimm1/723-724].

    HUYU NDIO UMAR IBN KHATTAB

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    11/19

    www.islamicftz.o

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 20

    12

    Utangulizi:

    Mtume Muhammad (Re-hema na amani ziwe juu

    yake) alisema katikamoja ya hadith zake

    kuwa: Hajapatapo mwanadamukujaza chombo kilicho na shari kuliko

    tumbo lake, vyamtosha mwanadamuvijitonge vitavyousimamisha uti wakewa mgongo. Kama hakufanya hivyo(ikiwa hapana budi kula) basi the-

    luthi moja iwe ni ya chakula na the-luthi (ya pili) iwe ni ya maji na theluthi(ya mwisho) iwe ni ya pumzi (Ah-

    mad, Ibn Majah na Hakim). Hadithtulioinukuu hapo juu tunaifaidi zaidizama hizi za maendeleo makubwa yasayansi na teknolojia.

    Shirika la Afya Duniani (WHO)linasema kuwa, ulaji wa chakula kisi-chokuwa salama (unsafe food) una-sababisha magonjwa zaidi ya miam-

    bili (200) kuanzia kuharisha mpakasaratani.

    Ni dhahiri kuwa dini ya Kiislam nimfumo kamili wa maisha ya mwan-adamu ambao unamfundisha mtumambo yote ya maisha yake kama

    vile siasa, afya, chakula, lishe, uchumi,

    jamii, elimu, vita na maisha baada yakufa.

    Tatizo lililopo ni kuwa waislamwengi hawazingatii mafundisho yaQuran na Sunnah yanayosisitizamaswala ya chakula na lishe. Hali hiiinatokana na sababu kuu mbili.

    Kwanza ni kutoufahamu Uislam.Mfano, baadhi ya Waislam hudhanimaswala ya chakula bora ni ya kizun-gu na sio ya kiislam. Mtazamo huu siosahihi na ni kosa kubwa kama tut-akavyoona katika mfululizo wamakala hizi insha Allah.

    Sababu ya pili ni elimu ndogo ya

    chakula na lishe. Hapa maana yake nikuwa kuna baadhi ya aya za Quranna Hadith za Mtume (Rehma na am-ani zimshukie) hazitekelezeki kwa ki-

    wango cha kuridhisha bila ya elimuya mazingira. Mfano wake tutauonahapo chini. Mfululizo wa makalahaya unalenga kuwaelimisha waso-maji kuhusu chakula na lishe kwamtazamo wa kiislam.

    Tukizungumza kama Watanza-nia, madhumuni makubwa ya Dira

    ya Taifa ya Maendeleo (2025) nikuielekeza Tanzania ili ifikapo mwaka2025 Watanzania wawe wamejikom-

    boa kutoka katika kundi la nchi masi-kini na kuingia katika kundi la nchizenye kipato cha kati na hali bora yamaisha. Ili kufikia ndoto hiyo, Tanza-nia lazima iwe na nguvu kazi yenyeafya na elimu bora.

    Kwa upande wa afya bora, Tanza-nia imeandaa sera ya lishe ambayomadhumuni yake makubwa ni kuwa

    na Taifa la watu wenye afya na lishenzuri, wenye uwezo mkubwa kiakilina kimwili utakaochangia katikakuinua maendeleo ya jamii kiuchumina hivyo kuwapa maisha bora.

    Hata hivyo, licha ya juhudi za Seri-kali na wadau wengine katika kubore-sha lishe ya wananchi, takwimu zaShirika la Chakula Duniani (FAO) za

    mwaka 2010 zinaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi kumzenye kiwango cha juu cha utapiamlokati ya nchi thelathini na sita zenye

    tatizo hilo duniani.Afrika pekee ina nchi ishirini n

    moja (21) zinazokabiliwa na utapiamlo mkali. Tatizo la utapiamlo has

    tatizo la lishe duni linaendelea kuwkubwa nchini Tanzania kwa upand

    wa upungufu wa utomwili na nishatiupungufu wa damu, upungufu wmadini joto na upungufu wa vitamin

    A. Unene na uzito kupita kiasi ni katika matatizo mapya yanayoongezekkwa kasi na yanasababishwa na ulajmbaya. Makundi yalioathirika sankutokana na utapiamlo au lishe dunnchini Tanzania ni watoto wenyeumri chini ya miaka mitano, wanawake wajawazito na wanawak

    wanaonyonyesha. Takwimu zinaonesha kuwa zaidi ya watoto 47,500 hufkila mwaka kutokana na utapiamlona asilimia 60 ya watoto wenye umrchini ya miaka 5 wanautapiamlo wupungufu wa wekundu wa damu(anaemia).

    Tatizo hili la utapiamlo kwa Tanzania sio tu lina athiri afya na uchum

    wa mwananchi mmojammoja, bapia Taifa zima kwa ujumla. HapaTanzania, tatizo la utapiamlo linasababishwa na mambo makubwa mawi

    li, umasikini wa kipato na elimu ndogo ya lishe inayopelekea ulaji usiofahasa kwa wakazi wa mijini, Waislamna wasiokuwa Waislam.

    Itaendelea toleo lijal

    UMUHIMU WA

    ELIMU YA LISHE

    Salamu ni miongoni mwa

    tabia za mwanaadamu zi-lizodumu kwa karne nakarne. Jamii zilizopita zili-

    tumia lugha ya matamshi na isharakusalimiana ikiwemo wadogo kupi-gia magoti wakubwa au kuwashikamiguu. Hapa Tanzania, shikamooinayoitikiwa kwa marahaba ni sala-mu maarufu zaidi.

    Dini ya Uislamu, ambayo ni mfu-mo kamili wa maisha umezun-gumzia salamu kwa namna namsisitizo wa kipekee. Katika Uislam,mtu anapofika katika makazi ya

    watu au hata nyumbani kwakeameamriwa na Allah Subhaanahu

    Wataala kusalimia.Allah Subhaanahu Wataala ana-

    waamrisha viumbe wake katikakitabu chake kitakatifu, Quran ku-

    toa salamu: Enyi mlioamini! Msi-ingie nyumba zisizo nyumba zenumpaka muombe ruhusa, na mwa-

    tolee salamu wenyewe. Hayo ni borakwenu mpate kukumbuka (24:27).

    Imam Bukhari na Imam Mus-lim, Radhi za Mwenyezi Munguziwe juu yao, wamehadithia kwamba

    mtu mmoja alimuuliza Mtume Mu-hammad (Rehma na amani ziwe juu

    yake) kuhusu ubora wa dini ya Kiis-lam. Mtume Muhammad (Rehmana amani ziwe juu yake) akamjibu,ni kusalimia yule unayemfahamu nausiyemfahamu, bila ubaguzi.

    Kipindi Mtume Muhamad (Re-hma na amani ziwe juu yake) alip-owasili katika mji wa Madina, baada

    ya kuhama Makka, aliwausia masa-haba juu ya jinsi ya kuleta umoja na

    wenyeji wa madina. Alisema katikahadithi iliyopokewa na Tirmidhi:Enyi watu salimianeni, walisheni

    watu, imarisheni udugu na mswalinyakati za usiku (Tahajjud), kufanyahivyo kutawasaidia kuingia katikapepo ya Allah (Subhaanahu Wataa-

    la) kwa amani.Katika hadith nyingine iliy-

    opokewa na Abu Dawud. Mtume

    Muhammad (Rehma na amani ziwejuu yake) amesema: Waislam wawiliwanapokutana (wakasalimiana) nakupeana mikono wanasamehewadhambi zao kabla hawajaachana.

    Maneno hayo yalileta amani naupendo baina ya maswahaba walio-hamia kutoka Makka na wenyeji wamji wa madina. Allah (Subhaanahu

    Wataala) ni shahidi wa haya alipose-

    ma katika Suuratil Hashri (59: 9):Na walio na maskani zao na Imani

    yao kabla yao, wanawapenda walio-hamia kwao, wala hawaoni choyokatika vifua vyao kwa walivyo pewa(Wahajiri), bali wanawapendeleakuliko nafsi zao, ingawa wao

    wenyewe ni wahitaji. Na mwenyekuepushwa uchoyo wa nafsi yake,

    basi hao ndio wenye kufanikiwa.Salamu husaidia kujenga jamii

    yenye maelewano, amani na upen-

    do. Ukipita ugomvi baina ya wawili,dawa ni kusalimiana. Mtumeamesema: Hakika, hamtaingiapeponi mpaka muamini, nahamtaamini mpaka mpendane. Ki-sha akawaambia masahaba, Ni-

    waambie kitu mkifanya mtap-endana? Akasema, Salimianeni.

    Salamu huashiria mwanzo wamapatano. wakati wa msiba wa Rais

    wa Kwanza wa Afrika kusini huruNelson Mandela mwaka 2013 ulim-

    wengu ulitafsiri kitendo cha Rais waMarekani, Barack Obama kusalimi-ana na hasimu wake Rais wa Cuba,Raul Castro kama mwanzo wamwisho wa uhasama. Maelezo hayo,

    yanaonesha Uislam ulivyosisitizasalamu. Kwa bahati mbaya sasa uta-maduni wa kusalimiana katika jamiizetu, mitaa, maofisini katika mijimikubwa kama ya Dar es salaam

    umeanza kufifia huenda kwa sababuya utandawazi.

    Hata hivyo, mwanazuoni, SheikhMuhamad Al-Mukhtar anasemaHatujachelewa kurejesha ma-fundisho ya Mtume Muhammad(Rehma na amani ziwe juu yake)

    yaliy opotea katika jamii yetu.Anaongeza: Ni wajibu wa wazazi,walimu, wazee na waumini wa-nawake kwa wanaume kujenga uta-maduni wa kusalimiana.

    Sheikh Al-Mukhtar anahitimi-sha kwa kusema: Wakati amani(Salaam), rehema za Allah na Bara-ka zinapoteremka kwa kiumbe cho-chote au jamii, amani na utulivuhutamalaki.

    Salamu ya Kiislam:Mtume Muhammad (Rehma na

    amani ziwe juu yake) amewafundis-ha Waislam kusalimiana kwa kuse-ma Assalaamu alaykum (Amaniiwe juu yenu), ambayo hujibiwa kwa

    Waalaykum salaam. Ama kwa uka-milifu wake, na fadhila zaidi Muis-

    lam aseme: Assalaamu alaykum warahmatullahi wa barakatahu.

    Kuanza kusalimia inatajwa kuwani sunnah, lakini kujibu salamu ni

    wajibu. Mtu aliye kwenye kipandoaanze kumsalimia anayetembea,anayetembea amsalimie aliyekaa nakundi dogo lisalimie kubwa.

    Salamu: Ufunguo wa jamii ya maelewano

    UKIPITA UGOMVI BAINA YA WAWILI, DAWA NI

    KUSALIMIANA. MTUME AMESEMA: HAKIKA,

    HAMTAINGIA PEPONI MPAKA MUAMINI, NA

    HAMTAAMINI MPAKA MPENDANE

    ABDULHAKIMU NSOBIAMILA NA DESTURI

    Dk. Pazi Mwinyimvua

    AFYA

  • 7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1

    12/19

    www.islamicftz.org

    24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2015

    1

    MASOUD MSELLEM

    MAPITIO YA VITABU

    MIMBARI YA TAREEKH

    Katika mwezi kama huu wa Kiislam

    tunaoendelea nao wa Jumada Ath-Thaniy, Mtume (Rehma na amaniziwe juu yake) alituma kikosi maa-

    lumu (sariya) kwa ajili ya kupambana na baa-dhi ya makabila ya mabedui wa kiarabu husu-san Bani Qudaa katika maeneo ya mipaka yaSham.

    Kimsingi hatua hiyo ya Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake) ililenga kukabiliana nakuuvunja nguvu utawala wa Kirumi (Byzan-

    tine). Utawala huo wakati ule ulikuwa ukilita-wala kisiasa eneo lote la Sham likijumuisha ar-dhi yote ya leo ya Syria, Lebanon, Jordan, Pal-estina n.k.

    Baadhi ya makabila ya mabedui yaliy-okuwa yakiishi mipakani na Sham yalikuwa

    washirika wakubwa na yana ukuruba mkubwana dola ya Warumi (Byzantine) katika kuten-da uadui dhidi ya Waislam na dola yao.

    Kikosi kilichotumwa na Mtume (Rehmana amani ziwe juu yake) kinajulikana kwa jina

    la Dhat As- Salasil kilitumwa ndani ya mwaka

    8 Hijiri chini ya uongozi wa sahaba Amr binAl-As (Radhi za Mungu ziwe juu yake).Mtume (Rehma na amani ziwe juu yake)

    akiwa amiri jeshi mkuu wa dola ya Kiislam al-imkabidhi kamanda wa kikosi hicho Amr ib

    Ass bendera maalumu ya Kiislam katika msa-fara wake na kumpatia mujahidina karibu 350

    wakiwemo wapiganaji werevu.Aidha, Mtume (Rehma na amani ziwe juu

    yake) alimtaka kamanda wake lau hali ya kivitaitakuwa mbaya basi ayatake makabila ya mae-neo hayo, yaliyosilimu na ambayo yana mahu-siano mazuri na Waislam yasaidie katika ma-pigano hayo.

    Miongoni mwa makabila yaliokuwa kandokando na medani ya vita ni Bali, Udhra, naBalqa. Kama kawaida Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake) alidhihirisha uerevumkubwa wa kisiasa kwa kumteua Amr Ibn Al-

    Ass kuwa kamanda wa kikosi hicho, kwa kuwa

    pia nasaba ya ubabani kwake ilikuwa karibuna kabila la Bali.

    Ikumbukwe kwamba jihadi katika shariaya Kiislam hubeba ufahamu mmoja tu. Katikamuktadha wa kuwa chini ya utawala wa Kiis-

    lam, ni mapigano ya kivita chini ya dola ya Ki-islam pale diplomasia inaposhidwa kufanyakazi. Uislam unaitumia jihadi kuwa ni ala auchombo cha kubebea siasa ya nje ya dola ya Ki-islam.

    Jambo hilo lilitendwa zama za Mtume (Re-hma na amani ziwe juu yake) na zama za ma-khalifa wote baada yake. Dhamira ya jihadi siokama vita vya msalaba (Crusade) kumwagadamu na kulazimisha watu kuingia katikadini.

    Wala jihad sio vita kama vinavyopiganwaleo na madola ya kibepari kama Marekani nawenzake wakilenga kuuwa wasio katika uwan-ja wa vita, kuzowa rasilmali za nchi changakuzipeleka nchini mwao na kuzitenza nguvunchi hizo kwa matakwa yao ya kisiasa, kiuchu-mi, kijeshi nk .

    Lengo la jihadi ni kuondowa kila aina ya ki-zuizi kilichoko mbele ya dola katika kuwafik-ishia wanadamu nuru, ukweli, uadilifu na us-alama wa Uislam kwa kuutekeleza Uislam juu

    yao katika nyanja zote. Ama watu hao kuingiandani ya Uislam au kubakia katika dini zao,

    hilo huwa ni khiyari yao baada ya kuona kwa

    uwazi bila ya upotoshaji mfumo wa Uislam.Hii ndio maana mpaka leo katika miji

    mikubwa ya Kiislam bado yapo majumba yakale ya ibada na wafuasi wa dini nyingine. Piadola ya Kiislam ilikuwa ikihamisha makaomakuu yake kutoka mahala pamoja kwendamji mwengine. Kwa kuwa haikulenga kuchotarasilimali za sehemu moja kuzipeleka sehemunyengine ikiwemo maeneo wanayotoka.

    Katika hali kama hiyo ndio maana katika

    uhai wa dola ya Mtume (Rehma na amaniziwe juu yake) na baada yake, ajenda nyeti yakukabiliana na dola ya Kirumi ilibebwa kwauzito mkubwa. Kwa sababu dola hiyo ilidhi-hirisha wazi wazi kuwa ni kizuizi kikubwa ka-

    tika ulinganizi wa Kiislam.Ndio maana tunaona kwamba harakati za

    kijeshi za kikosi hiki cha Dhat As- Salasil dhidiya Warumi na washirika wake hazikuwa zamwanzo wala za mwisho. Bali kampeni dhidi

    ya dola ya Kirumi ilikuwa ni kampeni endele-vu. Mfano hai, mwezi mmoja tu kabla ya ku-tumwa kikosi hiki, Waislam walipigana naWarumi katika Vita vya Mutah.

    Vita vikali dhidi ya dola ya Kirumi vilion-gozwa na majemadari wakubwa wanne waKiislam. Wote wanne walikufa mashahidkishujaa na kwa ujasiri wa kupigiwa mfano.Na ukiangalia sababu ya msingi ya kutokea

    vita vya Mutah, ni baada ya Sharahabiil bin

    Amr Al-Ghassan, gavana wa Warumi katikaeneo la Al-Balqa na mshirika wa karibu waCaesar mtawala wa Kirumi, kumuuwa kwadhulma Al-Harith Umair Al-Azdi, balozi wa

    dola ya Kiislam aliyetumwa na Mtume (Reh-ma na amani ziwe juu yake) kufikisha barua yaulinganizi wa Uislam.

    Kikosi cha Dhat As- Salasil kilikabiliana najeshi kubwa kiasi cha Mtume (Rehma na ama-ni ziwe juu yake) kuongeza nguvu kutokaMadina makao makuu ya dola. Kikosi cha ku-

    tia nguvu kilikuwa chini ya sahaba Abu Ubai-dah bin Al-Jarrah (Ra). Na vikosi vingine vi-dogo vidogo vilitumwa zaidi ambavyo ndani

    yake walikuwemo masahaba wakubwa kamaUmar na Abubakar (Ra).

    Licha ya uchache wa idadi yao na zana,Waislam walifanikiwa kupenya ndani yangome ya kabila la Qudaa, wakapigana kishu-

    jaa na kwa ujasiri mpaka wakapata ushindi.Huo haukuwa mwisho wa Waislam kuka-

    biliana na Warumi. Kwa kuwa jihadi ni ibadainayoendelea kama ibada nyingine. Mwaka

    uliofuata Mtume (Rehma na amani ziwe juuyake) aliandaa jeshi, na yeye binafsi kushirikikatika vita vikali sana vya Tabuk dhidi ya haohao Warumi mipakani mwa Syria.

    Kadhalika, siku chache kabla ya kufarikikwake Mtume (Rehma na amani ziwe juu

    yake), alituma kikosi cha kupambana na hawahawa Warumi chini ya uongozi wa kamandakijana, Usamah bin Zaid. Mapambano hayo

    yaliendelea hata baada ya Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake) katika zama za Abubakarhadi vita vya Yarmouk. Hatimae, ndani yamwaka 1453 chini ya Khalifah Muhammad

    Al-Fatih, makao makuu ya dola ya Kirumi ka-tika mji wa Constantinople/Istanbul, Uturukiya leo ukafunguliwa rasmi (fathi) na kuwa chi-ni ya himaya ya Waislam na dola yao. Tukiohilo kubwa na tukufu ni kama alivyobashiri,mbora wa viumbe na mkweli wa kauli, Mtume

    wetu (Rehma na amani ziwe juu yake).

    Kutumwa kikosi cha dhat

    as-salasil (Jumada Ath-

    thaniy 8 AH )

    Kitabu:Al Fusuul Fii Mustwalahi Had-ithi r-RasuuliMwandishi:Haafidh Thanaau-ll-waahi ZaahidyMfasiri:Shaykh Muhammad Issa

    Neno la Mwandishi:Sifa zote ni zake Allah pekee, Reh-

    ma na amani ziwe juu ya yule ambayehakuna nabii baada yake, Muhammadibn Abdillaahi, na (ziwe) juu ya familia

    yake na maswahaba wake, na juu yakila mwenye kushikamana na diniyake na akaongoka kwa mwongozowake.

    Ama baada (ya hayo): hiki hapa nikitabu Fusuulun Fiy Ilmi Mustwalahil-Hadithi n-Nabawiyy s-Shariyf, kwamujibu wa mtaala unaotumika kwaajili ya wanafunzi wa mwaka wa pilikatika Chuo Kikuu cha Kiislam katikamji wa Swaadiq Abaad Pakistani.

    Nimekusanya kutoka katika vitabuvya Maimam wa Hadith ili kutoshelezayale anayoyahitaji mwanafunzi katikahatua ya Ibtidaai iliyotajwa miongonimwa misamiati muhimu ya ilmu hiitukufu, kwa utaratibu mwepesi na ul-iowazi kufahamika, na ibara zilizo-fupishwa zenye kutosheleza katika ris-

    alah niliyoiita Al Fusuulu Fiy Must-walahi Hadiythi r-Rasuuli.

    Na namuomba Allah Subhaanah-uu wa Taala anufaishe kwacho wa-nafunzi, na anikubalie (amali hii) nayendiye mwenye kuwafikisha na kutianguvu, na ni muweza juu ya kila kitu,na mwenye wasaa mpana kuitikiamaombi, na kila sifa njema anastahiki

    Allah Mola Mlezi wa walimwenguwote.

    Mlango wa Kwanza:

    Adabu za Mwanafunzi (wa Il-mul Hadith)1. Jambo la kwanza lililowajibu kwa

    mwanafunzi wa Hadith za Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) niaitakase nia yake katika kusomakwake, kwamba kusudio lake kwa ku-fanya hivyo liwe kutafuta radhi za AllahSubhaanahuu Wataallah, na wala asii-fanye ilmu hii nyenzo ya kumpatia kitukatika machumo ya kidunia.

    Kwani amepokea Abu Hurayrah(hadith) Marfuu: Mwenye kujifunzailmu miongoni mwa zenye kutafutwakwazo radhi ya Allah akawa hajifunziila ili apate sehemu ya chumo la kidun-ia hatonusa harufu ya pepo siku ya Qi-

    yamah Hadith sahihi, ameisimuliaAbu Dawuud kwa nambari 3664, na

    Ibn Majah kwa nambari 252).Na ikapokewa (hadith) kutoka kwa

    Jabir ibn Abdillahi (Radhi za Allahziwe juu yake) Marfuan: Msijifunzeilmu kwa lengo la kulumbana kwayona Maulamaa, au kujiringishia kwayo

    wasiojua, au mpate kuchagua kwayovikao vya kuzungumzia. Mwenye ku-fanya hayo basi moto (wa Jahannam)!Moto (wa Jahannam)! (Hadith sahihiameisimulia Ibn Majah kwa nambari254 na Ibn Hibbani katika swahihi

    yake kwa nambari 674).

    2. Na inamuwajibikia mtafutaji wailmu hii ajitahidi katika kujipambakwa khulqa njema na adabu zenye ku-ridhiwa kipindi chote cha kutafutailmu na baada yake.

    Kwa hakika amesimulia AbuDardaa (Rahdi za Allah ziwe juu yake)Marfuan: Hakuna kitu kilicho kizitozaidi kitakachowekwa katika mizani(ya kupima mema na mabaya siku yaQiyama) kuliko tabia njema (Sahihi,

    Ameisimulia at-Tirmidhiy kwa nam-bari 2003).

    Na kutoka kwa Abdillahi ibn Umar(Radhi za Allah ziwe juu yake)Marfuan, amesema Mtume (Rehmana amani ziwe juu yake): Wabora

    wenu ni wale wenye tabia njema. (Sa-hihi, ameisimulia at-Tirmidhiy kwa

    nambari 1975).Na akasema Abu Aswim an-Babiyl

    (Rehma za Allah ziwe juu yake)Mwenye kutafuta (ilmu) hii ya Hadithkwa hakika ametafuta jambo lililo juukabisa, basi anapaswa awe mbora wa

    watu.3. Na inatakika mtafutaji wa ilmu

    ayafanyie kazi yale anayoyasikia mion-goni mwa Hadith. Kutokana na Ha-dith aliyoisimulia Abuu Barzah al-

    Aslamiyyu (Radhi za Allah ziwe juuyake) Marfuan, kasema Mtume (Reh-

    ma na amani ya Allah iwe juu yake):Hautaondoka unyayo wa mja siku yaQiyamah mpaka aulizwe kuhusu umri

    wake aliumalizaje, na kuhusu ilmuyake aliitumiaje,na mali yake aliichu-maje na aliitumiaje, na kunako kiwili-

    wili chake alikichakaza katika yepi?(Sahihi, ameisimulia at-Tirmidhiy kwanambari 2417).

    4- Na inamuwajibikia mtafutaji wailmu kuwaadhimisha masheikh zakekwa taadhima kubwa, na kuwapaheshima kubwa na kuwakirimu takri-ma kubwa. Kutokana na Hadith ya

    Anas ibn Maalik (Radhi za Allah ziwejuu yake) Marfuan, Mtume wa Allah(Rehma na amani ziwe juu yake) alise-ma: Si miongoni mwetu asiyewara-hamu wadogo zetu na asiyewahesh-

    imu wakubwa zetu (Sahihi, amei-simulia at-Tirmidhiy kwa nambari

    1919 na Ahmad katika Musnad ykwa nambari 2325).

    5- Na inamuwajibikia mtafutajilmu hii asiwe bakhili kwa anayoykia, na awafahamishe ndugu zmiongoni mwa wanafunzi ambao uhamu na werevu wao ni chini yaKutofanya hivyo ni katika makosa