summaries of gc reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/swahili/report...

28
Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili 1. 2-Muhtasari wa Ukurasa wa Ripoti ya Miaka minne ya Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 2 2. Kamati ya Kawaida ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa Ripoti ya Kwanza: Mapitio . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 7 3. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa ripoti ya Pili: Mabadiliko katika Mwitikio wa Mabadiliko ya Sheria ya Humu Humu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 10 4. Kamati Kuu ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa Ripoti ya Tatu Mapendekezo kutoka katika Kongamano Kuu la 2008 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 11 5. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari Wa Ripoti Ya Jopo Kazi la Mifumo ya Kanisa. . . . . . . . . . 14 6. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Marekebisho ya utaratibu wa Usalama wa Kustaafu kwa viongozi wa Dini . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 16 7. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Utaratibu wa Kustaafu kwa Usalama wa Watumishi . . . . . . . . . . . . . . 18 8. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Mpango wa Ulinzi wa Kina (CPP) wa Maombi kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa 2012 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 21 9. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Mpango wa Mchango wa Kustaafu wa Watumishi uiliofafanuliwa . . .24 10. Nyumba ya Uchapishaji ya Muungano wa Kimethodisti (UMPH) 2009–2012, Muhtasari wa ripoti . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .27 1

Upload: others

Post on 30-Oct-2019

8 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili

1. 2-Muhtasari wa Ukurasa wa Ripoti ya Miaka minne ya Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 2 2. Kamati ya Kawaida ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa Ripoti ya Kwanza: Mapitio . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 7 3. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa ripoti ya Pili: Mabadiliko katika Mwitikio wa Mabadiliko ya Sheria ya Humu Humu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 10 4. Kamati Kuu ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa Ripoti ya Tatu Mapendekezo kutoka katika Kongamano Kuu la 2008 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 11 5. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari Wa Ripoti Ya Jopo Kazi la Mifumo ya Kanisa. . . . . . . . . . 14 6. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Marekebisho ya utaratibu wa Usalama wa Kustaafu kwa viongozi wa Dini . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 16 7. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Utaratibu wa Kustaafu kwa Usalama wa Watumishi . . . . . . . . . . . . . . 18 8. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Mpango wa Ulinzi wa Kina (CPP) wa Maombi kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa 2012 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 21 9. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Mpango wa Mchango wa Kustaafu wa Watumishi uiliofafanuliwa . . .24 10. Nyumba ya Uchapishaji ya Muungano wa Kimethodisti (UMPH) 2009–2012, Muhtasari wa ripoti . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .27

1

Page 2: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

1. 2-Muhtasari wa Ukurasa wa Ripoti ya Miaka minne ya Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii

Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii (GBCS) ni sera ya umma na utetezi wa wakala wa sheria ya

jamii wa Muungano wa Kanisa la Kimedhodisti. Wajibu mkuu wa wakala ni kutafuta

utekelezaji wa Kanuni za Jamii na tamko la sera ya Mkutano Mkuu katika matatizo ya

jamii ya Kikristo.

GBCS huendesha kazi zake kupitia programu ya elimu ya utafiti, “mshahidi anayeongea

kwa uwazi,” na kitendo “kwa masuala ya ustawi wa binadamu, haki, amani na umahiri

wa uumbaji.” Maeneo ya msingi ya GBCS ya huduma ni Uundaji wa Utetezi ,Uundaji wa

Elimu & Uongozi, Umoja wa Mataifa & Masuala ya Kimataifa, na kuweka rasilimali

katika maeneo haya katika dhehebu. Makao makuu ya GBCS ni Jengo la Muungano wa

Kimedhodisti, ambalo inalimiliki katika Washington, D.C. pia inatunza afisi katikaKituo

cha Kanisa cha Umoja wa Mataifa katika New York City.

Ufahamu na matendo katika masuala ya binadamu ulimwenguni na upendo wa amani na

haki zinazoelezea huduma jumla ya utetezi wa GBCS. GBCS inaita kanisa kufanya haki

kwa kuunganisha imani ya kibiblia kwa matendo. Wakala wanawapatia dhehebu sauti

katika viwango vya taifa na kimataifa. Pia inatoa elimu na mafunzo yote kwa mtu binafsi

na kupitia kwa rasilimali ambazo zinaangazia matatizo bainifu ya jamii na kuhamasisha

mwitikio ili kurekebisha dhuluma.

Uhamasishaji huu ulifanyika katika miaka minneMarekani katika vijisehemu kadhaa vya

historia ya sheria. Inaendelea kimataifa kuhusiana na Malengo ya Mandeleo ya

Milenia(MDG) ilipitishwa na wanachama wa majimbo 190 ya Umoja wa Mataifa. Katika

hali zote mbili, uhamasishaji unajumlisha kurekebisha dhuluma kati ya mifumo ya jamii,

kisiasa, na uchumi- malengo ya kipindi kirefu ya dhehebu ambalo liliandika Ukiri wa

kwanza wa Jamii zaidi ya miaka 100 iliyopita.

Kwa kutoa “shahidi anayeongea ukweli,” wakala unajitahidi kuhamazisha muunganisho

wa Muungano wa Kimethodisti kwa niaba ya vipaumbele vilivyowekwa na Mkutano

2

Page 3: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

Mkuu katika utakatifu wa jamii. Ili kutimiza matokeo makubwa ya kijamii, kiroho, na

kisiasa na mirengo iliyoratibiwa miongoni mwa Umoja wa Kimedhodisti kutoka kwa

mikutano tofauti kote ulimwenguni huhitaji juhudi za wakala ambao wanashubiri maeneo

hayo.

GBCS iliongoza kwa ufanisi Muungano wa Kimethodisti kwa msaada muhimu

kutokaMarekani.sheria ambayo inaboresha maisha ya watu. Inayotambulika zaidi

miongoni hizi ni udhibiti wa tobako na Utawala wa Marekani wa Chakula na dawa za

kulevya na mabadiliko ya mfumo wa taifa wa utunzaji. Ya kwanza itaokoa maisha ya

watu na kuwalinda watu wachanga kutokana na biashara ya kuathiriwa na ulaji huo. Ya

pili italeta zaidi ya watu milioni 30 ambao hawakupata bima hapo awali chini ya ulinzi

wa bima.

Kazi ya wakala kwenye sehemu hii na vijisehemu vingine vya sheria vitafanya utofauti

muhimu kwaMuungano wa Kimethodisti kwa kupunguza gharama za makanisa ya ndani,

kuondoa ugonjwa na vifo vinavyoletwa na athari kali za tobako, na kuangazia

kutolingana ambako kunaweka wale walio kwenye ukingo kwa hatari.

Mafanikio ya maili hizi za kihistoria yanagundulika lakini huduma ya haki haiwezi

kutulia kwenye lareli hizi ikiwa bado tuna ukosefu wa makao , umaskini, na ukiukaji wa

upendeleo unaendelea kuharibu maono ya Mungu kwa dunia.

Kufanya wanafunzi wa Yesu Kristo kwa mageuzi ya ulimwengu ni jukumu la Bodi Kuu

ya kanisa & Jamii. Kuondoa sababu za kimfumo za dhuluma ambazo zinatesa kwa

uchache, ya mwisho, na kupoteza mageuzi ya dunia.

Mnamo 2008, Mkutano Mkuu ulimiliki Maeneo Manne ya Mtazamo: kupambana na

magonjwa ya umaskini kwa kuboresha afya kote ulimwenguni; kushirikiana katika

huduma na wasiojiweza; kuunda sehemu mpya za watu wapya na uwekaji upya umuhimu

wa waumini waliopo; kuandaa viongozi Wakristo walio na kanuni za kanisa na

ulimwengu. Haya yote ni mashamba ya mizabibu ambayo GBCS imekuwa ikifanya kazi

kwa miongo.

3

Page 4: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

Baada ya Mkutano Mkuu wa 2008, GBCS ilirekebisha vipaumbele vyake ili kusisitiza

kwa uwazi msaada wake wa maeneo lengwa. Hii ilikuwa ya moja kwa moja kwa sababu

mtazamo wa maeneo unalingana na majukumu ya Kinidhamu yaliyopo ya wakala. Ni

eneokazi la Ustawi wa Binadamu, kwa mfano, iliyohusishwa tayari katika huduma ya

HIV/UKIMWI, iliongeza matakwa mengine ya afya ulimwenguni inayoangazia

wanawake na familia. Zaidi ya hayo, upanuzi wa mafanikio kupitia ruzuku kutoka nje ya

Huduma ya Fedha Ulimwenguni, kutoridhisha jitihada ya wakala ili kuonyesha

usimamiaji wa kifedha.

GBCS inashiriki katika huduma za wakala wa ndani zinazohusiana na Afya

Ulimwenguni, Huduma iliyo na umaskini na Maendeleo ya Uongozi. Majukumu mengi

ya Kinidhamu za GBCS, hata hivyo, huenda zaidi ya Maeneo Manne ya Mtazamo. Hii

inajumlisha kukomesha mateso na hukumu ya kifo, na kumaliza vita.

GBCS umekuwa mfano wa msimamizi wa rasilimali zilizopangiwa huduma yake.

Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na

Muungano wa Kanisa la Kimedhodisti kwa kuthibitishwa na ukaguzi wa nje wa kila

mwaka.

Uthibitisho muhimu katika eneo la usimamizi wa kifedha uliotokea mnamo Oktoba 2010.

Mahakama Makuu ya Washington, D.C, ilitoa uamuzi kuwa GBCS, ni wakala wa

mtangulizi na Bodi zao husika za Wakurugenzi imeangalia kwenye uwajibikaji wa

maadili yanahusu Jengo la Muungano wa Kimedhodisti. Uamuzi ulimaliza kesi ya

kisheria ya muda mrefu wa miaka ambayo ilieneza kupitia Mikutano Mikuu miwili.

Kesi ya Mahakama ilianza wakati GBCS ilipouliza ufafanuzi wa uamuzi ikiwa

Muungano Jengo la Kimedhodisti fedha zinatumika ipasavyo. Jibu la mahakama

lilisisitiza ndiyo.

Jaji wa Mahakama Makuu Rhonda Reid Winston alifanya uamuzi kwa upande wa

Muungano wa Bodi Kuu ya Kanisa la Kimedhodisti na Jamii (GBCS) ikiamua kuwa

fedha zilizopeanwa mapema karne ya 20 ili kujenga Muungano wa Jengo la

Kimedhodisti katika Mlima wa Capitol hayakukusudiwa kufanya kazi pekee katika

4

Page 5: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

maeneo ya ukadiriaji na pombe. Muungano wa Jengo la Kimedhodisti ulifunguliwa

katika 1923, miaka kumi na miwili kabla Mahakama Makuu Jengo mlango ufuatao.

Katika uchambuzi wake, Jaji Reid Winston alipata “ushahidi wazi na wa kushawishii”

kuwa madhehebu ya GBCS wakala mtangulizi “hawakuzuiwa ipasavyo” kwa ajili ya

matatizo ya ukadiriaji na pombe. “Hata baadhi ya [wapinzani] ushahidi wa binafsi

unaonyesha kukosekana kwa uzuizi wa zawadi,” alisema.

“Ushahidi unaonyesha wazi kuwa kwa miaka hiyo yote, Bodi pia ziliidhinishwa kwa, na

kufanya, utendaji wa kazi kubwa katika masuala mengine ‘tabia za umma’,”Jaji Reid

Winston aliandika.

Muungano wa Kimethodisti wa Mkutano Mkuu umetangaza upinzani wake kwa hukumu

ya kifo, vita, kamari, picha za ngono, pombe na matumizi ya tobako, ubaguzi wa rangi,

mateso ya kidini, na matendo mengine maovu. Pia imetangaza msaada wake kwa

mazingira safi, ubora, elimu, amani, utengano baina ya kanisa na jimbo, ugavi sawa wa

rasilimali, na mwisho mwingine wa mapendekezo ya jamii. Historia imethibitisha hii

kuwa juhudi za kipindi kirefu, ana historia ya sasa imethibitisha kuwa maendeleo

yanaweza kupatikana kupitia kwa kujitolea na kuwa mwaminifu kwa maono ya Mungu.

Karne nusu iliyopita imeonyesha hatua kubwa za mbele kwa kupitia kwa vuguvugu la

haki za uraia, vuguvugu la wanawake, vuguvugu la mazingira ya haki, mirengo ya

kumaliza unyanyasaji na silaha za niuklea, na vuguvugu la haki na hadhi ya watu. Haya

ni maadili makuu na ya kiroho. Muungano wa Kanisa la Kimedhodisti imekuwa sehemu

muhimu ya juhudi hizi. Bodi Kuu ya Kanisa &Jamii hucheza jukumu muhimu katika

kuwezesha kuhusika katika Muungano wa Kimethodisti katika vuguvugu la haki ya jamii

kote ulimwenguni.

Mabadiliko duniani yalikuwepo kwa karne nyingi na vita, njaa, tauni, na plegi

itafanikishwa tu kwa kufanyakazi katika viwango vyote katika kanisa, na mtazamo

ulioshirikishwa kama vile ile iliyoko katika Maeneo Manne ya Mtazamo. Hata hivyo,

hayo ni tu: maeneo manne pekee. Imani yetu inatuongoza kuwaangazia mengi zaidi ya

matumaini yoyote ya mabadiliko ya ukweli kutokea.

5

Page 6: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

Hilo ni jukumu la Bodi Kuu ya Kanisa &Jamii. Wakala wetu wanachimbua udongo na

kupanda mbegu ambazo zitazalisha mimea ambayo hutoa salfu za kuponya ambazo

zinarekebisha hali ambazo zinaamuru mabadiliko. Huduma za rehema ni muhimu kwa

muda mfupi, lakini huduma za haki zinahitajika kwa mabadiliko ya ukweli.

6

Page 7: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

2. Kamati ya Kawaida ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa Ripoti ya Kwanza: Mapitio . . . wakati ambapo Mmiliki wa mbinguni na ardhi alikuleta katika uhai na akakuweka

katika ulimwengu huu, alikuweka hapa si kama mwenyeji, lakini kama msimamizi ... John Wesley 1760,

Mwito wa usimamizi wa Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya (GBPHB) imekuwepo kwa zaidi ya karne moja-huku ikitoa uwekezaji na huduma za manufaa kulingana na kanuni za Kanisa la Mwungano wa Methodisti. Tunawatunza watumishi wa Mungu Marekani na, leo, kote ulimwenguni. Tunalenga ustaafu, afya, ulemavu na hata mipango ya manufaa ya kifo kwa wachungaji, wa waajiriwa wa wakala za kawaida, na kuweza kuwaweka waajiriwa wa makanisa ya humuhumu pamoja na taasisi zinazohusiana na UMC Marekani makongamano ya kila mwaka. Na pia tunaanzisha programu za malipo ya uzeeni kwa wachungaji waliostaafu na waume au

ake wao wanaoishi bado katika makongamano ya kati. w Marekani Manufaa ya malipo ya uzeeni Sisi tupo taasisi kuu ya kifedha kwa uwekaji akiba wa muda-mrefu na msaada wa kustaafu kwa kulinganisha na maadili ya UNC ndani ya nchi ya Amerika kwa watu

apatao 91,000 wa wachungaji ya UMC na kuweza kuwafaa wale waajiriwa. w Uanzilishaji wa Malipo ya Uzeeni ya Kongamano la Kati Uanzilishaji wa Malipo ya Uzeeni ya Kongamano la Kati (CCPI) latoa msaada wa kustaafu kwa wachungaji katika makongamano 71 nje ya Marekani. Kwa wale watumishi wa Kristo ambao wamejitolea maisha yao katika huduma Kanisani CCPI husaidia kuwapa tumaini za siku zao za usoni za ustaafu. Ingawaje makongamano mengi ya kati yanakua mara nyingi yanang’ang’ana na kutoa msaada unaotosha kwa Wachungaji wakati wa miaka yao ya huduma kazini. CCPI inaweza kukutana na kila askofu pamoja na uongozi wa malipo ya uzeeni katika kila kongamano. Programu za malipo ya uzeeni za CCPI, sasa zinaenedelea katika operesheni na zinafadhiliwa, zinachukuwa waliostaafu 984 na waume au wake wao mbao bado wanaishi. a

Sehemu nyingi za kijiografia zinazohudumiwa na UMC kote ulimwenguni hazina mifumo ya malipo ya uzeeni inayofadhiliwa na serikali; bila msaada wa Kanisa, Wachungaji mara nyingi hawana msaada wa kifedha kabisa wakati wanapostaafu. CCPI hutoa ufadhili kwa msaada wa moja kwa moja wa malipo ya uzeeni, na muhimu zaidi, pia elimu na utoaji malipo ambayo husaidia katika kila kongamano wakati linapoendeleza programu yake ya malipo ya uzeeni kwa kujifadhili yenyewe na kwa kujiendeleza yenyewe. CCPI inatarajia kwamba Wachungaji wote wa kongamano la kati watakuwa na mfumo fulani wa msaada wa

alipo ya uzeeni kufikia mwisho wa 2012. m Jopo Kazi la Mifumo ya Kanisa (CSTF) CSTF, kwa pamoja iliyoitishwa na GBPHB na Kamati ya Kawaida ya Elimu ya Juu na Huduma (GBHEM) kama ilivyoelekezwa na Kongamano la Kawaida la 2008 lililotolewa katika ripoti ya 2001 kuhusu athari ya mifumo ya kuajiriwa ya UMC kuhusu afya ya

7

Page 8: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

wachungaji. Wakati ripoti ya CSTF na maswala ya kisheria yanapoangazia maswala ya kiafya ya wachungaji wa Marekani, vilevile yanayotokana na haya kuhusu afya ya wachungaji kote ulimwenguni. CSTF inaamini ya kwamba wakati umefika ambao ulihitaji mabadiliko katika athari ya mifumo ya Kanisa katika afya ya Wachungaji kupatia nguvu huduma na kuendeleza mwito wa Kanisa. Bila ya dhehebu-shukrani pana kutokana na thamani ya huduma yenye afya na kujitolea katika kubadilisha zile athari zinazotuathiri vibaya, tunahatarisha uwezo wetu wa kuendelea na kupatia nguvu mwito wetu wa mwunganisho, kote ulimwenguni. Ripoti ya mwisho ya CSTF imejumuishwa

atika sehemu hii. GBPHB inaleta uwekaji sheria kulingana na mapendekezo ya CSTF. k Mipango ya Ustaafu Lengo sanifu la mpango wa ustaafu ni kutoa ustaafu salama kwa washiriki katika gharama endelevu kwa makongamano na makanisa. Katika kujibu maombi ya kongamano ya kuweza kuangalia machaguo yanayowezekana na yanayopatikana ili kudhibiti gharama huku ikiendeleza mpango, tuliweza kuchunguza mpango wa malipo ya uzeeni kutoka kwa mshiriki na mitazamo ya kongamano huku ukitambua maadili ya kila aliyetamani kufanya hivyo na katika msawazisho upi. Kutokana na haya, tunaleta machaguo sanifu ya ustaafu kwa Kongamano Kubwa la 2012 ili yaweze kutiliwa maanani. GBPHB inapendekeza chaguo la kuunganisha kiungo cha faida kilichofasiliwa pamoja na kiungo cha mchango kilichofasiliwa kinachokaribiana sana na programu ya usalama ya ustaafu wa wachungaji wa sasa (CRSP) lakini kwa gharama ya chini zaidi na manufaa. Chaguo la pili ni mchango fasiliwa-wa mpango tu. Kati ya machaguo haya yaliyopendekezwa yote hayapunguzi manufaa ambayo tayari yanalipiwa au yale ambayo yanafaidisha. Kanisa litaweza kutathmini machaguo sanifu ya mpango pamoja na kuweza kutambua ni maadili yapi ambayo ni muhimu zaidi huku likisawazisha mahitaji ya washiriki walio na mahitaji a makongamano. y

Gharama ya Operesheni Kulingana na Kitabu cha Mwanafunzi , GBPHB haipokei fedha zozote za kawaida za Kanisa. Gharama zetu za operesheni zinatokana na ujira wa uwekezaji na hupitia katika usimamizi wa uwekezaji, hifadhi ya benki, na kufadhili gharama za kiutawala inazohusiana na mipango ambayo tunatekeleza. z

Uwekezaji wa Uwajibikaji Kijamii Ufikivu wa Kilimwengu- Mwekezaji Mkubwa zaidi wa kidhehebu wa marekani Huku tukiwa na takribani bilioni 17 $ katika rasilimali zetu ambazo tunasimamia, sisi ndio tulio na fuko la fedha la kidhehebu la malipo ya uzeeni kubwa zaidi katika nchi ya Marekani na tunaorodheshwa 80 bora miongoni mwa mipango ya malipo ya uzeeni bora 100. Fedha zetu za uwekezaji mara kwa mara huwa zinatimiza au kuzidi matoleo yale ya uwekezaji tulioweka. Tunaangalia wajibu wetu kama imani takatifu, huku tukisimamia ustaafu na rasilimali za mpango wa manufaa na uwekezaji wa kitaasisi ya Kanisa na mashirika mengine yanayohusiana na UMC. Programu yetu ya Kukopesha kwa Kusudio ya Kijamii kwa kuleta ubora imeweza kufadhili karibu bilioni 1.5$ katika programu zinazotoa ufikivu bora zaidi wa upangaji nyumba nafuu, ufadhili wa maendeleo ya jamii zinazohudumiwa kidogo nchini Marekani, na kuweza kufikia fursa za mkopo kwa wanaofanya kazi maskini katika nchi zinazoendelea. GBPHB ilikuwa ni mojawapo ya

8

Page 9: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

waliotia saini waasisi 27 wa Kanuni za Umoja wa Mataifa kwa Uwekezaji wa wajibikaji. U

Uwekezaji wa Kimaadili na Upanuzi Sisi ni mchapakazi na mwajibikaji na wa kuaminika—tunachunguza kampuni ambazo tunawekeza ndani, kuzishirikisha pale ambapo tunahisi hivyo, kuweka rekodi za masuluhisho ya wenye hisa ili kuweza kupasa sauti yetu au kuiongeza kwa sauti nyingine. Uwezo wetu wa kuadhiri kampuni amazo tunawekeza hutegemea na kumiliki

isa zao. h “Utokaji” katika kampuni humaanisha uuzaji wa hisa zetu, kukatiza mawasiliano yoyote ya kuathiri, na kukomesha uhusiano wa uwekezaji. Utokaji ndio suluhisho la mwisho tu kama jitihada zetu za kujishirikisha zimeshindikana na kampuni inapuuza mwito wetu rasmi na kutoka kwa wenye hisa wa kubadilisha shughuli za biashara. Tunayo maoni ya wale walio ndani ya dhehebu kuhusiana na Israeli-Palestina na tumeweza kushirikisha Caterpillar, Hewlett Packard na Motorola katika mazungumzo. Tunaamini mikakati yetu ya ushirikishwaji inafaa na kwamba maendeleo yatafanyika. Kama tutatoka, basi hatuna tena sauti au hatuna tena nafasi kwenye mazungumzo mezani, huku tutapoteza njia muhimu sana ya kutetea haki za binadamu katikaPalestina. Tutaweza pia kutupilia mbali ushirikishwaji katika maswala mengine, kama vile mazungumzo yanayoendelea na Hewlett

ackard na Motorola kuhusu haki za binadamu katika nchi ya Kongo. P Msimamo wa Kongamano Kubwa kuhusu kuruhusu uwekezaji katika unyumbukaji wa kufuatilia majukumu yao muhimu imeweza kuhudumia UMC vizuri; shughuli hii inafaa kubaki hivyohivyo. Kulazimisha utokaji kutaweza kuepuka kanuni za utokaji wa GBPHB, huku ukiendelezwa na wakurugenzi wetu wa kamati ili kutusaidia kutii majukumu yetu ya kikazi kwa washiriki wetu.

9

Page 10: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

3. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa ripoti ya Pili: Mabadiliko katika Mwitikio wa Mabadiliko ya Sheria ya Humu Humu Uamuzi wa Baraza la Mahakamani katika majimbo 481: “Kongamano la Kawaida [t]u ndilo lililo na mamlaka ya kuunda, kuanzisha, kudurusu, kurekebisha, kukatiza au kuendeleza … mipango mbalimbali ya malipo ya uzeeni ya “Kanisa la Mwungano wa Methodisti.” Uamuzi huu wa Baraza la Mahakama unaelezea zaidi kwamba mabadiliko katika sheria ya jimbo au shirikisho huenda ikafanya baadhi ya mabadiliko katika matoleo ya mpango yanayohitajika kati ya vipindi vya Kongamano la Kawaida. Kanuni hii ilithibitishwa na Uamuzi wa Baraza la Mahakama wa 1008. Kulingana na, Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya (GBPHB) huenda ikarekebisha mipango yake ya kutekeleza na kuwenda sambamba na mahitaji ya sheria ya kijamii. Wakati huu wa kongamano la nne la kila mwaka, GBPHB ilifanya mabadiliko katika mipango mbalimbali ya malipo ya uzeeni ili kuweza kukubaliana na mabadiliko matano katika sheria tumizi. Mabadiliko haya yanahusu yafuatayo: Ufasili wa Fidia 415 Ushiriki wa Kanisa wa Methodisti wa Puerto Rico Tarehe ya Kuanza Inayohitajika Uanzilishwaji wa Kunufaisha Wasiokuwa-Familia Huduma za wavaliaji sare kuweza kutekelezwa na kifungo cha sheria cha haki ya kuajiriwa tena (USERRA).

10

Page 11: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

4. Kamati Kuu ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa Ripoti ya Tatu Mapendekezo kutoka katika Kongamano Kuu la 2008 Kesi 41033 (inayorekebisha ¶1506.8 ya Kitabu cha Mwanafunzi cha 2000) kinaelekeza Kamati kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaaa ya Afya (GBPHB) ili “kuwasilisha ripoti ya mara nne kila mwaka katika Kongamano la Kawaida kuhusiana na malipo uzeeni ya muda-mrefu na gharama za kimatibabu za yule aliyestaafu katika dhehebu.” Ripoti hizi mbili, 2010 kabla-82 Ripoti ya Mpango wa Ufadhili na Manufaa ya Kimatibabu ya Aliyestaafu katika Kanisa la Mwungano

a Methodisti , vimo katika ripoti hii. w Ripoti ya Mpango wa Ufadhili ya 2010 Kabla-82 Makongamano ya kila mwaka ambayo hushiriki katika mpango wa malipo ya uzeeni wa Kabla-1992 yanahitajika kukamilisha mpango wa ufadhili rasmi kila mwaka. GBPHB inahitajika kuripoti matokeo husika katika kila Kongamano la Kawaida. Makongamano ambayo yalikamilisha mipango ya ufadhili ya 2010 yanatambuliwa katika mwisho wa ipoti r

Hali fadhiliwa inaweza kuwa na nguvu sana. Hii ni kwa sababu hesabu halisi hutegemea fikra nyingi kuhusu matukio ya siku za usoni, ambayo yanaweza haswa kutokea kuwa tofauti Inawezekana sana kwa kongamano ambalo limeweza kufikia ufadhili wake wa 100% (au zaidi) kurudi nyuma katika hali ile ya kutofadhiliwa vizuri ama toshelevu. Kwa hivyo, ni muhimu kuweza kuendeleza mpango wa ufadhili hata

aada ya “kufadhiliwa kabisa” b Manufaa ya Kimatibabu ya Aliyestaafu katika kanisa la Mwungano wa Methodisti Kongamano Kuu la 2008 lilianzisha mahitaji kadhaa ya kutoa ripoti ya mpango wa afya wa kongamano kila mwaka, ikiwa pamoja na ukadiriaji wa kimatibabu ya aliyestaafu na mipango ya ufadhili. Ripoti hii hutoa mapitio ya gharama za kimatibabu za aliyestaafu Marekani’ makongamano ya kila mwaka, kwa mujibu wa ukadiriaji uliyopokelewa kutoka katika makongamano kulingana na ¶1506.24 ya Kitabu cha Mwanafunzi 2008 na muhtasari wa mapitio ya makongamano” mitazamo ya mipango ya ufadhili kulingana na 1506.25. ¶

Kesi tatu zifuatazo ziliweza kurejelewa katika GBPHB na Kongamano la Kawaida la 2008 Kesi ya 81061 “Uuguzi wa Afya” ingeweza kurekebisha ¶334 ya Kitabu cha Mwanafunzi ili kuwahitaji wazee wa Kanisa walio na mwunganisho kamilifu kila mwaka kuweza kutoa idhibati ya utunzaji-nafsi na shughuli za uongozi wa afya

witikio wa GBPHB katika kesi hii unafuata. M GBPHB iliweza kutilia maanani kesi ya 81061 pale ambapo ilianzisha Kituo cha Afya, ambacho kiliidhinishwa na ¶1504.21. Kile Kituo cha Afya huunga mkono afya ya uzima wa dhehebu. GBPHB haipendekezi kuanzisha upya kwa matini ya Kesi ya 81061 katika Kongamano Kuu la 2012. Hata hivyo, Kamati Kuu inadhibitisha kwamba ni muhimu kwa wazee wa kanisa kuweza kuonyesha katika hali ya kawaida ya mara kwa mara (k.m., kila

11

Page 12: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

mwaka) maadili na shughuli zinazo husiana na afya kama ukamilifu katika mwito ambayo yanahitajika katika kutimiza utashi wa huduma, kama ilivyoonyeshwa katika

esi 81061. K Kesi 81311 iliyowasilishwa na Daniel Scott Hagan ambayo mwanzo iliangazia “Ustaafu wa Familia ya Wachungaji” iliweza kurekebishwa ili kuwelekeza GBPHB katika kutoa uelekezi halisi wa kushughulikia kusikosita kwa msingi wa kufidia familia ya wachungaji inayoishi katika UN-huku ikitoa upangaji mnamo au kabla ya Disemba 31 2008 na kuweza kufanya masomo na kuleta pendekezo katika Kongamano Kuu la 2012 katika mpango mbadala wa program ya usalama ya ustaafu ya wachungaji (CRSP) kwa wachungaji aliye na muda kiasi katika huduma

a kila wakati. Mwitikio wa GBPHB katika kesi hii unafuata. y Familia ya Wachungaji Katika kuitikia sehemu ile ya kwanza katika kesi hii mnamo 2008, GBPHB iliweza kuchukua mchango kutoka na kutoa mwongozo katika ofisa wa manufaa wa kongamano kwa njia ya sera iliyoitwa, “Matibabu ya Thamani ya Watu” ambayo iliweza kudurusiwa kiasi mnamo 2009. Inatoa maelezo kwamba familia ya wachungaji inayohudumu katika kanisa moja na inayoishi katika makazi sawa fidia yao inafaa kuongezwa kwa 25%. Familia ya Wachungaji inayohudumu katika makanisa tofauti, kila moja ikikosa kutoa makazi, lakini kwa familia hiyo kuteua kuishi katika makazi sawa, fidia ya kila mmoja wao inafaa kuongezwa kwa 25%. Katika mfano wa familia ya Wachungaji inayohudumu katika makanisa tofauti na inayogawana makazi yaliyotolewa na Kanisa moja bila ya makazi kutolewa kwa yule mwingine, yule wachungaji pekee ambaye kanisa lake linatoa

akazi ndiye ambaye fidia yake itaongezwa kwa 25%. m Wachungaji wa Muda-Mfupi wa Huduma ya Kila wakati Katika kuitikia sehemu ya pili ya Kesi , GBPHB imeweza kuwasilisha kesi katika Kongamano Kuu la 2012 ikitoa machaguo mawili sanifu ya mpango wa ustaafu. Sanifu zote hazijumuishi kushiriki kwa wale wachungaji wanahudumu kwa kipindi cha muda kifupi zaidi kikilinganishwa na nusu ya wakati wa huduma huku ikiruhusu makongamano binafsi na vitengo vinayvo lipia-mshhara ule unyumbukaji wa kufadhili mpango wa uwekezaji wa kibinafsi wa Muungano wa Methodisti kwa wale wachungaji na kuchagua kiwango cha mchango na aina yake Sanifu zote zinasema kwamba wachungaji anayehudumu angaa muda nusu wa muda uliyowekwa katika huduma anapokea manufaa hini ya mpango wa lazima, kulingana na huduma ambayo anatoa. c

Kesi 81570 (ADCA p. 640) “Bajeti la Kanisa Kuu” lilielekeza kwamba GBPHB na Baraza la Kawaida Fedha na Utawala (GCSA) iweze kuendelea kwa pamoja kusoma malipo ya uzeeni na manufaa ya afya kwa askofu, ili kuchunguzia machaguo yote ya mpango wa siku za usoni za uwekaji akiba na kupiga ripoti matokeo yao na mapendekezo katika Kongamano Kuu la 2012. Katika kuitikia, GBPHB na GCFA iliweza kufanya kazi pamoja katika kusoma manufaa ya askofu

a ripoti zao kama ifuatavyo. n Manufaa ya Malipo ya Uzeeni Askofu wa kongamano wakati kupokea malipo ya uzeeni katika programu malipo ya Uzeeni ya Kando ya Episkopali ya Ulimwenguni. Askofu waliowekewa mipaka kwa sasa

12

Page 13: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

washiriki katika Programu ya Usalama ya Ustaafu wa Wachungaji (CRSP) kando kando ya wale wachungaji wengine wengi Chini ya CRSP, malipo ya uzeeni ya askofu ni kwa mujibu wa fomula sawa na ile ya malipo ya uzeeni ya wale wachungaji wengine. Hata hivyo fidia iliyotumiwa katika fomula ni fidia mwisho kwa miaka ya huduma ukiwa askofu huku ni Fidia ya Wastani ya Kidhehebu kwa miaka ya huduma kama wachungaji wengine kuliko askofu. Hii inatambua nguvu zile zilizoongezwa na kuwekwa kwa askofu na inabeba ule utamaduni kutoka katika mpango wa malipo ya uzeeni wa huduma ya awali. Katika kufikia pale ambapo CRSP imefikia, hakuna mabadiliko ambayo yamependekezwa katika msingi ule wa fidia kwa miaka ya huduma kama askofu. GBPHB imeweza kuwasilisha kwa Kongamano Kuu la 2012. Kesi mbili ambazo zitaweza kubadilisha manufaa ya ustaafu ya wachungaji. Chini ya ama mpango pendekezwa, gharama ya askofu inatarajiwa kuwa chini zaidi kuliko kama ilivyo CRSC eo. l

Manufaa ya Afya Askofu wote waliowekewa mipaka na wale wa kongamano la kati kwa sasa wanashiriki katika mipango sawa ya afya kama tu wafanyikazi wa wakala wa kawaida wanopokea fedha za kawaida kutoka katika Kanisa. Mipango hii ya afya hutoa manufaa yanayolinganishwa na yale yaliyotolewa na waajiriwa wengine wakubwa. Askofu wenyewe ni kundi dogo la umri wa kubwa-kuliko-wastani ambayo inamaanisha mpango mwingine wa kando unaogusia tu askofu ambao utakuwa ghali zaidi kuliko mtazamo wa sasa wa kuwajumuisha katika wakala wa kawaida” mipango ya afya. Hakuna mabadiliko katika manufaa ya afya ya askofu ambayo yamependekezwa.

13

Page 14: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

5. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari Wa Ripoti Ya Jopo Kazi la Mifumo ya Kanisa

Jopo Kazi La Mifumo Ya kanisa(CSTF) liliwekwa kwa pamoja na Kamati Kuu Ya Malipo Ya Uzeeni na Manufaa Ya Afya (GBPHB) na Kamati Kuu Ya Elimu Ya Juu Na Huduma (GBHEM) Kutokana na Uelekezi Wa Kongamano La Kawaida La 2008 ili Kufanya masomo ya athari ya mifumo ya ajira kwa kanisa kuhusu afya ya Wachungaji-Kimwili, Kihisia, Kiroho, Kijamii na afya ya Kifedha-na kutoa ripoti ya matokeo na mapendekezo katika kongamano Kubwa la 2012. CSTS ambayo ina wanachama 21 ilikuwa na mwenyekiti wake Askofu Hope Morgan Ward (Kongamano La Kila Mwaka La Mississipi) na ikahitimisha mchakato wa utafiti uliokuwa na awamu mbalimbali mnamo 2010, huku ikitambua masiala 13 yanayoathiri afya ya Wachungaji Ripoti ifuatayo inayo mapendekezo yanayo husiana na maswala ya kisheria ya kongamano hilo kubwa la 2012 GBPHB inaleta pamoja maswala ya kisheria yanayolingana na mapendekezo ya CSTF Uchunguzi wa CSTF Malengo, Matokeo, Marejeleo, na mapendekezo yanafafanuliwa katika ripoti kwa mujibu wa uwekaji sheria wa Kongamano Kubwa la 2012 ili kuangazia mifumo na shughuli ya Kanisa iliyo na dhamira ya kipindi cha muda mrefu cha kuboresha afya ya kilaji na, kwa Kuendelea, ile ya waumini na UMC yenyewe. Huku kukiwa na msingi thabiti katika utafiti, CSTF iliweza kupima, kubainisha, na kuunda mapendekezo yake kuhusu afya ya wachungaji, kwa kuhusisha viungo mbalimbali vya UMC na kuelewa museto wao mpana wa maombi na hekima ya mwunganisho. Katika kusikiliza vipindi hivyo, matokeo ya utafiti na mapendekezo ya simu yaliweza kuwasilishwa ili kufanyiwa utakmini na maoni kutolewa kutoka kwa wale manaoishi na kufanya kazi katika mifumo ya Kanisa. Usorovea wa Wachungaji Ulionyesha Masiala Kumi na matatu ya Afya Utafiti wa ziada uliishilia katika usorovea wa wachungaji 1, 006, ambao ulitambua masiala makuu 13 yaliyohusiana ndani kwa ndani kwa kiwango cha juu na afya: Ubinafsi mkuu Nyendo za kula huku ukifanya kazi ambazo huhusisha mara nyingi chakula Msawazisho wa kazi/maisha Kutosheka kwa kazi Fedha za kibinafsi Matakwa ya nje na maisha ya kijamii Uhusiano na waumini Wafuatilizi wa mchakato huu wa miadi Kutosheka kwa kindoa na familia Changamoto zilizopo katika huduma

14

Page 15: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

Kuishi kiukweli Elimu na matayarisho ya huduma Mabadiliko ya miadi na kubadilishwa makao Mapendekezo ya CSTS Mapendekezo yale matano yaliyotokana na CSTS yananuia kuhakikisha kuwa na Wachungaji stadi, wanaotunzwa, na wanaoendelea vizuri ambao wana uwezo wa kuishi kiukweli, kwa uwajibikaji na kwa ufanisi. Wanavuta na kupata uhusiano wao wa kimwunganisho katika jamii inayowaamini kama sehemu moja muhimu kwa afya ya Wachungaji. Mapendekezo ya CSTF yalikuwa ni kuboresha afya ya Wachungaji ambayo inaelekezwa katika sehemu tano: Kuingia katika huduma —uchunguzi wenye nguvu zaidi wa wale wanaoingia katika

huduma; uwastanishaji na utiaji nguvu wa programu wa kuishi wakati wa kipindi kile kilichowekwa; kutoa uwezo wa kufuatilia ajira‐mnasihi wa muda mrefu na/au mwongozo wa kiroho kwa wachungaji, mbali na yule Msimamizi wa Wilaya

Miongozo ya msawazisho wa kazi/maisha ya afya—yanayopigia debe na kufuatilia afya ya wachungaji na wema wao; kuzoeana na kustawisha rasilimali za kongamano; kutoa msaada kwa wachungaji, mume au mke wake, na familia

Ule mpangilio wa mambo na utoaji- miadi —matumizi ya miadi ya muda mrefu katika kuendeleza kule kutilia maanani kwa wachungaji na, kwa kiasi fulani, kutilia mkazo muunganisho; kuhimiza matumizi ya wachungaji wa mpito

Mifumo ya usimamizi —ufasili wajibu wa Msimamizi wa Wilaya Kutekeleza huduma iliyo na upako —ule mpito wa kujitolea wa kutoka katika huduma

kwa neema iliyo na upako Huku ripoti CSTF pamoja na uwekaji sheria zake ikiangazia afya ya Wachungaji waMarekani, imeweza kutoa ombi na kuashiria kwa ujumla afya ya wachungaji kote ulimwenguni CSTF inaamini kwamba muda umefika wa kuwa na mwingiliano wa mifumo ya Kanisa na afya ya wachungaji ili kuweza kuangazia maswala yanayo wahusu na mabadiliko yanayohitajika ili kuwezesha mwito wa Kanisa kuweza kufikiwa. Afya ya wachungaji inatuathiri sote na inaweza kupatia nguvu huduma yetu. Bila ya shukrani ya dini pana kwa manufaa ya thamani ya huduma yenye afya na kujitolea katika mabadiliko ambayo yanatuathiri vibaya, tunajihatarisha haswa uwezo wetu wa kuweza kuendelea na kutia nguvu mwito wetu wa mwunganisho wa ulimwengu. Ripoti kamilifu ya CSTF katika Kongamano Kubwa la 2012 yafuata.

15

Page 16: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

6. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Marekebisho ya utaratibu wa Usalama wa Kustaafu kwa viongozi wa

Dini

Dua hii linapendekeza marekebisho mbalimbali ya kiufundi na mafanikio ya utaratibu wa viongozi wa dini Kustaafu kwa Usalama (CRSP). Marekebisho haya lazima kuwa na nguvu kabla mapendekezo yale ya CRSP ya Baraza Kuu 2012 kuwa na ufanisi. Hakuna mabadiliko ya athari kwa malipo ya sasa.

I. Mkuu wa Mabadiliko

Inahitaji kuwa kama mkutano wa mwaka hautalipa kiasi kamili kinachohitajika kwa ajili ya ufadhili wa faida, michango kwanza ya kulipa itatengwa kwanza kwa Mpango wa kabla ya 82 (Pre-82) kwa sababu, kwa Mawaziri wa fedha mali ya Pensheni na Mpango wa malipo (MPP) kama mchango ni kutokana, na mwisho kwa sehemu ya faida ya CRSP.

Kusuluhisha ufafanuzi wa ulemavu kuomba si tu kw kazi, lakini pia kwa washiriki ambao wanaweza kuwa walemavu baada ya kuondoa haja ya usambazaji mapema.

Huongeza Sheria ya utoaji wa hiari kutoka moyo kutoa faida ya pensheni kwa watu wanaotoa huduma za kijeshi walio uawa au walemavu kabla ya kurudi kufanya kazi.

Hupunguza mpango wa mdhamini wa tatu na hali ambazo mdhamini kushindwa kutimiza majukumu yake.

Inaruhusu mshiriki kwa jina moja tu kwa ajili ya mipango ya walengwa wadogo wa CRSP.

Kutoa na kudhibiti habari za kisasa za mpango wa mabadiliko yanayohitajika kisheria.

Hufanya ufafanuzi mkubwa usio na masahihisho. II. Mabadiliko ya CRSP

Inaruhusu viongozi wa dini kujiondoa kwa hiari yao kulingana na tarakimu ¶360.2 kwa wateule kubadili sehemu yao ya CRSP kwa faida katika akaunti ya mchango.

Inasema faida itaanza tu baada ya Maombi ya Manufaa kuwasilishwa. Itafafanua jinsi mapato ya michango iliyokesakana itahesabiwa. hupunguza uwezo wa Bodi ya Generali ya kulazimisha malipo kwa kuchukua

fedha kutoka akaunti ya mdhamini kupitia mpango wa pamoja na Bodi ya General.

Inahitaji Mkuu wa Bodi ya wadhamini kutoa taarifa yote ya mpango wa kusimamishwa mapendekezo ya hesabu za faida wakati mpango wa wadhamini wa mfuko wa faida yao ya CRSP.

16

Page 17: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

hupunguza wajibu wa zamani kabla 1993.

III. Mabadiliko ya Mpango wa Mawaziri wa malipo ya uzeeni (MPP)

MPP ni mtangulizi wa CRSP. MPP ina mabaki ya akaunti, sehemu ambayo lazima kubadilishwa kutegemea kustaafu. waziwazi inahitaji mpango wadhamini kutoa mchango wa ziada kama MPP

wa mwaka kwa sababu fedha hazitoshi (kwa mfano, kutokana na hasara ya uwekezaji).

Inahitaji washiriki wapya kustaafu kwa hasa 65% ya akaunti ya usawa wao, kupunguza dhima ya uwezekano wa mikutano. Hivi sasa, MPP inahitaji washiriki kutoa angalau 65% ya urari wa akaunti zao baada ya kustaafu, lakini wengi hutoa zaidi. Hakuna mabadiliko kwa malipo ambayo tayari yanapokewa.

IV. Mpango wa Mabadiliko kabla 82

Kabla ya 82 ni mtangulizi wa MPP. Faida ni kulingana na viwango vya huduma ya zamani vilivyowekwa na mikutano ya kila mwaka. Viwango vya huduma ya zamani haviwezi kupungua. hupunguza mahitaji ya huduma ya zamani kuwa angalau kiwango cha 0.8%

ya Fidia (Baraza la Mahakama awali ilipiniga chini ya mahitaji ya ongezeko 2% chini ya kila mwaka), kuruhusu kila mkutano wa busara kuweka viwango vya ngazi.

inaendelea kuruhusu mikutano ya kuongeza asilimia ya faida kwa kiwango cha huduma ya zamani ya mchumba kuishi, lakini kama faida si tayari kikamilifu unafadhiliwa, mikutano bila haja ya gharama kwa mfuko.

Inaruhusu kuunganisha mikutano kudumisha tofauti za zamani kwa viwango vya huduma na faida yamchumba ya kuishi , badala ya kuhitaji mkutano mpya kwa kutumia kiwango cha juu zaidi ya mikutano ya kuunganisha, ambayo inaweza kukatisha motishawa kuungana mkutano huo bila manufaa ya kifedha.

17

Page 18: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

7. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Utaratibu wa Kustaafu kwa Usalama wa Watumishi

Hii ni moja ya pinzani mbili kufadhiliwa na GBPHB kuchukua nafasi ya mpango wa kustaafu, wa viongozi wa dini (CRSP). Mapendekezo ya mpango huu ni kupendekeza kwa sababu ni pamoja na maisha ya mapato kwa viongozi wa dini, ambayo Kanisa daima inathamini. Mpango huu hupunguza faida na gharama ya kusaidia kukabiliana na mkutano wa masuala ya fedha. Madhumuni ya mabadiliko ni mapendekezo ya uwakili kwa usawa kati ya utoshelevu wa manufaa kwa washiriki na kuendesha kwa ajili ya Kanisa.

I. Kijumla Kwa nini Kanisa ina haja ya kubadili mipango yake ya kustaafu? Kanisa linakabiliwa na shinikizo kubwa ya fedha kama uanachama unapungua na gharama za kanisa kwa ajili ya vitu, kama vile ujenzi wa ukarabati na madeni, inavyo ongezeka. Shinikizo hizi za fedha ziimekuwa nyingi na mtikisiko wa soko hivi karibuni, ambao ulipunguza thamani ya mali ya mpango wa kustaafu, ikiwa ni pamoja na ile ya mfuko wa pensheni na michango. Kupungua kwa mali kwa upande unasababishwa na ongezeko la michango inayohitajika na mikutano. Idadi ya maafisa katika mkutano wamesema wanahitaji unafuu-siyo tu sasa lakini kwa misingi ya muda mrefu kama Kanisa itanufaidi nyuso na matarajio ya wanachama kuendelea kushuka kwa wafuasi Marekani. Nani wanashikiliwa? Mabadiliko haya ya kustaafu kwa viongozi wa dini yana athiri kazi Marekani. Mpango mpya wa miundo uanapaswa kuwa na kiasi kidogo cha athari kwa washiriki wanaokaribia kustaafu kwani watakuwa na miaka michache chini ya mipango mipya. Zaidi ya hayo, wakati huduma chini ya mpango wa sasa wa CRSP DB itakuwa waliohifadhiwa, madhehebu ya Fidia kutumika katika faida bila kuwa waliohifadhiwa wanastaafu.

Hakuna hata mapendekezo yanayopunguza faida sasa kuwa tayari kulipwa. Hata hivyo, baadhi ya mabadiliko inaweza kuathiri ongezeko la baadaye au kiasi kwamba inaweza kuachishwa.

II. Pendekezo na Umuhimu CRSP currently includes both defined benefit (DB) and defined contribution (DC) elements. Katika thamani ya kwamba maeneo ya Kanisa juu ya maisha ya mapato na usalama wa kifedha kwa ajili ya viongozi wa dini, dua hii inaendelea kutoa DB na DC. Pia kwa ufanisi zaidi hutoa usawa hata wakati uwekezaji unapungua baada ya muda. Kwa mfano, washiriki katika mipango ya DC wananaweza kuwa na mizani ambayo ni ya juu zaidi kuliko wengine, kulingana na hali ya soko uwekezaji wao uzoefu katika huduma yao. Dua mbadala ni mpango wa DC tu.

18

Page 19: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

Ifuatayo ni kulinganisha kwa haraka mipango DB dhidi ya DC. Faida (DB)  Mchango (DC) 

Pensheni kwa kila mwezi  Kuchunguza pesa zilizosalia baad ya kustafu 

Kuhesabika kwa kutumia njia    Mchango na uelekezaji na faida / hasara   

Faida za kimaisha    Pesa zilizo salia   

Udhamini unapungua    Wadhamini watakavyo saidia   

Wadhamini wanapata hasara    Washirika wanatarajia hasara   

Kiasi cha faida chaenda kwa mchumba  Pesa zilizosalia zaenda kwa walio hai 

Faida inakwisha baada ya kifo cha mchumba  Faida zaisha pesa zikiisha    

 

III. Maelezo ya pendekezo Mpango wa Toleo la msingi

Toleo  CRSP leo  Mpango ulio bunio 

DB Faida    1.25% ya DAC* kila mwaka wa kufanya kazi  

1.00% ya DAC* kila mwaka wa kufanya kazi 

DC Mchangio  3% wa muhusika wa kazi    2% ya muhusika wa kazi 

DC Mchangio wa usawa    N/A    100% muhusika anavyotoa na 1% faida ya muhusika 

  *DAC ni madhehebu Wastani wa Fidia. Fidia ya mwisho ni kutumika kwa miaka ya huduma kama Askofu.

Kulinganisha gharama Dua hili lilipendekeza badala dua la DC mpango wa kuwakilisha akiba wastani ya gharama za juu zaidi ya 15% kwa CRSP ya leo. Gharama ya akiba zitatofautiana kwa mkutano ili kutegemea fidia ya wastani ya kila mshiriki. Kulinganisha faida Wataalamu wengi wanasema kuwa mshiriki anahitaji kustaafu ili nafasi ya mapato ya kutosha kwa angalau 80% ya fidia yake anayo ipata katika mwaka kabla ya kustaafu. Vyanzo vya mapato ya kustaafu ni pamoja na kustaafu kwa mipango ya mshiriki, Usalama wa Jamii na akiba zao za kibinafsi. Kufuatia ni asilimia inayokadiriwa kuwa asilimia ya fidia kwa mpango unavyopendekezwa katika nafasi ya kustaafu kwa viongozi wa dini kwa ngazi ya chini, kati au ya juu ya fidia, kuchukua mtumishi aliyemaliza miaka 30 ya huduma, amechangia (ikiwa inatumika) na mizani akaunti ya 7% atakaporudi. Makadirio haya ni pamoja na Usalama wa Jamii.

Fidia ya Kustaafu  Faida ya Mwaka (% Fidia) 

CRSP ya leo  Mpango uliopendekezwa DB + DC Mpango 

$40,000  $47,600 (119%)  $39,600 (99%) 

$62,000 (DAC)  $53,300 (86%)  $45,900 (74%) 

$90,000  $61,200 (68%)  $53,100 (59%) 

19

Page 20: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

IV. Sehemu nyingine za Maombi Kustahiki: Ni wale tu viongozi wa dini wanao hudumia angalau nusu ya muda watakuwa na haki ya kupata faida. Mikutano au makanisa yanaweza kutoa wateule kutoa faida chini ya Umoja wa Mpango wa Uwekezaji binafsi wa Methodisti kwa viongozi wa dini ambao wametumikia chini ya nusu ya muda. Faida ya mchumba anayeishi: Hivi sasa, wastaafu wa ndoa hupokea faida ya thamani ya zaidi ya wastaafu wasipoelewa kwa sababu inatoa ruzuku kwa faida ya Kanisa kuendelea kwa viongozi wa dini wana ndoa. Mapendekezo ya mpango wa kupunguza faida kwa wastaafu washiriki, ndoa wakati bado ni hai na akaunti kwa ajili ya gharama za kutoa faida kwa wanandoa na kufanya faida kulinganishwa kwa thamani kwa washiriki wasio olewa. Faida ya Watoto na watu wazima walemavu: DB ilipendekeza na DC ni pamoja na mpango wa utoaji wa kuruhusu watoto walemavu wa watu wazima washiriki kwa kuchangia kwa njia ya upili. Baada ya kufa kwa mke wa mshiriki , walemavu na watu wazima au watoto wataendelea kupokea manufaa DB kwa maisha. Faida ya mshiriki ingekuwa hapo awali kupunguzwa kulipa kwa faida hii ya ziada. Mabadiliko ya Mpango wa Mawaziri wa Pensheni (MPP): MPP ni mtangulizi kwa CRSP. Dua wazi inahitaji mpango wa wafadhili kutoa mchango wa ziada kama MPP ya mwaka haitoshi (kwa mfano, kutokana na uwekezaji hasara). Aidha, ombi litahitaji washiriki wapya kustaafu hasa 65% ya akaunti ya usawa wao, badala ya angalau 65% ya akaunti ya usawa wao. Hii inapunguza uwezekano wa dhima ya mikutano ambayo ina haja ya mfuko huu. Mpango wa Mabadiliko kabla ya 82: Mpango kabla ya 82 ni mtangulizi wa MPP. Dua hii ingekuwa kuondoa masharti kwamba kima cha chini cha huduma ya kiwango cha angalau 0.8% ya Fidia , kuruhusu kila mkutano wa busara kuweka viwango vya ngazi. Kama mkutano ulichagua kuongeza kiwango, gharama ya faida itaongezeka bila haja ya kuwa inafadhiliwa kikamilifu. Dua pia itasaidia kuunganisha mikutano ya kudumisha viwango tofauti, badala ya kuhitaji kiwango cha juu zaidi ya mikutano ya kuunganisha kutumika, ambayo inaweza kukatisha moyo kuungana. Hakuna viwango vya huduma ya zamani vitapungua.

20

Page 21: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

8. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Mpango wa Ulinzi wa Kina (CPP) wa Maombi kwa ajili ya Mkutano

Mkuu wa 2012

Mpango wa Ulinzi wa Kina (CPP) ni lazima kwa muda mrefu wa ulemavu na manufaa ya kifo (bima ya maisha) kwa mpango wa viongozi wa dini wanaostahili nchini Marekani, ikiwa ni pamoja na maaskofu wa Marekani. Bodi ya Mkuu wa malipo ya uzeeni na Afya (GBPHB) inapendekeza mabadiliko sita yafuatayo ili kuunda mpango, yaani, faida ya mabadiliko katika utoshelevu wa marekebisho ya kusaidia mizania ya faida na mpango wa gharama na uendelevu. Mapendekezo ya marekebisho pia ni pamoja na marekebisho kadhaa ya kiufundi na marekebisho bora kwa lugha ya mpango wa utawala na utendaji wake.

I. Mabadiliko kwa Faida ya Ulemavu wa muda mrefu

A. Kupunguza urefu wa kiwango cha juu cha faida ya ulemavu kwa kwa madai ya miezi 24 kwa washiriki walio na madhara kali za akili. Sasa hakuna upeo mrefu wa faida kwa madai ya afya ya akili, zaidi ya kikomo cha umri, ingawa kikomo ni miezi 24 - huu ni mfano katika sekta ya bima. Kikomo bila kuomba na hali fulani tu kitatumika kwa maradhi yanayoweza kutibiwa na Chama cha Marekani cha afya ya akili.

B. Marekebisho ya kukabiliana na (kupunguza) mapato ya faida kwa ulemavu (baada ya miezi 24 ya ulemavu). Hivi sasa, faida ya CPP ni kupunguza kwa dola 1 kwa kila $1 ya mapato , na kujenga motisha kidogo kwa ajili ya wadai kufanya kazi sehemu ya muda kama njia ya mpito wa kazi. Chini ya marekebisho ya faida hii itapungua tu $0.50 kwa kila $1 ya mapato hadi 100% ya fidia ya mshiriki kabla ya ulemavu, baadhi ya kutoa motisha kwa kazi sehemu ya muda ya mpito. Kiasi zaidi ya 100% ya mapato kabla ya ulemavu kitabaki kwa ajili ya kukabiliana na dola.

C. kuimarisha faida kurudi - kwa-kazi na mchakato wa wadai walemavu.

(1) Mzushi : kupunguza 10% ya manufaa ya ulemavu kwa wadai wanaokataa kushiriki katika mpango wa kurudi-kwa-kazi.

(2) Mpango wa mdhamini (mkutano wa kila mwaka) motisha, katika hali ya ruzuku, kwa ajili ya ushirikiano katika mpango wa kurudi-kwa-kazi. Mfadhili wa CPP kurudisha mpango hadi chini ya 40% ya wastani wa fidia (DAC) au 50% ya kabla ya ulemavu mshahara kukabiliana na sehemu ya mshahara kulipwa kwa mdai kurudi.

D. Kupunguza katika muda wa faida ulemavu kwa zaidi ya umri 62. Hivi sasa, mpango hutoa hadi miaka 5 ya faida ya ulemavu kwa wadai wa umri 60 au zaidi (hadi miaka 72). Marekebisho bila kuanzisha ratiba ya muda (hapa chini) kwa wale ambao ni umri wa

21

Page 22: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

miaka 62 au zaidi. Ratiba hii ni karibu zaidi iliyokaa na umri wa kustaafu kawaida chini ya Sheria ya Hifadhi ya Jamii, na kawaida ya viwanda.

Miaka katika tarehe ya ulemavu wa CPP

Wakati wa usaidizi

62 Miezi 60 63 Miezi 48 64 Miezi 42 65 Miezi 36 66 Miezi 30 67 Miezi 24 68 Miezi 18 69 na zaidi Miezi 12 au hadi miaka 72, yoyote ijayo

mbele

II. Mabadiliko ya mafao ya kifo

A. Huduma inayostahili kwa kustahili kwa faida ya kifo. Hivi sasa, kwa kustahili kwa manufaa ya kifo katika kustaafu, mshiriki lazima kustaafu (kuliko mengine chini ya utawala wa miaka 20) miaka 5 ya mwisho 10 ya huduma kama mshiriki katika CPP, au miaka 25 ya jumla kama mshiriki katika CPP. Hii itahitaji marekebisho kwa mshiriki anaye staafu, zaidi chini ya utawala wa miaka 20, na ama 12 ya miaka ya mwisho 15 ya huduma kama mshiriki katika CPP, au miaka 25 ya jumla kama mshiriki katika CPP. Kuongezeka katika miaka ya chanjo, kutoka miaka 5 hadi 12, itakuwa kudumu kwa muda juu ya kuzuia washiriki wakubwa wa sasa kupoteza kustahiki. Mabadiliko inaendelea kuheshimu huduma ya muda mrefu katika wakati wa kuendeleza mpango wa baadaye.

B. Mabadiliko ya faida ya kifo kwa waliojiuzulu kiasi kutoka asilimia ya DAC kwa kiasi fulani ya dola inaonekana katika jedwali hapa chini.

Faida ya sasa Bajeti iliyopangwa Kifo cha muhusika aliyestaafu 30% ya DAC $20,000 Kifo cha mchumba wa muhusika aliyestaafu 20% ya DAC $15,000 Kifo cha muhusika aliyeuhai 15% ya DAC $10,000 Kifo cha muhusika mtoto wa muhisika (aliye chini ya miaka 19)

10% ya DAC $8,000

Mapendekezo ya kiasi cha dola za kudumu inaweza kuwa na ongezeka kwa mfumuko wa bei mara kwa mara katika Mkutano Mkuu. Washiriki waliostaafu tayari kunawiri faida ya sasa, yaani, asilimia ya DAC.

III. Mabadiliko ya Kiufundi katika Mpango wa lugha

22

Page 23: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

Mapendekezo ya marekebisho pia ni pamoja na mabadiliko kadhaa ya kiufundi, ambayo ni masahihisho na marekebisho ya utawala na uendeshaji bora katika lugha ya mpango wa mahitaji ya uendeshaji na kanuni za sekta, ikiwa ni pamoja na:

A. kwamba wanachama wa Mikutano ya Kati kuteuliwa Mikutano ya Mwaka na mashirika ya Marekani kwa jumla wana haki ya kushiriki katika CPP.

B. Kuweka njia ya malipo ya mafao ya kifo kuwa ni faida moja ya jumla badala ya awamu ya kila mwezi.

C. Kuhakikisha kwamba CPP haita kulipa zaidi ya 3% ya fidia kwa mshiriki kama mchango wa mpango wa kustaafu.

D. Kuahirisha faida katika kesi ya udanganyifu au matumizi mabaya.

E. Kuhihitisha kwamba mpango uko wa kupunguza faida katika kesi yoyote ya kuokoa malipo yaliyo tolewa zaidi.

F. Kuhihitisha kwamba wachumba walio hai hawajawekewa vikwazo katika kutambua watakao pata faida.

23

Page 24: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

9. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Mpango wa Mchango wa Kustaafu wa Watumishi uiliofafanuliwa

Hii ni moja ya pinzani mbili kufadhiliwa na GBPHB kuchukua nafasi ya viongozi wa dini ya sasa katika mpango wa kustaafu - Mpango wa Usalama wa Kustafau (CRSP). Mpango huu unapendekezwa kwa kusitisha ongezeko ya madeni ya pensheni ya baadaye, lakini mpango wa wengine ( chini ya gharama kubwa ya CRSP sasa) ulipendekeza kwa ajili ya mapato ya maisha ya viongozi wa dini. Mipango yote itapunguza faida na gharama ya kusaidia kukabiliana na matatizo ya mkutano wa kifedha. Madhumuni ya kuchukua nafasi ya mpango wa sasa ni uwakili kwa kuleta usawa kati ya utoshelevu wa manufaa kwa washiriki, na kuendesha maendeleo kwa ajili ya Kanisa.

I. Kwa Upeo Kwa nini Kanisa ina haja ya kubadili mipango yake ya kustaafu? Kanisa inakabiliwa na shinikizo kubwa ya fedha kwa sababu uanachama unapungua na gharama za kanisa kwa ajili ya vitu, kama vile ujenzi wa ukarabati na madeni, zinaongezeka. Shinikizo hizi za fedha zimekuwa kubwa na kutokana na mtikisiko wa soko hivi karibuni, ambao ulipungua thamani ya mali na mpango wa kustaafu, ikiwa na pamoja na kutumika kwa manufaa ya mfuko wa pensheni na mali ya miaka. Kupungua kwa mali kwa upande unasababishwa na ongezeko la michango inahitajika na mikutano. Idadi ya maafisa wa faida ya mkutano wamesema wanahitaji misaada si tu sasa lakini kwa misingi ya muda mrefu kama Kanisa itaendelea na matarajio ikizingatia idadi ya uanachama kuendelea kushuka Marekani. Nani ataathiriwa? Mabadiliko haya ya mafao ya kustaafu kazi yanaathari kwa viongozi wa dini Marekani. Mpango mpya wa miundo unapaswa kuwa na kiasi kidogo cha athari kwa washiriki wanaokaribia kustaafu kwani watakuwa na miaka michache chini ya mipango mipya. Hakuna mapendekezo yanayopunguza faida zinazolipwa sasa. Hata hivyo, baadhi ya mabadiliko inaweza kuathiri ongezeko baadaye kwa faida hizi au kiasi kwamba inaweza kuwa mapato.

II. Pendekezo na Sababu

CRSP sasa ni pamoja na faida (DB) na mchango wa vipengele vya (DC). Mapendekezo ya mpango huu ni mpango wa DC-tu.

24

Page 25: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

Ifuatayo ni mlinganisho wa haraka wa mipango DB dhidi ya DC. Faida (DB)  Mchango (DC) 

Pension ya kila mwezi  Mabaki yanachunguzwa wakati wa kustaafu 

Inahesabiwa kwa kanuni     Faida na hasara ya mapato na uwekezaji   

Faida za kimaisha    Mabaki ya akaunti  

Mpango wa wadhamini usio dhabiti   Mpango unaotarajiwa wa wadhamini   

Hasara watakayopata wadhamini  Washirika  wanakabiliwa  na  hasara  ya muda mrefu  

Kipande cha faida chaendelea kwa mchumba 

Mabaki ya akaunti yanaenda kwa  wanaoridhi 

Faida kuisha kwa kifo cha mshitika na mchumba wake 

Faida inaisha mapato yakiisha  

 

III. Maelezo ya Pendekezo Masharti ya msingi wa Mpango

Matoleo   CRSP Leo  DC‐Pekee 

DB  Muundo wa Faida   1.25% of DAC* kwa kila mwaka wa kazi  

N/A  

DC matoleo yasio sambamba 

3% ya mshiriki anazotoa   8% ya mchango wa DAC ya Mshiriki 

DC matoleo sambamba   

N/A   100% ya UMPIP ya mshirika hadi 2% ya fidia ya mshiriki   

*DAC ni Wastani wa Fidia. Fidia ya mwisho ya kutumika kwa miaka ya huduma kama Askofu. Ulinganisho wa Gharama Dua hii na mbadala wa dua-DB ilipendekeza pamoja na mpango wa DC - kuwakilisha akiba ya wastani wa gharama za juu zaidi ya 15% ya CRSP ya leo. Gharama ya akiba itatofautiana na mkutano wa kila fidia kulingana na fidia ya wastani wa kila mkutano. Ulinganisho wa faida Wataalamu wengi wanasema kuwa mahitaji ya kutosha ya kustaafu ya mshiriki yanafaa kuwa angalau 80% ya fidia yeye alipokea katika mwaka kabla ya kustaafu. Vyanzo vya mapato ya kustaafu ni pamoja na mipango ya kustaafu kwa mshiriki, Usalama wa Jamii na akiba zao binafsi. Kufuatia ni asilimia ya makadirio ya fidia ya mpango wa DC-tu bila kuchukua nafasi ya kustaafu kwa viongozi wa dini wa ngazi ya chini, kati au ya juu ya fidia, kuchukua watumishi wamemaliza miaka 30 ya huduma, wamechangia sawa kabisa (ikiwa inatumika) na salio la akaunti ilipata faida ya 7%. Makadirio haya ni pamoja na Usalama wa Jamii. Fidia katika kustaaafu  Faida ya mwaka  (%  Fidia) 

  CRSP Leo DC‐ mango 

unaopendekezwa 

$40,000  $47,600 (119%)  $33,200 (83%) 

$62,000 (DAC)  $53,300 (86%)  $39,700 (64%) 

$90,000  $61,200 (68%)  $51,300 (57%) 

25

Page 26: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

 

IV. Vipengele vingine vya Maombi haya Uhakiki: Ni wale tu viongozi wa dini wanaohudumia angalau nusu ya muda watakuwa na haki ya kupata faida ya chini ya mpango wa mapendekezo. Mikutano au makanisa yanaweza kuteua kutoa faida chini ya Umoja wa Mpango wa Uwekezaji wa binafsi wa Methodisti kwa viongozi wa dini ambao wanaotumikia chini ya nusu ya muda. Mabadiliko kwa Mpango wa Pensheni ya Watumishi (MPP): MPP ni mtangulizi wa CRSP. Dua wazi inahitaji mpango wa wafadhili kutoa mchango wa ziada kama Mapato ya MPP hayatoshi (kwa mfano, kutokana na hasara ya uwekezaji). Aidha, ombi itahitaji kustaafu washiriki wapya hasa matoleo 65% ya akaunti ya usawa wao, badala ya angalau 65% ya akaunti ya usawa wao. Hii inapunguza uwezekano wa dhima ya mikutano ambayo ina haja ya mfuko ya mapokeo haya. Mabadiliko kabla ya 82: Mpango kabla ya 82 ni mtangulizi wa MPP. Hii inaweza kuondoa malalamiko kwamba mahitaji ya huduma ya kiwango cha chini cha kuwa angalau 0.8% ya Fidia ya Wastani ya Mkutano, kuruhusu kila mkutano wa busara kuweka viwango vya ngazi. Kama mkutano ulichagua kuongeza kiwango na gharama ya faida kuongezeka bila haja ya kuwa unafadhiliwa kikamilifu. Dua pia itasaidia kuunganisha mikutano ya kudumisha viwango tofauti, badala ya kuhitaji kiwango cha juu zaidi ya mikutano ya kuunganisha ya kutumika, ambayo inaweza kukatisha moyo kuungana kwa mkutano huo kuwa vinginevyo manufaa kifedha. Hakuna viwango vya huduma ya zamani vitapungua.

26

Page 27: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

10. Nyumba ya Uchapishaji ya Muungano wa Kimethodisti (UMPH) 2009–2012, Muhtasari wa ripoti

Kazi yetu yote imelenga misheni muhimu ili kuwafanya wanafunzi wa Yesu Kristo kwa ajili ya mageuzi ya ulimwengu. Kwa miaka 222 taasisi ya uchapishaji imesalia kujikidhi kibinafsi kupitia mauzobila matumizi ya fedha zozote za kanisa kwa jumla na na zaidi ya miaka hamsini ilizopita ilichanga takriban dolla million 50 kusaidia makasisi na wategemezi wao malipo ya uzeeni kwa sheria na kongamano la kati na makongamano ya kila mwaka. Jumla ya uwanachama wa kanisa na mahudhurio katikaMarekani Kaskazini unapungua. Kutokana na hayo, masoko ya kawaida ya rasilimali za shirika ambazo zimekuwa msingi wa shirika la UMPH kwa miongo yanashuka. Katika kukubaliana na ukweli huu na kuwafikia wateja wapya, UMPH inaendelea kucheza jukumu kuu la kupeana rasilimali kwa maknisa na imedhibiti hisa ya soko katika kategoria kadhaa licha ya mitindo ya kurudisha nyuma katika muunganisho mkubwa wa UM. Mauzo ya kipindi cha miaka mine yaliyoangaziwa kwenye ripoti hii yalikuwa dolla 373,160,000. Mapato halisi ya Uendeshaji yalikuwa $2,208,000 na Mapato Halisi yalikuwa $3,668,000. Inagwaje mgogoro wa fedha duniani mnamo 2008-2009 ulisababisha kupungua kwa mali ya kufadhili dhima zote za siku za usoni katika faida ya mpango wa malipo ya uzeeni iliyofafanuliwa ya mfanyakazi wa UMPH, ratiba ya majaribio ya moja kwa moja iliyoandaliwa kwa uangalifu imewekwa ili kuunganisha laha la uwiano na mapato ya kila mwaka na kurudisha mpango kwa hali kamili iliyofadhiliwa.

Jitihada maalum na UMPH ili kutoa bidhaa mpya, kufikia na kuwahudumia wateja wengi, kudhibiti hisa ya soko katika makanisa ya UM, kuza mistari ya bidhaa zilizoteuliwa, na dhibiti gharama zilizotokana na katika mstari chanya wa chini (mapato halisi ya uendeshaji) kila mwaka Katika miaka minne. Hii ilitekelezwa licha ya upungufu wa mahudhurio ya kusifu na Ibaada ya Jumapili katika makanisa ya UM, kubadilisha mitindo kwa waumini, upungufu wa jumla kwa taasisi za kuuza vitabu za dini na kidunia, na mtikisiko wa kiuchumi wa 2008-2009. UMPH hutoa bidhaa tofauti muhimu vya kufundisha na kujifunza, ufadhili wa masomo, theolojia iliyotekelezwa na huduma ya kitaalam, maendeleo ya uongozi, Kuishi maisha ya Kikristo, muziki na kuabudu, na msaada wa misheni na huduma za waumini. Jitihada kuu ambalo quadrennium hii imekuwa utafsiri mpya wa Kiingereza-lugha kutoka kwa maandishi asili na machapisho ya Bibilia ya Kawaida ya Kiingereza (Common English Bible, CEB). CEB ilipatikana na kusimamiwa na UMPH, ikiajiri timu anuwai na zaidi ya wanafunzi 117 kutoka imani 22 za kitamaduni. Utafsiri huu kolevu umetiwa

27

Page 28: Summaries of GC Reports 2012,umcmedia.org/gc2012/adca/Swahili/Report Summaries/Summary_Reports... · Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano

28

sanaa ili kuafikia mahitaji ya wakristo wa kisasa wanapokua kwenye uhusiano na Mungu kupitia Yesu Kristo. Ubia mwingine mkuu unajumlisha mstari mpya wa vitabu ambavyo vinahujumu, kukuza, na mwongozo wa kuishi Kikristo; rasilimali za maisha ya waumini (kujenga ufanisi wa MWANAFUNZI, Kutosha, na Uliobadilishwa Kupeana); ufikifu wa dijitali kwa mkusanyiko mpana wa muziki (Kuabudu & Wimbo) wa kuabudu kwa waumini; vitabu vya dijitali vya matumizi ya semina na chuo; na zaidi. Kazi ya mikakati inaendelea kuendeleza mfumo rejareja wa Cokesbury kama ziada, shirika la idha anuwai la kuuza ambalo linaingiana na kazi ya hifadhi zako za rejareja, idara ya oda ya katalogi na simu, mauzo ya matukio ya mahali kwenye kongamano na mikutano mingine, na hifadhi ya Mtandao ya Cokesbury.com. Juhudi zetu za mauzo ya Cokesbury zimepanua kwa ongezeko la Meneja wakuu wa Akaunti na Wawakilishi wa Mauzo ya Cokesbury ambao wanaishi katika maeneo wanayohudumu na kusafiri ili kupatana na wachungaji, waelimishaji, na viongozi katika makanisa ya nchini. Kuwavutia na kufurahisha makumi ya maelfu ya wateja, UMPH inafanya uwekezaji mkuu ili kuimarisha rufaa na kurahizisha matumizi ya Cokesbury.com. Pia tunakarabati mikataba ya uenezaji na ongezeko la washiriki kama vile Uchapishaji wa Kanisa, Inc. (Kanisa la Episcopal). Kupitia kwa hizi na jitihada nyingine, tunaomba kutoa mpangilio mpana wa bidhaa bora na kufikia wateja zaidi ili kuwahudumia kwa sehemu zaidi. Kuanguka kwa fedha duniani mnamo 2008-2009 kulichangia kusimamishwa kwa maendeleo ya himu mpya za Muungano wa Kimethodisti. Uchunguzi utafanywa na kuletwa katika Kongamano Kuu la 2016 kuhusu umuhimu wa kuanzisha upya mchakato wa marekebisho ya himu. UMPH inawekeza mamilioni ya madola katika miundo msingi ya dijitali, maendeleo ya bidhaa, na kuuza ambako kutaweka UMPH/Vyombo vya habari vya Abingdon /Cokesbury katika kipaumbele cha ulimwengu wa dijitali wa uchapishaji na urejareja. Maswala ya Huduma.com, tovuti ya rasilimali ya Mtandao wa huduma ya ekunomikali ya UMPH, ilizinduliwa mnamo Aprili 2011. Wakati wa miezi yake mitatu ya kwanza, ilipokea takriban utembelezi 100,000 kutoka kwa zaidi ya wageni wa kipekee 51,000 katika nchi 161. Kwa karne mbili Nyumba ya Uchapishaji imetengeneza mabadiliko makubwa na wakati mwingine ya hatari katika modeli za huduma, bidhaa, teknolojia, idhaa za uenezi, na bajeti ili kudhibiti na kukadiria mahitaji ya uhamiaji wa makanisa, viongozi, na mahujaji ya Mkristo. Hatuwezi kutenda machache zaidi sasa kwa kuwa tunajitahidi kusaidia watu wengi katika sehemu nyingi kumjua Mungu kupitia kwa Yesu Kristo, jifunze kumpenda Mungu, na chagua kumuhudumia Mungu na jirani.