imaan newspaper issue 4

15
ISSN 5618 - N0. 004 BEI: SH800/- KSH80/- USH1,200/- 8 RAJAB 1436, JUMATATU , MEI 4 - 10, 2015  www.islamicftz.org huwatoa watu gizani Serikali yaipongeza The Islamic Foundation - Uk 2 Museveni awahami Waislamu: Uk 3 Head off ice, Lumumba Street, Opp: Viwanja vya Mnazi Mmoja, P . O Box 779 Dar es Salaam, Tanzania Tell: 255 22 2182482/ 255 222184419, Fax: 255 22 2181424, E-mail: info@Bi nslum.com Operesheni tokomeza madrasa yaanza  Hofu yatanda misikitini, madrasa Walimu, masheikh wawindwa kama paa Wengine zaidi kukamatwa? - UK 3 Wachache wajitokeza hijja 2015 NA SULEIMAN MAGALI K asi ya kujisajili kwa ajili  ya Hijja 2015 ni nd ogo kutokana na mwamko duni wa Waislamu. Ku- fuatiahalihiyo,taasisizaHijjazime-  wahim iza w aumin i wen ye uw ezo, hususanvijana,kujitokezakushiriki ibada hiyo. Tangu 1958, Wizara ya Hijja ya Saudi Arabia iliitengea Tanzania na- fasi25,000kilamwakazamahujaji,  lakini uchache wa mahujaji wa- naoenda ulipelekea wizara hiyo ku- punguza mgao huo hadi nafasi 3,000. Hata hivyo, kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa UK 5 Sheikh Mussa Kundecha IGP Ernest Mangu

Upload: imaan-newspaper

Post on 06-Jan-2016

2.715 views

Category:

Documents


1 download

DESCRIPTION

Imaan Newspaper Issue 415 Rajab 1436, Jumatatu May 4 - 10, 2015

TRANSCRIPT

Page 1: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 1/15

ISSN 5618 - N0. 004 BEI: SH800/- KSH80/- USH1,200/- 8 RAJAB 1436, JUMATATU, MEI 4 - 10, 2015   www.islamicftz.o

huwatoa watu gizani

Serikali yaipongeza The Islamic Foundation - Uk 2

Museveni awahami Waislamu: Uk 3

Head off ice, Lumumba Street, Opp: Viwanja vya Mnazi Mmoja, P. O Box 779 Dar es Salaam, TanzaniaTell: 255 22 2182482/ 255 222184419, Fax: 255 22 2181424, E-mail: [email protected]

Operesheni tokomezamadrasa yaanza

 Hofu yatanda misikitini, madrasaWalimu, masheikh wawindwa kama paaWengine zaidi kukamatwa? - UK 3 Wachache

wajitokezahijja 2015NA SULEIMAN MAGALI

Kasi ya kujisajili kwa ajil

 ya Hijja 2015 ni ndogokutokana na mwamkoduni wa Waislamu. Ku-

fuatia hali hiyo, taasisi za Hijja zime- wahimiza waumini wenye uwezohususan vijana, kujitokeza kushirikibada hiyo.

Tangu 1958, Wizara ya Hijja yaSaudi Arabia iliitengea Tanzania na-fasi 25,000 kila mwaka za mahujaji

 lakini uchache wa mahujaji wa-naoenda ulipelekea wizara hiyo ku-punguza mgao huo hadi nafas3,000. Hata hivyo, kwa mujibu waKatibu Mkuu wa UK 5

Sheikh MussaKundecha

IGP Ernest Man

Page 2: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 2/15

www.islamicftz.

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10,

2 HABARI

NA MWANDISHI WETU

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ) kupitia ofisi ya Makamu wapili wa Rais imeipongeza taasisi yaThe Islamic Foundation yenye

makao yake makuu mkoani Morogoro kwa juhudi inazozifanya za kuisaidia Serikali kutoahuduma mbalimbali kwa jamii.

Pongezi hizo zimetolewa na Afisa Md-hamini Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mko-ani, Issa Juma Issa, kufuatia msaada wa taasisihiyo kwa wakazi wa kijiji cha Kisiwa Panza kili-chopo Kusini Mashariki mwa mkoa wa Mkoa-ni, katika kisiwa cha Pemba ambao walikum-

 bwa na kimbunga kikali kilichosababishamaafa makubwa, ikiwemo nyumbakubomoka.

Misada hiyo yenye thamani ya zaidi ya Tsh.Milioni 12, ilikabidhiwa kwa waathirika na

ujumbe wa The Islamic Foundation uliogozwa na katibu wa taasisi hiyo, Sheikh A

 Ajirani, huku viongozi wa kiserikali, akiweSheha, Diwani na kamati nzima ya uongozkijiji wakishirikiana bega kwa bega na taahiyo katika ugawaji wa misaada hiyo.

Sheikh Ajirani alisema, The Islamic Fodation ilikusanya fedha hizo kupitia michailiyokusanywa kupitia Radio Imaan na T

 visheni Imaan na kisha kununua chakula  bacho kiligawiwa moja kwa moja kwa waathka.

 Vyakula vilivyogawiwa ni mchele, sukunga wa ngano, mafuta ya kula, pamoja

 vinywaji baridi na biskuti kwa ajili ya watot“Tuliona wengi waliotoa misaada w

changia vifaa vya ujenzi, lakini sisi tuliona w waliharibikiwa makazi na mazao yao, na h tukaamua tusaidie upande huu uliosahaulialisema Sheikh Ajirani.

Serikali yaipongezaThe Islamic Foundation

“Afya”is naturalsource of sweetdrinking waterfrom under-

ground streamwhich is blended

with essentialminerals to sup-port and aid per-fect metabolism.

WATERCOM LIMITED

P.o. Box 20409, Plot N.4005, Kisarawe11 area

Temeke,Daresalaam, Tanzaniawww.watercomtz.com, E-mail:[email protected]

NYAKATI ZA SWALA

NA MASHIRIKA YA

HABARI

Mamlaka nchiniCongo Brazavillezimepiga maru-fuku watu kuvaa

mavazi yanayofunika sura zaoyakiwemo ya Kiislamu kamaniqab’ na ‘burka’ katika mae-neo yenye mikusanyiko yawatu.

Pia mamlaka hiyo imepigamarufuku Waislamu kutokanje ya nchi hiyo kuacha kutu-mia misikiti nyakati za usiku.

Maelfu ya watu, wengi wao wakiwa ni Waislamu wame-kumbwa na machafuko katikanchi jirani ya Jamhuri ya Afrika

 ya Kati na wamekuwa wakitu-mia misikiti kama sehemu yamalazi yao.

Msemaji wa Serikali alisema

Congo ni nchi isiyofungamanana dini yoyote na inaheshimudini zote, na kuongeza baadhi

 ya Waislamu wanawake wame-kuwa wakitumia mavazi hayokwa ajili ya kufanya matendo yakihalifu. Alisema, Serikali ime-kataza kutumia misikiti wakati

 wa usiku kwa sababu ipo kwaajili ya ibada na sio malazi. Con-go Brazaville ina Waislamu wa-siozidi asilimia tano.

Niqab marufukuCongo Brazaville

Mwakilishi wa The Islamic Foundation Pemba, Sheikh Ahmed Masoud (kulia) akiwa msaada wa vyakula tayari kuvushwa kwenda kisiwa Panza kwa ajili ya waliopatwa nmaafa visiwani humo. (NA MPIGA PICHA WETU)

Na. MJI FAJR DHUHUR ASR MAGHARIB ISHA

1 DAR ES SALAAM 5:13 12:21 3:42 6:17 7:

2 ZANZIBAR 5:12 12:20 3:42 6:17 7:

3 TANGA 5:12 12:21 3:43 6:19 7:

4 MOROGORO 5:23 12:29 3:51 6:24 7:

5 MTWARA 5:18 12:21 3:42 6:12 7:

6 ARUSHA 5:22 12:33 3:55 6:33 7:

7 DODOMA 5:27 12:35 3:56 6:31 7:

8 MBEYA 5:40 12:45 4:07 6:39 7:

9 KIGOMA 5:48 12:57 4:19 6:55 8:

10 MWANZA 5:34 12:46 4:07 6:47 7:

11 KAGERA 5:39 12:51 4:13 6:52 8:

Page 3: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 3/15

www.islamicftz.org

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10, 2015

NA MWANDISHI WETU

A liyekuwa Makamu wa Rais wa Marekani Dick Cheneyalipata kunukuliwa mwaka2009 akisema, “the more

ruthless the better to the world”- kadiriukatili zaidi unavyotumika ndiyo borakwa dunia.

Dick Cheney alitoa maneno hayo al-

ipokuwa akizungumzia mkakati waMarekani kuzifunga madrasa nchiniPakistan na Afghanistan kwa madaikuwa ni mazalia ya ugaidi.

Inaelekea iko kampeni ya kuziuamadrasa duniani na Tanzania inaele-kea inaiga. Hali ya wasiwasi na taharukiimewakumba waumini wa dini ya Kiis-lamu hapa nchini kufuatia Jeshi la Poli-si na vyombo vingine vya usalamakuendesha kampeni dhidi ya madrasaambapo walimu wanakamatwa kwawazi wazi na kinyemela.

 Vyombo hivyo vya usalama vime-kuwa vikiwakamata walimu wa ma-drasa na wanafunzi wao katika maeneombali mbali ya nchi. Mikoa ambayowalimu walikamatwa na madrasa ku-fungwa na kuathirika zaidi ni pamoja

Kilimanjaro, Dodoma, Kagera na Mt-wara.

“Habari hizi zinaotuogopesha. Ha-

 tuna amani kabisa. Baadhi yetu wenyeimani dhaifu wamefikiria hata kuachakazi ya ualimu. Tunajiuliza kwa ninisasa? Na kwa nini sisi Waislamu?”, Us-

 tadh Mohammed wa Magomeni alise-ma.

Kauli kama ya Ustadh Mohammedilitolewa pia na walimu wengine 12 wamadrasa waliohojiwa na gazeti hilikutoka maeneo mbalimbali nchini.

 Walimu wamesema katika kampe-ni hii watakaoathirika ni watoto ambao

 wanahitaji elimu ya dini iwasaidie kati-ka kuishi maisha ya kumcha Mungu.

Jeshi la Polisi na Wizara ya Mambo ya Ndani limetaja sababu ya kamatakamata ya walimu kuwa ni kuwalinda

 watoto, lakini viongozi wa Kiislamu waliohojiwa wamesema wanaaminikampeni hiyo inahusiana na vita dhidi

 ya ugaidi, ambao wamesema haupo ilaunatengenezwa na kutafutwa watu wakulaumiwa.

 Viongozi waliohojiwa wamesemahuu ni muendelezo wa mikakati ya ki-mataifa ya kudhuru Waislamu kwa kis-ingizio cha vita ya ugaidi. Ustaadh Ma-

 laika Ulembo wa madrsatul RahmatilIslamiya iliyopo Vingunguti Mtam-

 bani, Dar es salaam, alisema, kufungiamadrasa na kukamata walimu ni nja-ma za kuupiga vita Uislamu.

“Hicho ni kisingizio cha kuudhofi-sha Uislamu. Wote tunajua hakunaugaidi nchi hii, ila unatengenezwa. Piaiweje kila jambo la ugaidi wahusishwe

 Waislamu? Kama wanazifungia ma-drasa maana yake hakutakuwa na Uis-

 lamu na waalimu watakimbia kufundi-sha kwa hiyo Uislamu hautakuwepo

 tena”, ameeleza Ustaadh Ulembo.Naye, Ustaadha wa Marasatul

Bayyinah ya Vingunguti Bakwata, Mu-niru Juma, alisema jambo hilo lililofan-

 ywa na Serikali ni baya na kuitaka Seri-kali iache kufungia madrasa.

Muniru alisema: “Hili ni jambo baya na halifai kwa sababu Serikaliinapochukua hatua za kuvifungia vituo

 vya kufundishia dini, hakuna Muisla-mu yeyote atakayeweza kujua dini nakufanya ibada yake, tunavyosikia wen-zetu huko mikoani wanakamatwa tu-naogopa, lakini mimi sitoacha kufundi-sha dini ya Mwenyezi Mungu”.

Kwa upande wake mwalimu waMadrasatul-Ittiswaam iliyopo Kimara,Dar es salaam, Ustaadh AbubakarNyamguma, ameiita kamata kamatahiyo kama mwendelezo wa uonevu waSerikali dhidi ya Waislamu na inalengakuangamiza elimu ya dini ili isifa-hamike kwa vijana na watu wengine.

Ustadh Nyamguma amesema,anashangazwa na hatua ya Serikali

kuona madrasa ni tatizo wakati historia ya nchi kwa miaka yote inaonesha ma-somo ya dini ya Uislamu yalikuwa yaki-someshwa bila kibali chochote.

Ustaadh Nyamguna ameitaka Seri-kali isitishe vitendo hivyo kuepusha ali-chokiita “Waislamu kulazimika ku-chukua hatua za kujihami”, kwani

 Waislamu hawatokubali kuona wana-fanyiwa dhulma ya wazi kiasi hiki.

Kwa upande wake ustaadh Shaa- ban Katwila, anahisi ipo hatari kubwainayoweza kujitokeza nchini siku za

usoni kwa kuwa vitendo vya kukam wa kwa walimu hao hutokea kamisikiti na madrasa, jambo ambalkuingilia uhuru wa dini na kuabudu

 Amesema, anachokiona ni hofserikali kudhani mafundisho wanoyapata vijana katika dini yana lengkuwaandaa kupambana nao, jamambalo si sahihi. Alisema madrasafunza elimu ya dini kwa lengo la kum

 Allah na jinsi ya kumuabudu.Ustadhi wa madrasa ya Tarbiya

Islamiyya, amelaani hatua za kamkamata za masheikh wakati mwalimkuu wa madrasa hiyo, Sheikh Adhi Adam, alisema ingawa hajawkupata mtihani kama huo, amekuakisikia vitendo hivyo vikifanyika hmikoani.

Sheikh Adamu alisema, vitenhivyo vinapaswa kukemewakuongeza kuwa vikiachwa hivihivi vzalisha matatizo na migogoro katSerikali na Waislamu.

Kauli ya mwanasheria:Gazeti la Imaan lilimtafuta Wa

 Yahya njama, kutaka kujua msima wa sheria juu ya kadhia ya kukamakwa walimu wa madrasa, ambapoieleza kuwa kufungiwa kwa madrhizo kunatokana na kutozingatia shza nchi.

 Wakili Njama alisema, Tanzahaina sheria yoyote inayozungummasuala ya madrasa na kwamba ma

 bo hayo ni masuala yanayohusiandini na si vinginevyo.

“Hakuna sheria yoyote hapa ncinayotoa maelekezo ya jinsi ya kiendesha madrasa, na kama katiba

 vyosema mambo ya dini yatasimamna wahusika, kwani Serikali haina dalisema wakili Njama.

 Wakili Njama pia amesema, kido cha jeshi la Polisi kuwakamata

 toto wadogo na kuwapeleka mahabni kosa kisheria, kwani watoto wale

 wana makosa yoyote.“Kuwakamata watoto wadogo

kuwapeleka mahabusu kunakiuka ria mbali mbali za mtoto zilizopo hnchini, na hata hivyo mtoto yule hkosa. Kama kuna kosa basi ni la maliyempeleka kwenda kusoma kamadrasa hizo,” aliongeza Wakili Nma.

Njama amesema kuwa, vitendo jeshi la Polisi kuwavizia walimu wa drasa nyakati za usiku ni kinyumesheria, kwani shughuli za madrasa hzinajulikana na si sawa na kund

 wauza bangi na wauza pombe.Kwa mujibu wa Ustaadh Abuba

 wa Kondoa, uvamizi wa polisi hau yiki tu kwa madrasa na vituo vya kfadhisha Qur’an, bali pia kwenye shza Kiislamu za awali na hata sekodn

“Mwaka jana mimi na viong

 wenzangu tulikwenda Shinyakutembelea shule moja ya Kiislamkoani hapo ili kujifunza wenzetu navyoendesha shule ya

Wanafunzi waMadrasaRahmatulIslamiyya,Vingunguti jijiniDar es Salaam.(NA KHALID OMARY)

HABARIHABARI

KAMA WANAZIFUNGIA MADRASA

MAANA YAKE HAKUTAKUWA NA

UISLAMU NA WAALIMU WATAKIMBIA

KUFUNDISHA KWA HIYO UISLAMU

HAUTAKUWEPO TENA 

Operesheni tokomeza madrasa

U

NA ABDULHAKIM ABDALLA

NSOBYA.

Rais wa Uganda, YoweriKaguta Museveni ameko-soa tabia ya kulaumu nakuhukumu Waislamu wote

kwa vitendo viovu vinavyofanywa namakundi maovu ya watu wachacheyanayojinasibisha na dini hiyo.

Katika makala yake alioiandika hivikaribuni katika gazeti la Serikali laUganda, New Vision yenye kichwa cha

habari ‘Wanamgambo wa Al-Shabaabwameshashindwa vita’, Rais Museveni

amesema, wale wanaovichukulia vi- tendo vya kundi la Al-Shabaab la nchi-ni Somalia kama ni vya Waislamu woteni uchambuzi dhaifu na si sahihi.

Rais Museveni ameandika kuwadhana hiyo dhidi ya Waislamu ni sawana kulaumu Wakristo wote kwa viten-do vya kiongozi muasi wa nchi yake,

Joseph Kony, ambaye alikuwa akifan- ya uovu wake kwa kisingizio cha dini

 ya Ukristo.Katika makala yake hiyo pia, Rais

Museveni, ameandika kuwa hata nch-ini Somalia kwenyewe yalipo makaomakuu ya wanamgambo wa Al-Shabaab sio Waislamu wote wanaow-aunga mkono Al-Shabaab.

“Napenda pia kuwashauri wale

ambao uchambuzi wao si wakina nauko kinyume na ukweli, wahalifu nchi-

ni Kenya wamekuwa wakiwauwa wale wasiokuwa Waislamu na kuwasamehe Waislamu. Je, Jambo hili ni isharakuwa Waislamu wanawaunga mkonohawa wahalifu? Lahasha.

“Nimejuaje kuhusu hili? Nchini So-malia katika mji wa Mogadishu kuna

 Waislam milioni mbili na nusu ambao

 waliamua kuwa pamoja na majeshi yaUmoja wa Afrika (AU) badala ya kuwa

sehemu ya magaidi wa Al-ShabaMuseveni aliadika.

Uchambuzi huo wa Rais Musevunakuja katika kipindi ambakumekuwa na kampeni katika nkadhaa za Afrika Mashariki za kukdamiza Waislamu kwa kisingiziokupambana na ugaidi. Katika harahizo za danganya toto za kupambna ugaidi muonekano wa nje ikiwemavazi ya kanzu na kilemba, pamna madrasa zinazotoa elimu ya Kiimu (Madrasa) vimekuwa kigezo

kuwalenga Waislamu na hivyo kukdamiza haki zao za kikatiba.

Museveni awahami Waislamu

Page 4: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 4/15

www.islamicftz.

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10,

4

NA MWANDISHI WETU

M we zi wa Ra ja bumesheheni ma-

 tukio muhimu yakiimani na kihisto-

ria ya Kiislamu. Miongoni mwamatukio muhimu zaidi ya Kiis-

 lamu yaliyotokea katika mwezi wa Rajab ni tukio la Israa na

Mi’raaj.Hili inaaminika lilitokea

mwezi wa Rajab mwaka wa 10 tangu Mtume apewe utume,sawa na 620 Miladia. Ingawakuna ikhtilafu baina ya wana-

 wazuoni kuhusu tukio hili kuto-kea mwezi wa Rajab, ni katika

 tukio hili zilifaradhishwa swala tano kwa Waislamu.

Tukio jingine muhimu kwa Waislamu ni lile lililosimuliwakatika Surat Tawba la msafara

 wa kivita wa Mtume kwendaTabuk katika mwaka wa tisa

 tangu Mtume ahamie Madina.Mtume (Rehma na amani ziwe

 juu yake) alitoka na jeshi la watu30,000 kulikabili jeshi la Waru-mi ambao hatimaye waliogopana kukimbia. Huu ulikuwamwanzo wa Uislamu kueneaduniani kote.

Tukio jingine katika historia ya mapambano kati ya haki na batili ni kutekwa mji wa Jerusa- lem na ardhi iliyokuwa chini ya watu wa vita vya msalaba (cru-saders) mwaka 583 Hijriyyahsawa na 1187 Miladia.

Ukombozi huu wa ardhi takatifu ya Baitul Muqaddas ul-ifanyika chini ya kiongozi na

 jemedari wa mfano katika Uis- lamu, Jemedari Salah ad-Din Yusuf bin Ayyub maarufu kati-ka vitabu vya historia vya kima-gharibi kama Saladin. Wengi

 watakumbuka kitabu cha visa

 vya Alfu Lela Ulela (Alfu Layla wa layla yaani mausiku e lfu

moja na usiku mmoja).Tukio jingine lililotokea nda-

ni ya mwezi wa Rajab lakini lakusikitisha kwa Waislamu ni

 tukio kuanguka kwa dola yamwisho ya Kiislamu - The Ot-

 toman Empire mwaka 1382Hijriyyah sawa na 1924 Milad-ia.

Mustafa Kamal Ataturk,Myahudi (ambaye kwa jina lakeikaitwa nchi ya Uturuki au Tur-key) akishirikiana na Mayahudi

 wenzake waliuangusha utawala wa Sultan Mehmed Vahdattin

 VI na kuifanya Uturuki nchi yakisekula badala ya nchi ya Kiis- lamu.

Ukombozi wa Baitul Mu-qaddas na Salahud-Din Al-

 Ayyubiy:Katika kumbukumbu ya

matukio ya kihistoria ndani yamwezi huu mtakatifu wa Rajab,

 tutaelezea juu ya kukombolewakwa ardhi takatifu ya BaitulMuqaddas na Salahud-Din Al-

 Ayyubiy toka mikononi mwa wapiganaji wakristo wa msal-aba (Crusaders).

Mtawala wa kwanza Muis- lamu kusimama kidete kuz-ikomboa ardhi za Waislamu zi-

 lizotekwa na makafiri ni Imadud-Din Zink. Huyu alikuwa

mmoja wa maamiri wa Kituru-ki katika mji wa Aleppo (Syria)

na Mosul (Iraq).Ingawa angeweza kuishi ka-

 tika majumba ya kifahari kama walivyokuwa wakiishi maamiri wengine wa utawala wa watu-ruki, yeye alichagua kuishi mai-sha rahisi akijichanganya na

 wanajeshi wake. Alikuwa mchaMungu kiasi

kwamba mwanahistoriamaarufu Ibn Athir alimsifu ak-isema: “Alikuwa zawadi waliy-opewa Waislamu na Allah”.Haikuwa ajabu basi yeye kuwakinara wa mapambano dhidi ya

makafiri waliokalia ardhi takat-ifu ya Baitul Muqaddas. Akiambatana na wapiganaji

 wake waliokuwa na ari na nid-hamu ya hali ya juu, huku

 wakimtegemea Allah pekee,Imadu d-Din (nguzo ya dini)Zink alianza kuzikomboa ardhiza Waislamu akianzia na Edes-sa mwaka 1144.

Edessa ulikuwa mji ambao wapiganaji wa msalaba wakiu- tumia kama ngome (base) yaonchini Syria katika uvamizi wao

 wa kwanza wa Baitul Muqadd-as. Baada ya kutekwa na Zink,sasa ukawa ngome ya kupangamashambulizi ya kuikomboaardhi takatifu.

 Wakati Zink akijiandaa kuu-

komboa mji wa Jerusalem(Baitul Muqaddas), mwaka

1145 maadui wa Uislamu wMsalaba wa Ujerum(Franks) walimuua, na hikukatisha azma yake hiyo.

 likuwa pigo kubwa kwa Wamu.

Lakini kwa kuwa ImadDin Zink hakuwa peke yakekwa kuwa alikuwa amewmkakati wa kuwaungani

 Waislamu dhidi ya maadmamlaka ndogo aliyoianzihaikusambaratika baada yauawa kwake.

Madaraka yakachukulna mwanae, Nuuru d-Din Zna mara moja akaushambmji wa Antiokia na huku akigana na Amiri wa Dimas(Damascus) ili kuunganinguvu za miji miwili mikub

 ya Syria-Aleppo na DimashqKwa miongo kadhaa, kij

mdogo Nuuru d-Din Zinkpambana na wapiganani‘crusade’ lakini hakufaulu

 washinda. Hatimaye, Alakamuinua kiongozi mpya kkuzikomboa ardhi za Waimu, naye ni Salahud-Din

 Ayyubiy au kifupi Saladin.Katika kipindi hiki, Misr

kuwa chini ya dola ya masFatmiyyin (The Fatimid Dyn

 ty). Watawala wa kishia w likuwa wakishirikiana na wganaji wa “crusade” waliozikardhi za Waislamu.

Pamoja na kushirikiana nmwaka 1160 ma-crusad

 wakaivamia Misri kujarkuiteka. Nuuru d-Din Zakatuma jeshi kwenda kuhami ndugu zake WaislamKiongozi wa jeshi hili alikuJemadari Mkurdi, Shirkhuku Salahud-Din Al-Ayyumpwa wa Shirkuh, akiwa mgoni mwa wapiganaji.

 Itaendelea toleo lijalo.

KUTOKA MISIKITINITUJIKUMBUSHE

Rajab, Mwezi wa Kumbukizi Vita vya kukomboa Jerusalem vilianza ndani ya Rajab

 Wauaji wasamehewa na Salahud-Din Al-Ayyubiy

NA NASSORO ABEI,

MOROGORO

Waislam nchini wametakiwa kufanyamambo mema, ikiwemo kuwasaidia viumbe

vya Allah visivyojiweza ili wapate nusra

kutoka kwa Muumba wao.

Hayo yamesemwa na Sheikh Hassan

Ahmad wakati akitoa khutba ya swala

ya Ijumaa katika msikiti wa Haqi uliopo

mtaa wa Karume, mkoani Morogoro.

“Moja ya mambo yanayopelekea

Muislamu kupata nusra ya Allah ni ku-

wasaidia watu dhaifu na wasiojiwe-

za, kwani watu hao wapo karibu na

Allah wakimuomba tahfiifu juu ya

matatizo yanayowasibu”, alisema

Sheikh Hassan.

Katika khutba hiyo, Shekhe Hassan

aliongeza kwamba, sababu nyingine

ya Waislamu kupata nusra ya Allah ni

kufanya uadilifu baina yao na wenzi wao

katika maisha yao ya kila siku.

Sheikh Hassan alisema, Waislamu

wamejisahau kufanya uadilifu na ku-waachia wasio Waislamu, na hivyo

kuikosa nusra ya Allah Subhaanahu

Wataallah.

NA SELEMANI MAGALI

Imeelezwa kuwa ajali za barabarani zinazojitokeza

nchini ni matokeo ya kukithiri kwa maasi na kwamba ili

kupata salama mbele ya Allah, jamii inapaswa kurejea

kwake kwa kufuata yale aliyoamrisha na kuacha aliy-

oyakataza.

Nasaha hizo zimetolewa hivi karibuni na Sheikh

Shaaban Ibrahim wakati wa swala ya Ijumaa iliyoswaliwa

msikiti wa Tungi, Temeke, Dar es salaam, ambapo

amesema, kuna haja ya kutafakari na kutubu madhambiili Allah atupunguzie maafa haya.

Sheikh Ibrahim amewataka madereva kufanya shu-

ghuli zao kwa ‘ikhlaswi’ na kwamba wanapohusika ka-

tika kusababisha ajali watubie kwa Allah, kwani kufanya

hivyo kutapunguza ajali nyingi za barabarani.

Sheikh Ibrahim amewataka madereva wa Kiislamu

wakiua katika ajali bila kukusudia wafunge miezi miwili

mfululizo au kutoa fidia ya ngamia 100 kwa zile nchi

zenye ngamia au kutoa dhahabu gramu 425 ikiwa kama

kafara.

Sambamba na hilo amewaonya wale wanaohusisha

ajali hizo na ushirikina unaofanywa na viongozi wa ki-

siasa kwa malengo ya kusaka madaraka, kwani kufanya

hivyo ni sawa na kumshirikisha Allah.

NA KHALID OMARY

Waislamu wameaswa kukithirisha swala za sunna za

usiku (Qiyamu Llayl) ili kuwa miongoni mwa kundi la

watu watatu wanaopendwa na Mwaenyezi Mungu na

kuwa sababu ya kuingia peponi siku ya kiyama.

Wito huo ulitolewa na Sheikh Nurdin Kishki wakati

akitoa khutba ya swala ya Ijumaa katika msikiti wa Ihsan

uliopo Temeka Vetenary jijini Dar es salaam.

Sheikh Kishki alisema, swala za usiku zinamuongezea

daraja mswaliji kwa Mwenyenzi Mungu, hivyo Waislamu

wanatakiwa wadumu kwenye Sunna hiyo.

Sheikh Kishki alitaja makundi matatu yanayopendwa

na Mwenyezi Mungu kuwa ni pamoja na watu wanaoke-

sha usiku kwa kumnyenyekea Allah huku wakiswali na

kusoma Qur’an.

Sheikh Kishki alitaja makundi mengine mawili kuwa

ni watu wanaotoa sadaka kwa siri tena katika wakati

mgumu, na watu waliopigana vita vya jihad bila kuwapa

mgongo maadui, aidha washinde au wafe wakiwa nimashahidi.

Fanyeni uadilifu kuita-futa nusra ya Allah

Maasi yatajwa chanzoajali za barabarani

Sheikh Kishki ahimiza‘Qiyamu Llayl’

TUKIO JINGINE LILILOTOKEA

NDANI YA MWEZI WA RAJAB

LAKINI LA KUSIKITISHA KWA

WAISLAMU NI TUKIO LA

KUANGUKA KWA DOLA YA

MWISHO YA KIISLAMU - THE

OTTOMAN EMPIRE MWAKA

 1382 HIJRIYYAH SAWA NA

 1924 MILADIA.

Page 5: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 5/15

www.islamicftz.org

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10, 2015

kiislamu.

Tukiwa hotelini tulikofikia tu-kapewa habari kwamba Mkuuwa shule hiyo na walimu kadhaawalivamiwa usiku wa manane napolisi wenye bunduki na ku-kamatwa kisha kupelekwa kituocha polisi”.

Polisi walidai wana shakakuwa shuleni pale panatolewamafunzo ya ugaidi. Walimu walehawakuachiwa mpaka siku tatuzilipopita, wakatakiwa kuendeleakuripoti kila siku kwa muda wawiki mbili na hakuna mashitakayaliyofunguliwa dhidi yao”.

Taarifa tulizozipata kutokaKondoa ni kwamba, polisi walifi-ka madrasa moja ya kuhifadhishaQur’an na kuwahoji walimu na

wanafunzi kisha wakaenda shuleya Kiislamu mjini hapo na kufan-ya hivyo hivyo.

 Alipoulizwa anadhani lengo lakamatakamata na polisi kuvamiavituo vya Kiislamu ni nini? Us-tadh Abubakar alijibu “nadhanilengo ni kuwatisha wazazi wa-naopeleka wanafunzi katika shuleza Kiislamu ili shule hizo zikosewanafunzi na hatimaye zife”.

Uchunguzi wa gazeti hili ume-baini kwamba hivi sasa Waislamukatika maeneo tofauti tofautinchini wakionekana wamevaakanzu na wamefuga ndevu auwamevaa hijab, wamekuwa wak-ifwatiliwa na kubughudhiwa napolisi.

Ziko habari za Ustadh mmojaaliyekuwa njiani kupeleka posa

kwa ajili ya harusi ya Muislamu

mwenzake kusimamishwa nakuhojiwa huko Kilosa. Polisihawakumwachia mpakamwenyeji wake ambaye kwa ba-hati ni Afisa Mtendaji eneo hiloalipofika polisi na kuwaomba

 wamwachie.“Hali si shwari kwa Waislamu,

hawa jamaa wanatusukuma tusikokutaka. kwani wanadhani tutaendelea kuvumilia dhulmahizi mpaka lini? Kwani sisi tunamioyo ya jiwe au chuma?masheikh zetu wako ndani zaidi

 ya mwaka, wengine mitatu sasa.Halafu wanawafuata wengine nakufunga madrasa zetu”, alilalamammoja wa vijana baada ya sala yaijumaa, wiki Iliyopita, Masjid

Taqwa, Buguruni, Dar es salaam.Tamko la Masheikh:

 Wakati habari za kamat akamata ya walimu na kufungwakwa madrasa zikienea kwa kasinchini, kulitolewa tamko na vion-gozi wa taasisi za Kiislamu wiki il-iyopita, tamko lililosomwa mbele

 ya vyombo vya habari jijini Dar essalaam.

 Ak isom a tamko h il o,Mwenyekiti wa Jumuiya na Taa-sisi za Kiislam, Sheikh Musa Kun-decha, alisema vyombo vya usala-ma vimekuwa vikiwafuata nakuwakamata walimu hao wa ma-drasa nyakati za usiku wa man-ane, huku wengine wakiachiwana wengine kutokujulikana wali-

popelekwa.“Kuna baadhi ya waalimu wa

madrasa wamenifuata wakielezea

kufuatiliwa na kushikiliwa na vy-ombo vya usalama nyakati zausiku,” alisema Sheikh Kundecha.

Sheikh Kundecha ameongezakuwa baadhi ya walimu wa ma-drasa kutokana na kuogopakuandamwa na kukamatwa ki-holela na vyombo vya usalama,

 wameamua kuacha kazi hiyo yaufundishaji na kuangalia mus-

 takabali mwingine wa maisha yao.

Kufuatia uwepo wa kadhiahiyo, tamko hilo limesema kuwaoperesheni hizo za kisiri na za wazizinakiuka haki za msingi za bin-adamu, haki za kikatiba, kisheriana za kiutu na kwamba niuchochezi dhidi ya Waislamu kwa

kuwafanya wachukiwe na waonekane wabaya mbele ya jamii.

“Mkakati na operesheni yapolisi inakiuka haki nyingi za bin-adamu, haki za kikatiba, haki zakisheria, utu, ni uchochezi dhidi

 ya Waislamu kwa kuwafanya wa-chukiwe na jamii na waonekane

 Waislamu si waaminifu, hawap-endi amani,” tamko hilo lilisema.

Sheikh Kundecha amesemakuwa, suala la kustaajabisha nikuwa, vyombo vya usalama havi-

 waiti viongozi wa Kiislamu kukaapamoja na kuangalia kuna tatizogani katika madrasa hizo, badala

 yake polisi wameendeleza vitendo vyao hivyo visivyokubalika dhidi

 ya walimu wa madrasa na shuleza Kiislamu nchini.

Shirikisho la Taasisi zaHijja Tanzania (TAHAFE), Dokta Ah-medi Twaha, pamoja na mgao kupunguahadi 3,000, bado Watanzania

 wameshindwa kujaza hata nafasi hizo

chache. Akitoa mfano, Dk. Twaha ameliambiagazeti la Imaan kuwa mwaka jana Tanza-nia bara pamoja na visiwani, ilipeleka

 jumla ya mahujaji 2,500 tu; huku nafasi500 zikikosa watu.

Kwa mujibu wa Dk. Twaha, safari zaHijja mwaka huu zinatarajiwa kuanzarasmi Agosti 16, 2015 lakini dalili zi-naonesha mwitikio wa mahujaji katikakujisajili hauridhishi, hususan miongonimwa vijana.

Dr. Twaha aliwataka vijana kuamkana kujipanga kwenda kutekeleza ibadahiyo ili kupata radhi za Allah. Alisema vi-

 jana wengi wamekuwa wakiweka ki-paumbele zaidi katika masuala ya kiduniaikiwamo kuwaza kununua magari, ku-

 jenga nyumba za kifahari, huku wakisa-

hau kabisa kuhusu ibada hiyo. Akitolea mfano katika mataifa men-gine Dr. Twaha alisema, kumekuwa namwamko mkubwa barani Asia hususankatika nchi za Malaysia, Indonesia na Pa-kistani ambako mahujaji wake wengi ni

 vijana.“Vijana lazima wahamasishwe kuhu-

su ibada ya hijja, maana ibada hii ina faida

kubwa kwa kundi hilo, ikiwemo kuonge-za imani, uadilifu na kuimarika kwamaadili mema katika maisha yao yote”,alisema Dokta Twaha.

Faida za Hijja:Hijja ni nguzo ya tano ya Uislamu.Mtume (Rehma na mani ziwe juu yake)amesema: Uislamu umejengwa juu yanguzo tano, nazo ni kushuhudia kuwahakuna Mungu ila Allah na Muhammadni mtume wake, kusimamisha swala, ku-

 toa zaka, kufunga Mwezi mtukufu waRamadhani na kuhiji Kaaba tukufu iliy-oko Makka (Bukhari 1/ 7).

Ni wajibu kwa kila Muislamu,mwenye akili timamu aliyefikia umri wa

 baleghe, akijaaliwa uwezo wa kifedha naafya, aitekeleze nguzo ya Hijja walaumara moja katika umri wake, Allahamesema katika Kitabu chake kitukufu:

“
Ndani yake zipo Ishara zilizo wazi -masimamio ya Ibrahim, na mwenye ku-ingia humo anakuwa katika amani. Na

kwa ajili ya Mwenyezi Mungu imewajibi-kia watu wahiji kwenye Nyumba hiyo,kwa yule awezae njia ya kwendea. Naatakaye kanusha basi Mwenyezi Mungusi mhitaji kwa walimwengu” (3:97).

Kwa mujibu wa mafundisho yaMtume, Hijja ina faida kubwa ikiwemomja kusamehewa madhambi yake yotena kulipwa pepo ya Allah. Mahujaji wa-

meitwa kuwa ni wageni wa Allah na kwasababu hiyo Mungu anakubali maombi

 yao kwa haraka. Pia, Hijja kwa wanawakeimefananishwa na Jihad.

Hijja pia imetajwa kuongeza imani ya

mumini na pia inafundisha subira, tabianjema na ukomavu wa mwili. Kutekelezaibada ya Hijja kunampa muumini nafasi

 ya kuji funza kuhus u Uislamu kwakutembelea maeneo matukufu ambakoMtume (Rehma na amani ziwe juu yake)na maswahaba zake waliishi.

Hijja ya 2015:Katika hatua nyingine muhimu,

Shirikisho la Taasisi za Hijja Tanzania(TAHAFE) limetoa wito kwa waumini

 wanaotegemea kutekeleza ibada ya Hijjamwaka huu kujisajili mapema ili kura-hisisha zoezi hilo katika mfumo mpya wakieletroniki kama ilivyoelekezwa na wiz-ara ya Hijja nchini Saudia.

Katibu Mkuu, Dk. Twaha alisisitizausajili wa mapema ili kukabiliana na ma-

 badiliko yaliyotangazwa na Saudia. Alise-ma mahujaji wote wanapaswa kukamili-sha usajili ifikapo June 10, 2015 sawa naShaaban 20, 1436 Hijriya.

“Nataka niwaambie mahujaji wasis-ubiri hadi tarehe ya mwisho, wajitokezesasa kujisajili katika taasisi yeyote wa-

 takayoipenda kusafiri nayo ili kutoa fursakwa taarifa zao kuingizwa katika

mtandao kama wizara ilivyotutaka”isema Dk. Twaha.

Dr. Twaha alisema, iwapo matashindwa kujiandikisha, hatowezashiriki katika ibada hiyo takatifu, kw

 taarifa zake zitakuwa hazijapokelewa tika Wizara ya Hijja ya Suudia.

Naye Mjumbe wa Shirikisho hilTAHAFE, Alhaji Haidar Kambwametaja kikwazo kikubwa ambacho sisi nyingi zinazosafirisha mahujaji hu

 biliana nacho ni kuwa mahujaji weng

 wakulima, ambapo mwezi huu bado wajavuna, hivyo kuwawia vigumu kupata.

 Aidha Alhaji Kambwili amefafakuwa, licha ya changamoto hizo, hak

 budi kufuata matakwa ya Wizara Ya  ja, vinginevyo kwa mwaka huu hakmtu atakaetekeleza ibada hiyo muhim

Taasisi ambazo zilizo chinimwamvuli wa TAHAFE ni pamojaTanzania Muslim Hajj Trust, ZamzCentre, Baraza Kuu la Waislamu Tannia (BAKWATA) na Tanzania Charitand Development Organization(TCD

Nyingine ni Darul Hadithiis SalaHidmati Islamiya Charitable Soc

 Amani Travel and Tours, Peace TravelTours, Al-bir Social Development Fu

 Al-madinnah Social Service Trust, TaiHajj and Umra Social Services TrustManaasik Makkah Trust.

Nyingine ni Jamaarat Hajj and UTravelers, Al-Markaz Shamsiya A

 lamiyya, Masjid Adil, Al-Bushra ToLtd, Tabazat (Babusalama), Al-MTravel and Tours Company Ltd naJazira International Hajj Trust.

Wachache wajitokeza hijja 2015

Operesheni tokomeza

AKITOAMFANO,DK. TWAHA

AMELIAMBIAGAZETI LAIMAAN KUWAMWAKA JANATANZANIABARAPAMOJA NAVISIWANI,ILIPELEKAJUMLA YAMAHUJAJI2,500 TU;HUKU NAFASI500 ZIKIKOSAWATU.

NA MWANDISHI

WETU

Wakati tukien-da mitam-

 boni, zimetu-fikia habari

kwamba watu wasiojulika-na wamelipua bomu la ku-

 tipwa kwa mkono hukoMsolwa Morogoro kujaribukusambaza umati wa watuuliokuwa unawazingira

 wakiwahisi kuwa ni wahali-fu.

Matukio kama hayamara moja yananasibishwa

na Waislamu na moja kwamoja ugaidi. Wakati tuki-

 laani uhalifu kama huu, tu-najiuliza wahusika ni akinanani? Kwa nini wanafanyahivi? Wanataka kuua au ku-

 jeruhi watu wasio na hatia?Kila uchao tumekuwa

 tukishuhudia au kusikia ka- tika vyombo vya habari vija-na wa kiislamu wakijitoleakupigana katika kile kiitwa-cho “Jihad”. Si jambo la aja-

 bu tena kuona au kusikia wapiganaji wa “Jihad” au“Jihadists” wamelipua nakuua watu kadhaa.

Hali imekuwa mbaya ki-asi kwamba tumekuwa tu-

nasikia vijana wetu waso-mao shule au hata vyuo

 vikuu kuacha masomo yaona kukimbilia kufa “Shahi-di” katika vita ambavyo nimkakati wa maadui wa Uis-

 lamu kuusambaratisha Uis- lamu.

Inakuwaje kwa kijanaaliyelelewa malezi mazuri

 ya ki islamu kuingiwa nafikra hizi? Ni wapi wanako-patia fikra hizi za ukatili kwa

 jina la “Jihad”? Wa ko wa na od ha ni

kwamba madrasa zetumisikitini ndiyo chimbuko

 la fikra hizi na huku wen-gine wakidhani ni shule za

kiislamu ndizo zinazow-afunza vijana mitazamo hiiambayo katika msamiati wakiislamu wenye fikra hizihuitwa “Takfiriyyuun”.

Uislamu ni dini ya amaniambayo moja ya malengo

 yake ni kutengeneza jamiikwa kuilinda dhidi ya mam-

 bo matano yaitwayo “AlMaqaaswidu as-Shar’iyyah”

 yaani makusudio matano ya Shariah.

Uislamu unahimizakulinda nafsi, nafsi yoyoteile siyo tu ya mwanadamu

 bali hata ya mdudu, mnya-ma, ndege. Nafsi ya mwan-adamu haiuawi ila ikiwa

nafsi hiyo itaua nafsi ny-ingine kwa makusudi au

ikiwa imetenda kosa la jambalo hukumu yakkifo.

Uislamu inahimkulinda dini (imani) ya mQur’an imeweka msingdini zote kuishi kwa amiliposema “Hakuna kutna nguvu katika dini, ugofu na upotofu umhabainika” (2: 256).

Si ajabu basi historiUislamu tangu zamaMtume na Makhalifa wagofu Waislamu waliish

 watu wa dini zote kwa ani na kila mtu akipewa f

 ya kuamini atakavyo ksharti asiupige vita Uimu.

Uislamu unahimizakulinda heshima za whakuna ruksa kumdhasha au kumuaibisha mNdiyo maana Uislaumeweka hadi adhabu mtu au watu wanaovuheshima za wengine.

Uislamu umehimkulinda kizazi. Jambo lo

 linalofanyika kuangamkizazi iwe cha wanadaau viumbe wengine hadhambi kubwa. Iweje

 leo watu wavae milipukkujilipua wakiua watu

sio na hatia iwe ‘Jihad?’. Hsi Uislamu hata kidogo.

Huu ni unyama, si jihad Jihadi si ukatili Kinachotokea ni fikra

potofu Lengo ni kuupaka matope UislamNATOKA UK 3

INATOKA UK 1

Page 6: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 6/15

HUTOLEWA NA KUCHAPISHWA

The Islamic Foundation, P.O. Box 6011 Morogoro, Tanzania, E-mail: [email protected]

MHARIRI MTENDAJI: 0715 559 944, MHARIRI: 0786 779 669, AFISA MASOKO: 0785 500 502

TOVUTI: www.islamicftz.org

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10, 2015

TAHARIRI / UCHAMBUZI6

H

ivi karibuni kumeari-fiwa matukio ya

kamata kamata yaMasheikh na walimu wa madrasa inayoendelea kimyakimya sehemu mbalimbali zanchi yetu, na kufuatia taarifahizo viongozi wa dini ya Kiisla-mu mara kadhaa wamesimamana kutoa matamko ya kuitahad-harisha na kuitaka Serikali kusi-mamisha kampeni hii.

Ukiangalia jinsi kampeni hiiinavyoendeshwa, utaona wazikuwa inapingana na kanuni zautawala bora, inaingilia uhuru

 wa Ibada, ina harufu ya ukiuk- waji wa hak i za msingi na zakikatiba za watu, na pia inaonye-sha undumilakuwili wa Serikali.

Madrasa ambazo zimeku- wapo kwa miaka mingi, leo zi-

naonekana kuwa zimeanzishwakinyume na sheria! Pia kunamadai kuwa mitaala ya hizi ma-drasa haieleweki na kwamba

 watoto wenye umri wa kwendashule waliopo madrasa hawaen-di shule. Hizi ndio baadhi ya hojazinazotumika kuhalalisha kam-peni hii.

Kwanza, tunauliza, je kunasheria inayoongoza uanzishwaji

 wa madrasa hapa Tanzania?Kama sheria hiyo ipo, ni wazikuwa watu wengi hawaijui nandio maana madrasa zimeku-

 wapo miaka nenda rudi bila taratibu za usajili.

Lakini, hata kama sheria hiyo

ingekuwapo, ilikuwa ni wajibu wa Serikali kuelimisha umma

kuhusu sheria na taratibu hizona sio kuanza kampeni ya ku-kamata na kutisha viongozi wadini.

Kuhusu suala la kinacho-fundishwa, ni wazi kuwa mtaala

 wa dini hauihusu Serikali. Seri-kali ingeweza kuingilia kamaimepokea malalamiko au inasababu za msingi kabisa za kua-mini kuwa katika madrasa husi-ka kuna mafundisho yasiyosta-hili.

Serikali inapotaka kuanzakujihusisha na mitaala ya ma-fundisho ya dini ni hatari, naitakuwa inaingilia uhuru wakuabudu. Zipo nchi ambazo zil-

ianza hivi hivi na sasa Masheikhhawatoi khutba za Ijumaa mpa-

ka ikaguliwe na Serikali.Nayo, hoja ya watoto wa-sioenda shule inaweza kuwa inamantiki, lakini je ni sahihikuwakamata Masheikh saa naneusiku, kimya kimya kwa kosahilo? Na maafisa wa ustawi wa

 jamii ambao wanapaswa kuan-galia ustawi wa watoto wanafan-

 ya kazi gani?Tunajua kuwa yapo makanisa

 ya majumbani ambayo shughuliza kiibada zinaendeshwa. JeSerikali inawakamata na hao ilikujua wanafundishana nini?Huu ndio undumilakuwili tu-naouzungumzia.

Sisi katika gazeti la Imaan tu-

naishauri Serikali isimamishekampeni hii mara moja na ku

 waachia walimu na Masheikh(kama bado wapo inaowashikilia).

Serikali ijue njia bora yakuondoa upungufu wowote inaouona katika madrasa aumambo yoyote yale yanayohusisha dini, si kutumia maguvu, balkuzungumza na kushauriana n

 viongozi wa dini. Wote tunaitakia mema nch

 yet u kwa nini tuh asi mia ne wakati tungeweza kuongea nakuelewana? Tena inakera zaidpale ambapo Serikali inazungumza na makundi mengin

 yenye mgogoro nao lakini sio Waislamu.

Kamata kamata walimu wa madrasa ikome

Mei Mosi, kila mwaka nisiku ambayo dunianikote wafanyakazikutoka sekta mbali

mbali hujumuika pamoja ili kua-dhimisha, kufurahia na kutafakarimambo mbali mbali yanayozihusushughuli zao.

Pamoja na kwamba siku hiyo nisawa na sherehe zingine ambazohufanyika ili wahusika wafurahie

kwa pamoja, wapongezane kwautumishi wao kwa jamii, siku hiyokwa hapa Tanzania mambo huwani tofauti kabisa.

Ni siku ambayo kwa wafanyaka-zi wengi wa sekta ya umma na zileza binafsi huitumia kutoa mala-

 lamiko yao kwa njia ya mabango yenye ujumbe mbali mbali na ku-soma risala mbele ya mgeni rasmi.

Kiukweli ukisikia risala na ku-soma mabango yao, lazima uta-guswa na mambo ambayo wanay-alalamikia.

 Yapo mambo mengi wanayoy-alalamikia wafanyakazi kama mas-uala ya tume ya usuluhishi, malim-

 bikizo ya madeni yao, utozaji kodikat ika m ish ah ara y ao na

kuongezwa kwa mishahara.Leo hii, napenda nijikite katika

suala la mshahara, hususan kimacha chini kinachotolewa na Serikalikwa sasa na kile kinacho-pendekezwa na shirikisho la wafan-

 yakazi hapa nchini (Tucta).Inasikitisha sana kuona katika

nchi iliojaaliwa utajiri mkubwa warasilimali na iliotimiza umri wanusu karne tangu ipate uhuru bado

 wafanyakazi wake wanazungumziakima cha chini cha mshahara kiwesh 315,000 huku ukali wa maishaukiwa haumithiliki.

Na pendekezo hilo la kutakamshahara uwe kima cha chini chaShs 315,000 lilitolewa na shirikishohilo wakati ndio kwanza Rais Ja-

kaya Kikwete yuko mwanzoni mwasafari yake ya Urais mwaka 2006,na mpaka sasa Rais Kikwete

anaondoka madarakani hajatimizasuala hilo, inasikitisha!

Leo hii unapozungumzia kima

cha chini cha mshahara kiwe shs315,000, hivi kweli huwa tuna-muangalia mtu tunae tarajia kum-

 lipa kiasi hicho au tunatumia hisia tu.

Chukulia mfano wa gharama zamaisha ya jiji la Dar es salaam naukilinganisha na kiwango hichounapokuja katika kodi ya nyumba,umeme, maji, mahitaji ya mtumi-shi, bado unaona ni kidogo mno,

 jambo ambalo ni kutomtendeahaki kabisa.

Ni ukweli kwamba binadamuhuwa hatosheki, hata apewe msha-hara wa mabilioni ya shilingi lazimaatahitaji zaidi ya huo, lakini ukweliuliopo kiwango hicho cha sasa nakinachopendekezwa ni kidogomno, hakikidhi mahitaji kabisa, Nimaumivu tu!

Mwisho wa siku ufanisi unap-opungua sehemu za kazi, tunakim-

 bilia kumtafuta mchawi huku tuk-isahau mchawi ni sisi wenyewe, nimfanyakazi gani wa sasa atakaewe-za kujitolea kwa nguvu zake zotehuku mshahara anaolipwa hawezi

hata kutatua changamoto za sehe-mu anayoishi.

Hapa nieleweke vema kuwasitetei rushwa, lakini kwa ‘vimisha-hara hivi kiduchu’ lazima rushwaizidi kutamalaki hapa nchini, ni

 vigumu mtu ambae maisha yake nimagumu kuikwepa rushwa.

Ikiwa vigogo ambao wakokwenye sekta nyeti hulipwa misha-hara minono na posho mbali mbali

 wanachukua rush wa, sembusehuyu mfanyakazi anaelipwa kidu-chu asichukue rushwa? Tutazidikuimba sana tu kuhusu rushwa.

Ifike wakati Serikali iwe inakaachini na kufikiria maisha ya hawa

 wafanyakazi wanaolipwa mishaha-ra ya chini ya laki tano, isiwe inas-ubiri mpaka watu walalamike, hiyosio Serikali makini hata kidogo.

Kama alivyosema Rais Kikwetekatika hotuba yake ya Sherehe zaMei Mosi mwaka huu kwambahata watangulizi wake hawakuwe-za kuyatatua matatizo yote ya wa-fanyakazi na kusema anamuachiamtangulizi wake kama suala la ku-punguza kwa kodi ya mishaharakutoka asilimia 12 hadi 9, lakini

kwa hili la mshahara wa kima chachini, mi naamini uwezo huo RaisKikwete bado anao y ey emwenyewe.

Kama nilivyoonesha hapo juu,nchi yetu ni tajiri sana na ina rasili-mali za kutosha, hivyo basi ni vemaRais Kikwete na wasaidizi wake

 wakakaa chini kuangalia jinsi yakutumia rasilimali hizo ili ziwanu-faishe na ‘walalahoi’ wengine.

Si busara mpaka wafanyakazi waandamane, walalamike na wa- jidhalilishe ndio Serikali ijue kumbekuna watu wengine wanahitaji,ianze kukaa na kujitafakari

 yenyewe. Nilikuwepo!

0658 010 594

Kwa hii laki 3, wafanyakaziwataendelea kusota tu

NA PENDEKEZO HILO LA KUTAKA MSHAHARA UWE

KIMA CHA CHINI CHA SHS 315,000 LILITOLEWA

NA SHIRIKISHO HILO WAKATI NDIO KWANZA

RAIS JAKAYA KIKWETE YUKO MWANZONI MWA

 SAFARI YAKE YA URAIS MWAKA 2006, NA MPAKA

 SASA RAIS KIKWETE ANAONDOKA MADARAKANI

HAJATIMIZA SUALA HILO, INASIKITISHA!

 YUSUFU AHMADI

NASAHA ZA WIKI

Rais Jakaya Kikwete

Page 7: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 7/15

www.islamicftz.org

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10, 2015

TAASISI YA KHIDMAT ISLAMIYA  YENYE UZOEFUWA MIAKA 14 KATIKA SHUGHULI ZA HIJA NAUMRA, INAWATANGAZIA WAISLAM WOTE KUWAGHARAMA YA HIJA KWA MWAKA 2014/ 1435H NIDOLA 4750 TU AMBAZO ZINAWEZA KULIPWA KWAAWAMU (KIDOGO KIDOGO).AIDHA, GHARAMA YA KUFANYIWA IBADA YA HIJA(KUHIJIWA) NI DOLA 1450 TU.

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:  NAULI YA NDEGE KWENDA NA KURUDI  MALAZI MAKKA, HOTELI YA NYOTA 3*,

MWENDO WA KUTEMBEA DAKIKA 7 TUMPAKA MASJID HARAM.

  MALAZI MADINA, HOTELI YA NYOTA 3*MWENDO WA KUTEMBEA DAKIKA 3 TUMPAKA MASJID NABAWY

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

  USAFIRI WA BASI JEDDAH – MAKKA,

MAKKA – MADINA  HUDUMA MAALUM (SPECIAL SERVICE)

SIKU 5 ZA HIJJA  MAHEMA YENYE VIYOYOZI (AIR CONDI

TION), MAGODORO, MITO NA BLANKETI  CHAKULA MILO MITATU, KUJIHUDUMIA

MWENYEWE (BUFFET) CHAI, KAHAWA,JUISI, SODA, MAJI NA VITAFUNWA(SNACKS) VITAPATIKANA MASAA 24, SIKU 5ZA HIJJA

  USAFIRI WA BASI KATI YA MAKKA – MINA,MINA – ARAFAT, ARAFAT – MUZDALIFA,MINA – MAKKA

  NGUO (IHRAM) KWA WANAUME NAHIJAB KWA WANAWAKE, GALONIMOJA YA MAJI YA ZAM ZAM (LITA 10)BEGI LA KUSAFIRIA, PAMOJA NA KILO 3 ZATENDE KWA KILA HUJAJI

  ZIARA YA MAKKA KUTEMBELEA NYUMBAALIKOZALIWA MTUME WETUMUHAMMAD (S.A.W), JABAL HIRA,JABAL THAWR, JABAL RAHMA,MASJID JINNI, MASJID KHEIF,MASJID NIMRAH, VIWANJA VYA ARAFAT,MINA, MUZDALIFA NA JAMARAT

TAASISI YA YENYE UZOEFU

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

 

TAASISI YA YENYE UZOEFU

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

 

TAASISI YA YENYE UZOEFU

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

 

  ZIARA YA MADINA KUTEMBELEA MSIKITI

  VILE VILE GHARAMA YA HIJJA INAJUMUISHA ZIARA YA MADINA KUTEMBELEAMASJID QUBA, MASJID QIBLATAIN, MASJIDJUMAA, SABA MASAAJID (MAHALI KULIPOFANYIKA VITA VYA KHANDAQ), NAJABAL UHUD.

  GHARAMA YA UCHINJAJI WA MNYAMAWA UDH’HIYA

  CHAKULA MILO MITATU KUJIHUDUMIAMWENYEWE (BUFFET) SIKU ZOTE ZASAFARI.

SHEIKH HASHIM AHMED RUSAGANYA, SHEIKHJUMA RAJAB IKUSI NA SHEIKH HARUNA JUMANNEKAPAMA WATAKUWEPO NA KUTOA MWONGOZOKWA MAHUJAJI WAKATI WOTE. AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (HAMAD) AL-HAJJZULFIKAR OSMAN (ZULLY) AL HAJJ ALTAF ABDU-LATIF NA AL HAJJ SIDIK VIONGOZI WENYE UZOEFUWA MUDA MREFU PIA WATAKUWEPO KUWAHU-DUMIA MAHUJAJILENGO NI KUHAKIKISHA KILA HUJAJI ANATEKELEZAIBADA YAKE INAVYOTAKIWA. MADAKTARI DR. HAJIHAMDU NA DR. HAMISA THEREYA ( DAKTARI WAAKINA MAMA) WATAKUWEPO KATIKA MSAFARANA MADAWA YOTE MUHIMU YATAPATIKANAWAKATI WOTE WA SAFARI.WAWEZA KUWAULIZA MAHUJAJI WALIOWAHIKUHUDUMIWA NA TAASIS HII, NA WATAKUHAKIK-ISHIA UWEPO WA HUDUMA ZA KURIDHISHA.ALHAMDULILAH DAIMA KHIDMAT ISLAMIYATUMEWEZA KUTEKELEZA KILA TUNACHOKIAHIDI.

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

-

-

-

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

-

-

-

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

WA MTUME (SAW), MAKABURI YA BAQII(WALIPOZIKWA MASWAHABA, BAADHI YAWAKEZE NA WATOTO WA MTUME (S.A.W.)NA MAKABURI YA WALIOKUFA SHAHIDIKATIKA VITA VYA UHUD

-

-

-

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

KWA MAELEZO ZAIDI NA UANDIKISHAJIWASILIANA NA:  SHEIKH HASHIM AHMAD RUSAGANYA

NAMBA YA SIMU 0715 915 008,0784 915 008

  SHEIKH ABDALLAH MOHAMED JUMA –IMAM MSIKITI WA MTORO 0713 445 545

  AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN 0777 411 020,0713 530 036, 0786 411 020

  AL-HAJJ HAFIDH SALIM – 0655 616 623,0682 535 319

  SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA0715 985 413

  AL-HAJJ ALTAF ABDULLATIF AHMED0789 373 222

  AL-HAJJ OMAR AWADH KHAMIS - MSIKITIWA QIBLATAIN - 0715 210 666

  ARUSHA: SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI –TAYSEER STORE DUKA NO.12 MKABALANA NMB TAWI LA SOKO KUU NAMBAYA SIMU 0786 125 512, 0767 125 513,0655 125 513

  MOROGORO: AL-HAJJ AHMED SALEHNAHDY(AHMADO)- 0715 372 776,0773 372 776

  DODOMA & SINGIDA: AL-HAJJ YUNUSURUGEIYAMU – 0754 334 400,0786 293 901

  DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H.ALLIY – 0713 677 683

  MULEBA, BUKOBA & DAR AL-HAJJMAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573

KUFUATANA NA SHERIA MPYA NCHINI SAUDIA,TAREHE YA MWISHO YA KUJISAJILI NA KUTUMA

MAJINA YA MAHUJAJI KWA NJIA YA MTANDAO KWAMWAKA HUU NI TAREHE 8 JUNI2015 SAWA NA

TAREHE 20 SHAABAN 1437

MAHUJAJI WOTE MNAOMBWA KUJISAJILI MAPEMAILI KUWA NA UHAKIKA WA SAFARI YA HIJJA

  0773 372 776

RUGEIYAMU – 0754 334 400,

  DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H.ALLIY – 0713 677 683

MAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573

KATIBU MTENDAJIMUHSIN MOHAMED HUSSEIN0784 /0715 /0773 - 786 680,

TAARIFA MUHIMU

KUFUATANA NA SHERIA MPYA NCHINI SAUDIA,TAREHE YA MWISHO YA KUJISAJILI NA KUTUMA

MAJINA YA MAHUJAJI KWA NJIA YA MTANDAO KWAMWAKA HUU NI TAREHE 8 JUNI2015 SAWA NA

TAREHE 20 SHAABAN 1437

MAHUJAJI WOTE MNAOMBWA KUJISAJILI MAPEMAILI KUWA NA UHAKIKA WA SAFARI YA HIJJA

SHEIKH TAWAKKAL JUMA

KUTOKA KATIKA QUR’AN’ NA SUNNAH

Wiki iliyopita katikamwendelezo wa makalazetu za ‘Kutoka katikaQur’an na Sunnah’ tuli-

ishia katika maneno yamsomi G. Margoliouth

 juu ya Qur’an ambayokwa kifupi yana maanakuwa Qur’an imekuba-lika kuwa inachukuanafasi muhimu miongonimwa vitabu vya kidiniduniani japo ni kitabucha karibuni zaidi ukil-inganisha na vitabuvingine vya kidini.

Msomi G . Margol iouthanaelezea kuwa Qur’an iliwabadili-sha makabila ya Ghuba ya Bara

 Arabu kutoka hali duni na kuwa

 taifa la mashujaa, na kisha ikaanzi-sha taasisi kubwa ya kisiasa na kidi-ni ya Muhammad. Msomi huyu ali-

 tahadharisha kuwa taasisi hizo nimoja kati ya nguvu kubwa sana am-

 bazo Ulaya na nchi za Magharibisharti zizitafakari kwa kina.

Naye Dr. Steingass anasema: “A work, then, which calls forth sopowerful and seemingly incompat-ible emotions even in the distantreader - distant as to time, and stillmore so as a mental development -a work which not only conquers therepugnance which he may begin itsperusal, but changes this adverse

feeling into astonishment and ad-miration, such a work must be a wonderful production of the hu-man mind indeed and a problem of

 the hig hes t interest to ever y thoughtful observer of the destiniesof mankind”.

Maana ya maneno hayo ni:“(Qur’an) ni kazi inayoibua hisiakali sana, zinaonekana kama hazi-patani kwa muonekano wa nje, hatakwa msomaji wa mbali, kiwakati nakiakili, ni kazi ambayo haivamii tuchuki ya msomaji ambayo anawezakuanza nayo anapoanza kuisoma,

 lakini ghafla hubadilisha hisia hiziza chuki zikawa mshangao, mapen-zi na kuiheshimu, kazi kama hii laz-ima itakuwa ni zao la ajabu kabisa

 lililoletwa na akili ya mwanadamuna ni tatizo la kuangaliwa kwa kinakabisa kwa kila mwenye kufikirimambo ya baadaye ya mwanada-mu”.

Naye Arthur J. Arberry anase-ma: “In making the present attempt

 to improve on the performance ofmy predecessors, and to producesomething which might be accept-ed as echoing however faintly thesublime rhetoric of the ArabicQur’an, I have been at pains to study

 the intricate and rich ly variedrhythms which - apart from themessage itself - constitute the Ko-

rans undeniable claim to rankamongst the greatest literary mas-

 terpieces of mankind... This very

characteristic feature - that inimita- ble symphony, as the believing Pick- thall described his Holy Book, the very sounds of which move men to tears and ecstasy - has been almost totally ignored by previous transla- tors; it is therefore not surprising that what they have wrought soundsdull and flat indeed in comparison

 with the splendidly decorated origi-nal”.

Tafsiri: “Katika kujitahidi kujar-ibu kwangu kukuza kazi waliyofan-

 ya watu walionitangulia, na kutakakutoa kitu ambacho kinawezakukubalika kuwa kimetoa japo kwa

mbali uzuri na ufasaha wa Qur’an,nimekuwa katika machungu kuji-funza mashairi yake; lugha yake tu

ukiachilia ujumbe wake inaifanyaQur’an kuwa miongoni mwa kaziza kifasihi za juu kuliko zote zamwanadamu. Tabia hii ya Qur-aanna sanaa isiyoweza kulinganishwakama Picktall alivyoelezea Kitabuchake, sauti zake huwafanya watu

 watokwe na machozi na wawe nahisia kali, jambo ambalo halikuzin-gatiwa na wafasiri waliopita; hivyoni jambo lisiloshangaza kuwa wali-chofanya kinachosha ukilinganishana uzuri wa asili yake iliyopambwa”.

Naye Daktari Bingwa wa Ki-faransa, Dr. Maurice Bucailleanasema: “A totally objective exam-

ination of it [the Qur’an] in the light of modern knowledge, leads us to recognize the agreement between the two, as has been already notedon repeated occasions. It makes usdeem it quite unthinkable for a manof Muhammad’s time to have been

 the author of such statements onaccount of the state of knowledge inhis day. Such considerations arepart of what gives the Quranic Rev-elation its unique place, and forces

 the impartial scientist to admit hisinability to provide an explanation

 which calls solely upon materialisticreasoning”.

Maana yake ni: “Ulinganishi ka-milifu wa Qur’an na elimu ya sasaunatupelekea kutambua uwianokati ya viwili hivi kama ilivyowahikuonyeshwa mara kwa mara. Hiiinatufanya na kutupelekea tuaminikuwa ni jambo lisilofikirika kabisa

kwa mtu wa wakati wa Muham-mad awe ndiyo mtunzi wa manenohaya kulingana na hali duni kabisa

 ya elimu kwa wakati wake. Fikrahizi ndizo zinazoupa ufunuo waQur’an nafasi ya kipekee na kumlaz-imisha mwanasayansi mwenye akilihuru akubali kushindwa kutoamaelezo juu ya fikra ya ulazima wakutegemea akili tu”.

Hizi ni baadhi tu ya kauli za was-omi wakubwa kuelezea mshangao

 wao juu ya Qur’an. Je mimi na weweQur’an inatushangaza?

 Itaendelea



Mshangao wa wasomi juu ya Qur’anDr. MauriceBucaille:Ulinganishikamilifu waQur’an naelimu ya sasaunatupelekeakutambuauwiano kati yaviwili hivikamailivyowahikuonyeshwamara kwamara.

Page 8: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 8/15

www.islamicftz.org

15 Rajab1436,  JUMATATU May 4- 10, 2015

  www.islamicftz.org

15 Rajab1436,  JUMATATU May 4- 10, 2015

ABUU MAYSARA

Zaidi ya viongozi miasaba (700) Waislamu walishiriki katika ku- jibu dodoso hilo nchi

ma ya Msumbiji kuanzia5 na kuhitimishwa 1967.

Mambo mawili makubwa niwa ilionekana ni muhimuanya mchanganuo wa kinausu mtandao wa uongoziKiislamu na maeneo yenyeawi ya Twariqa. Pia, kuli-

yika mchanganuo wa kinausu hatari ya kisiasa kutokaWaislamu dhidi ya utawala

Wareno.engo la Wareno ilikuwa ni

waundia Waislamu uongozibao ungekuwa kibarakao ili kuwazuia Waislamu

ijiunge na Frelimo katikapambano yake dhidi ya Seri-

Ilisubiriwa tu fursa nzurikeze ili kufanikisha mkakatiwa kuwadhibiti Waislamu.ursa ilijitokeza pale Sheikhgema mwaka 1963 al-kamatwa na polisi kwauma za kuwa na uhusianoharakati za maadui wareno. Hatimaye, mwaka5 akafungwa ndani ya jelaye mateso ya kutisha ya Iboakauawa akiwa gerezaniaka 1966.heikh Magema hakuwangozi maarufu pekee ku-

wa na Wareno ndani ya jelabo. Kwa mujibu wa Muara-Shaur i, aki toa us hahidi

MAKALA MAALUM

mbele ya Kikosi Kazi Maalum chaUmoja wa Mataifa mwezi Agostimwaka 1970, Sheikh Fazeira Yusufalipigwa risasi na kufa papo hapoJanuari 1965.

Oktoba 1965, viongozi wengi waKiislamu walikamatwa huko Muite-Mecuburi akiwemo Sheikh Buan-amire au Panamiore Gicone, PilaleSelege, Selemane Gicone, MussaMale na Navara Mulima kwa tuhu-ma za kuchanganya dini na siasa.

Hatimaye viongozi thelathini (30) wa Kiislamu wakakamatwa na ku- wekwa kizuizini, miongoni mwao,Sheikh Pedro Limua Mustafa na As-soliane Avuleque. Huko Lalaua, ma-dhila na mateso hayakuwalenga vi-ongozi Waislamu pekee bali jamiinzima ya Waislamu.

Mshauri wa Wareno aliandika “All the mosques were burned or de-

stroyed, religious books seized, al- though it was suspected that manyhad been buried, and the Islamizedpopulation were compelled, to come to the post headquarters, to submit toa trial by eating pork”.

Maana: “Misikiti yote ilichomwamoto au kubomolewa, vitabu vyadini vikachukuliwa, ingawa ilihisiwakuwa vingi vilizikwa ardhini. Na wa-najamii Waislamu walilazimishwakwenda makao makuu ya polisi ku- jisalimisha ili wafanyiwe majaribiokwa kulishwa nguruwe”.

Bwana Melo alishauri itafutwenjia mbadala ya matumizi ya nguvudhidi ya Waislamu. Alieleza katikauchambuzi wake kwamba ilioneka-

na wakati huo hakukuwa na uongozimmoja wa kitaifa wa Waislamu nch-ini Msumbiji na kwamba kila twar-iqa ilikuwa huru ikijiamulia mambo yake.

Katika taarifa yake, Bwana Melo,alihitimisha kwa maneno haya: “Ud-haifu wa Uislamu nchini Msumbijiuko katika kukosekana kwa usare,katika faraka za ndani na katika uon-gozi wake ulio rahisi kuvunjika. Kwahiyo Uislamu ni mkondo tu na siyonguvu”.

Bwana Melo akashauri Waislamu wanaweza kuvutwa kwa kuitafsiriQur’an yao kwa lugha ya Kireno.Hapo ikawa mwanzo wa sera mpya ya kuwakumbatia Waislamu i likupata maslahi ya kisiasa.

Desemba 17, 1968 (Ramadhan 26,1388 Hijriyyah), Gavana wa Msumb-iji Baltazar de Souza akatoa salamu

kwa Waislamu na kuwatakia heri yaswaumu ya Ramadhan.Dalili za kwanza za staratejia ya

 Wareno kuwavuta Waislamu ili-onekana katika picha aliyopigwa Ga- vana akiwa na Waislamu mashuhuri wanne mara tu waliporejea kutokahija mwaka 1972. Kisha ikafuatia ki- tendo cha Serikali ya Wareno kucha-pa tafsiri ya hadith kadhaa kutokaSahihi Bukhari kwa lugha ya Kireno.Siku ya uzinduzi wa kazi hiyo Gavanaakawaalika masheikh maarufu wa twariqa kisiwani Msumbiji akiwemoSheikh Momade Said Mujabo na wengine 12 kutoka sehemu mbalim- bali za Msumbiji.

Mwaka 1971 tofauti za kifiq’h kati

 ya Sheikh Abubacar Ismael aliyehiti-mu Chuo Kikuu Madina namasheikh wa twariqa kuhusu jinsi yakusindikiza jeneza kimya au kwasauti ilitoa fursa iliyosubiriwa kwahamu na Wareno kuwadhibiti Wais- lamu.

Tofauti nyingine zilikuwa ni ziaraza makaburini na maulid. Wareno wakapata nafas i kuwavuta zaidimasheikh wenye msimamo wakwenda kwa sauti (wakiitwa Twaliki)na wasoma maulid ambao walikuwa wengi dhidi ya wenye kusindikiza

 jeneza kimya kimya (wakiitwa Suku- ti) na pia wakipinga maulid.Said Mohammed Habib Bakar

ambaye alikuwa kiongozi wa matawizaidi ya 12 ya twariqa - l-Qaadiriyyaakatishia kuchukua hatua mkononidhidi ya kilichoitwa dini mpya kamaSerikali haikuchukua hatua.

Serikali ya Wareno ikamuombaMufti wa Comoro, Sayyid Omar bin Ahmed kuja kumaliza mzozo huukuhusu bi’da. Mufti wa Comoro al-ipoamua dhidi ya wana sunnah wamwanzo wa Msumbiji, Wareno wakawa wamekwishajenga heshima yao miongoni mwa Waislamu wakaskazini ya Msumbiji na huo ukawamwanzo wa Waislamu kutumiwa na watawala n chini humo. IngawaSheikh Abubacar Ismael aliendeleakuwasumbua Wareno, hatimae al-iuawa kama walivyouawa masheikh wenzake walioonekana kuwa tishiokwa Serikali ya Wareno.

Kwa upande wake Serikali ya Wareno ikazidisha ukaribu wake namasheikh watiifu kwao, na Januari1973 picha ya Gavana wa Kireno aki-shiriki katika sherehe za maulid ika-pamba kurasa za mbele za magazetinchini humo.

Mwezi uliofuatia magazeti yaka- toa picha na habari ya Gavana aki-

 wakaribisha nyumbani mahujaji wa- liotoka hijja mwaka huo kwa ghara-ma za usafiri za Serikali. Takrima ika-nunua utiifu wao kwa Wareno.

Ni kwa jinsi hii Waislamu nchiniMsumbiji wakajikuta wakitumikana kuunga mkono upande usio sahi-hi kwa kule kujiona wako salamadhidi ya Wareno pasina kujuakwamba upepo wa mabadilikoulikuwa unakuja.

Juni 25, 1975 Msumbiji ikapatauhuru wake na si ajabu kwamba ka- tika sherehe za uhuru Frelimo haiku- washirikisha viongozi wa Waislamukwa sababu haikuwahesabu kama washirika wa harakati za uhuru bali vibaraka wa Wareno.

 Waislamu walivyotumika - 3

Muuminiwa diniyaKiislamuakiwamsikitinimjiniMaputo,Msumbiji

STORIA YA MSUMBIJI

 Kutokuelewana Waislamu mwanya kwa watawala

NA SHEIKH SHABANI MUSSA

Israa na Miiraji: Haya ni maneno mawili ya lugha ya kiarabu yenye maana mbili tofauti. ‘Al-israu’ ni neno lililochukuliwakutoka katika kitenzi Saraa – Yasrii - As-

raa ambalo kwa lugha ya watu wa Hijaz linamaanisha mwendo au safari inayofanyi-ka katika nyakati za usiku. ‘Al-mi’iraju’nineno linatokana na kitenzi A’raja -Ya’aruju-U’ruujan likimaanisha lifti au ngazi inayotu-miwa na malaika kuendea mbinguni.

Maana ya kiujumla

‘Al-Israu’ na ‘Mi’ira ju’ ni mjumuiko wamisafara miwili iliyofanyika ndani ya usikummoja: ule wa kutoka Makka mpaka BaitulMaqdis (Palestina) wakati wa usiku unaoit- wa Al-israu na ule wa kutoka Qudsi kwendambinguni unaitwa Mi’iraji.

 Aya zilizoizungumzia safari ya Israa  Allah anasema: “Utukufu ni wake Yeye

aliyempeleka mja wake usiku (mmoja tu)kutoka Msikiti Mtukufu (wa Makka) mpakamsikiti wa mbali (Beytul Maqdis) ambao(tumeubariki na) tumevibariki vilivyo pem- bezoni mwake, tulimpeleka hivyo ili tu-muoneshe baadhi ya alama zetu. Hakika Yeye ( Allah) ni Mwe nye Kusikia (na)Mwenye Kuona”(Al-israa aya ya: 1).

Aya zilizoizungumzia safari Miiraj: Aya zinazozungumzia safari ya Miiraj ka-

 tika Qur’an zinapatikana katika Suurat An-najm (53:1-18). Allah anasema: “Naapa kwanyota zinapoanguka. Kwamba mtu wenu(huyu Nabii Muhammad) hakupotea (kwaujinga) wala hakukosa, (hali ya kuwa ana- jua), Wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake) , haya kuwa haya (ana yose ma)isipokuwa ni wahyi uliyofunuliwa (kwake), Amemfundisha (Malaika) Mwenye nguvu(sana) Mwenye uweza” (53:1 - 4).

 Allah anaendelea: “Na yeye (huyu) Jibrilakalingana sawa sawa. Na yeye yu katikaupeo wa kuona (katika mbingu kwa juu ka- bisa). Kisha akakaribia (kwa Mtume) naakateremka. Ukawa (ukaribu wao) baina yaupinde au karibu zaidi. Na akamfunulia

huyo Mtumwa wake (Allah) hayo aliy-oyafunua, Moyo haukusema uwongo uliy-oyaona. (Moyo wake ulisadikisha haya yaliyotokea)”(53:5 - 11).

 Allah anaendelea: “Je ! mnabishana naye juu ya yale anayoy aona (daim a)?Na(Mtume) akamuona(jibril) mara nyingine(kwa sura ile yake ya Kimalaika katika usiku wa Miiraji). Kwenye Mkunazi wa kumal-izikia mambo yote). karibu yake ndiyo kunahiyo Bustani, (pepo) itakayokaliwa (maishana watu wema), Kilipoufunika Mkunazihuo kilichoufunika (katika mambo ya kiaja- bu ya mbinguni), Jicho halikupepesa walahalikuruka mpaka (uliowekewa), Kwa yaki-ni aliona (Mtume Muhammad) mambomakubwa katika alama, (Qudra) za Mola wake)”(53:5 - 19).

Safari hii ilifanyika lini ?Qur’an na vitabu vyote vilivyokusanya ha-

dith za Mtume (Rehema na amani ziwe juu yake) na vile vya Sira kwa pamoja vinathibi- tisha kufanyika kwa safari hii ya Israa na Mi-iraji, lakini tofauti kubwa iliyopo mbele ya wanazuoni wa kale na sasa ni katika siku,mwezi na mwaka iliyotokea safari hiiadhimu.

Imamu Ibnu Kathir(Allah amrehemu)katika kitabu chake Al-bidayatu Wannihay-atu 3/135 ananukuu kutoka kwa: Ibnu A’sakir kwa kuzitaja hadith nyingi zina-zoihusu safari hii ya Israa na Miiraji kuwa,“Ilitokea awali ya kuteuliwa kwa MtumeMuhammad (Rehema na amani juu yake)”. Amma Ibnu Is-haq yeye alieleza kufanyikakwa safari hii ilikuwa “..Kiasi cha Miakakumi baada ya kuteuliwa kwa Mtume Mu-hammad (Rehema na amani juu yake)”.

Na mapokezi ya Imamu Bayhaqiy kutokakwa Mussa bin U’qbah kutoka kwa Zuhriya-kisema: “Mtume alifanya safari ya Israa‘Mwaka mmoja kabla ya kuelekea Madina’.”Na kauli kama hiyo imetolewa pia na: IbnuLahiy’ahkutoka kwa Abi As-wad naye kuto-ka kwaU’r-wa’h.

Kisha Imam Hakimakapokea kutokakwa Al-As swammi naye kutoka kwa Ah-mad bin Abdil-Jabbar naye kutoka kwa Yu-nus bin Bukayr naye kutoka kwa Asbaat binNasri naye kutoka kwa Ismail Suddiy.kuwa:“Mtume alifaradhishiwa swala tano

Beytul Maqdis kwenye usiku aliopelekwa Is-raa miezi kumi na sita kabla ya kuhama”.

Na kwa kauli ya Assuddiy safari ya Israailifanyika katika mwezi wa Dhul-qa’adah wakati kwa kauli ya Zuhriy na U’rwah safari ya Israa ilifanyika Mwezi wa Rabi’ul-awwal.Na amesema Abubakarbin Abi Shaybah: Alitusimulia Athumani naye kutoka kwaSaidbin Miynaa naye kutoka kwa Jabir naIbnu Abbas kwa pamoja walisema: Mtumealizaliwa katika siku ya Jumatatu ya tarehekumi na mbili Mwezi wa Rabi’ul-awwal ka- tika mwaka wa Ndovu,ndicho kipindi ali-chopewa Utume, alichopelekwa Miirajimbinguni, na ndani ya mwezi kama huo ali-hama na kufa. Lakini katika riwaya hii kunamkatiko. Na kauli hii ndio iliyochaguliwa nakutumiwa na Al-hafidhu Abdul-ghaniybin

Sururi Al-maqdisiy katika kitabu chake chaSira, lakini ameitaja hadith ambayo Sanad yake siyo sahihi.(Imam Ibnu Kathir anase-ma) tumeitaja riwaya hiyo (inayoeleza) “Sa-fari ya Israa ilifanyika tarehe Ishirini na saba ya mwezi wa Rajabukatika fadhila za mwezi wa Rajab”. Na Allah ndiye Mjuzi zaidi.

Na kuna wanaodai kuwa, safari ya Israailifanyika Ijumaa ya kwanza ya Mwezi waRajabu, usiku ambao imezushwa ndani yake swala mashuhuri na wala haina asiliinayofahamika kama swala ya (Araghaaib).Na Allah ndiye Mjuzi zaidi.

Mtume katika safari hii alifuatana na ma- laika Jibril (Amani ya Allah iwe juu yake) wakitokea nyumbani kwa Umu Hani’i bint Abi TwalibAllah amridhie.Kijiografia ny-umba hii ilikuwa upande wa Shi’ibu ya AbiTwalib, upande wa Mashariki ya mji waMakka kwenye eneo la Al-hujun, eneo am- balondipo alipokuwa anaishi Mtume kwakipindi hicho.

Malaika Jibril (Amani ya Allah iwe juu yake)alimchukuwa Mtume kutoka nyumbahiyo akiwa na athari ya usingizi na kwendanaye mpaka kwenye Msikiti Mtukufu waMakka kwa safari ya Baytul maqdis. Naikumbukwe; safari zote mbili zilifanyikandani ya usiku mmoja.

Imethibiti kutoka katika hadithi sahihikwamba safari ya Israa na Miiraji ilianzakwa Mtume kufanyiwa upasuaji ambapo al-itolewa moyo, kusafishwa na kujazwa heki-

ma na imani. Swahaba Abi DharriAllah am-ridhie, anasimulia kutoka kwa Mtume (Re-hma na amani ziwe juu yake) akisema:

“Likaezuliwa paa la nyumba yangu naminikiwa Makka, ghafla akateremka Jibril,akakipasua kifua changu, kisha akakikoshakwa maji ya Zamzam, kisha akaja na beseni la dhahabu lililosheheni hekima na imanina kuzijaza kifuani kwangu na kukifunga,kisha akaukamata mkono wangu, nakupanda nami mpaka mbinguni”. (RejeaFat-hul baari: 1/460). Upasuaji huu ulifan- yik ia kweny e ene o la Hatwi ym auHijri(kwenye eneo la Alka’abah). Na ulilen-ga kuusafisha na kuujaza moyo wa Mtumehekima, imani na utayari wa kuzishuhudiaalama kubwa kubwa za Mola wake.

Na hii haikuwa mara ya kwanza kwa

Mtume(Rehma na amani ya Allah yake), kufanyiwa upasuaji kama huria inaonesha Mtume (Rehma na a Allah iwe juu yake) alishafanyiwa kama huo alipokuwa na umri wa m tano au sita, wakati anacheza na wenzake kwenye kijiji cha Baniy alikokuwa analelewa na Bi HSa’adiyah.

Hata hivyo, kila upasuaji ulikuwgo lake.Upasuaji wa kwanza ukukiondosha kilinge cha Shetanimoyo wa Mtume rehema na amaniiwe juu yake na upasuaji wa pili kukijaza kifua cha Mtume hekima n

Imepokewa kutoka kwa Anas bianaeleza kwamba; “Mtume alifuat bril wakati anacheza na watoto, (Jimkamata na kumpiga mweleka, alkifua chake na kuutoa nje moyo, napande la damu moyoni mwakakamwambia: ‘Hiki ndio kilinge chkwako’, kisha akaukosha ndani ya dhahabu kwa maji ya zamzam, alipaliushona na kuurejesha kwenye  yake.

 Watoto walikwenda mbio kw yake (yaya)na kumwambia“Muhameuawa”. Walimchukuwa mama y wa amebadilika rangi (kutokana nSwahaba Anas anasema: “Nilikuwana athari (ya mshono wa) shaziakwake”.Bi Halima alipouona msuko

iyompata mwanawe wa kulea aliin wasiwasi na kuamua kumrejeshkwa mama yake.(Rejea Muslim 2/1Israa).

Usafiri uliyotumikaKatika safari hiyo Mtume alisa

mnyama mweupe wa peponi, mwe ya ajabu, aliye na umbo la kati ya pnyumbu, anayefahamika kama Buraaq huweka kanyagio lake papoishia upeo wa jicho lake.

Mtume (Rehma na amani ya A juu yake) alimtumia mnyama huysafari yake ya ardhini yaani- kutoka mpaka Masjidul aqswa na kurudi M

 Itaendelea toleo lijalo

Msafarawa Israana Miiraji

MWAKA 1971

TOFAUTI ZA

KIFIQ’H KATI

YA SHEIKH

ABUBACAR

ISMAEL

ALIYEHITIMU

CHUO KIKUU

MADINA NA

MASHEIKH

WA TWARIQA

KUHUSU

 JINSI YA

KUSINDIKIZA

ENEZA KIMYA

U KWA SAUTI

LITOA FURSA

IYOSUBIRIWA

KWA HAMU

NA WARENO

KUWADHIBITI

WAISLAMU.

Page 9: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 9/15

www.islamicftz.

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10,

10

 Je hutenguka udhu wamwanamke aliyemko-sha najisi mwanawe?

Swali: Aliulizwa Sheikh Muha-mad bin Ibrahim Alu Sheikh (Allahamrehemu): Mwanamke aliyeta-

 wadha kwa ajili ya swala halafumwanawe akachafuka na kuhitaji

kusafishwa najisi na kuogeshwa, je tendo hilo hutengua udhu wake?

 Jawabu: Kama atagusamoja ya tupu ya mtoto udhuutatenguka, asipogusa utupuudhu hautatenguka kwa sababu

 ya kumkogesha mtoto. Hatakama kuogesha kutapelekea kui-gusa najisi kwa mkono wake,anachotakiwa baada ya hapo nikusafisha mkono na kuchukua

 tah adh ari isi tapaka e naj isikwenye kiwiliwili au kwenyenguo zake. (Fataawa na Rasailuza Sheikh Muhamad bin Ibra-him 2/75).

 Je huchanguka udhuwa mtu aliyeoshanajisi ya watotowake?

Swali: Iliulizwa kamati ya kudumu ya fat-waa:Mimi nina wana wadogo,na nilishatawadha, na nika-osha najisi za wanangu, je

udhu unachanguka au la? Jawabu: Hauchanguki udhu wamtu aliyetawadha kwa kuisafishanajisi iliyo kwenye kiwiliwilichake au cha mtu mwingine,isipokuwa kama aligusa utupu wa mtoto. Kwa kugusa utupundio udhu utatenguka. Hakuna tofauti na mtu kugusa utupu wake mwenyewe. (Majallatul buhuthil Islamiyah 22/62)

 Je kugusa utupuwamtotomdo-go ku-

natengua udhu?Swali: Iliulizwa kamati ya kudu-

mu ya fat-waa: Je kugusa utupu wamwanangu mdogo wakati wa kum-

 badilisha nguo zake kunatenguaudhu wangu?

 Jawabu: Kugusa utupu bila yakiziwizi kunatengua udhu, sawa utu-pu uliyoguswa ni wa mtoto au wa mtumzima. Haya yanathibitishwa nakauli ya Mtume (Rehema na amani

 ya Allah juu yake), pale aliposema:“Mtu atakayegusa utupu wake na ata-

 wadhe”. Na utupu wake hauna tofautina utupu wa mtu mwingine. (Fa- taawa lajnatud Daimah 5/265).

 Je kutoka upepo kwe-nye utupu wa mwana-mke kunatengua udhu?

Swali: Aliulizwa Sheikh Muha-mad bin Swaleh Uthaimin (Allah

amrehemu): Je kutoka upepokwenye utupu wa mwanamke ku-

natengua udhu? Jawabu: Hili halitengui udhu,

kwani upepo huo haukutoka mahalipa najisi, kama utokavyo ushuzikwenye njia ya haja kubwa. (Fataawana Rasailu za Sheikh Uthaimin4/197).

 Je kutoka upepo kwe-nye utupu wa mwa-namke kuna batilishaswala ?

Swali: Iliulizwa kamati ya kudu-mu ya fat-waa: Mwanamke ana-poswali, na kwenda rukuu na sujudu,na mara nyingi (hali hii hutokea) an-aposujudu na anapoketi baina ya siji-da mbili, na anapoketi kwa ajili ya ku-

 toa shahada, hutokwa na upepokwenye utupu wake, kiasi cha kusiki-

 wa na walio pembezoni mwake, je ki- tendo hicho kinabatilisha swala ya

mwanamke? Na wakati mwinginehutokwa upepo kidogo mno kiasi cha

kutosikiwa na yeyote, je nayo inaba tilisha udhu na swala?

 Jawabu: Kutoka upepo kweny tupu ya mbele hakutengui udhu. (Fa taawa lajnatud Daimah 5/259).

 Je kumgusa mwanamkekunatengua udhu?

Swali: Aliulizwa Sheikh Mu

hammad bin Swaleh Uthaimin: Jkumgusa mwanamke kunatenguudhu?

 Jawabu:Kauli iliyo sahihi, kiu ju ml a ku mg us a mw an am khakutengui udhu, isipokuwa kamatatoka kitu. Ushahidi wa hili ni yal

 yaliyothibiti kuwa Mtume (Rehmna amani ziwe ju yake) alikuwa ana

 wabusu baadhi ya wake zake na kuingia kwenye swala bila ya kutawadh(tena) kwani asili ni kutochangukudhu, mpaka ipatikane dalili sahih

 te na ya wa zi in ay ot hi bi ti shkuchanguka udhu. Mtu alishatimiz

 twahara yake kwa muktadha wa dali ya kisharia, na kilichothibi ti kwmuktadha wa kisharia hakiondoshwisipokuwa kwa dalili ya kisharia, n

kama utatolewa ushahidi wa neno l Allah ‘Au mmewagusa wanawak(An Nisaa aya ya: 43), ‘Au mmeingiliana na wanawake’ (Al-Maidah ay

 ya: 6). Jawabu: Muradi wa (Al-mu laamasah) katika aya ni kuundamkama ilivyothibiti kutoka kwa Ibn

 Abbas. (Fataawa na Rasailu za SheikhUthaimin 4/201).

U

 tafiti mbalimbali unaonyesha

kuwa karibu asilimia 90 ya

magonjwa sugu yanayomka-

 bili binadamu huanzia tum- boni, hasa kutokana ulaji usiofaa.

Kiharusi, mshtuko wa moyo, matatizo

 ya figo, kisukari, kuhara, unene na uzito

kupita kiasi, saratani, kukosa choo kikubwa

na upungufu wa nguvu za kiume na kike ni

 ba ad hi ya ma gon jw a ya na yow ezakuchangiwa na ulaji usiofaa. Licha ya hali

hiyo inayotishia afya, baadhi ya matangazo

 ya biashara ya vyakula yanawateka watu

 wengi na kuwaingiza katika ulaji mbaya.

Ufahamu sahihi juu ya namna chakula ki-navyonufaisha au kudhuru afya ya mlaji ni

njia madhubuti itakayoiokoa jamii.

Dini ya Kiislamu inamafundisho men-

gi kuhusu chakula, ikiwemo tahadhari

kadhaa kwa wanadamu kuhusu kile wana-

chokitia katika matumbo yao. Kwa leo tuji-funze hadith moja tu ya Mtume Muham-

mad (Rehema na amani zimshukie).

Mtume anasema: “Hajapatapo mwan-adamu kujaza chombo kilicho na shari ku-

 liko tumbo lake, vyamtosha mwanadamu

 vijitonge vitakavyousimamisha uti wake wa mgongo. Kama hakufanya hivyo (ikiwa

hapana budi kula) basi theluthi moja iwe

ni ya chakula na theluthi (ya pili) iwe ni ya

maji na theluthi (ya mwisho) iwe ni ya

pumzi” (Ahmad, Ibn Majah na Hakim).Namna kuu tatu ambazo ulaji usiofaa

unavyoweza kusababisha maradhi ama

hata kifo ni kula chakula kingi kupita ma-

hitaji ya mwili, kula chakula kisichoweza

kuupa mwili virutubisho vyote vinavyohi-

 tajika na kula chakula chenye sumu au vi- jidudu vinavyosababisha maradhi.

Kula sana vyakula vyenye mafuta na le-

hemu mbaya (bad cholesterol) kunaweza

kuharibu mishipa ya damu na kusababisha

ugonjwa wa kiharusi. Kula sana vyakula

 vyenye chumvi nyingi huongeza kupita ki-

asi madini ya sodium ambayo yanaongeza

shinikizo kubwa la damu.

Kula sana vyakula vya wanga na mafu-

 ta kunaongeza uzito na unene kupita kiasi

na hivyo mtu kuwa katika hatari ya kupataugonjwa wa kisukari, kiharusi, presha ya

kupanda, baadhi ya viungo kufanya kazi

kwa tabu, maumivu ya mifupa, magonjwa

 ya moyo na aina mbalimbali za saratani.

Kunywa maji kiasi kidogo kwa siku na

kula vyakula visivyokuwa na nyuzi lishe

(dietary fibers) huchangia mtu kukosa

choo kikubwa. Mtu apate choo kikubwa

angalau mara moja kwa siku. Kukosa choo

kikubwa kwa wakati kunaweza kusababi-sha sumu na bakteria wabaya waliomo ka-

 tika ki nyesi kui ngia kat ika mfum o wa

damu. Kukosa choo kikubwa pia kunape-

 lekea magonjwa ya utumbo mpana na hata

kupoteza maisha pale iwapo kinyesi kita-

ganda sana katika utumbo na operesheni

ikachelewa kufanywa kwa mgonjwa.Mtu akikosa vyakula vya protini mwili

utanyongea na atapata matatizo ya moyo

na viungo vingine kushindwa kufanya kazi.

 Vyakula vinavyotokana na wanyama ni

chanzo kizuri cha protini kutokana na

kuwa na virutubisho vyote muhimu vyaamino acids.

Karanga, maharage na soya pia vina vi-

 tamini kwa wingi. Samaki ni chanzo kizuri

cha protini na mafuta mazuri kiafya, na

 yana Omega 3 inayosaidia kumwepusha

mtu kupata magonjwa ya moyo. Hatahivyo, ulaji wa nyama nyekundu kama vile

ng’ombe, mbuzi, kondoo na ngamia ziliwe

isizidi nusu kilo kwa wiki.

Miaka milioni mbili iliyopita binada

mu alikuwa anakula vyakula vya asili kam

nyama, samaki, matunda, mbogamboga

 jamii ya karanga, mbegu na baadhi ya vyakula vya mizizi. Zaidi ya hayo, watu wa

 likuwa wanatembea sana kwa miguu, wa

nafanya kazi za kutoka jasho, hawakai chi

ni muda mrefu na walikuwa wanaishi ki

 jamii na kusaidiana.

Siku hizi katika miji, watu wengi wana tumia vyakula vilivyosindikwa viwandan

ambavyo mara nyingi vina sukari, mafut

na chumvi nyingi. Vitu hivyo ni hatari san

kwa afya. Pia, vyakula vilivyosindikwa vi

 wandan i v ina kemika li z inazov ifanya vyakula hivyo visiharibike haraka. Kemi

kali hizo zinaweza kudhoofisha afya y

mlaji.

Zaidi ya hayo, watu wengi siku hizi ka

 tika miji wanakaa sana ofisini, wanaka

sana kutazama televisheni na kutumisimu, kuingia katika intaneti, au kuchez

michezo kwa kutumia kompyuta au simu

 Vilevile, watu wengi hawalali vya kutosha, licha ya kuwepo ushahidi wa kisayans

unaomtaka kila mtu mzima kulala kwa sa

7-10 kwa siku ili mwili ufanye kazi vizurMatokeo ya kutolala vya kutosha watu

 wengi wana msongo wa mawazo wa kudu

mu.

Salama ya mwanadamu wa sasa ni ku

rudi katika asili, kama mwili wake ulivyoumbwa. Mwanadamu anatakiwa ale vyaku

 la vya asili vilivyo sawa na mpango wa vina

saba na baolojia. Pia, kula kwa kiasi, ku

punguza chumvi, mafuta, sukari na kemi

kali katika vyakula. Kurudi katika asili pia

ni pamoja na kutembea kwa miguu baadh ya nyakati, kuishi pamoja na kusaidiana

na kuushughulisha mwili kwa kufany

mazoezi au kazi za kutoka jasho.

0754 654 900

CHAKULA KINAVYOWEZA KUDHURU AFYA

PAZI MWINYIMVUA

AFYA YAKO

FAT-WA KWA MWANAMKE WA KIISLAMSHEIKH SHABANI MUSSA

VITU VINAVYOTENGUA UDHU

MTU AKIKOSA VYAKULA VYA

PROTINI MWILI UTANYONGEA

NA ATAPATA MATATIZO YA

MOYO NA VIUNGO VINGINE

KUSHINDWA KUFANYA KAZI

Page 10: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 10/15

www.islamicftz.org

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10, 2015

“Hayo ni kwakuwa wamese-ma: Biasharani kama riba”(Qur’an 2:275)

Sifa njema na shukrananastahiki yule ambayeametukamilishia dini

 yetu na akairidhia kuwautaratibu kamili wa mai-sha yetu. Rehma na ama-ni zimfikie kipenzi chetumtume Muhammad (Re-hma na amani ziwe juu

 yake) pamoja na wanao-fuata muongozo mpakasiku ya mwisho.

Ndugu mpezi msomajikaribu tena katika mfu-

 lulizo wa makala zetu juu ya biashara na uchum ikatika Uislamu.

Katika makala ya leo

 tutadurusu juu ya riba.Somo hili kwa kweli nipana na halijulikani na

 wengi, kwani riba ipo ka- tika namna nyingi sana.

Uchumi wa Kiislamuumejengwa juu ya msingimadhubuti usiojikita ka-

 tika riba. Allah amehara-misha riba na akahalali-sha biashara kama ana-

 vyotu faham isha kati kaQur’ani tukufu: “LakiniMwenyezi Mungu amei-halalisha biashara naameiharimisha riba”(2:275).

Kwa uzito wa uhara-mu wa riba, Mtume (Re-hma na amani ziwe juu

 yak e) akaicha gua ku- wemo katika mambo yamsingi ya kutuonya kati-ka kh utba y ake y amwisho.

Baada ya kumshukuru Allah alianza khutba kwakusema: “Enyi watu!Nisikilizeni maneno yan-gu vizuri, kwani sidhanikama baada ya mwakahuu nitakuwa pamojananyi. Hivyo sikilizenikwa makini nitakayo-

 yasema na (maneno haya)mfikishieni kila asieku-

 wepo hapa leo”.Baada ya kusema

maneno mengine, akase-ma, “Allah amekukataze-ni kula riba. Hivyo ribazote zimeondoshwa namna haki ya kubaki na ra-silimali (mitaji) yenu.Hamna haki ya kudhulu-mu wala kudhulumiwa.

 Allah ameharamisha ribana riba zote za Abbaas ibn

 Abdul Muttallib zimeon-doshwa”.

Riba twaweza kuifasirikwa maana ya jumlakama ziada anayoipatamtu bila kuitolea jashokwa kufanyakazi.

Kwa mfano; mtu au taasisi ya kifedha inayo-

 to a mkop o kwa ri ba ,mkopaji anarudishamkopo na ziada (riba)ambapo mkopeshajiananufaika na ziada hiyo

 bila kuitolea jasho.Riba sio sawa na bi-

ashara kwa sababu haiki-dhi vigezo vya biashara,kwani kwenye biasharakuna uwezekano wakupata hasara au faida,

 lakini kwenye riba kunauwezekano wa kupata fa-ida tu.

Kwenye utaratibu waukopeshaji wenye ribamkopeshaji anakuwa anakinga ya kutopata hasara,kwani mkopeshwajihulazimika kulipa mkopo

 wak e pam oja na kia sikingine cha ziada kamariba kwa hali yoyote ilehata bila kuzingatia ame-pata hasara au faida kati-ka biashara aliyowekezamkopo huo.

Hivyo utaratibu huohusababisha dhuluma,unyonyaji na kuwafanya

 wakopaji watumw a wakuwatumikia wakope-shaji na hatimae wa-naishia kunasa katikadimbwi la madeni naumaskini.

Uchumi uliojengwa

WATU MAARUFU WASIOKUWA WAISLAMU WASEMAVYO KUHUSU UISLAMU

katika misingi ya riba huwafanyamatajiri wadumu katika utajiri namaskini wadumu katika umaski-ni, na hudumisha tofauti kubwa

 ya kipato - “income inequality” bain a ya matajiri na maskini,kwani mlango wa ugawaji wa ki-pato - “income distribution” hu-fungwa kwa kuwapa kinga mata-

 jiri ya kupata hasara na kuwa nauwekezaji usiokuwa na hatari yakupata hasara - “risk free invest-ment”, ambapo kundi kubwa lamaskini na watu wa kipato cha

chini na kati hubeba hasara hiyo.“Mwenyezi Mungu huiondolea

 baraka riba, na huzibariki sadaka.Na Mwenyezi Mungu hampendikila mwenye kukana na afanyaedhambi” (2:276).

 Aya hii inat uwekea bayana yakua uchumi au biashara am- bayo imejengwa katika msingi wariba, Allah huiondolea baraka, bi-

 lash aka bara ka ya Allah Sub-hanaahu Wataallah ikiondokamatatizo ya kiuchumi na biasharahayawezi kuisha na hatuwezikuwa na uchumi madhubutiusioyumba.

Jambo lingine muhimu kuli-durusu hapa ni upi uhusiano wariba na sadaka? Kama tulivyoona

 Allah alivyohusianisha riba na bi-ashara. Kwanini hapa tena ana-husianisha riba na sadaka?

Kwa kweli mtoaji sadaka hutoa bila ya kutaraji kunufaika na cho-chote kama ziada, isipokuwakumridhisha Allah kwa kuwa-saidia viumbe wake na kuwatiza-ma kwa jicho la rahma, lakini riba

ni kinyume cha sadaka, kwanianayekopesha kwa riba hukope-sha ili kujinufaisha kwa kupokeaziada.

Hivyo, riba hujenga jamii ya watu wanyonyaji, wasiojali na ku-guswa na hali za binaadamu wen-

zao na riba hujenga jamii ya wenye kujali na kuguswa na haliza wenzao na hutengeneza jamii

 yenye kusaidiana na kunyanyua-na kiuchumi.

 Aidha Uislamu una mtizamo tofauti kabisa katika dhana nzima ya kuongez a na kukuza mali . Wapo wanaofikiria kwa kutumiariba wanaweza kuongeza nakukuza mali zao, Uislamu umer-uhusu biashara na kuamrishazaka na kuhamasisha sadaka ilikuongeza mali na mgawanyo wakipato katika jamii.

 Allah anasema: “Na mnach-okitoa kwa riba ili kiongezeke ka-

 tika mal i ya wat u, bas i hak -iongezeki mbele ya Mwenyezi

Mungu. Lakini mnachokitoa kwazaka kwa kutaka radhi yaMwenyezi Mungu, basi hao ndio

 wataozidishiwa”(30:39). Leo im-ekuwa jambo la kawaida si tu ka-

 tika mfumo wa kifedha na uchu-mi kujikita katika riba, bali hatakwa baadhi ya Waislamu ku-chukua mikopo yenye riba katika

 taasisi za kifedha kama benki na vyama vya kuweka na kukopa(SACCOS) kwa ajili ya biasharazao wakidhani eti watafanikiwa.

 Allah anat ufah amis ha kwakusema, “Enyi mlioamini! Mche-ni Mwenyezi Mungu, na acheniriba zilizobakia, ikiwa nyinyi ni

 Waumini. Basi msipofanya jitan-gazieni vita na Mwenyezi Mungu

na Mtume wake. Na mkitubu, basi haki yenu ni rasilimali zenu.Msidhulumu wala msidhulumi-

 we” (2:278-279). â€œEnyi mlioamini! Msile riba

mkizidisha juu kwa juu, na mche-ni Mwenyezi Mungu ili mpate ku-fanikiwa” (3:130).

 Vipi tutafan ikiwa kuwa nauchumi bora, imara, endelevu na

 biashara zenye mafanikio ilihali tumejikita katika riba wakati Al- lah na Mtume wake wametanga-za vita dhidi ya wanaojihusisha nariba na Allah amewalaani?!!!

 Kujua aina za riba, usikose to-leo lijalo In sha Allah.

 [email protected],0713 996 031

Ukweli kuhusu riba

Moja ya taasisiya fedha yaKiiskamuambayo hutoamikopo bilariba.

“MWENYEZIMUNGU

HUIONDOLEABARAKARIBA, NA

HUZIBARIKI SADAKA. NA

MWENYEZIMUNGU

HAMPENDIKILA MWENYE

KUKANA NA AFANYAEDHAMBI”

(2:276)

 JAMES A. MICHENER (1907-1997):Mmarekani, mwandishi maarufu wa vitabualiyepewa digrii ya pili ya heshima (Hon-orary Masters) katika nyanja tano kutokavyuo vikuu vikubwa 30 duniani na ambayepia alipewa medali ya Rais wa Marekaniijulikanayo kama ‘Presidential Medal ofFreedom’, ambayo ni medali ya juu zadi ya

kiraia nchini Marekani alisema:

“No other religion in history spread so rapidly as Islam.The West has widely believed that this surge of religionwas made possible by the sword. But no modern scholar

 accepts this idea, and the Qur’an is explicit in the support ofthe freedom of conscience.” (Islam: The Misunderstood Religion,’Reader’s Digest, May 1955, uk. 68-70)

Tafsiri: â€œHakuna dini nyingine katika historia iliyoenea kwa kasi kama Uislamu. Ulimwengu wa kimaghari-bi umeamini sana kwamba kuibuka huku kwa dini (ya Uislamu) kuliwezeshwa na jambia. Lakini hakunamsomi wa kisasa anayekubali fikra hii, na Qur’an iko wazi katika kuunga mkono uhuru wa mawazo”.

UCHUMI NA BIASHARA JAMAL ISSA

Page 11: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 11/15

www.islamicftz.

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10,

12

Ni mara nyingi

 t u m e s i k i a‘Msichanganyedini na siasa’

huku sababu kubwa inayo- tolewa ni kwamba dini hai-na nafasi katika maisha ya

kijamii ya nchi ya kisekula, bali ni jambo linalomhusumtu binafsi.

Katika nchi za kidemokra-sia ya kweli siyo tu dini na

 wana dini hujihusisha na sia-sa, bali kuna vyama vya kisia-sa vya kidini vinavyoshirikikatika uchaguzi na hata kuta-

 wala na hakuna jambo linalo-haribika. Nchi hizo zinamaendeleo makubwa tu kiu-chumi, kijamii na kiteknolo-

 jia.Baadhi ya nchi hizo barani

Ulaya na majina katika vyamahusika katika mabano ni Al-

 bania (Christian DemocraticParty), Ubelgiji (Christian So-cial Party), Ujerumani (Chris-

 tian Democratic Union (CDU)ambacho kinasemwa kuwa nimshirika wa karibu wa Chade-ma.

Barani Asia, nchi zenye vya-ma vya kisiasa vya kidini ni In-donesia, nchi yenye idadi kubwa

 ya Waislamu duniani (ChristianDemocratic Party) na Samoa (Sa-moan Democratic United Party).

Kwa Afrika, nchi zenye vyama vya kidini ni Rwanda – ChristianDemocratic Party, Afrika ya Kusini

 vyama saba vya kidini- AfricanChristian Democratic Party, Unit-ed Christian Democratic Party,Christian Democratic Alliance, Al

Jama-ah Muslim Political Party,Christian Democratic Party, Afri-can Muslim Party, Christen Party/Christian Party.

Edmund Burke katika kitabuchake: ‘Thoughts on the Cause ofPresent Discontents’ aliandika:“The only thing necessary for the

 triumph of evil is for good men todo nothing” yaani, “Kitu pekeemuhimu kuwezesha uovu kushin-da ni pale watu wema wanapokaapasina kufanya chochote”.

Lakini katika nchi zetu hizi zi-nazojifunza demokrasia, wanasia-sa wanataka viongozi wa dini am-

 bao kimsingi ndiyo watu wema za-idi katika jamii, wasipaze sautikukemea maovu yatendwayo na

 watawala kwa kisingizio cha ‘diniisichanganywe na siasa’.

Nionavyo, madai haya si kweli, bali ni woga wa wanasiasa kuogopa viongozi wa dini . Ni namna ya watawala hasa wa nchi za kiafrikakunyamazisha sauti za viongozi wadini ambao mamilioni ya watu hu-

 wasikiliza na kuwatii.Tunapoelekea katika uchaguzi

mkuu 2015 tutasikia sana kauli za watawala kuwakemea viongozi wadini wasijiingize katika siasa. Huuni woga unaotokana na uchu wakung’ang’ania madaraka au wa-naogopa kivuli chao wenyewe kwasababu hawakuwajibika ipasavyo.Ni kutokujiamini.

Kuelekea uchaguzi mkuu waUingereza wa 2015, Kanisa Ang-

 likana limetoa waraka likiwashau-ri waumini wake jinsi ya kushirikikatika uchaguzi mkuu. Warakahuo unakichwa cha habari ‘NewKind of Politics’ yaani ‘Aina mpya

 ya siasa’ uliwataka wakristo kutu-

mia kura zao ‘prayerfully’ yaani ki-ibada.

Kimsingi kudai kuwa dini nasiasa havichanganyiki ni kuvunjaKatiba ya Jamhuri ya Muungano

 ya 1977 ibara ya 18 (1) (a) – (c) ise-mayo: kila mtu-(a) anao uhuru wakuwa na maoni na kueleza fikrazake; (b) anayo haki ya kutafuta,kupokea na kutoa habari bila yakujali mipaka ya nchi; (c) anaouhuru wa kufanya mawasiliano nahaki ya kutoingiliwa katika mawa-siliano yake.

Kuna kosa gani kwa kiongozi wa dini kutoa nje mawazo yakekuhusu jambo lolote la nchi yake?

 Au viongozi wa dini hawana ma- wazo juu ya haya yote wayaonayo

au wayasikiayo yakitendwa aukusemwa na wanasiasa? Dhana yakutengeanisha dini na dola iliyoi-

 buka huko Ulaya karne ya 18 am- bayo ndiyo msingi wa usekulahaikulenga kuwanyamazisha vi-

ongozi wa dini wasijihusishe na

siasa, bali ililenga kuwazuia wata- wala wasiingilie dini.

Na dhana hii ndiyo inayokubal-iana na mantiki kwa sababu wata-

 wala hawana mashiko ya kuingiliamambo ya dini, kwani usekulahauna mafundisho kuhusu dini.Usekula ni fikra za watu, wakatidini ni mafundisho ya Mungu.

Kinyume chake viongozi wadini wanaweza kujihusisha namambo ya siasa na utawala kwasababu maandiko ya dini zao

 yamesheheni maelekezo kwa wau-mini wa dini hizo kuhusu siasa nautawala. Ndiyo maana hata wana-poshika madaraka watawala hua-pa kwa mujibu wa dini zao.

Uhuru wa mawazo hauwezi

kwenda pasina uhuru wa kutoa nakupata au kupewa habari, uhuru

 wa vyombo vya habari, uhuru wakukusanyika watu pasina kuvunjasheria na haki ya wananchi kuwa-kosoa watawala. Vinginevyo tu-

natengeneza udikteta kwa jina lademokrasia. Kuwanyamazisha vi-ongozi wa dini wasitoe mawazo

 yao nje kuhusu m ambo mbalimbali yahusuyo nchi yao iwe nikatiba mpya, uchaguzi au jinsi nchiinavyoendeshwa ni kuinyima nchifursa ya kunufaika na mawazo ya

 watu wema katika jamii ili maovuna waovu wapate kushinda.

Kama si hivyo ni nini maana yasiasa? Jibu fupi na zuri kabisa laswali hili lilitolewa na mwanafal-safa Mgiriki, Aristotle aliposema:“Politics is how ought we to orderour life together” yaani “Siasa nikuhusu jinsi gani tutakavyoyapan-gilia maisha yetu kwa pamoja”.

Sasa huku kuwazuia viongozi wa dini wasiseme kuhusu siasa ku-natoka wapi? Kwa msingi wakesiasa ni utashi wa kimaadili ndiyomaana kuna maadili ya viongoziambayo yalitegemewa kuhakiki-sha kuwa viongozi wa kisiasa wa-natenda haki. Neno ‘haki’ lenyeweni neno la kiroho linalofundishwakatika vitabu vya dini.

Ni jinsi gani tutapanga maisha yetu kwa pamoja ambayo ndiyosiasa inatuhitaji sote tushiriki.Kuzizuia fikra za wananchi kwakuwa tu mawazo yao ni ya kidini nimtazamo kinyume kabisa nademokrasia shirikishi ambayondiyo msingi wa nchi za dhana yademokrasia ambayo Tanzania tu-naifuata. Kwa msingi huu, misikiti,makanisa na mahekalu yako kati-ka hadhi sawa kikatiba na vyama

 vya siasa, vyama vya wafanyakazi/ wanataaluma, wakulima na asasinyingine zilizoanzishwa kwamalengo maalum.

Hata kama chama cha kisiasakingeasisiwa katika misingi ya dinikama vile tulivyovitaja awali,inapokuja kwenye masuala ya ki-siasa hoja ni kama alivyosema Ar-istotle: ‘jinsi gani tutapanga mai-sha yetu kwa pomoja’ na si dinimoja kwa moja. Kufanya hivyondiyo salama kwa taifa.

Unapozuia mawazo ya viongozi wa dini yasitolewe hadharani, una-chochea mawazo hayo kutolewa

sirini jambo ambalo ni hatari kwa taifa. Nchi nyingi ziliingia katikamachafuko kwa sababu ya kuzuia

 wananchi kutoa mawazo yao had-harani.

Kuwanyamazisha viongozi wadini wasitoe mawazo yao nje haku-na maslahi kwa taifa, na ni hatarikwa mustakabali wa taifa. Ni wito

 wa kutaka uovu ushinde kama al-ivyosema Edmund Burke: “Kitupekee muhimu kuwezesha uovukushinda ni pale watu wema wan-apokaa kimya pasina kufanya cho-chote”. Je, ndivyo tunavyotaka iwekwa Tanzania yetu?

TUNAPO ELEKEA KATIKA

UCHAGUZI MKUU 2015

TUTASIKIA SANA KAULI

ZA WATAWALA KUWA

KEMEA VIONGOZI WA DINI

WASIJIINGIZE KATIKA

 SIASA. HUU NI WOGA

UNAOTOKANA NA UCHU

WA KUNG’A NG’ANIA

MADARAKA 

NCHA YA KALAMUSHEIKH MUHAMMAD ISSA

 Wanasiasa wasiwaogope viongozi wa dini

Rais Jakaya Mrisho Kikweteakiwa na viongozi wa dini jijini

Dar es Salaam.

Page 12: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 12/15

www.islamicftz.org

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10, 2015

Kitabu: Al Fusuul Fii MustwalahiHadiithi r-RasuuliMwandishi: Haafidh Thanaau-ll-waahi ZaahidyMfasiri: Sheikh Muhammad Issa

Mlango wa Tatu - Wait-wavyo wapokezi wahadith

 Swahaabiyyu: Ni kila Muislamualiyekutana na Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake) akiwa mwenyekumwamini na akafa katika imani.Na maswahaba wote ni wenyekutegemewa na waadilifu. Kutoku-ulikana kwao hakuathiri usahihi (wa

hadith husika). Taabi’: Ni yeyote yule aliyeku-

tana na swahaba katika hali ya imanina akafa katika hali hiyo. Inatakika-na ili kukubalika upokezi wake awemwenye kutegemewa.

Tab’u Taabi’: Ni yeyote yule ali-yekutana na ‘Taabi’ miongoni mwawaumini, na inatakikana ili kukuba-lika upokezi wake awe mwenyekutegemewa 

 At-Thiqah: Ni yeyote yule ali-yekusanya baina ya uadilifu na uka-milifu wa kuthibiti mambo na ku-fanya vizuri na uadilifu. Inampasampokezi wa hadith awe mwenyekushikamana na ukweli na uaminifuna uchaMungu na kusalimika kwakena shirki na bid’a na ufaasiq na uovuna kukosa maadili mema.

Na muradi wa udhibiti wa mpoke-zi na kufanya kwake uzuri: Ni kulekusikia kwake simulizi kama inavyo-takikana, kuifahamu kwake ufaha-mu wa ndani na kuhifadhi kamili

pasi na kusitasita na kumakinikakwake katika yote haya kutoka waka-

 ti wa kusikia hadi wakati wa kui-simulia (yeye).

 Al-Adlu: Ni Muislamu aliye- baleghe, mwenye akili timamu am- baye hutekeleza faradhi na anayejie-pusha na madhambi makubwa naasiyedumu katika madhambi mado-go madogo. Na anajiheshimu kwa

 tabia njema na ada nzuri nzuri. Ad-dhwabtu: Ni yule ambaye

hufanya uzuri katika aliyoyahifadhikifuani mwake katika hadith kwanamna ambayo huzikumbuka kwausahihi wakati wowote ule atakao ilikuzisimulia, au amehifadhi katikakitabu chake ambacho ameandikandani yake mapokezi yake na akak-ilinda dhidi ya kufutika na kubadili-ka na kuharibika na mfano wa hayo.Na hufahamika kuwa kwake mwenyekudhibiti kwa kuafikiana upokezi

 wake na upokezi wa wengine wenyeudhibiti na uhifadhi katika matam-shi na aghlabu katika maana.

 Al-Mu tq inu: Ni Mweny eudhibiti pamoja na kuwa na ziada yanguvu kubwa ya udhibiti

 At -t ha bt u: Ni Mu ad il if umwenye udhibiti kwa daraja la juukabisa la nguvu za udhibiti.

 Al-Haafidhu: Ni yule aliyehifa-dhi hadith laki moja, matini na Isna-di (mtiririko wa upokezi wake hadikwa Mtume) kwa mujibu wa rai mo-

 jawapo. (Mfa no Al-Ha afidh IbnHajar Al Asqalaaniy, Al Haafidh IbnRajab n.k)

 Al Hujjat: Ni yule ambaye elimu yake imesheheni hadith laki tatu(kutokana na rai mojawapo). Na up-okezi wa kila mmoja miongoni mwahao ni sahihi na wenye kukubalika

na iwapo utungo wa upokezi wakeutaepukana na kukatika au kup-

 wekeka na kuwa na ila  Ad-dhwa’ifu: Ni mpokezi am-

 baye udhibiti wake umepungua auuadilifu wake umeporomoka. Na up-okezi wake ni dhaifu na wenye kuka-

 taliwa iwapo atapwekeka nao. Iwapoutapatilizwa (na upokezi mwingine)huondoka udhaifu wake kwa kulekupatilizwa 

 Majhuulul-ayn: Na huitwa (vile vile) Majhuul-adaalat Dhwaahiran Wabaatwinan, naye ni yule ambayehajawa mashuhuri kwa kutafutaelimu yeye mwenyewe, walaMaulamaa hawamjui na wala up-okezi wake haujulikani ila kwa up-ande wa mpokezi mmoja tu. Na up-okezi wake haukubaliwi kwa mujibu

 wa wanawazuoni wa hadith.  Majhuulul Haali: Naye ni

mwenye kujulikana uwepo wake kwaupokezi wa watu wawili kutokakwake na hivyo akaongezeka kuwamiongoni mwa walio mashuhurikwa elimu, na wala yeyote hakumuo-na kuwa ni mwenye kutegemewa.

 Al Mastuuru: Ni huyo huyo Ma- jhuulul Haali, na huitwa ‘Majhuulul Adaalah Ba atwinan L aa Dhwaa-hiran’ yaani asiyejulikana uadilifu

 wake kwa siri lakini siyo dhahiri. Nahukumu ya mapokezi yake ni kuka-

 taliwa  Mutahhamun Bil Kadhbi: Ni

 yule ambaye urongo wake umethibitikatika kusimulia watu na jambo lakehilo likatangaa. Na upokezi wake si

 wen ye kuk uba liw a kwa ujumla wake.

 Al Kadhhaabu: Ni yule ambayeurongo wake juu ya Mtume (Rehmana amani ziwe juu yake) umethibiti,iwe kwa nia mbaya kama kuzua kwa

 wazandiki na wazushi hadithi kwa lengo la kubadili na kupotosha(dini)au kwa nia njema kama ilivy-opokelewa kutoka kwa baadhi yaMasufi na wenye kudai kuweka ha-dithi katika mambo ya fadhila. Naupokezi wake ni wenye kukataliwakwa ujumla wake.

 Al Matruuku: Ni yule ambayeuadilifu wake umedondoka kwakuthibiti urongo wake katikakusimulia watu. Na upokezi wake ni

 wenye kukataliwa na wala udhaifu wake hauondoki kwa kupatilizwa nakwa ushahidi.

 Al-Mubtada’u: Ni mtu wa Bid’akatika itikadi au matendo. Na Bid’ani kumuabudia Allah kwa yale am-

 bayo Allah hakuyaamrisha. Au ni

itikadi katika kitendo maalum kama vile ni jambo la kisharia katika kuli-

fanya au muonekano, na sababu(kutaka) kujikurubisha kwa Allahkupelekea kupata ujira na thawpamoja na kwamba Sharia haik

 weka kimuonekano au kulithibitkwa kujikurubisha na kupata tha

 bu.

Nayo (Bid’a) ni ya namnambili:

1- Yenye kukufururisha: Nayile ambayo inalazimisha kufuruupokezi wa mwenye Bid’a hi

 wenye kukataliwa kwa ujumla wa2-Yenye kumfanya mtu faa

Nayo ni ile inayomsababishia mufasiki na upokezi wa mwenye Bhii hukubalika kwa masharti maw

 Asiwe mwenye kuitia watu nako Bid’a yake.

 Na kwamba upokezi wake us wenye kutia nguvu Bid’a yake.

19- Al Mukhtalitu: Ni yule a

 baye nidhamu ya akili yake imehibika kwa sababu ya maradhimadhara au umri mkubwa na mf

 wa hayo au vitabu vyake vimepoakawa hawezi kutimiza aliyokusukuyasimulia kwa namna iliyo sah

Kwa aliyoyasimulia kablakuchanganyikiwa hukubalika iwni miongoni mwa wenye kutegeewa na yale ya baada ya kuchang

 yikiwa na vile vile yale ambayo ha likani je ni ya kabla au baadakuchanganyikiwa hayo hayaku

 liki.20- Al Wadhwa’u: ni yule amb

hubuni hadith kumsingizia Mtu(Rehma na amani ziwe juu yake) kkuzua. Na upokezi wake ni wekukataliwa kwa ujumla wake.

 Itaendelea toleo lijalo

MAHUSIANO YA KIBINADAMUUSTAADH HABIB HAMIM

MAPITIO YA VITABU

Hii ni safu mpya katikagazeti la Imaan inayohu-siana na habari za wale-mavu ambao ni sehemu

muhimu katika jamii yetu.Lengo la makala hizi nikuelimishana kuhusuulemavu, maana yake, ainaza ulemavu, haki zao, namuhimu zaidi ni kuhusunjia nzuri ya walemavukuishi vizuri katika ja-mii na namna bora jamiiinapaswa kuishi na wale-mavu.

Katika makala haya ya kwanza ni- tazungumzia maana ya ulemavu namaana ya mtu mwenye ulemavu. Ka-

 tika kuangalia tafsiri ya ulemavu nil-iangalia vitabu kadhaa hapa Tanzania

na nje ya nchi hususan Sudan amba-ko niliishi na kusoma kwa muda mre-

fu.Ulemavu kwa ujumla unatafsiriwa

kuwa ni kukosa au kushindwa kuwana fursa ya kushiriki katika maisha yakawaida ya kijamii kwa kiwango sawana wengine kwa sababu za kimaum-

 bile, kiakili au sababu za kijamii. Ule-mavu unaweza kuwa katika maeneo

 yafuatayo: kuona, kusikia, akili, viun-go kama mkono au mguu, kuongea,

 tabia au ulemavu mchanganyiko .Kwa hiyo basi, ulemavu unaweza ku-pelekea ugumu wa kutembea, uzito

 wa kujifunza, utamkaji wa shida, nakujitenga katika eneo fulani la tabia.Ulemavu mwingine huhitaji uangali-zi maalum.

Kwa upande mwingine, mtu

mwenye ulemavu ni mtu mwenye ud-haifu au upungufu wa viungo, faha-

mu au akili kwa muundo wa kudumu,na ambaye uwezo wake wa utendajikazi umepungua kutokana na vikwa-zo vya kimtazamo na kimazingira.Mtu mwenye ulemavu anaweza kuwaameathirika kimwili, katika kuona,kiakili, kisaikolojia, kielimu au kima-

 wasiliano na atakuwa amepungukiwana uwezo wa kujisimamia mambo

 yake ya kawaida katika mazingira yakijamii. Mfano wa ulemavu ni kukosauwezo wa kuona. Hii ndio maana yaulemavu, wiki ijayo Mola Muumbaakipenda, tutazungumzia ainambalimbali za ulemavu.

[email protected]

0718 561 149

MAANA YA ULEMAVU

Page 13: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 13/15

www.islamicftz.

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10,

14

NA YUSUPH AMIN

Ukiona vyaelea ujue vime-undwa’ ni msemomaarufu wa Waswahili.Mtume, maswahaba na

 vizazi vya Waislamu waliotangulia walifanya kazi kubwa ya kuupiganiaUislamu hadi kwa uwezo wa Allahukatufikia sisi.

Katika zama hizi pia tunao watu waliojitolea kwa hali na mali kuuha-mi Uislamu. Kwa hapa Tanzania,mmoja kati ya watu watakaokum-

 bukwa katika kuendeleza Uislamuni marehemu Abas Kilima ali-

 yekuwa mwasisi na Katibu Mkuu wa kwanza wa Baraza Kuu la Jumui- ya na Taasisi za Kiislamu Tanzania.

Kama ambavyo ukisoma historiautagundua kipindi kigumu zaidikwa Waislamu ni wakati Mtume al-ipoanza kuitangaza dini, ndivyo haliilivyokuwa wakati Baraza Kuu

 linaanzishwa ambapo wachache waliunga mkono.

Kukosekana uungwaji mkono wa wengi haukurudisha nyuma jiti-hada za kutekeleza azma ya Abas na

 wenzake. Badala yake walijitolea ku-

fanya kazi za baraza hilo kwa moyomkunjufu wakitawakkal kwa Allah.

Nia thabiti, msimamo imara namsaada wa Allah vilishinda nguvu

 ya vikwazo na changamoto na hati-mae juhudi za waasisi zilizaa ma-

 tunda, huku Kilima akibeba jukumukubwa.

Ni nafasi yake maalum katikaharakati za uundwaji wa Baraza Kuundio imepelekea baadhi ya wacham-

 buzi wa masuala ya dini ya Kiislamukusema muonekano wa sasa waBaraza Kuu unafungamana kwa ki-asi kikubwa na mchango wa mare-hemu Abas Kilima.

Katika mahojiano maalum nandugu wa Abas , aitwaye Ally Kilimagazeti la Imaan liliambiwa kuwa

 Abas alihamasika na kupata ujasiri

 wa kushiriki harakati za kidiniikiwemo kuunda Baraza Kuu kupi-

 tia ushiriki wake katika jumuiya ya Warsha ya Waandishi wa Kiislamu.Hiyo ilikuwa ni kipindi kifupi baada

 ya kustaafu kazi Shirika la Reli alilol-itumikia kwa muda mrefu.

 Wazo la kuunda Baraza Kuu pia lilichangiwa na uzoefu ambao Abasalioupata wakati akiwa Shirika laReli katika miji ya Voi, Nakuru naNairobi nchini Kenya. Akiwa hukoalishuhudia mshikamano mkubwa

 wa Waislamu ingawa walikuwa wachache ukilinganisha na Tanza-nia ambako Waislamu walikuwa

 wameparaganyika. Abas na wenzake walifanya jiti-

hada kubwa hadi Baraza Kuu likaundwa na kusajiliwa.

Licha ya kukosa rasilimalimuhimu kwa wakati huo nauchanga wa taasisi yenyewe, Abasna wenzake walifanikisha mambomengi, ikiwemo kuendesha seminana warsha zinazoihusu dini ya Kiis-

 lamu na Waislamu ambazo baadhi yake zilisimika misingi ya mafanikio ya sasa. Warsha zilizoandaliwaziliendeshwa na wasomi wa Kiisla-mu kama vile Profesa, Dokta TigitiSengo, Profesa Omar Kasule na Pro-fesa Kigoma Ali Malima.

Katika uongozi wa Abas , seminanyingi zililenga kutafakari namna

 bora ya kuandaa mifumo bora yakuendesha taasisi za Kiislamu, semi-na ambazo zilichochea wengi kujita-mbua na kutoa dira katika kuun-ganisha umma wa Waislamu Tanza-

nia. Abas akiwa Katibu Mkuu ali-shirikiana na Mwenyekiti wake,Salum Khamis katika kulitangaza

 baraza mikoa yote ya Tanzania. Abas atakumbukwa pia kwa

kushughulikia utafiti wa Julai 18,1991 uliofanywa na wanataaluma

 wa Kiislamu kuchunguza dhulmadhidi ya Waislamu wa Tanzania ka-

 tika elimu ya juu, utafiti ambao ume- leta matokeo chanya kwa umma wa Waislamu.

Historia yake: Abas Shaaban Kilima alizaliwa

Septemba 29, 1938 mtaa wa Usaga-

ra mjini Tabora akiwa mtoto wa

kwanza kati ya watoto saba wa mzeeShaaban Kilima na bi AminaSalmini.

 Abas alipata elimu yake ya msin-gi katika shule ya msingi Tabora mji-ni baadae akaendelea na elimu yakati (middle school) katika shule yaMwanhala wilayani Nzega. Baadaealijiunga na shule ya sekondari yaTabora boys na baadae shule yaufundi ya Ifunda.

Kuhusiana na elimu ya dini, ali-pata elimu ya msingi ya Kiislamukwa babu yake, Juma Salmin,mjomba wake, Khamis Idi na mwal-imu Khamis bin Daudi. Pia alikuwaakihudhuria semina mbalimbali ku-

 jifunza elimu ya dini kwa nyakati to-fauti. Baada ya kuhitimu masomo

 yake katika shule ya ufundi Ifunda, Abas aliajiriwa katika Shirika la Reli la Afrika Mashariki na wakati huohuo akihudhuria kozi mbalimbalihadi kupata stashahada ya Uhandisi

 wa Mashine (Mechanical Engineer-ing).

Hapo awali Abas aliajiriwa kamamchochea kuni, wakati huo trenizikiwa zinatumia kuni au mkaa kati-ka kuziendesha. Baadae aka-pandishwa daraja na kufanya kazikatika kitengo cha kuunga mabe-hewa.

 Abas aliendelea na elimu huko

Nairobi nchini Kenya na baadaekurejea nyumbani ambako ali-pandishwa cheo na kuwa dereva wagari moshi, na kisha msimamizi inji-ni ya treni na kustaafu akiwa kamamkaguzi wa mitambo ya injini yagari moshi.

 Akiwa shirika la reli, Abas alifan- ya kazi katika vituo vya Tabora,Moshi, Dar-es-Salam, Voi pamoja

na Nakuru vya nchini Kenya na wakati huo huo akifanya jitihada ka- tika kujifundisha elimu ya dini kati-ka maeneo hayo.

 Abas aliishi maisha ya kawaidana pia moja kati ya mambo aliy-okuwa akiyazingatia ni majukumualiyopewa na Waislamu, jambo am-

 balo lililompa ari ya kazi na kupele-kea baraza kupiga hatua kubwa yamaendeleo.

 Abas alikuwa akiheshimika sanakwa rafiki zake na alikuwa namapenzi makubwa na ndugu wa ka-ribu na nje ya nyumbani kwake. Piaalikuwa ni mtu wa kupenda kufanyamazoezi ili kulinda afya ya mwili.

 Je wanazuoni wanamzun-gumziaje?

Kwa upande wake Yassin Ka-chechele amesema, Abas alikuwakiongozi mwenye kutekeleza ahadina alileta mabadiliko katika kuwatu-mikia Waislamu. Yasin anakumbu-ka kuwa ni Abas aliyeshirikiana namarehemu Profesa Kigoma Malimakufanikisha ununuzi wa vyombo vyamatangazo vya Radio Kheir.

Baada ya kufariki Profesa Mali-ma, Abas na wenzake walibeba ju-kumu la kwenda kitengo cha forod-ha uwanja wa ndege kwa ajili ya ku-komboa vyombo hivyo.

 Amir wa Baraza Kuu la Jumuiyana Taasisi za Kiislamu Tanzania,Mussa Kundecha anamzungumzia

 Abas kuwa ni zaidi ya kiongozi,kwani alijitolea kutumikia baraza

kwa nafsi na hata mali yake ilikutafuta radhi za Allah. Amir Kundecha anasema, umati

 wa watu waliojiotokeza katika mazi-shi yake ambapo walifunga barabarakadhaa za jiji la Dar es Salaam niushahidi kuwa Abas alikuwa kion-gozi bora wa umma wa Waislamu

 wa Tanzania na hilo limethibitika.“Ingawa watu wengi hawafaha-

mu, moja ya siri kubwa ya mafanikio yetu ni Abas Kilima, tukiwa ni sehe-mu ya Jumuiya zinzounda BarazaKuu la Jumuiya na Taasisi za Kiisla-mu, alikuwa mara kwa mara ak-itupitia ofisini kutupa hamasa namiongozo ya kazi”, anaeleza Mu-hammed Sheikh, mmoja wa vion-gozi waandamizi wa Jumuiya ya Vi-

 ja na wa Ki is la mu Mw en ge

(MYMCO) akimuelezea Abas . Ju-muiya hiyo kipindi hicho ilikuwa naofisi zake Msikiti wa IjumaaMwenge, Dar es Salaam.

 Abas pamoja na mkewe Rukia binti Fundi walifariki mwaka 1998kwa ajali ya gari iliyotokea katika mjimdogo wa Chalinze mkoani Pwani

 wakitokea kijiji cha Mwailangekwenye mazishi ya binti yake.

Hadi anaitikia wito wa kurejeakwa Allah Sub’hanahu Wataala,

 Abas aliacha wake wawili, watotokumi na wajukuu kadhaa.

Tunamuomba Allah Sub’hanahu Wataala amrehemu Abas Kilima,amsamehe madhambi yake na amu-ingize katika peponi, Aaamin.

Maelezo ya Makala haya ni kwamujibu wa ndugu wa marehemu

 Abas , Injinia Ally Kilima.

 ABAS KILIMA Muasisi wa Baraza Kuu la Taasisi za

Kiislamu Alikuwa mfano wa kuigwa

katika kuutumikia Uislamu

Abas Kilima (kulia) akiwa na Sheikh Abubakar Mwilima katika moja ya hafla za Kiislamu.

HAZINA YETU

Page 14: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 14/15

www.islamicftz.org

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10, 2015

 WATOTO / MATANGAZO

ZAHRA EBRAHIM

Masafa ya Imaan FM

Kigoma

Moro

Arusha

Ruvuma

Dsm

Mtwara

Mwanza

Tabora

Mbeya

1 Daresalaam 104.5 Mhz2 Morogoro 96.3 Mhz3 Arusha 90.8 Mhz4 Mwanza 105.6 Mhz5 Kigoma 92.5 Mhz

6 Tabora 101.6 Mhz

7 Mbeya 90.3 Mhz8 Dodoma 102 Mhz9 Ruvuma 94.2 Mhz10 Mtwara 90.9 Mhz11 Zanzibar 104.5 Mhz

12 Pemba 104.5 Mhz 

ILALA ISLAMIC SECONDARYUSAJI

S.240

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

KWA WASICHANA TUIPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII

SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,

COMBINATIONPCM,PCB,CBG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA

UFAULU 2014KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322

Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V

MAWASILIANOSimu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822,

0714 381964

KWA WAVULANA TUIpo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/

COMBINATIONPCM,PCB,CBG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA

UFAULU 2014

Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala IslamicZipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V

MAWASILIANOSimu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964

Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nne

1. Kwa daraja la I, II, III Apate angalau D tatu za kombi yake2. Kwa daraja la iv Apate C tatu za kombi yake

3. Aliekosa sifa ya 1 na 2 ataruhusiwa kuanza kidato  cha v huku anarudia mitihani

Sifa

MLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

USAJIL

S.4384

Wajue wanawake watukufu: Asi-ya, Maryam, Khadija na Fatima

 Asiya, Maryam, Khadija na Fatima ni wa-

nawake wanne walio bora zaidi katika Uislamu.Ubora wao unatokana na matendo yao makuukatika kupigania dini ya Mwenyezi MunguSub’haanahu wa Taala na kutafuta radhi zake.

Hebu tuone nini kinawafanya wanawakehawa wawe maalum kiasi cha kubashiriwa ku-ingia katika pepo ya Allah yenye kila aina yastarehe, makazi ya kifakhari, bustani tulivu,mavazi, vyakula, mito ya vinywaji na neema ny-ingi ambazo dunia haijapata kuzishuhudia.

Asiya alimuamini Allah Asiya alikuwa ni mke wa Firauni, mtawala

 wa Misri katika zama za Nabii Musa (Amani iwe juu yake). Firauni alikuwa katili, tajiri na mbabealiyekufuru kwa kujiita mungu. Ukafiri waFirauni haukumzuia Asiya kumuamini AllahSub’haanahu Wataala. Asiya angeweza kulewakatika anasa za Firauni, lakini alichagua kutafu- ta radhi za Allah. Ni yeye huyu Asiya ambaye al-imlea Nabii Musa (Amani iwe juu yake).

Maryam alimtumikia Allah Kama ambavyo mama yake, mke wa Imran,alivyoahidi kwa Allah (3:35), Maryam alikuwaakihudumia msikiti siku nzima usiku na mcha-na huku akivumilia tabia za watu. Kadhalika ak-iwa bikira, Mungu alimchagua Maryam kuwamama wa Nabii Issa (Amani iwe juu yake). Mar- yam hakukutana na mwanaume bali Allah al-isema kuwa, na Nabii Issa akawa (3:45-47).

Khadija: wa kwanza kusilimuKhadija ambaye alikuwa mke wa kwanza wa

Mtume Muhammad (Rehma na amani ziwe juu yake) alikuwa wa kwanza kusilimu na alim-uunga mkono Mtume kwa hali na mali katika

kazi yake ya Unabii. Mtume hakuongeza mkempaka Khadija alipofariki. Khadija anatajwakuwa alikuwa mke aliyemuunga mkonomumewe katika kazi zake, mama aliyependa watoto wake na mfanyabiashara mahiri.

Fatima, msafi aliyeishi maisharahisi

Fatima mara zote alikuwa muangalifu sanakuhusu hijaab yake. Fatima alikuwa ni Muisla-mu aliyejilinda na maasi, mtoto mzuri kwa wa-zazi wake, mke aliyemjali mumewe, mama ali- yependa wanawe. Tangu akiwa mdogo, Fatimaalisimama kidete katika harakati za kumhami baba yake na kazi yake ya Utume. Fatima ali-saidia kutibu watu waliojeruhiwa vitani na alii-shi maisha rahisi. Katika hadith iliyopokewa naBukhari na Muslim Mtume alipenda kusema:“Fatima anatokana na mimi, yule amkasirishayeamenikasirisha mimi”.

MaswaliSura ipi katika Qur’an inajulikana kwa jina

 la mama wa Nabii Issa (Amani iwe juu yake)?Mke wa kwanza wa Mtume Muhammadanaitwaje?

Nani katika wanawake watukufu alikuwaakitibu watu waliojeruhiwa vitani?

 Mke wa Firauni zama za Mtume Mussaalikuwa ni nani?

 Taja mambo matatu ambayo ukiyafanya yanaweza kukupeleka peponi

 WAJUE WANAWAKE WATUKUFU

KONA YA WATOTO

Page 15: Imaan Newspaper Issue 4

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 4

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-4 15/15

Ukweli

kuhusu

riba

Uk 11

15 Rajab 1436,  JUMATATU May 4 - 10,

NA YUFUPH AMIN

Kama mfuatiliaji wa histo-ria utakuwa unajua jinsimwanamke alivyokuwaakidhalilishwa na kukan-

damizwa hususan enzi za ujahiliya(Kabla ya ujio wa Mtume Muham-mad, Rehma na amani ziwe juu

 yake).Kuja kwa Mtume Muhammad

(Rehma na amani ziwe juu yake)kulileta mapinduzi makubwa kati-ka Uislamu na dunia kwa ujumla,ikiwa ni pamoja na kupandisha ha-dhi na thamani ya mwanamke. Ka-

 tika aya mba limba li za Qur ’an tuk ufu , All ah ana ele zea ali vyo -mtukuza mwanamke.

Harakati za kuhakikisha hadhina heshima ya wanawake inabaki

 juu ilipelekea wanawake wa Kiisla-

mu wa Tanzania kuunda BarazaKuu la Wanawake wa Kiislamumwaka 2000, likiwa chini ya Bara-za Kuu la Jumuiya na Taasisi za Ki-islamu.

Baadae mwaka 2008, barazahilo lilijisajili Wizara ya Mambo yaNdani na kuwa taasisi inayojitege-mea.

Baraza hili limewaunganisha wanawake katika mapambano yakujikomboa kiuchumi, kuwaen-deleza katika taaluma ya dini ya Ki-islamu, kuwastawisha kijamii napia limekuwa chombo cha kupazasauti za wanawake wa Kiislamu wa-napokabiliwa na tishio lolote.

 Atha ri chanya ya shug huli za baraza hili iko wazi, hususan kiu-chumi. Wanawake wengi wamejik-

 wamua kimaisha kutokana na mra-di wa kuwekeza na kukopesha kwa

k Kii l j

 likana kama ‘Islamic Credit Society’(ICS) ulioanzishwa na Baraza hilo.

Kwa mujibu wa Naibu Katibu wa Bar aza hil o kit aif a, MayasaSadallah, malengo ya baraza nikukuza na kuendeleza mradi waICS kuwa benki ya wanawake waKiislamu.

 Akichanganua mradi wa kuwe-ka na kukopa, Mayasa amesema

 wakinamama hujumuishwa katika vikundi vya watu 30, ambapo ki lakimoja huwekeza na kukopeshanakwa kuzingatia madaraja mbalim-

 bali yanay otok ana na kias i w ali-choweka katika mfumo ambaohauna riba, ambapo wanachama

 wanaweza kukopa hadi Tsh. Milioni2. Mayasa aliliambia gazeti la Im-aan kuwa ICS yenye wanachamazaidi 25,000 inaendeshwa kwaumakini mkubwa, ambapo ili ku-

hakikisha mambo yanakwenda, baraza hufanya vikao vya ICS kilakatikati na mwisho wa mwezi ili ku-

 jua idadi ya waliowekeza na kuko-pa.

Hata hivyo, uchumi sio eneo pe-kee ambalo baraza limefanikiwa.Mafanikio mengine muhimu ya

 ba ra za ni ka ti ka ha ra ka ti zada’awah. Wakinamama wamefaidi-ka sana na darasa za kinamama zam ita a na m a j u m b a ni z ina -zoendeshwa siku za ijumaa na ju-mapili, mihadhara ya kila wiki, ma-kongamano ya kila mwezi na pia

 warsha mbalimbali kwa wanawake wa Kiislam u w alio ko mtaa ni na wale wa serikalini.

Kama ilivyo katika miradi yafedha, mradi huu wa kuendelezanakiroho pia unaratibiwa kwa uan-galifu, ambapo kila baada ya miezi

i i i k il

kata hukutana kutathmini ripoti yakazi iliyofanywa, mahudhurio na

 taarifa ya matatizo yaliyojitokeza.Kwa kuwa baraza halina wafa-

dhili viongozi hujichangisha kupatapesa za kusaidia kazi ya ulinganiajikupitia ziara mbalimbali mijini na

 vijijini, ambapo imepe lekea akinamama wengi kufahamu dini yao.

“Wanawake wengi sasa wanajua jinsi mwanamke wa Kiislamu ana- vyotakiwa kutekel eza m ajukumu yake kijamii kwa kufuata taratibuza kisheria, pia wamefahamu sitara

 ya mwa namke ilivyo na kuondoamisimamo hasi juu ya hijab”, Maya-sa alisema.

Kwa mujibu wa Mayasa, wa-nawake wengi wamejenga imanikwa baraza, ambapo baadhi yaohuwatembelea ofisini na kutakaushauri au msaada wa kutatuliwa

matatizo yao. Kadhalika, baadhi ya wadau hulet a misaada kama vilenguo na vyakula ambavyo barazahupeleka kwa wahitaji.

Kuhusiana na vyanzo vya mapa- to ya kuendeshea bara za, Mayasaamesema chanzo kikubwa nim ic h a ng o ya w a k ina m a m a

 wenye we, i ngawa baraza pia linamaduka machache yaliyopo nje yamisikiti wanayoimiliki ambayo

 wameyapangisha. Amesema mapa- to ha yo hu saidia kuen desha shu-ghuli za baraza.

Kadhalika, kila mkoa unapaswakuchangia makao makuu kiasi ki-dogo cha fedha kila mwezi. Mikoanayo huwa na utaratibu wao wakuchangisha wanachama il ikuendesha shughuli zao.

Uanachama wa Baraza la Wa-nawake unaombwa kwa kujaza

f k b h k

ka katika wilaya husika. Sifamuhimu kubwa ya kuwa mwana-chama ni kuwa Muislamu, baleghe.

Muundo wa Uongozi:Bodi ya wadhamini yenye watu

 tisa ndio chombo cha juu kabisa ka- tika muundo wa uongozi wa Baraza la wanawake. Chini ya bodi ya wad-hamini kuna viongozi wa kitaifaambao ni Mwenyekiti au Amira;Fatuma Juma, Naibu Mwenyekiti;Khadija Ahmad, Katibu Mkuu,Hawra Shamte, Naibu Katibu, Ma-

 yasa Sadall ah na Mweka Hazina,Mwajuma Kimia.

Kadhalika, kuna wajumbe saba wa kamati ya utendaji. Kwa upande wa kamati, kuna kamati ya taalumaambayo ndani yake kuna idara yada’awah na pia kuna kamati ya yamipango, uchumi na fedha.

Katika uongozi wa mkoa, kuna vio ngo zi wak uu watano na wa- jum be sab a wa kam ati ten daj i,kama ilivyo katika ngazi ya taifa.Utaratibu wa uendeshaji barazakwa mikoa na wilaya ni kama ule

 wa kit aif a. Hata hiv yo nga zi zamisikiti na madrasa huwakilishwana wanawake watatu kwa kilamsikiti.

Kwa upande wa matawi, Mayasaamesema baraza limefungua mata-

 wi mikoa yote ya Tanzania bara na lina wawaki lish i kw a up ande waZanzibar. Baraza hufanya mkutanomkuu kwa mwaka mara moja am-

 bapo huhudhuriwa na viongozi wangazi zote za wilaya, mikoa na taifa.

Malengo ya baadae:Katika kuinua wigo wa huduma

zake, baraza lina mpango mkakati

k h kiki h kil k iliki

ardhi, lengo likiwa kushughulikiamahitaji ya kijamii kwa wanawake.Baada ya kupata ardhi baraza hu-

 wataka akina mama hao kuorodhe-sha mahitaji yao ili kupata urahisi

 wa kuyashughulikia.Mayasa alisema ardhi inaweza

kutumika kuanzisha miradimbalimbali kwa manufaa ya wa-nawake na Uislamu, ikiwemo zaha-nati, vituo vya wanawake, shule,miradi ya kilimo na kumbi za miku-

 tano.Katika kuhakikisha kazi za bara-

za zinasonga mbele, Mayasa amese-ma baraza limeweka mikakatimbalimbali kwa siku za baadae kwakuhakikisha wanawake wa Kiisla-mu wanainuka kiuchumi, ikiwemokuanzisha Benki ya Kiislamu ya

 Wanawake.

Changamoto: Akizungumzia changamoto zi-

nazolikabili baraza, Mayasa amese-ma, kutokana na wingi wa t aasisi

 wap o wan aod han i kua nz ishwa baraza kuu la wanawake kumevun- ja shughuli zao. Lakini alitaka taa-sisi nyingine zisiwe na wasiwasikwani baraza halimzuii mtu kutoka

 taasisi moja kujiunga na ny inginekwa wakati mmoja.

 Aidh a a mezi taja chan gamotonyingine kuwa ni baadhi ya mitaza-mo ya watu wa dini kuhusu mwan-amke imekuwa kikwazo katika ku-fikia malengo. Wajumbe hukosaruhusa kwa waume zao kwa kuonani watu wa kukaa nyumbani na ha-

 waruh usiw i k ufany a sh ughuli zadini.

Changamoto nyingine ni nguvu

ndogo ya uchumi, hivyo baraza linakaribisha sadaka na zaka kuto-ka kwa waumini mbalimbali.

Pia amewataka wanawake kuon-dosha dhana kuwa hakunaumuhimu wa kutafuta elimu, nakuongeza kuwa, matokeo yakukiukwa kanuni za kitabibu kwamagonjwa ya wanawake kutibiwana madaktari wanaume yametoka-na na dhana hii potofu.

Mayasa amesema, wao kama baraza wamekuwa wakifanya semi-na katika vyuo vya kitabibu vyaIMTU na Kairuki ili kuwashawishi

 wana funz i wa kike wasome kwa juhudi na watumie elimu yao kui-saidia jamii.

Licha ya kuwepo changamotohizo, baraza limepata mafanikiokatika uungwaji mkono kwa kiasikikubwa, si tu kwa wanawake, bali

hata kwa taasisi za wanaume. Akifafanua hilo Mayasa amese-

ma, wanapata ushirikiano kutokakwa Chama cha Wanataaluma waKiislamu (TAMPRO) katika masu-ala ya kitaaluma. Pia taasisi ya TheIslamic Foundation, hususan kupi-

 tia vyombo vyake vya habari, am - bapo vime kuwa viki said ia kutoamatangazo ya makongamanopasipo gharama yeyote.

Katika suala la ujenzi wa misiki- ti, taasisi ya ‘Islamic Relief Organi-zation’ ya nchini Kuwait imekuwaikisaidia ujenzi wa misikiti pindi

 wanapohitajia.Mayasa amewataka wanawake

 wa Kiislamu watambue kuwa Bara-za Kuu la Wanawake ni chombochao na si cha mtu fulani, hivyo

 wakiunge mkono k ikamili fu, kwamali na nafsi zao katika kuipigania

di i All h

Baraza la Wanawakewa Kiislamu Tanzania

 Lakwamuamaelfu ya wan-awake kiuchumi

 Lajipangakuanzisha benki

 ya Kiislamu