annuur_1215.pdf

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 25-Feb-2018

975 views

Category:

Documents


1 download

TRANSCRIPT

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    1/20

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1215 RABBIUTH THAN 1437, IJUMAA , FEB. 5-11, 2016 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected]

    Soma Uk. 2

    Umetuliza!

    MH. Alhaj Aman Karume MH. Alhaj Ali Hassan Mwinyi MH. Alhaj Balozi Seif Idd

    MH. Alhaj Dk. Rais Shein

    MH. Alhaj Maalim Seif

    MH. Hajat, Samia S. Hassa

    Ni kweli Udini hatari!Lakini udini

    wenyewendio huu?

    Bakwata,

    Baraza

    Kuu mpo

    wapi!

    Mapya yaibuka. Kumbe tatizo vibaraka

    Mazombi ni nani? Kwa nini wanatamba?Chonde chonde ya Wete 2001 yasirudi

    MADAI ya SheikhAlhad Mussa, kuwaSheikh Farid Had,ameunga mkonokurudiwa uchaguzi waZanzibar, imepingwavikali na wadauwa dini na Siasahuku, ikielezwakuwa mwenyewe

    Bakwata na UAMSHO wapi na wap

    Apingwa kila kona kwa uzushi

    Ponda aonana na Farid, akanushaNa Bakari Mwakangwale

    Alhad achokoza nyuki

    Inaendelea Uk. 3

    Mh. Rais Magufuli asisemehahusiki kwani yeye ni AmiriJeshi Mkuu.

    Tujiulize kitu gani kilitokeaZanzibar mwaka 1995, 2000, 2005,2010 na sasa 2015 na matukio yote

    yalihusishwa na majeshi.-TunduLissu

    Ni Mapinduzi ya KatibaZanzibar- Tundu Lissu

    MAKAMU wa Rais Mstaafu, Dk. Gharib Bilal (kulia) akiwa naAskofu wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Arusha, Josephat Lebulu. SHEIKH Alhad Mussa

    ALHAJ Pandu Ameir Kifch

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    2/20

    2 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201Mafundisho ya Qur'an/Uwanja wa Maarifa

    Fethullah-Gulen

    Jee Unajua?

    MASUALA1.Asili ya mto Amazon unatokea wapi? Peru, Brazil, Kenya. Jawabu: Amaz2.Mto gani unaigawa Urusi na China? Amur, Missisipi. Jawabu: Amur3.Azerbhajan mji mkuu wake ni Baku ipo ka tika sehemu ya ziwa gani? LaBalghash, Caspian Sea, Zambezi. Jawabu: Balghash4.Ziwa gani kubwa nchini Ulaya? Jawabu: Ladoga5.Nchi gani ya Afrika ina jina la ziwa na ndio jina la nchi? Zambia, TanzanMalawi. Jawabu: Malawi6.Muislamu yupi nchini Marekani akijinasibisha na Utume? Jawabu: ElMohamed7.Muislamu gani nchini Marekani aliopinga watu kujinasibisha rangi yaoUislamu? Jawabu: Malcolm X8.Jina la asili la mwanzo la Msumbiji lilikuwa ni : Jawabu: Mussa Mbeik9.Nchi ya Ureno ikijulikana awali kama : Jawabu: Balad Burtukal10.Kisiwa wa Comoro kinajulikana kwa jina gani kwa Kiarabu? JawabJuzul Kamar

    JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA: 37

    CHEMSHA BONGO: 38

    Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.

    MASUALA1.Itaje mito mitano ilio mirefu kupita yote barani Afrika.2.Itaje miji 3 Afrika yenye kukaliwa na watu wengi.3.Taja Kiongozi wa Kiafrika aliotawala muda mrefu.4.Chuo Kikuu Kikongwe Afrika ni..5.Mshindi wa kwanza wa zawadi ya Nobel mwenye asili ya Kiafrika.6.Raisi yupi wa Kiafrika akifariki akiwa na umri mkubwa na bado yupmadarakani?7.Taja mnyama namba mmoja aliohatarini kutoweka (extinct)?8.Kiongozi gani wa Kiafrika anayosadikiwa hakupita Shule?9.Itaje bridji iliorefu kuliko zote Africa.10.Lugha rasmi kwa taifa la Afrika ya Kusini ni 11, 23, 1

    1.Unajua kama Rais Mugabe wa Zimbabwe ni kati ya Maraisi waliopmadarakani kwa muda mrefu, hadi sasa kishakaa kwenye uongozi wUrais kwa miaka 35: hp://www.afrikanfacts.com/top-10-longest-servingafrican-leaders/2/2.Ziwa liliokubwa Afrika ni Ziwa Victoria na kufwatiwa na Ziwa TanganyikNyasa, Albert, Chad, http://traveltips.usatoday.com/5-major-lakeafrica-108254.html3.Nchi ya Misri ni nchi namba moja inayoongoza Afrika kuwa na nguvkubwa za Kijeshi: hp://answersafrica.com/7-african-countries-with-highesmilitary-strength.html/94.Picha ya kuchorwa ilio ghali kabisa ni Nafea Faa Ipoipo (When Will YoMarry?) iliochorwa na Paul Gauguin (2015) picha hio inagharimu Dolari zKimerekani milioni 300: Nafea Faa Ipoipo (When Will You Marry?)5.Nchi ya Iraq, Syria, Phillipines, Algeria ni kati ya nchi hatari kwa maishya waandishi wa Habari: http://www.infoplease.com/world/statisticdeadliest-countries-journalists.html6.Venezuela, Sudan, Argentina ni kati ya nchi zenye urari wa maish(ination) kubwa duniani: hp://www.infoplease.com/world/countriehighest-ination.html7.Nchi ya Andora inaongoza kufuta ujinga wa kusoma na kuandikikifwatiwa na Finland, Ujerumani : hp://www.infoplease.com/worldcountries/highest-literacy-rates.html8.Nchi inayoongoza kwa watu wasiojuwa kusoma na kuandika duniani nSudani ya Kusini, ikifwatiwa na Afghanistan, Niger : hp://www.infopleasecom/world/countries/lowest-literacy-rates.html9.Wanawake 5 washoka duniani wa kwanza ni Chancellor wa UjerumanAngiel Markel, Dilma Rousset wa Brazil, Melinda Gates wa MarekanMichelle Obama wa Marekani na Hillary Clinton wa Marekani : hp://wwwinfoplease.com/world/statistics/most-powerful-women.html10. Nchi tano ambazo raia wake huchunguzwa kwa kiwango cha juu nvyombo vya dola inayoongoza ni Korea ya Kaskazini, Myanmar (BurmaTurkmenistan, Equitorial Guinea, Libya : hp://www.infoplease.com/ipA0933477.html

    IWAPO mtajiepushana madhambi makubwaambayo mnakatazwa,tutawasamehe maovu yenuna tutawaingiza mahali

    patukufu. [An-Nisaa 31]Wakati wa kuitolea

    maelezo aya hii tukufu,hutajwa hadithi ifuatayomara nyingi Jiepushenina mambo saba yenyekuangamiza, wakasemaee Mjumbe wa MwenyeziMungu ni yepi hayomambo saba? Akasema,kumshirikisha MwenyeziMungu, na uchawi na kuiuanafsi ambayo ameharamishaMwenyezi Mungu,isipokuwa kwa haki, nakula riba, na kula mali yayatima, kukimbia siku yavita na kuwasingizia mambomachafu wanawake wenye

    An nisaa: 31kujichunga na mambomaovu waliyo waumini,wenye kughalika namambo maovu hayo.

    Na mimi ninataka hapakusimama kidogo juu yaKukimbia siku ya vitamaneno ambayo yamekujakatika hadithi tukufu. Namaana yake ni kurudinyuma juu ya visigino nakukimbia siku ya mapiganona jihadi. Na haya ndiyomaana ya kutumia msemoKukimbia siku ya vita namaneno haya yana maanaya kwamba mapambanoyakiwa yanaendelea pamojana ulimwengu wa ukari,hata kama hayakuwepomapambano, na makabilianoyenye moto, maana ni

    kwamba hata kama ilikuwani vita baridi uwanjawake ni maarifa na malezina mafunzo na siasa naufundi na kadhalika, katikamawanja mbalimbali, najukumu ambalo yanapitamapambano ndani yakekatika masiku yetu hayaya sasa kwa mfano, kwahakika muumini mwenyekujitoa na mwenye kujikunjajuu ya nafsi yake hatalau kulikuwa ni niya yakuongoza ukamilifu wakewa kiroho yatatekelezwajuu yake maana ya hadithihii ya Mtume, na atakuwani mwenye dhambi. Na

    akiwepo mtu ambayeanauelewa ulazima wamfano wa utumishihuu na ulingano, kishaakarudi nyuma katikatiya mapambano, vyovyoteitakavyokuwa namna yamapambano, hapana shakakwamba yeye anatenda kwakufanya hivyo madhambimakubwa sana. Madhambihayo ni pamoja na kuwamfano wa matendo kamahaya yataudhooshamoyo na ari katika kundila Waislamu na kitawapamafanikio maadui naitawaenea furaha na haya nimakosa ya nyongeza.

    Na wakati wa kuyaachahaya madhambi makubwayenye kupelekea kwenyemaangamivu na ambayo

    tumesimama mbele yajambo moja tu katikamambo hayo, MwenyeziMungu mtukufu anaahidimsamaha wa makosaambayo hayakukutana namatakwa na makusudiwana kusamehe madhambiambayo hayahesabiwikuwa ni katika madhambimakubwa. Na huuunahesabiwa kuwa niutakaso wa MwenyeziMungu na kustahiki maishamema katika maishaya Barzakh na maishaya Akhera. Na kupatamafanikio ya kuzungukakatika mabustani ya Pepo,na kupata kufuzu na

    kufanikiwa katika kuonauzuri wa Mwenyezi Mungumtukufu.

    Ndiyo, hakika mashujaaambao wanajuwa, namnaya kufanya uasi juu yamadhambi, wataingiakatika makaburi yao mahalipatukufu kama majemedariwashindi. Na nafsiiliyotulizana watakwendakatika maisha ya Barzakh nakwa furaha hiyo hiyo na kwautulivu huo huo na shangwehiyo hiyo wataingia peponiwatashuhudia na wataonauzuri wa MwenyeziMungu. Hilo ni kwa sababumapambano katika njia

    ya kutotumbukia katikamadhambi yanalingana kwaukamilifu na mapambanokatika njia ya kutendamatendo mema na mamboya kheri. Iwapo tutazingatiapande zilizo mbaya hasina zilizo nzuri chanya za matendo kuwa ni kipeokatika vipeo mbalimbali,kwa hakika tuthibiti katikapande zote mbili maanakufanya kheri na kujiepushana shari kunajengamafanikio makubwa nakunamkisha mtu kwauharaka wa roketi kwenyemwisho wake mzuri ambaoumekadiriwa kwake.

    A S A E B M L E B T U J M B

    N U U L A U A L A A T U A A

    D D T A L S D I L N U Z L L

    B A R M G S O J A Z R U C G

    R N A B H A G A D A U L O H

    A S I E A M A M B N K K L A

    Z O S D S B D O U I I A M S

    I U A U H E A H R A S M X H

    L U K U S I R A T K O A T S

    A M U R G K D M U E M R A C

    S U N S T A U E K N A U I N

    M A L A W I F D A Y L S W D

    R O M E R Y F T L A I A A A

    N L A G O S M P R B A K O N

    I S D G H J A A I I L I R I

    G S T T T A X U V N Q N A L

    E A S S S C T L E G A S N E

    R D N K G O H B R U R H G M

    Y C R E E B E I I M A A E C

    C A I R O Z I Y N U W S Y O

    S C P Y U U L A E T I A U N

    B V R R V M E E R H Y 1 K G

    S B Z X C A R G A A Y 11 O O

    Z A M B E Z I B B R N 2 O X

    S A I M S H A E I I U 23 H P

    S P E M B A U C T K S R N X

    6 O C O B E R N A T P M Z

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    3/20

    3 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201Habari

    Alhad achokoza nyukiInatoka Uk. 1

    amekanusha.Sheikh Farid, yupo

    Mahabusu ya Segerea, JijiniDar es Salaam, yapata mwakawa pili sasa, akikabiliwa natuhumza za Ugaidi, ambapo

    Jumanne wiki hii SheikhAlhad Mussa, alidai Sheikhhuyo, ameunga mkono hatuaya kurudiwa kwa uchaguziVisiwani Zanzibar.

    Akizungumza na Waandishiwa habari osini kwake,Sheikh Alhad, alisema waoBakwata Mkoa wa Dar esSalaam, wanaunga mkonomaamuzi ya Tume yaUchaguzi Zanzibar (ZEC), yakurudiwa uchaguzi Zanzibar,huku akikitaka Chama ChaWanchi CUF, kutenguamaamuzi yake na kushirikikatika uchaguzi huo.

    Akikazia kauli yake hiyo,

    kama vile kuipa mashikokatika jamii, Sheikh huyo waBakwata, akasema hata Amirwa UAMSHO, Sheikh FaridHad, pia anaunga mkonokurudiwa kwa uchaguzi huokwa mujibu wa barua aliyodaikatumiwa kutoka gerezani.

    Yeye ndiyo kiongozi mkuuwa Jumuiya ya UAMSHO,kule Zanzibar, katika hiyo

    barua, naye pia anatakaZanzibar, uchaguzi urudiwe,kama maoni yake. AmesemaSheikh Alhad.

    Kufuatia kauli hizo zaSheikh Alhad, Naibu Katibu

    Mtendaji wa Jumuiyaya Maimamu Zanzibar(JUMAZA), Sheikh Khamis,amesema, hadhani kamakauli hiyo ni sahihi, haswawakizingatia mahalialipoipitishia, jambo ambalolinatia mashaka katikakuaminika kwake.

    Akifafanua Sheikh Khamisialisema, Jumuiya yake(JUMAZA) ipo karibu zaidina Sheikh Farid, kuliko ilivyokwake (Alhad), na kwambawao hawana taarifa ya kaulihiyo, na hata kama itakuwani kweli, basi itakuwa ni

    kauli yake binafsi na si yaUAMSHO.Ama kuhusu kuunga

    mkono kwa kurejewa kwaUchaguzi Zanzibar, SheikhKhamisi, alisema JUMAZA,inamshangaa Sheikh Alhad,kutoa kauli ya kuunga mkonokurudiwa kwa uchaguziZanzibar, pasi ya kuzingatiahaki ya tukio zima la uchaguziuliofutwa.

    Alisema, Sheikh Alhad,hakupaswa kusemahayo aliyo yasema, kwakuwa alichokizungumzia

    SHEIKH Farid Hadd.

    hakifahamu na si sahihi kwakuzingatia mafundisho yaUislamu, katika kuzungumzia

    jambo usilolijua undani wake.Badala yake Sheikh

    Khamisi, alisema waliopoZanzibar, ndio wanaijua zaidiadha ya kisiasa Visiwanihumo na shida wanazozipitiakisiasa kuliko anavyodhania.

    Hivyo kabla ya kuongeleaswala hilo, alipaswa afanye

    utati kwanza na kubainiukweli kisha ausimamieukweli huo.

    Akizungumzia kadhiahiyo ya kurudiwa amakutorudiwa uchaguziZanzibar, alisema JUMAZA,ilikuwa na uwakilishi katikauchaguzi uliofutwa, ambaonao wamejiridhisha kuwauchaguzi huo ulikuwa huruna haki.

    Hivyo Sheikh Alhad,anapaswa kufahamu kuwamaamuzi ya Wazanzibar,yanapaswa kuheshimiwa,anapaswa kuweka kando

    itikadi yake ya chama nakusimamia haki akiwakiongozi wa Dini ambayomsingi wake ni kusimamiahaki. Alisema Sheikh Khamisakimtanabaisha Alhad.

    Kwa upande mwingineJUMAZA, inasema kulinganana uhalisia wa uchaguzikuwa ulikuwa huru na hakikama ulivyoungwa mkonona wadau mbalimbali wandani na nje ya nchi, kwaminajili ya kusimamia hakina sheria na si vinginevyo,inaunga mkono msimamo wa

    CUF, wa kutoshiriki uchaguziuliotangazwa na Salum Jecha.

    Nayo Jumiya na Tasisi za

    Kiislamu Tanzania, imedaikuwa kwa niaba ya SheikhFari Had Ahmed, inakanushavikali kauli ya Sheikh waBakwata, Alhd Mussa, kuwaameunga mkono kurejewakwa uchaguzi VisiwaniZanzibar.

    Akiongea na Waandishiwa habari, Jumatano wiki hiikatika Msikiti wa Kichangani,Katibu wa Jumuiya hiyoSheikh Ponda Issa Ponda,amesema madai hayohayana msingi na yanapaswakupuuza na wapenda amani

    kote nchini.Sheikh Ponda alisema,

    alifanikiwa kuonana na SheikhFaridi, asubuhi ya Jumatano,

    baada ya kumtembeleagerezani Segerea, kablaya kuongea na Waandishiwa habari na kwambaamekanusha taarifa hizozilizotolewa na Sheikh Alhad.

    Kwa niaba ya SheikhFarid Had, tunakanushamadai kuwa anaungamkono kurudiwa kwauchaguzi Zanzibar, kama

    alivyonukuliwa na Sheikh waBakwata, Alhad Mussa Salum,jana (Jumanne wiki hii).

    Kwa mujibu wa maelezoaliyotupatia leo (Jumatano)asubuhi tulipokwendakuwatembelea, SheikhFarid, amesema maelezaya Sheikh Alhad, kuwaamemwandikia barua kuungamkono kurudiwa uchaguziZanzibar, hayana msingi nakwamba hajawahi kumtumamtu yoyote atoe taarifa kamahiyo. Amesema SheikhPonda.

    Alisema, kabla ya kwendakuonana na Sheikh Farid,

    baada ya kusikia taarifa hizo,waliwasiliana na Wakiliwa watuhumiwa hao kamaaliwahi kupewa barua kwendakwa Sheikh Alhad, na mtejawake huyo ambaye alisemahajawahi kutumwa kitu kamahicho.

    Sheikh Ponda alisema, kwakawadia unapokuwa gerezani,kuna taratibu zake zakuwatumia watu barua waliouraiani, ambapo wamejaribu

    kuuliza na kufuata taratibuhizo na kubaini hakuna kitukama hicho.

    Nalo Baraza Baraza Kuu laUongozi Taif, la Chama ChaWananchi CUF, limesemaSheikh Alhad Mussa,anashughulishwa zaidi naDunia kuliko kusimamia hakni vyema akajifunza kwaviongozi wa Kikristo kuhusuyanayojiri Zanzibar.

    CUF, imesikitsishwa nakauli ya kiongozi huyo waKiimani kuunga mkonoukiukwaji wa Katiba, haki nademokrasia uliofanywa naTume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) na yeye kuungamkono. Imesema taarifa yaChama hicho.

    CUF, imesema sio tukunaonyesha sura halisi yaufahamu wa mambo wakiongozi huyo wa kiroho,

    lakini pia inaonyesha jinsiasivyokuwa na khofu yakukabiliana na Mola wakekwa kutosimamia hakikutokana na kauli azitoazokama kiongozi wa dini.

    Chama hicho kimesemakuwa bila shaka SheikhAlhad, amesukumwa zaidina ufurukutwa wake waU-CCM kuliko kuangaliahaki ipo wapi akiwakama kiongozi wa diniinayomtaka asimamie hakina akemee batwil.

    Sheikh Alhad Mussaaliwahi kujitambulishakuwa yeye ni mwanachamawa CCM, katika mojaya shughuli za Kiserikalizilizopambwa na kunogeshwna viongozi wa Chama ChaMapinduzi (CCM).

    Aidha Chama Cha CUF,kimemtaka Sheikh huyowa Bakwata, kujifunza kwaviongozi wa Kikristo ambaowameonyesha uadilifu kwakukemea ukiukwaji wademokrasia uliofanywa naMwenyekiti wa ZEC, Salum

    Jecha, kufuta Uchaguzi waZanzibar kinyemela.

    Chama hicho, kikamwelezaShkh Alhad, kwamba kamahana cha kujifunza kutokakwa viongozi hao wa Kikristo

    basi ajifunze kutoka kwamakada wenzake wa CCM,wenyewe kuijua CCM zaidiyake, ambao ni BernadMembe, Joseph Butiku, na DrSalim Ahmed Salim, ambaokatika kuzungumzia sualala Zanzibar, wamesimamiakatika haki.

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    4/20

    4 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201Tahariri/Makala

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

    UDINI, ukabilani majipuuchungu. Ndivyolinavyoandika gazetimoja la Kikristo laJumapili iliyopitana kisha kuwekavichwa vidogovikisema:

    Askofu KatolikiamtahadharishaRais Magufuli.Wengine wasemaunachwachwachini ya kapeti.

    Katika kuandikahabari hiyo gazetilikasema kuwaAskofu wa KanisaKatoliki, Jimbo laArusha, JosephatLebulu amemtaka(Rais Magufuli)asifanye kazi kwakubagua dini aukabila la mtu, kwani

    hayo ni miongonimwa majipu uchunguyanayoikabili nchi.

    Habari hiyoikasema kuwaAskofu Lebuluambaye nimwenyekitiwa Umoja waMadhehebu yaKikristo mkoa waArusha, alitoa kaulihiyo kando ya Misaya kutabaruku jengola kuabudia la KanisaKatoliki, Parokia yaVicent Palloti, lililoko

    eneo la Esso, jijiniArusha Jumamosi yawiki iliyopita.

    Waandishi wahabari ya gazetihilo linalomilikiwana KanisaPentekoste Tanzania(KLPT) wakatoaufafanuzi wa udiniwaliokusudia kuwani majipu machungukwa kunukuu kauliya Mwinjilisti DanielMwankemwa.

    Kwa mujibu

    Ni kweli udini hatari!Lakini udini wenyewe ndio huu?Bakwata, Baraza Kuu mpo wapi!

    wa gazeti hilo,Mwinjilisti Danielanasema kuwatatizo lililopo nikuwa SerikaliinaposhughulikiamatatizoyanayowahusuWakristo

    wakilalamikiaudini uliopo nchini,inashikwa nakigugumizi.

    Na kwamba halihiyo baadae huzaamatatizo makubwayanayowaumizaWakristo.

    Nakupa tu mfanommoja ili uwezekuona tatizo. Kamamiaka miwili aumitatu hivi iliyopita,serikali ilitoa kibalikwa Baraza Kuu laWaislamu kusajili

    kitu kinaitwaHalal Bureau. Hiini taasisi ambayoinashughulikiakukagua makampuniyanayotoa hudumaya vyakula, vinywajina vipodozi ilikuthibitisha uborawake kwa mtazamowa Kiislamu.Ukumbuke ukaguzihuo unafanywa kwamakampuni yote bilakujali yanamilikiwana Wakristo au la.

    Amenukuliwa

    Mwanjilisti DanielMwankemwaakieleza kileambacho wao kamaWakristo ni udinina jinsi serikaliisivyojali malalamikoya Wakristowanapolalamikiaudini huo.

    Mwaka huuBaraza Kuu laWaislamu Tanzania(Bakwata) nalolimesajili kituhicho. Wanataka

    zile pesa ambazowanaokaguliwahulipia. Sasawameanza kuzozanawenyewe kwawenyewe (Bakwatana Baraza Kuu),lakini baadae

    unaweza kuibukamvutano wa kidinikama ilivyokuwakwenye suala lakuchinja wanyama.Unaweza kujiulizaserikali kwakuruhusu kituhiki ambacho sisiWakristo tulikipigiakelele wanatakakutupeleka wapi?

    Aliongeza nakuhoji Mwankemwana kutoa witokwa serikaliakisema kuwa

    (Rais) Magufulianapotumbua majipuajue hata udini naukabila ni majipuuchungu haya. Nilazima mwenyeweasimame kuhakikishataifa haliyumbishwina mambo hayo.Masuala kamaMahakama ya Kadhiau uanzishwaji waHalal Bureau nimambo ambayoyanatakiwayatumbuliwe na siokungoja yalipuke

    baadae.Kuwa na HalalBureau za Bakwatana Baraza Kuu, ndioudini kwa mujibuwa wenzetu hawaWakristo! Na RaisMagufuli anaombwaayatumbue majipuhayo haraka!

    Aliwahi kuandikamsomaji wetummoja, AbdallahJuma, akitizamana kuchambuauteuzi wa Baraza laMawaziri pamojana Makatibu Wakuuna wasaidizi wao.Katika takwimualizotoa akaonyeshakuwa uwianowa Waislamu naWakristo ni takriban20 kwa 80, si zaidiya hapo. Akajaributu kuhoji iwapohali hiyo inasaidiakwa namna ganikivitendo ile ahadiya Rais Magufulikuwa ataongoza kwahaki na kwa uadilifu

    bila kubagua diniwala kabila. Aidhaakahoji pia, ni kwanamna gani uwinaohuo unavyowezakujenga umoja namshikamno wetu wakitaifa? Hakuishia

    hapo, akahoji pialau hesabu hizozinageuziwa upandewa pili, kwa maanaWaislamu kuwaasilimia 80 naWakristo 20, haliingekuwa shwari?

    Hili ni sualala msingi naambalo athariyake inaonekanawazi. Hata hivyocha kushangaza nikuwa haikuonyeshana mpaka sasahaionyeshi kuwagusa

    Waislamu hatakidogo. Husikiimjadala si wa kisomikwa wasomi waKiislamu walio ndaniya Baraza Kuu,Bakwata, TAMPROna wengine, walakwa wananchi ndaniya Jumuiya na Taasisiza Kiislamu au Shuraya Maimamu.

    Sasa inapokuwamasuala ya msingihayajadiliwi, lazimawatu waibue ugoro(none issues) kama

    huo wa udini waHalal Bureau.Zipo namna

    mbili za kutizamahabari hii ya gazetila MSAMARIAMwema ToleoNa. 054, JumapiliJanuari 31-Februari06, 2016. Moja nikuwa inawezekanandani ya jamii yaWakristo, wapobaadhi ya wasomi nawatu waliotulizanakiakili na kikra, nakwa hakika wenyemapenzi memana nchi, wameonahoja ya mwandishiAbdallah Juma nakuanza kutafakarikwamba ana hojaza msingi, japoWaislamu wenyewewanauchapa usingizi,wala hawana habari.Sasa kuibuliwa kwaugoro wa udiniwa Halal Bureauinawezekana nikatika namna yakuhamisha agenda

    na kubadili mawazoya wasomi nawanafakuri hao waKikristo. Mfumounafanya kazi.Haulali.

    Lakini namnanyingine ya kutizamugoro huu wa udiniwa Halal Bureau,ni kuwa baada yahaya ya 20 kwa 80kupita kiulaini, sasahatua inayofuata nikuandaa mazingiraya kuporwa kilakinachoonekanakuhusishwa naWaislamu hata kamani katika mtizamohuo ulioelezwanaMSAMARIA,wa Baraza Kuu na

    Bakwata kuparuranakugombea ushuruwa kukagua bidhaakupitia Halal Bureauzao.

    Sisi tuseme kuwahatuwalaumuMSAMARIA Mwemawala hatumlaumuMwinjilisti DanielMwankemwa kwakuja na ugorohuu wa udini waHalal Bureau. Waowanatekeleza wajibuwao wa kupigania

    dini yao na nafasi yadini yao au wauminiwao katika kuongozanchi na kudhibitimambo.

    Kama Waislamu,kama Haiyat Ulamaakama Bakwata,kama Baraza Kuu,kama TAMPRO nataasisi za Kiislamukwa ujumla,hawajadili mamboya msingi kama yaleyaliyoibuliwa na

    Abdallah Juma, nonissues zitaibuliwana kufanywa ndiomjadala.

    Kwa faidaya wasomajiwetu ambaohawakubahatikakusoma MakalaMagufuliaturudisha kwaSheikh Takadiri,kama ilivyoandikwana Abdallah Juma,tunaiweka tenaukurasa wa 7)

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    5/20

    5 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201MAKALA YA MTANGAZAJI

    MASJID Abdullah Quilliam,ndio Msikiti wa kwanzanchini Uingereza. Msikitihuu awali ulikuwa ni jengolililonunuliwa na WilliamHenry Quilliam, aliyesilimunchini Morocco mwaka1887 na kuitwa Abdullah

    akiwa na umri wa miaka 31.Aidha Abdullah Quilliam,alikuwa ndiye mwandishiwa kwanza wa jarida laKiislamu Uingereza. Jaridahilo lilijulikana kwa jinala Mwezi mwandamo(The Cresent). Jarida hilolilitafsiriwa katika lugha 13tofauti, ambapo lilisababishaSheikh Abdullah Quilliamkupata umaarufu mkubwakatika ulimwengu waKiislamu.

    Historia fupi ya Msikitihuu ni kwamba, ulianzishwamwishoni mwa karne ya 18

    (mwaka 1889) katika mji waLiverpool na kuwepo kwajamii ya kwanza ya Kiislamukatika mji huo.

    Mwanzilishi wa jamii hiyoSheikh Abdullah Quilliammara kwa mara alimtembeleaKhalifa wa Kiislamu,Khilafahtul Uthmaaniya,pia alikuwa kipendakumtembelea AbdulhamidII wa huko Uturuki, ambayealikuwa ni raki yakemkubwa.

    Msikiti wa kwanza UingerezaMasjid Abdullah Quilliam:

    na madhila makubwawaliyoyapata.

    Waislamu hao walihamiakatika mji wa Working uliokoKusini mwa Uingereza.

    Abdullah naye aliwafuataWaislamu wenzake katika mjihuo.

    Kufuatia kuhama jamiihii ya Waislamu, Msikiti waAbdullah Quilliam ulikufa nakubaki gofu.

    Hivi karibuni Waislamu

    Pia katika Msikiti huoinaelezwa kuwa palikuwana Chuo cha Kiislamukilichoongozwa na NasrullahWarren.

    Katika moja ya safari zakekwenda Uturuki, AbdullahQuilliam alikaa muda mrefuakisoma Uislamu.

    Aliporudi Uingerezaalikuta jamii aliyoisilimishaimeuhama mji wa Liverpool,

    bila shaka kutokana

    wa Uingereza walianzishaAbdullah Quilliam Societykwa lengo la kufufuaMsikiti huo na kuanzishamakumbusho ya kuenzi kazializozifanya Sheikh AbdullahQuillliam.

    Pia sehemu hii itafanywa

    kuwa kitivo cha elimu namijadala ya kidini.Kitivo hicho kwa sasa

    kipo katika ujenzi nakitakapokamilika kabisakitakuwa kimegharimu zaidiya paundi milioni mbili nanusu.

    Inaelezwa kwamba idadiya watu waliosilimishwana Sheikh Abudullahinasadikiwa kukia watu 600ambapo kitivo hicho kipya pikinakusudia kufanya utati

    juu ya maisha ya Waislamuhao.

    Sheikh Abdullah Quilliampia alimsilimisha Abdulhalim

    Nodda, Mjapan wa kwanzakatika nyakati za kusilimu,Sheikh Nodda naye piaaliacha athari kubwa na nzurya Uislamu huko Japan.

    Allah amrehemu SheikhAbdullah Henry Quilliamaliyefariki akiwa na umri wamiaka 76, ambapo alikuwani Muislamu wa kwanzakutangaza Uislamu waziwaznchini UK kwa karne zakaribuni. Ahbaabur.blogspotcom

    Filamu mpya ya Nuhu(Noah) imepigwamarufuku kuonyeshwakatika nchi za Kiislamu.

    Filamu hiyo ilitarajiwakuzinduliwa hivi karibunina kuonyeshwa katika nchimbalimbali duniani.

    Filamu hiyo ya Nuhu,imepigwa marufuku katikanchi nyingi za Kiislamukutokana na kuwa kinyumena maadili ya Kiislamu.Nuhu (as) ni mmoja wa

    Manabii wa MwenyeziMungu.

    Nchi za Qatar, Indonesia,Bahrain, Falme za Kiarabutayari zimepiga marufukulamu hiyo.

    Aidha wanazuoni waMisri pia wametoa witoipigwe marufuku nchiniMisri.

    Filamu hiyo mpyailiyotengenezwaHollywood Marekani,inaelezea maisha ya NabiiNuhu (as) kwa msingi wakitabu cha Biblia.

    Filamu ya Nuhu wa Biblia marufuku nchi za Kiislam

    PICHA ya sehemu ya flamu NOAH.NUHU wa flamu.

    MSIKITI wa Abdullah Quilliam, Liverpool, Uingereza.

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    6/20

    6 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201Hoja ya Juma Kilaghai

    Kila mwenye akili yake timamuanajua kuwa hali kwenye jamiini mbaya, tena mbaya sana.Mmomonyoko wa maadili unatisha.Vielelezo vya hali hii ni vingi

    mno. Baadhi ya hivi ni pamojana ongezeko kubwa la uhalifu,migogoro ya ndoa, mimba zauzinifu, familia zisizo na nidhamu,usadi, ubinafsi, uvivu, matumiziya pombe na dawa za kulevya,kusambaa kwa magonjwa yakawaida na ongezeko la magonjwaya akili.

    Baadhi ya tati zinaonyeshakuwa chimbuko la hali hii ni kuakwa nguvu ya dini kama dira yamaisha ya kila siku ya wanajamiimbalimbali. Kufuatia hali hii baadhiya wachambuzi wanaamini kuwauchamungu unaonekana kuwanjia sahihi na ya kipekee katikakupambana na changamoto zakimaadili zilizoigubika jamii hivisasa.

    Mwaka 1991 Profesa Allen Berginalieleza kwa muhtasari kuwa ukoushahidi mwingi unaoonyesha

    kuwa jamii inapokumbatia dini,vitendo vya ukosefu wa maadilikama uzinifu, mimba za utotoni,matumizi ya dawa za kulevya, ulevi,kujiua na kwa kiasi fulani vitendovya uvunjifu wa sheria hupunguasana. Aidha, katika maelezo yakeprofesa Bergin alieleza kuwasambamba na kupungua kwavitendo vya ukosefu wa maadili,kunakuwepo pia na ongezekola viashiria vya kuimarika kwamaadili, kwa mfano kujiamini,mshikamano wa familia, na hali yajamii kwa ujumla kujisikia vizuri.

    Mapitio ya tati nyingine kadhawa kadha yanaibua pia orodhandefu ya athari chanya za imaniya dini na uchamungu katikakupunguza matatizo ya kijamiikama kujiua, matumizi ya dawa zakulevya, kusambaratika kwa ndoa,

    na kutoridhishana ndani ya ndoa.Ushahidi huu unaonyesha bayanakuwa uchamungu unatoa mchangomkubwa katika kuboresha maishaya watu.

    Ushahidi uliopo unaonyeshabila ya shaka yoyote kuwa nijambo zuri kuwekeza katika sera zakijamii zinazohimiza uchamungukwa mapana na marefu, na kuwani jambo baya kuwekeza katikasera zinazoweka vikwazo dhidi yauchamungu. Kuwekeza katika serasahihi kutasaidia kumuimarishamtu mmoja mmoja, familia, jumuiyambalimbali na jamii kwa ujumla.Uwekezaji huu kwa kiwangokikubwa utaleta athari chanya, kwamfano kuongezeka kwa viwangovya ufaulu wa wanafunzi nauzalishaji katika maeneo ya kazi.Aidha, uwekezaji huu utapunguzamatatizo makubwa ya kijamii, kwamfano kuzaliwa kwa watoto nje yandoa, uteja wadawa za kulevya napombe, uhalifu na kutopenda kutiisheria.

    Kwa muhtasari hebu sasa tuwekeushahidi unaotokana na tatikadhaa unaobainisha kuwa dini inataathira kubwa katika wigo mpanawa mambo mambo mbalimbaliyanayomgusa mtu mmoja mmoja najamii kwa ujumla. Baadhi ya mambohayo ni furaha, uimara wa familia,kuridhika na ndoa, kusambaratikakwa ndoa, kuishi kinyumba, sihaya mwili, jamii kukosa mwelekeo,uhalifu, kudharau sheria, kutotakakazi, uteja wa dawa za kulevyana pombe, kujiua, kukumbwa namagonjwa ya akili, na kujithamini.

    Serikali isione aibu kuhimiza watu kushikamana na ibada

    Dini na FurahaUtati mkubwa uliofanywa

    na Chuo Kikuu cha Californiamnamo mwaka 1971 ulibaini kuwakulikuwa na kiasi kidogo zaidi cha

    ugonjwa wa msongo miongonimwa watu walioshikamana naibada, ukilinganisha na wale ambaowalikuwa hawajishughulishikufanya ibada.

    Dini na Uimara wa FamiliaKatika utati wa nchi nzima ya

    Marekani uliofanyika katika miakaya 1970 na 1980 maprofesa wawili,Nick Stinnet wa Chuo Kikuu chaAlabama na John DeFrain wa ChuoKikuu cha Nebraska, walitaka kujuani mambo gani yanayochangiakatika ujenzi wa familia imara.Matokeo ya utati yalionyeshakuwa 84% ya familia imarazilizoguswa na utati zilitaja dinikama nyenzo muhimu iliyochangiakatika uimara wa familia zao.

    Dini na Kuridhika Katika NdoaUtati uliopewa jina The Sex in

    America study, yaani Utati waMasuala ya Ngono Katika Americakwa tafsiri isiyo rasmi, ulifanywana wana sayansi ya jamii kutokavyuo vikuu vya Chicago na SUN(State University of New York) nakuchapishwa mwaka 1995. Utatihuu ulionyesha kiwango kikubwasana cha kuridhishwa na tendo landoa miongoni mwa wanawakewengi waliokuwa wameshikamanana ibada.

    Dini, Talaka na Kuishi KinyumbaUtati uliofanywa nchini

    Marekani mnamo mwaka 1993na kuhusisha wanaume 3,300waliokuwa na umri wa kati yamiaka 20-39 ulibainisha kuwawaliokuwa na tatizo kubwa lakubadili wenza mara kwa mara niwale ambao hawakuwa na imani yadini.

    Dini na Siha ya MwiliKatika moja ya majaribio yasiyo

    ya kawaida yaliyowahi kufanywakatika historia ya utabibu ni lilelililoongozwa na bingwa wamagonjwa ya moyo, Dk. RobertB. Byrd kutoka Shule ya Udaktariya San Fransisco ya Chuo Kikuucha California; na matokeo yakekuchapishwa mnamo mwaka 1982.Jaribio husika lililenga kujua athariya duah/maombi kwawagonjwawanaofanyiwa upasuaji wa moyo.

    Wagonjwa wanaofanyiwaupasuaji wa moyo waligawanywakatika makundi mawili. Kundimoja lilifanyiwa duah/maombina kundi la pili halikufanyiwaduah/maombi. Aidha hakuna hatamgonjwa mmoja aliyekuwa anajua

    kuwa anafanyiwa duah/maombikatika lile kundi la kwanza, na walamadaktari na manesi hawakujuakati ya wagonjwa waliokuwa naoni yupi alikuwa anafanyiwa duah/

    maombi. Mwisho hakukuwa namawasiliano ya aina yoyote katiya waomba duah/maombi nawagonjwa waliokuwa wanaombewaduah kabla au wakati duah/maombiyalipokuwa yanaendelea.

    Matokeo kwa makundi hayamawili yalikuwa na tofauti kubwa.Wagonjwa katika lile kundilililoombewa duah walionekanakukabiliwa na matatizo machachesana ya kiafya yaliyohusianana upasuaji waliofanyiwaukilinganishwa na lile kundi lapili. Japokuwa hadi sasa hakunajaribio lingine la aina hiyo ambalolimeshafanywa, matokeo haya yakushangaza ni changamoto kwawasomi na matabibu kuyathibitishaau kuonyesha kuwa hayana ukweli.

    Dini na Kusambaratika kwa Jamii:

    Matokeo ya utati muhimuuliofanywa na maprofesa kutokakatika Vyuo Vikuu vya Georgia,Utah na Wyoming nchini Marekanina kuchapishwa mnamo mwaka1987 yalionyesha kuwa sababukuu inayowachochea vijana warika la miaka kati ya 10 na 19kujiingiza katika vitendo vya zinaani ukosefu wa maadili ya dini, nasiyo vichocheo vya kifamilia kamailivyokuwa inadhaniwa hapo awali.

    Pili, utati uliofanywa kwawanafunzi wa sekondari katikaeneo la milima ya Rocky nchiniMarekani na matokeo yakekuchapishwa mnamo mwaka1975 ulionyesha kuwa kujihusishakatika masuala ya dini kulipunguzakwa kiasi kikubwa matumizi

    ya dawa za kulevya, ukoro, nauzinifu, na pia kulimsaidia sanamhusika kujitawala na kudhibitimwenendo wake. Utati mwingineuliofanywa katika sekondari yaMidwestern huko huko Marekanimnamo mwaka 1989 ulitoa matokeoyanayofanana na hayo ya eneo lamilima ya Rocky. Aidha, utatimwingine uliofanyika nchiniCanada mnamo mwaka 1979ulionyesha kuwa uwezekano wavijana nchini humo waliokuwawameshika dini kujiingizakatika vitendo vya kutumia aukuuza dawa za kulevya, kuchezakamari na kufanya uharibifuwa mali ulikuwa ni mdogo sanaukilinganisha na wale vijana ambaohawakuwa wameshika dini.

    Kuishi kwa Kutegemea MisaadaKupitia utati wake maarufu

    uliokuwa umepewa kichwa chahabari The Protestant Ethic andthe Spirit of Capitalism, au kwa

    tafsiri isiyo rasmi Maadili yaKiprotestant na Ari ya Kusaka Malmtaalamu wa masuala ya jamiiwa Kijerumani katika sehemu yakwanza ya karne ya 20, Max Webealionyesha uhusiano uliokuwepokati ya uchamungu na hali boraya kimaisha miongoni mwa watuwa jamii ya Kiprotestant. Tatinyingine zilizofanywa juu ya sualahili zimebainisha kuwa mwelekeohuu siyo kwa watu wa jamii yaKiprotestant pekee, bali ni kwamadhehebu yote ya dini.

    Matumizi ya Pombe na Dawa zaKulevya

    Uhusiano baina ya uchamunguna utumiaji mdogo au kutokuwepona utumiaji kabisa wa vilevi,umebainishwa na tati nyingi.

    Tati hizi zimeonyesha kuwakadri jamii fulani inavyozidikukumbatia miongozo ya dini nauchamungu, ndivyo uwezekanowa watu wa jamii husika kutumiavilevi unavyozidi kupungua. Tatizimeonyesha kuwa matumizi yadawa za kulevya na pombe ni yachini kabisa katika jamii za watuwalioshikamana na dini; na ni yajuu kabisa katika jamii za watuwasiojali mambo ya dini.

    Kwa mujibu wa Steven Stack,profesa wa masuala ya kijamiikatika Chuo Kikuu cha Jimbo laPennsylvania nchini Marekani, vifovinavyotokana na kujiua ni vingisana miongoni mwa watu ambaosiyo wachamungu, ukilinganisha nmiongoni mwa watu wachamungu

    Utati umebainisha kuwa dini nkizuizi cha kupata mfadhaiko kwawatu wenye matatizo mbalimbaliya kiafya. Kwa mfano, utatiuliofanywa na mtaalamu wamasuala ya jamii kutoka katikaChuo Kikuu cha Michigan nchiniMarekani, Profesa David Williams,kwa watu wazima 720 waliokuwawanakabiliwa na matatizo yamiguu na nyonga katika eneo laNew Haven, Connecticut, mnamomwaka 1990, ulionyesha kuwawaliokuwa wachamungu miongonmwa hao wagonjwa hawakuwa naviwango vikubwa vya mfadhaikoukilinganisha na wale ambaohawakuwa wachamungu. Matokeohaya yalifanana kwa watu wote bilkujali umri, rangi, hali ya kiuchumkiwango cha elimu na dini yamhusika.

    Kutojithamini kunadhooshahaiba ya mtu na kumweka katikahatari ya kujiingiza katika uhalifu,kuwa mlevi wa kupindukia wapombe au dawa za kulevya, nakukumbatia tabia nyingine mbayazisizokubalika katika jamii. Katikadini zote udhaifu wa kisaikolojiahupungua kadri misimamo ya diniinavyozidi kuwa imara. Kwa mfanmnamo mwaka 1969 ilithibitishwakuwa kwa wanafunzi wa vyuo,uchamungu ulikuwa na nafasikubwa katika kuimarisha siha yaakili. Ilidhihirika kuwa wanafunziwaliojihusisha sana na harakati zakidini wakiwa vyuoni walikuwa naafya bora zaidi na ni mara chachesana walihitaji huduma za kiafyazilizohusiana na afya ya akili zao.

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    7/20

    7 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201Makala

    AWALI ya yote naombanitangulie kusema namapema kuwa nafahamuwengi watatofautiananami na pengine hatakunishambulia. Hii nikwasababu kila mmojaana haki ya kuwa na

    mtazamo wake na hataujasiri wa kufumbia machodhulma pale inapofanywakwasababu dhulma hiihaimgusi yeye wala familiayake.

    Wakati tunaelekea kupatauhuru mwishoni mwa miakaya 1960, wengi tunakumbukakulikuwa na mgawanyikomiongoni mwa wapiganiauhuru. Mgawanyiko huuulipelekea kuwa na vyamaviwili, TANU na AMNUT.

    Japo AMNUT haikuwana nguvu sana kiasi chakuitikisa TANU, bado ukweliunabaki kuwa yalikuwepo

    makundi mawili tofauti. Mojakatika mtazamo wa AMNUTilikuwa kwamba, ilikuwa nimapema kwa Tanganyikakupewa uhuru, kwakuakwa hali ilivyokuwa kwawakati ule, TANU kupewauhuru ilikuwa kuwapa nafasiWakristo wanufaike nakufaidika na uhuru peke yaohuku Waislamu wapiganiauhuru wakiishia kuwaraia wa daraja la tatu. Kwamaoni yao, ilikuwa ni borakuchelewa kupata uhuru iliWaislamu nao wajiandae.

    Katika kujibu hoja hiyo,msimamo wa MwalimuNyerere ulikuwa kwamba,mkoloni yule yulealiyewakandamiza Waislamuwakabaki nyuma, hawezikutatua tatizo hilo. Badalayake, ni jukumu la Viongozikatika Tanganyika hurukushughulikia tatizo hilo.Kisiasa, ni wazi hoja yaMwalimu Nyerere ilikuwa namaana, na hivyo Waislamuwengi wakamuunga mkono.Lakini kumbe alichokuwaakifanya Mwl. Nyerere nikutengeneza mazingira nakujenga imani kwa Waislamuna wananchi kwa ujumla, iliaje awahujumu Waislamuna asiwepo wa kunyooshakidole wala kupinga. Kwanamna gani alijenga imani?Hili ni somo jingine, kwa leotuishie hapa.

    Kwa namna alivyo jengaimani kwa watu na hasaWaislamu, ilikuwa ni vigumukwa mtu kunyoosha kidole,na akithubutu atashambuliwana kutengwa. Ni kwa namnahii Sheikh Suleiman Takadiralipata misukosuko na hatakutengwa na Waislamuwenzake. Kazi ya kibaguzi nahujuma dhidi ya Waislamuwakati wa serikali yaawamu ya Kwanza imebakia

    Mh. Magufuli aturudishakule kwa Sheikh Takadiri

    Kamkaribisha Mufti Ikulu, lakiniTuna ya kujifunza kwa Mwinyi, MteiJK yalimkuta. Prof. Chachage akajibu

    Na Abdallah Juma

    kuwa historia chungu kwaUmma wa Kiislamu nchiniTanzania. Kama alivyojisemeaRemmy Ongala, imekuwani kilio cha samaki, machoziyamekwenda na maji hakunahata anayesikia na kujali

    kilio cha Waislamu katikawalioshikilia mpini.Wakati wa kampeni, Mh.

    John Pombe Magufuli marakadhaa alisisitiza kuwahatowabagua watu kwarangi zao, kwa makabila yaowala kwa dini zao. Hii ililetafaraja kuwa Mh. Magufuliataleta usawa na haki katikaserikali yake. Hata hivyo, Rais

    John Pombe Magufuli (JPM)nae ameingia kwa gia ileile.Amejitahidi kutengenezamazingira ya kuaminiwa naameaminika. Kila kona nislogan za Rais Magufuli. Kilamtu anamuunga mkono Mh.Rais Magufuli. Sasa iwapoatatokea wa kulalamikakwamba kuna hujumadhidi ya Waislamu, watuwatamshangaa. Na ni hivimajuzi tu kakutana na MuftiZuber wa BAKWATA nayeakamsia sana. Kipi tenamnataka Waislamu zaidi yaheshma aliyopewa Muftikukaribishwa Ikulu?

    Mtu mmoja akitoa maonijuu ya zilizokuwa kampeniza Mheshimiwa EdwardLowassa kupita misikitinikuchangisha/kutoa pesa,alisema kwa Lowassa, bei yaWaislamu harambee ya siku

    moja, lakini kwa wengine niMoU ambapo kila mwakawanatengewa fungu katika

    bajeti ya serikali!Mara baada ya kuapishwa

    kuwa Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania,

    Mh. Magufuli alianza kwahotuba kali sana wakatiakilizindua Bunge la

    Jamhuri ya Muungano waTanzania. Hotuba ile ililetahamasa ya hali ya juu sanana hata kuamsha ari yauungwaji mkono kutokakwa Watanzania wa ngazi yakati na chini. Kilichofuatiani kuanza na operationaliyoiita operation yakutumbua majipu! Operationhii ilifanyika kwa kuanzia

    bandari na Mamlaka yaMapato Tanzania (TRA).Msisimko na shangwe zauungwaji mkono zilisikikakila kona ya Tanzania.Haikuchukua muda,akaanza kuonekana kamamtu aliyekuja kulikomboataifa letu Naam, mazingirayakawa wazi kufanyaatakalo na hakuna mtu wakulalama wala kudadisi.Kwanini? Kwasababuameaminiwa kuwa yeyeanafanya kwa maslahi yataifa. Yeyote atakaye nyooshakidole kudadisi au kuhoji,anaonekana mtu wa ajabutena anataka kukwamishaharakati za kizalendo.

    Lakini mimi binafsinaamini kwamba, haitakuwa

    tunamsaidia MheshimiwaRais JPM iwapo hatutasemapale tunapoona kuwa mambhayaendi sawa kama ilivyodhamira njema ya Rais.Mheshimiwa Rais JPM ni

    binadamu na katika ari nahamasa ya kulitumikia taifaanaweza kujikwaa hapa napale. Na hivyo ni wajibu wet

    kumsaidia Rais wetu kipenziNa hapa mimi nitazungumziyale ambayo nadhani katikamazungumzo yake na MuftiZuberi hawakuyagusa.

    Uteuzi wa Baraza la MawaziriUteuzi wa Baraza la

    Mawaziri, kwangu mimi,umeacha maswali mengikuliko majibu. Japoinashangaza Waislamukupigwa ganzi na kushindwakupaza sauti, pengine nikutokana na mazingira yakizalendo yaliyoandaliwana kupambwa na vyombovya habari ili Mh. Afanye

    atakalo na asiwepo wa kuhojna atakae hoji aonekane simzalendo. Ukiangalia Barazala Mawaziri alilotangazaMh. Magufuli, utaona kuwaWaislamu katika Baraza hilo(Japo kwa majina yao tu) ni9 kati ya 37 sawa na 24%! tu.Hii ina maana Wakristo katikBaraza la Mawaziri ni 76%!

    Swali, ni kweli hakunaWaislamu wachapa kaziwenye sifa za kuwa mawazirwa kumudu kasi yaMheshimiwa Rais JPM? Auhoja ya Imani sio muhimusana wakati wa uteuzi nahivyo ni halali watu wengi wdini moja kufanya maamuzina kuamua mustakabali wanchi hii peke yao? Wapomawaziri waliotolewa kutokasehemu mbalimbali nahawajawahi kuwa viongoziwa kisiasa, haiingii akilinikwangu kuwa Waislamuhawapo!

    Ikiwa inadhaniwa kuwasuala la imani sio muhimukatika uteuzi, hii ina maanainahalalisha watu wengi wadini moja kufanya maamuziya nchi peke yao, na hii nikuendeleza kile ambachoWaislamu tumekuwatukikipigia kelele muda wote

    Je, hiyo ni haki?

    Kama Mh. Rais anaaminikuwa kuna Waislamuwalimpigia kura na hatakumpigania hata akashinda,siamini kuwa walikuwepo tuWaislamu wa kupiga kura,lakini wa kushika nafasiza Mawaziri na MakatibuWakuu, tabu kuwapata.

    Katika mambo ambayoWaislamu wamebaki na

    butwaa, ni uteuzi waMh. Ndalichako kuwaWaziri wa Elimu. Mtuambae alisababisha mpaka

    Inaendelea Uk. 1

    RAIS John Magufuli (kulia) akiwa Muft wa Bakwata, SheikhAbubakar Zubeir Ikulu, Dar es Salaam.

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    8/20

    8 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201

    Inaendelea Uk. 1

    Makala

    Wakazi wa nchi mbalimbaliwaliteswa sana katikamakoloni ambayo yalitwaliwana Ulaya, kitu ambachonimekieleza kwa undanikatika kitabu changu chahivi karibuni cha kurasa840, "Kuchua Uongo waHimaya(Exposing Lies of theEmpire)"

    Na vipi Uingereza namikasa yake ya njaa, ambayoilikuwa ikitumia kudhibitiwatu na kutoa vitisho nchiniIndia! Huko Bengali watuwanaokia milioni tano

    walikufa mwaka 1943 pekee,milioni 5.5 mwaka 1876-78,milioni tano 1896-97, kutaja tuzile njaa kubwa za kiharamiazilizofanywa na Himaya yaUingereza dhidi ya umatiwa watu usio na uwezo wakujilinda uliolazimishwakuishi chini ya utawalakandamizi na kigaidi wakikoloni! Nilichotaja hapa

    juu ni sura tatu fupi kutokakatika historia hiyo ndefu yaugaidi wa nchi za Magharibi.Inawezekana kukusanyaencyclopedia halisi kwa

    jambo hilo. Lakini yote hii

    inakaa mbali na hisia zanchi za Magharibi. Watu wanchi za Ulaya na Amerika yaKaskazini hawataki kusikialolote kuhusu yaliyopitazamani na haya ya sasa.Wajuavyo wao, wanatawaladunia kwa sababu wakohuru, wanatumia akili nawanafanya kazi kwa bidii.Siyo kwa sababu kwa karnenyingi wamepora na kuua,na zaidi ya yote, wameitishadunia kufyata mkia mbeleyake.

    Wasomi na watawala wao

    Jinsi nchi za Magharibi zinavyotengeneza ugaidi-2

    Na Andre Vitchek

    wanajua kila kitu, bila shaka.Na wanavyojua zaidi, ndiyowanavyotumia ufahamuhuo kwa malengo ya sasa.Biashara ya ugaidi na uzoefuvinatolewa kutoka mabingwawa nchi za Magharibi kwaaskari wasajiliwa kutoka nchiza Kiislamu. Mujahidina, AlQaida,. ISIS - ukiwaangaliakwa karibu, mbinu zao zautisho na kutumia nguvu siyowalizobuni wao. Zimejengwakatika uzoefu wa ubeberu navitendo vya kikoloni wa nchiza Magharibi.

    Habari mpya katika jambohili, au hata kuhusu ugaidiambao umesambazwa katikaSayari na nchi za Magharibi,inachujwa kwa ukali isisikike.Kamwe hutaona kitu kamahicho katika vipindi vya BBC,au kuzisoma katika magazetimakubwa ya kila siku, wikiau mwezi.

    Kwa upande wa pili,ukatili na utumiaji nguvuwa vikundi walivyoviandaaunachambuliwa nakuonyeshwa wakati wote.Unaonyeshwa katikaundani wake, unarudiwa na'kuchambuliwa.' Kila mmojaanakasirika, anaogopa!Umoja wa Mataifa unaeleza'wasiwasi mkubwa." Serikali

    za nchi za Magharibizinaeleza "kuchukizwa"kwao na wakazi wa nchihizo wanahisi "inatosha; halihiyo haivumiliki -hatutakiwahamiaji kutoka nchi hizozinazozalisha magaidi nawaokota silaha."

    Nchi za Magharibi "inabiditu zijihusishe." Na ndiyohapo inapoanza Vita dhidiya Ugaidi. Ni vita dhidi yadude lililotengenezwa nanchi za Magharibi zenyewe.Ni vita ambayo haina lengola kumalizwa kwa ushindi.Kwani ikimalizwa, Mungu

    apishe mbali, kutakuwa naamani, na amani ina maanakupunguza kwa kina makisioya ulinzi na kukabiliana namatatizo halisi ya Sayari yetu.Amani ina maana nchi zaMagharibi zijiangalie kwenyekioo cha kule zilikopitia. Inamaana kutafakari haki nakuunda upya mifumo ya dolakatika Sayari. Na hiyo kamwehaiwezi kukubalika.

    Hivyo nchi za Magharibizinacheza michezo ya vita,zinapigana na wasajiliwawao wenyewe (au zinajifanya

    kupigana nao), huku watuwasio na hatia wakipotezamaisha. Hakuna sehemuyoyote ya dunia, ila nchiza Magharibi, wangewezakutengeneza na kuachiakitu kibaya kama ISIS au AlNusra!

    Angalia kwa karibumikakati ya makundi hayaya kupandwa: haina mizizikatika utamaduni waKiislamu hata chembe. Ilaimepandikizwa kikamilifu nafalsafa ya nchi za Magharibiya ugaidi wa kikoloni:"Kama hukubali kikamilifukra zetu na dini yetu, basitutakata kichwa chako,chinja koo, baka familiayako yote au choma kijijiau miji yote kisibaki kitu.Tutateketeza urithi wenumkuu wa kitamaduni kamatulivyofanya Amerika yaKusini miaka 500 iliyopita,na mahali penginepo tuduniani."

    Na kuendelea! Inahitajikiwango kikubwa chanidhamu ili kushindwa kuona

    jinsi vinavyohusiana!Mwaka 2006 nilikuwa

    namtembelea raki yangu,rais wa zamani wa Indonesiana kiongozi shupavu wawastani wa Kiislamu,

    Abdurrahman Wahid(aitwaye nchini IndonesiaGus Dur). Mkutano wetuulifanyika katika makaomakuu ya taasisi yake kubwaya Kiislamu Nahdlatul Ulama(NU). Wakati huo NU ilikuwandiyo taasisi kubwa zaidi yaKiislamu duniani.

    Tulikuwa tunajadiliubepari na jinsi ulivyokuwaukiharibu na kuvurugamaadili ya Indonesia. GusDur alikuwa 'mfuasi waUjamaa wa kabatini,' na nimoja ya sababu makundiyanayozitii nchi za Magharibi

    huko Indonesia pamoja najeshi walimpindua kutokamadaraka ya urais mwaka2001. Tulipokia suala laugaidi,' mara akaainisha kwaufasaha katika sauti yakelaini iliyo ngumu kusikia:Nafahanu nani alilipuaHoteli ya Marriot jijini

    Jakarta. Ililipuliwa na taasisizetu wenyewe za ujasusi ilikuhalalisha kuongeza bajetizao, pamoja na misaadaambayo wanapokea kutokanje."

    Ni wazi kuwa jeshi la

    Indonesia, taasisi za ujasusina polisi ni kundi maalumla watu nchini humo. Kwamiongo kadhaa, tangumwaka 1965, wamekuwawakiwakandamiza kikatiliwatu wao wenyewe, wakatimapinduzi ya kijeshi kwamaslahi ya nchi za Magharibyalipomwondoa mpendamageuzi, Rais Sukarno nakuweka madarakani kundila kifashisti la maosa wa

    jeshi likiungwa mkono nawafanyabiashara wakubwawa Kikristo. Ukandamizaji naukatili huu ulichukua maishaya watu milioni 2 hadi 3nchini Indonesia kwenyewe,na pia huko Timor yaMashariki ambayo hadi sasaPapua inakaliwa na kufujwamali zake.

    Mauaji ya halaiki mara tatukatika miongo mitano!

    Mapinduzi ya kijeshi yaIndonesia yalikuwa mojaya matendo makuu yakigaidi katika historia ya

    binadamu. Mito ilijaa maitina kubadili rangi yake kuwanyekundu. Kwanini? Iliubepari uweze kuishi namakampuni ya madini yanchi za Magharibi yaendeleekuchota yalivyozoea, juu yamgongo wa taifa la Indonesia

    lililofukarishwa kabisa. IliChama cha Kikomunisti chaIndonesia kisiweze kushindauchaguzi huru na haki.

    Lakini katika nchi zaMagharibi, mauaji ya kutishaya mwaka 1965 yaliyopangwna Himaya (ya Marekani)hayakuwahi kutajwa kama'ugaidi,' utisho. Kulipua hoteau mgahawa kwa upandemwingine, unaitwa ugaidi,endapo unapata watejakutoka nchi za Magharibi.

    Sasa Indonesia ina makundyake ya 'magaidi.' Wamerudikutoka Afghanistan ambako

    walipigana kwa niaba ya nchza Magharibi dhidi ya Urusi(ya kikomunisti). Wanarudinyumbani kutoka Masharikiya Kati sasa. Mashambulioya hivi karibuni jijini Jakartayanaweza kuwa utangulizitu, mwanzo wa kuanzisha

    jambo kubwa zaidi, labdakufungua medani nyingine yvita na askari wanasesere waHimaya katika Asia ya kusinmashariki.

    Kwa nchi za Magharibi nawana mikakati wao, uwepo

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    9/20

    9 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201Makala

    HIVI karibuni (mazombi)wameripotiwa kuvamiabarabara ya Magogoni,kuvuja vibanda, kuharibumali na kupiga watu ovyo.Swali letu kwa vyombovya dola ni hili: mazombihawa ni akina nani? Kwanini wananchi wanahusishavitendo vyao na masuala yakisiasa?.

    Hakika maswali ni mengina Serikali kukaa kimyapasi na kuyatolea majibu,kunaacha wigo ambaounawafanya watu mitaanikuja na maelezo mbalimbalikuhusu mazombi hawawanaoweza kufanya uhalifu

    bila kuguswa. (Nukuukutoka tahariri ya moja yamagazeti wiki hii.)

    Kiasi cha wiki mbili

    zilizopita nilikuwa Pemba.Niliporejea jamaa yangummoja tukiongea katikasimu akaonyesha kushangaanimeendaje Zanzibar wakatihali ni mbaya. HuogopiSheikh, nasikia hukohakuna usalama. Alihoji nakuniambia kuwa kaka yakeambaye ni asa wa jeshialiyekuwa Dar es Salaam,

    Umetuliza!Na Omar Msangi

    amepelekwa huko kwasababu hali si shwari.

    Baada ya siku mbili,nikapokea makalailiyoandikwa na Salma Saidialiyoipa kichwa cha habariKarume Shujaa. Wakatinaipitia, sijaka mwisho,

    nikamtumia ujumbe, Salmaumeniliza. Umenitoamachozi.

    Kama ni hivi borawaachiwe watawalemaisha, alisema mamammoja ambaye nilimkutaakisoma Makala ya Salma

    kwa utulivu huku dhahirimachozi yakitiririka. Kwanini unasema hivyo? Alihojimwenzake waliyekuwapamoja. Sasa kama itakuwamambo yenyewe ndio hayawaliyofanyiwa akinamama nwatoto wa kike Pemba, si borpasiwepo uchaguzi ijulikanekuwa hapa kuna chamatawala milele.

    Huu ni mfano tu wa jinsiwasomaji walivyoguswa nayale aliyoeleza mwandishiSalma Saidi. Nikatamanilaiti wanasiasa wetu, naowangeguswa japo wasitamkekumwambia Salma kuwaumetuliza, lakini kuliakwao iwe ni kutafakari nakuhakikisha kwamba yale yaMicheweni 2001 hayatokeitena.

    Wakati fulani katikachumba chetu cha habari,

    tulikuwa tukitizama picha zavideo na za kawaida juu yaunyama uliokuwa ukifanywana askari wa Marekaniwalipoingia Iraq. Ilikuwa nizile za ubakaji na udhalilishawanawake na watoto wa kikeImepigwa picha inaonyeshaaskari wanambaka bintimdogo. Binti anapiga kelele,

    Inaendelea Uk. 1

    Mapya yaibuka. Kumbe tatizo vibarakaMazombi ni nani? Kwa nini wanatamba?Chonde chonde ya Wete 2001 yasirudi

    KWANZA kabla sijaandikachochote katika makala

    hii, nimshukuru nakumpongeza mwandishiwa makala ya KarumeShujaa Salma Said katikagazeti la An-nuur toleoNa. 1214, la Jan 29-Feb. 4,2016kwa kutuhabarishahayo aliyotuhabarisha. Nakutokana na kisa cha Ausina Khazraji, ukilinganishana asilimia 99% ya waZanzibari Waislamu namambo yanayofanywa naviongozi wa serikali yaZanzibar ambao wote niWaislamu; na viongozi waserikali ya Tanzania, ambaowote wanajinadi na dini zaokwamba ni wacha Mungu;nimelazimika kuandikamakala hii katika azma ile ileya Salma, kuzinduana.

    Kisa hiki ninachokiandika,si riwaya ya kukirika, balini tukio halisi iliyofanyikaUpareni enzi za Ukoloni waWajerumani. Palikuwa na koombili za kichifu (kifumwa),zilizokuwa zinabadilishanautawala kwa kupigana vita,mshindi ndiye ukoo wakeutatawala. Pare nzima ilikuwana Machifu tisa (9). Hawa

    Kama Uzanzibar umeshindwa

    jaribuni tambiko la Kipare

    Na Khatib J. Mziray

    Machifu wawili waliokuwawakibadilishana utawala kwavita, yule aliyekuwa nje yautawala, akaandaa jeshi lakeili kumpindua mwenzake;vita vikaanza. Yule aliyekuwaanatawala akashindwa vita,akakimbilia kwa Chifu wa

    jirani na eneo la utawala wao.Yule aliyeshinda akachukua

    utawala, akawa anagawangawira. Akamwambiammoja wa wasaidizi wakeambaye ni mdogo wake,kuwa amchukue mke wayule Chifu aliye shindwa nakukimbia. Yule ndugu yakemsaidizi akamwambia kuwa,mimi si mrithi mke wa mtuambaye sijaona maiti yake.Hao ni watu ambao tunasemakuwa hawakuwa na dini.Wakati huo Uislamu walaUkristo haujaingia Upareni.Leo sisi tunaojinasibu kuwani Waislamu na Wakristo,tunabaka wake za watu, tena

    mbele za waume zao wandoa!

    Baada ya muda, Chifumpya akasikia kuwa yulechifu aliyetoroka yuko kwachifu fulani. Akatuma watuwake kuwa waende kwachifu yule wamwambiekuwa wametumwa nachifu wao kuwa awapehuyo chifu aliyekimbilia

    kwake, ili wamrudisheakahukumiwe. Yule chifumwenyeji akawaambiakuwa, ni kweli huyo chifuwanayemtaka yuko hapokwake; lakini kwa sheriaza mila hawezi kumshikakama kuku na kuwakabidhi;

    bali atamwambia atoke njewamkamate wenyewe.

    Yule chifu mkimbizialikuwa anasikiamazungunzo hayo akiwandani ya nyumba, akatokaakasimama hapo nje yauwanja akiwa amechomoa

    upanga wake akiwaameushikilia mkononiakasema, mwanamumeanayenitaka aje hapa.

    Yule chifu mwenyejiakawaambia, mtumnayemtaka huyo hapomshikeni mumpeleke.Wakasema, nani atamshikahuyo! Ameshindikana huko,ukimkata panga hakatiki,

    Inaendelea Uk. 1

    MHE. Pandu Amiri Kifcho

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    10/20

    10 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201Makala

    Inaendelea Uk. 1

    Inatoka Uk. 9

    Inaendelea Uk. 1

    Inatoka Uk. 9

    Umetuliza!analia kwa maumivu,askari wanachekelea.Ukitizama, kwa hakikaunashindwa kuamini, hivihawa wanaofanya haya ni

    binadamu? Picha unayoipatani kana kwamba huyu

    Marine sio binadamu wakawaida. Ni kama mnyamafulani hivi.

    Ukisikiliza yalewaliyosimulia akinaMama wa Pemba kamawalivyonukuliwa na SalmaSaid katika makala yake,fundisho moja lipo wazikabisa. Kwamba binadamuni yule yule. Anaweza kuwamtu mwema au kuwa mbayakupindukia na haitegemeikuwa ni Mzungu auMswahili. Waliyofanyiwawananchi wenzetu, akinamama zetu na mabintizetu wa Pemba, ndiyo yaleyale waliyofanya askariwa Marekani kuwafanyiawanawake wa Fallujah. Tenaunaweza hata kusema, waleMarines waliwafanyiawanawake na wasichanawasio wajua. Sio Wamarekaniwenzao. Sisi tumewafanyiamabinti zetu, mama zetu,

    dada zetu, shangazi zetu,Watanzania wenzetu.

    Tarehe 12 Mei, 1996mwandishi Lesley Stahlalifanya mahojiano naaliyekuwa Waziri waMambo ya Nje wa Marekani

    (Secretary of State) wakatihuo Madeleine Albright namoja ya maswali yake likawa

    juu ya wale watoto waliokufaIraq kwa utapia mlo namaradhi kwa kukosa lishe nahuduma za afya kutokana na

    vikwazo vilivyoshinikizwa nMarekani.

    "Tumesikia kuwa kiasiwatoto nusu milioniwamekufa Iraq. Hii ni idadikubwa kuliko hata walewaliokufa katika Hiroshima(Marekani ilipopiga

    Hiroshima na Nagasaki,Japan kwa bomu la atomiki).Je, unadhani ilikuwa lazimakuchukua hatua zenye atharimbaya namna hii?

    Aliuliza mwandishi BiLesley Stahl akimkabiliAlbright, kwa kuzingatiakuwa Marekani ndiyoiliyokuwa kinara wakushinikiza vikwazo hivyokupitia Baraza la Usalama laUmoja wa Mataifa.

    "We think the priceis worth it." Alijibu BibiMadeleine Albright,akimaanisha kuwa kufa

    watoto wale milioni kasorowa Iraq, ilikuwa bei halalikatika kukia malengo yao ykibeberu.

    Kama Lesley Stahl,pengine baada ya kuelezayote yale, Salma Saidi nayeangewauliza wanasiasa wetuyale waliyofanyiwa akina

    Kama Uzanzibar umeshindwa

    jaribuni tambiko la Kipare

    ukimchoma mkuki hatoboki,ukimpiga mshale hauingii.

    Yule chifu mwenyeji wao

    akawaambia kuwa, basi kamammeshindwa kumshikarudini kwenu. Wakaondokawakarudi kwao. Chifumwenyeji akamwambia yulechifu mkimbizi kuwa, sasahawa wataenda kukusanya

    jesi waje kunipiga kuwanimekuhifadhi, hivyo ondokaukatafute mahali penginepa kukaa. Akaondokaakaenda Tanga. Wakatihuo ndipo Wajerumaniwanaingia, wanapambanana kina Abushiri. Akakutanana kamanda mmoja waKijerumani akamwambia

    kuwa huko ninakotoka kunachifu muuaji, ameua watuwake kijiji kizima kamakuna uwezekano twendeukatusaidie. Yule kamandaakachukua askari wakewawili na vifaa vyake vyakijeshi wakaenda. Walipokakaribu na eneo hilo watuwaliwaona wakaendawakamwambia chifu kuwa,yule chifu aliyekimbiaanakuja na askari wakiwana Mzungu. Chifu akatoaamri kuwa watu wakajiche,waingie kwenye handaki

    (mreshe). Mreshe huoulikuwa sehemu moja hivisasa inajulikana kama Goma,mpakani mwa Mabweni naSereni, Tarafa ya Usangi,Wilaya ya Mwanga. Ulikuwamreshe wa Wambaga. Mtotommoja wa chifu alikataakuingia katika handaki

    (mreshe) akakimbiliamsituni; na yule mdogowake aliyekataa kumchukuangawira mke wa yule chifualiyekimbia hakuingiakatika handaki, alikimbiliakijiji kingine na famiiayake. Yule chifu mkimbizi,walipoka walikuta nyumba

    hazina watu. Yule askariwa Kijerumani akamwulizakuwa watu wako wapi? Yulechifu mkimbizi akamwambiawamejicha kwenye

    handaki (mreshe). Yulechifu mkimbizi akawapelekakwenye handaki akamwambkuwa wako hapo ndani. YuleMzungu akamwambia kuaawaambie watoke.

    Kwa bahati mbaya chifualiyekuwa ndani ya handakina watu wake walikuwahawajui Kiswahili, chifualiyekuja na askari wakiwana kamanda Mjerumaniwanajua Kishwahili; hivyomkalimani wa pande zote nichifu mkimbizi aliyekuja naMjerumani. Chifu aliyekujana Mjerumani akamwambiamlinzi wa lango la handakikwa lugha ya Kipare, kuwaamwambie chifu kuwa

    bwana mkubwa anasemakuwa watoke hapo ndani.Yule bawabu alipomwambiachifu, chifu akamjibu kuwahatutoki maana tunaogopakuwa watatuua. Bawabuwa handaki akimwambiachifu mkimbiazi kwa lughaya Kipare, chifu mkimbizianamwambia Mjerumanikwa Kiswahili kuwa, chifuanasema hawezi kutoka

    MWANDISHI Lesley Stahl.BI. Madeleine Albright

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    11/20

    11 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 20111AN-NUU

    Makala

    Inatoka Uk. 10

    Inaendelea Uk. 1

    Umetuliza!mama na mabinti wa Pemba,yalikuwa gharama stahiki,sahihi na ya lazima katikakushughulikia matatizo yauchaguzi mkuu yaliyoibukawakati ule?

    Katika kuandika makala

    ile, Salma amesema kuwalengo sio kukumbushanamachungu, lakini kilaanavyotizama, kuna kiladalili na kila ishara kwambayanajengwa mazingita yakutokea tena yale yale yatarehe 26 na 27 Januari, 2001.Binafsi niliposoma, ilinijiatu picha ya hii misimamoinayokinzana kufuatiatangazo la tarehe ya kurudiwauchaguzi kama lilivyotolewana Mwenyekiti wa Tume yaUchaguzi Zanzibar, JechaSalum Jecha. Kwamba wakatiCUF wakisema hawatashiriki

    na wakitoa sababu zao, CCMwao wamesema wazi kuwahawana sababu ya kususiakwa kuwa wanataka ushindiwa kishindo. Sasa huwezikupata ushindi wa kishindokama umesusia uchaguziwenyewe. Katika hali kamahiyo, unaweza kusema

    kuwa ni rahisi sana kuzuiyayale ya 2001 yasitokee.Ni suala tu ni kuwaasawatakaoshiriki uchaguziwashiriki kwa amani naambao wametangaza kususia,

    basi nao wasusie kwa amani.Wasije wakafanya lolote la

    kuharibu uchaguzi wa watu,wala kuleta rabsha yoyoteatakapotangazwa aliyeshindakwa kishindo! Wakubaliyaishe.

    Hata hivyo, inavyoonyeshamambo si mepesi kiasi hicho.

    Mapema wiki hii vyomboya habari vimeripoti tukiolililodaiwa kufanywa navikosi, wengine wanasemani mazombie waliohusika.Watu hao wakiwa na silahaza moto pamoja na mikuki,marungu, magongo namapanga, wanadaiwakuvamia maeneo ya Msumbina kufanya uharibifumkubwa. Walivunja mabandukiwemo msikiti wa mudana mabanda ya mafundiseremala na ya biashara.Picha zinazorushwa katikamtandao kuonyesha uharibifuliofanywa na watu hao,zimeambatanishwa na pichaya mtu mmoja inayoonyeshaalama za mikwaju mgongoniKuonyesha alipigwa sana. Nawanaodaiwa kumpiga ni haohao waliofanya uharibifu huo

    Kamanda wa Polisi

    Mkoa wa Mjini Magharibi,Mkadam Khamis Mkadamalithibitisha kutokea kwatukio hilo na kusema kuwa

    Jeshi la Polisi linafanya msakkuwabaini waliohusikaili waweze kuchukuliwahatua za kisheria. Hatahivyo uzoefu unaonyesha

    Kama Uzanzibar umeshindwa

    jaribuni tambiko la Kipare

    Inatoka Uk. 10

    kukutana na wanawake.Yule kamanda Mjerumaniakamwambia amwulize maraya pili; akaulizwa mara ya

    pili, majibu yakawa yaleyale,lakini chifu mkimbiziakamwambiwa Mjerumanikuwa chifu anasema weweni sawa na mwanamke hivyohawezi kutoka kukutananawe. Mjerumani akakasirikaakawaambia askari zakewatupe maguruneti ndaniya handaki, wakatupamagruneti, watu wotewaliokuwa ndani wakafa.

    Baada ya hapo huyuchifu aliyekuwa mkimbiziakatawala, lakini vita vikawavinaibuka mara kwa mara.Ikaka yule mtoto wa chifualiyea ndani ya handaki yulealiyekimbilia msituni alikujakutawala akawa chifu.

    Ikaka mahali wakatokeawazee wa ukoo mwinginewenye hekima na busara,waliokuwa wanaheshimiwana hizi koo za kichifu;wakawaambia kuwawawapatanishe, wakakubaliwakatafuta dume jeusila ngombe wakamchinjawakatoa ini la ngombe huyo;ilikuwa ni mkutano mkubwawa koo hizo mbili za machifukushuhudia suluhu. Mzeempatanishi akawaambiawale machifu wa zile koombili wasogee kwenye ini

    la yule ngombe. Yule Mzeempatanishi akashika kisuakawaambia kuwa, kila chifuashike kisu hicho kwa pamoja,kisha akanuiza kwa imaniya matambiko ya Kipare nakuwaambia waseme manenoyale anayoyasema. Mojaya maneno ambayo yuleMzee mpatanishi aliyokuwaanawaambia waseme ni:-

    Leo tumekubalianakumaliza uadui wetu,atakaye enda kinyume namakubaliano haya, kamatunavyotoboa ini hili kwakisu hichi, basi kisu hichikimtoboe ini lake.

    Kwa pamoja wakasemamaneno hayo kishawakatoboa lile ini kwapamoja. Halafu likachomwa

    kwenye moto likaiva,likakatwa katwa vinyangovidogodogo, kila mtuakapewa akala. Baada ya hapuhasama na uadui ukaishampaka sasa. Zaidi ya miaka

    mia sasa, hakuna uadui. Haoni Wasangi na Wambaga waUsangi, waliokuwa sawa naAusi na Khazraji.

    Viongozi wa serikali yaTanganyika wanajinadikuwa wao wana dini, nawanaochaguliwa kuwaviongozi, ni wacha Mungukwa dini zao. Vipi leoiwe vigumu kupatanishaWazanzibari kwa jina laMungu?

    Viongozi wa serikali yaZanzibar wote wana dinimoja inayoongozwa nakitabu kimoja, Quran. Ndani

    ya serikali wana Mufti naKadhi Mkuu. Wapo piaMasheikh wasomi mahiriAfrika Mashariki na Kati.Inakuwaje Waislamu asilimia99% waendelee na siasa zamazombie wakiumizanailihali ni ndugu mojakiimani? Kama waonaUzanzibari na Uislamuhauwezi kuwapatanisha, baswawatafute wazee wa Kisangna Kimbaga wawalisheyamini kwa staili ya tambikola ini la ngombe mweusi!

    (Khatibu Juma Mziray,Same 0757 01 33 44).

    ALHAJ Ali Hassan Mwinyi. MHE. Benjamin W. Mkapa.

    DKT. Ali Mohamed Shein. MAALIM Seif Sharif Hamad

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    12/20

    12 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 20112 Safu ya Ben Rijal

    KATIKA makala hiinitazungumzia juu ya mti waMgomba. Kitendwaili chamgomba sijui nani atakitambua.Mmoja alitaka kufahamukwanini ukaitwa Mgombausiitwe Mdizi, hoja ambayoitataka kuangaliwa kwa kinakwa wataalamu wa lugha,

    kwani ile miti yote ya Kiswahilimatunda yake ndio huwa jinala mti, kwa mfano unaotoa Nazihuitwa Mnazi, unaotoa nanasiukaitwa Mnanasi, unaotoakorosho ukawa Mkoroshounaotoa su ukawa Msu,wenye kutoa katani ukawaMkatani. Sasa suala iweje wenyekutoa Ndizi ukawa Mgombausiwe Mdizi, nakuacha msomajiuje na jawabu.

    Jina la kitaalamu la Mgomba :Musa acuminata,Musa balbisiana,Mgomba chotara unajulikanakwa majina yaMusa acuminata,

    Musa paradisiaca, na hukonyuma jina la kitaalamu la

    Mgomba ukijulikana kamaMusasapientumjina amabalo kwa sasahalitumiki.

    Ndizi inatokana na Familia :Musaceae

    Jina la Ndizi kwa lughambalimbali : Kiengereza Banana,Africanapiesang, Albania banane,KiarabuMuwz, Kidenish banan,Kidachi banaan, Kilipino saging,Kifaransa banane, KijarumaniBanane,Kiindonesiapisang,Kireno banana, Kituruki muz,Kiurdu kayl, Kivetnam chui.Kila lugha linaita ndizi kwa jinalake ila kuna mfanano wa lughanyingi kuita ndizi kama banan.

    Dondoo za NdiziInakisiwa zaidi ya ndizi

    bilioni 100 huliwa dunianikila mwaka na hii hufanyakuwa ndizi ni mmoja yamlo unaoliwa na kupendwaduniani zaidi. Ndizi ni zao lanne baada ya Mchele, Nganona Mahindi kuzalishwa kwawingi duniani na kuliwapamoja na kusambazwa sehemumbalimbali duniani.

    Kwa wastani Wamarekanihula kilo 13 (mtu mmoja) zandizi kwa mwaka. Inakisiwakuwa kila siku hukia asilimia51 ya watu hufungua kinywakwa kula ndizi. Takwimuzinaonyesha walaji ndizi kwa

    Fatwana namie kuujua MgombaHakuna siku mmoja inayopita duniani katika nchi yoyoteile uijuwao, ila Ndizi huwa inaliwa, ina mapishi ya kila aina,huchemshwa, hukangwa, huchomwa, huwekwa kwenye joto

    joto la ardhi kisha ikaliwa na wengine wakaila na magandayake. Kuna aina zaidi ya 1,000 za ndizi lakini nyingi haziliwimfano wa Mgomba tumbili unaonekana visiwani Pembapeke yake.

    SHAMBA la Migomba

    NDIZI ipendwayo

    mtu mmoja kama ni chajio chakila siku ni watu wa Ugandandio wanaongoza ambaohula kilo 250 za ndizi kwa

    mwaka kwa mapishi muruwayajulikanayo kama matoke,watu husikiliza nyimbo nahupenda kuimba hakuna

    tunda lolote lile au zao lakilimo liloandikwa kwa winginakusiwa mfano wa ndizi.

    Unapoumwa na mdudu au

    mbu kuondoa muwasho aukuvimba ukisugua kwa gandala ndizi huondoa maumivuna kutovimba. Katika baadhiya nchi watu wakiumwa nakichwa huchukua ganda la ndiakasugua katika paji lake nahuamini maumivu huondokamara mmoja. Unapokosa polishkusasha viatu, watu wenginehutumia sehemu ya ndani yaganda la ndizi kurembeshaviatu vyao.

    Kati ya mazao amnbayoukayatumbukiza kwenye majihuelea ni apuli, ndizi na tikitimaji. Marekani ni sehemu yaHawai na ndio sehemu ambayohuzalishwa ndizi na baadhiyake kuuzwa, ndizi ambazohuuzwa nchini Marekani hutokkatika nchi za Amerika yaKusini pamoja na Costa Rica,Equador, Colombia, Honduras,Panama na Guatamela.

    Wanahistoria wanatuelezakuwa ndizi zimeanza kuelezewtangu karne ya 6 kabla yakuzaliwa kwa Nabii Issa (AS).Wamisri wa kale wakipendakuielezea ndizi kwa njia yamichoro, watu wa KusiniMashariki ya Bara la Asi ndiowanaosemekana kuwa ni watuwa mwanzo kulima ndizi.Waafrika wakitumia ndizikama ni chakula kwa dahari.

    Inadhaniwa kuwa ndizi kukabara la Marekani zilipelekwakatika karne ya 16 na Warenohuko Marekani ambazo micheya migomba ilitokea nchi zaMagharibi mwa bara la Afrika.Mbali ya kuwa ni chakulamuruwa maariti hutengenezapombe kutokana na ndizi.(Rejea :hp://thebananapolice.comfun-facts/).

    Kilimo cha ndizi na uzalishwajiwake

    Ndizi huweza kulimwakatika sehemu nyingi duniani.Juu ya hivyo, ndizi ambazo

    hulimwa kwa wingi na kuuzwakwa kibiashara huzalishwa nanchi za joto (equatorial). Nchi zaEcuador, Costa Rica, Philippinena Colombia ndio zenye kuuzandizi kwa wingi duniani,Ecuador ambayo huzalishazaidi ya asimilia 33 ya ndizi zotzinazozalishwa duniani, mbaliya nchi hizo kuna nchi kama 13ambazo huzalisha ndizi dunian

    Nchi zinazozalisha na kusafrishndizi

    Nchi ya India ndioinayoongoza uzalishaji wa Ndiduniani ikizalisha tani milioni

    NDIZI mlo unaopendwa

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    13/20

    13 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201Makala/Tangazo

    Inatoka Uk. 11

    Umetuliza!kuwa haijawahi kutokeakatika matukio kamahaya yanayohusishwana vikosi, Janjaweed aumazombie, akakamatwamtu na kukishwamahakamani. Watapigwawatu, wataumizwa, malizao zitaharibiwa, lakiniinapokuwa watuhumiwani mzombie, hatua za Polisizitaishia hapo katika kutoaahadi kuwa wanawasakawahusika.

    Ni katika hali kamahiyo na uzoefu kamahuo, kuna kila sababukuwa na wasiwasi kuwahuenda tuendako kuelekeauchaguzi wa marudiompaka kutangazwamatokeo na baada ya

    hapo, kusiwe salama.Lakini kinachotishazaidi ni ile kauli yaRais Dr. Ali MohamedShein. Shein awaonyawanaokiria kuleta fujoZanzibar, ndivyo baadhiya vyombo vya habarivilivyoripoti kauli ya Dr.Shein. Vikifafanua vikasemakuwa Makamu Mwenyekitiwa CCM na Rais waZanzibar, Dk. Ali MohamedShein amewatahadharishawanaojiandaa kuletavurugu visiwani humokwamba wasije kuilaumuSerikali kwa hatuaitakazochukua dhidi yao.

    Katika kutoa tahadharihiyo, Dk. Shein akabainishakuwa CCM itaendeleakutawala Zanzibarlicha ya vibaraka wandani kutumika kutakakukiondoa chama hichomadarakani.

    Mtaiona hivi hivi CCMikiendelea kutawala lichaya majaribio ya vibarakakutaka kuingoa, kwenye

    nchi nyingi vibarakawamefanikiwa kuviondoavyama vilivyoletaukombozi lakini kwaZanzibar mtaiona hivihivi. Alisema Dk. Sheinkama alivyonukuliwana gazeti moja mapemawiki hii. Rais Dk. Sheinaliyasema hayo akihutubiawafuasi wa CCM kwenyeuzinduzi wa sherehe zamiaka 39 ya kuzaliwa CCMzilizofanyika Kisiwandui,Jumapili iliyopita.

    Awali tuliambiwa kuwauchaguzi umefutwa nakisha kutangaziwa kuwautarudiwa Machi 20kwa sababu kulikuwana dosari. Pengine hapamtu unaweza kuuliza,dosari hizo ni mwelekeowa matokeo yaliyoashiriakuwa labda vibarakawangefanikiwa kuiondoaCCM madarakani? Tatizoni uwepo wa dosari kamazilivyotajwa na Jecha auni kuwepo kwa vibaraka?Na kama kila anayetishia

    nafasi ya CCM kubakimadarakani, ni kibaraka,kwa nini tusajili vyamavya upinzani na kufanyauchaguzi?

    Wakati Dk. Sheinanahutubia Kisiwandui,tayari tukio la Msumbijina kwa Mabata lishatokea.Hata hivyo hakugusiachochote juu ya vurugu nauharibifu huo unaodaiwakufanywa na mazombie.Hapo ndio unakujawasiwasi na kuibuamaswali. Kama hayayanayofanywa mitaanikupiga watu mikwajuna kuharibu mali zao,hayaonekani kuwa nifujo na kuvuruga amaniya nchi, fujo ni nini nawanaotuhumiwa kuwawanataka kuleta fujo niakina nani?

    Ukiyazingatia manenoya Mheshimiwa Rais Dk.Shein, picha unayoipata nikuwa wanaodaiwa kutakakufanya fujo ni vibaraka

    wa ndani wanaotumiwana vibaraka wa njekutaka kuiondoa CCMmadarakani. Na fujo ni

    jambo lolote linalohatarishanafasi ya CCM kutawalamaisha Zanzibar, hata kamajambo hilo ni kura zawananchi kupitia uchaguzihuru na kwa mujibu wakatiba na sheria.

    Nadhani vibaraka wandani wanaotajwa hapawanajijua. Sasa kama namnapekee ya kuwaepusha nashari akina mama zetu

    na mabinti zetu kubakwana kufanyiwa udhalimukama ule wa mwaka 2001ni kufuata ushauri nakuridhika na kauli ya Dk.Shein kwamba mtaionahivi hivi CCM ikiendeleakutawala Zanzibar, basi

    bora iwe hivyo. Tutoshekekuwa Wamalhayaatudunia illaa na kwambamaadhali binadamukadiri anavyoipendadunia hii, lazima atakufa,

    basi hata vyama vyasiasa vilivyoundwa navinavyoendeshwa na

    binadamu asiye hata nadhamana ya uhai wake,vitakia mwisho pia. Busaraitumike, kwa sasa tutizamena kuweka mbele maisha yawatu na hali zao tukizingatia

    yale ya 2001.Salma Saidi alianzamakala yake akisema kuwaatakayoandika ni mamboyasiyokirika kufanyika nakutokea katika nchi ambayoinajivunia kuwa na asilimia99% ya Waislamu ambao nindugu.

    Labda na mimi nimaliziekwa kusema kuwa, sio kuwani nchi inayojinasibu naUislamu tu, lakini ambayoviongozi wake wote wa ngazza juu ni Ma-Alhaj.

    P.O. Box 90042, +255 713 586 186 au 713 455 255Dar es Salaam, Tanzania

    NAFASI YA MAFUNZO YA USHONAJI

    Chuo cha ushonaji Tanzania Islamic Centrekinawatangazia wanawake wote kuwa kinatoamafunzo ya ushonaji (tailoring) na kudarizi

    (Embroidering) kwa ada nafuu sana.

    Chuo kina maadili na mazingira mazuriya kujifunzia. Kipo Msikiti wa Kichangani,Magomeni Mapipa.

    Fomu zinapatikana hapa chuoni. Wanawake wotemnakaribishwa katika mafunzo.Wasiliana kwa simu No 0713586186na 0713 455255

    Wabillah Tawfq

    Tanzania Islamic CentreManispaa ya Kinondoni

    MAKAMU wa Rais, Mhe.Samia Hassan Suluhu.

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    14/20

    14 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201MAKALA/MASHAIRI

    Inatoka Uk. 7

    Mh. Magufuli aturudisha kule kwa Sheikh Takadirmaandamano dhidiyake kutokana natuhuma za hujuma

    iliyokuwa ikidaiwakufanywa dhidi yaWaislamu akiwaKatibu Mtendaji waBaraza la Mitihani laTaifa. Mh. Ndalichakoalidiriki kubadilishamatokeo yaliyokuwatayari yametangazwa

    baada ya kupigiwakelele! Wakati akiwaKatibu Mtendaji waBaraza la Mitihani laTanzania. Leo ndiokapewa nafasi ya kuwaWaziri wa Elimu!

    Uteuzi wa MakatibuWakuu

    Uteuzi waMakatibu Wakuuhaukuwa na nafuukwa Waislamu hatakidogo. Kwani kati yaMakatibu na ManaibuMakatibu Wakuu 50walioteuliwa, katiyao Waislamu japokwa majina ni 10 tusawa na 20%, hukuwaliosalia 40 sawana 80% ni Wakristo.Hawa ndio watendajiwa serikali. Hawandio wanaopanga nakuratibu mipango namaendeleo ya nchi.Bado hoja ni zile zile,inawezekana ikawa nikweli kuwa hakunaWaislamu wachapakazina wenye sifa za kuwaMakatibu Wakuuwanaoweza kumudukasi ya MheshimiwaRais JPM? Kamailivyokuwa kwaMawaziri, wapo piaMakatibu Wakuuwalioteuliwa wakitokeakatika taasisi za elimuya juu na taasisinyingine. Je, hukohakuna Waislamuwenye sifa na uwezowa kushika nyadhifahizo? Inawezekanawakawa wapo, lakiniMh. Rais hakuona hajaya kuzingatia uwianowa dini mbalimbalikatika uteuzi. Kamaingekuwa si kuzingatiaimani, basi ingetokea

    bahati mbayaWaislamu nao wakawawengi katika orodhaya Makatibu Wakuukama ilivyokuwa kwaWakristo katika Barazala Mawaziri. Lakini

    bahati mbaya imekuwa

    ya kuwaangukiaWaislamu kwa nyanjazote! Sijui Sayansiya Bahati Nasibu-sio

    jambo la kupanga(Science of Coincidence),inasemaje.

    Ikumbukwe kuwaMh. Rais aliahidiwakati wa kampenikuwa, katika utawalawake hatowabaguawatu kwa rangi zao,makabila yao waladini zao. Kauli sahihikabisa. Lakini labdatujiulize, kipi chakuthibitisha ahadi hii?Kama nilivyotanguliakusema, yawezekanakatika kuongozwana ahadi hiyo yakutokubagua,Mheshimiwa Raishakutizama sualala dini katika uteuziwake. Lakini labdapengine tuligeuze

    jambo hili liwe kwaupande mwingine.Asilimia 10 yaMawaziri Wakristo, 90Waislamu, asilimia 80ya Makatibu Wakuu,Waislamu, waliosaliadini nyingine!

    Huu ni mwanzo wasafari ndefu mbeleyetu. TunamuombaMh. Magufuli atembee

    juu ya maneno yake,

    atende haki. Hoja zakisiasa kwamba katikauteuzi hatujali dini

    bali sifa, haitatusaidiasana na wala haifanyikazi. Labda mtujie nautati wa kisayansikuthibitisha mambomawili. Moja, kwambakadiri mlivyochambua,hao asilimia 20 ndioWaislamu pekeemliopata katika setya Waislamu nchiniwenye sifa za kuwaMawaziri na MakatibuWakuu. Lakini piamtuonyeshe sifa

    mlizozingatia katikahao mliowateua ilikuweza kuona kwambakweli katika set yaWaislamu wenye sifa,hakuna mwenye sifahizo.

    Aliwahi kulalamikaMzee Mtei ilipoteuliwaTume ya Mzee Warioba

    juu ya Katiba akisemakuwa kulikuwa naWaislamu wengi naakasisitiza kuwa hojakwamba nchi hainadini na haiongozwikwa misingi ya dini,haistahiki kutolewa.

    Akasema, hatuwezikupinga ukwelikwamba mtizamona maamuzi yawatu yanaathiriwa

    na Imani za dini zao.Lakini tutakumbukapia kwamba wakatiwa Mzee Ally HassanMwinyi ilitokea katikaBaraza lake la Mawaziri,yakaongezeka majinaya Waislamu kinyumena ilivyokuwa ada.Japo idadi yenyewewala haikukia roboya Mawaziri wote,lakini zikapigwa sanakelele na kudaiwakuwa Mwinyi anatakakuisilimisha Tanzania.Hayo yaliwahi kutokeapia kwa Rais Mstaafu JKalipoteuwa idadi fulaniya Mabalozi ikaonekanakuwa kulikuwa namajina mengi yaWaislamu. Nakumbukmarehemu ProfesaSeithy Chachagealiwahi kutupiwa swalikwamba haoni kuwepokwa majina mengi yaKiislamu ni dalili kuwaKikwete anapendeleaWaislamu? Jibu la ProfesChachage lilikuwakwamba inabidikwanzufanyike utati tujueserikalini katika nafasizote muhimu, kunaWaislamu wangapi

    na Wakristo wangapi,ndio tuseme.Kama huu ndio

    ukweli kamaalivyoubainishaMzee Mtei, nakama hii ndiyo haliunapogeuza mambokwa upande wa pili,kwa nini idhaniwekuwa Waislamu waowataridhia kuonaBaraza la Mawaziri naTimu ya WatendajiWakuu Serikalinikatika Uwiano huu wa20 kwa 80?

    MZEE Edwin Mtei

    Bado namkiriya, huyu kiumbe insani,Mambo avyojifanyiya, kijura ulimwenguni,Thakili kuhadithiya, yote hapa shairini,Kweli kiumbe insani, wa ajabu na juhala!

    Japo ushamkiya, Mwongozo wa Rahmani,Na Sunnah za Manabiya, kumhidi maishani,Mbali avitupiliya, vyote yu upotovuni!Kweli kiumbe insani, wa ajabu na juhala!

    Allah amuajabiya, hata mwake Kitabuni,Hadi kuka mwambiya, kimghurichoye nini!INFITWAR rejeleya, hilo utalibaini,Kweli kiumbe insani, wa ajabu na juhala!

    Tumbi amejibuniya, mui yaso na kifani,

    Japo kwa yake duniya, ayaona ya thamani,Kesho atayajutiya, akhera kuno mizani,Kweli kiumbe insani, wa ajabu na juhala!

    Kwa akali tagusiya, moja na la karibuni,Ushufu avyojitiya, 'uhamnazo' kichwani,Yu wapi aelekeya, kweli hajui insani!Kweli kiumbe insani, wa ajabu na juhala!

    Mwezi jana miladiya, ulipoka mwishoni,Na jadidi kuingiya, sitashara alfeni,Sana alishangiliya, kwa vijo mitaani,Kweli kiumbe insani, wa ajabu na juhala!

    Kwa zake nyu hisiya, zilivyo aweza dhani,Miaka yamrefukiya, ya dunia kusakini,Kumbe yampungukiya, hatambui maskini!Kweli kiumbe insani, wa ajabu na juhala!

    Ufu wamjongeleya, kila mwaka habaini!

    Amefanya mazoweya, umri kutothamini,Kwa shere kuuchezeya, kesho atautamani,Kweli kiumbe insani, wa ajabu na juhala!

    Atakapomzukiya, yule rusulu manuni,Roho kujichukuliya, kwa ya Mumitu idhini,Mwisho wa yake duniya, sana alokithamini!Kweli kiumbe insani, wa ajabu na juhala!

    Joshoni watamtiya, hapo na kumkani,Na kisha kumswaliya, na kumweka mwanandani,Ndipo ataujutiya, umri pasi kifani,Kweli kiumbe insani, wa ajabu na juhala!

    Mwisho ninawausiya, ndugu zangu Waumini,Umri kwetu hadiya, kutoka kwa Rahmani,Si wa shere kuchezeya, bali ni wa kuthamini,Kweli kiumbe insani, wa ajabu na juhala! ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

    VIMINI VYENU, AKA!!!Vimini vyenu kuvika, aila zetu hatwezi,Zi chini ya mamlaka, yetu na uangalizi,Tuna dhima kwa hakika, kwalo sisi kwa Mwenyezi,Vimini vyenu vaeni, kwetu sisi marufuku!

    Japo yawe ni kutoka, kwa adhimu Kiongozi,Huwa ni yenye mashaka, ya insani maamuzi,Kando yanapouweka, Muongozo wa Mwenyezi,Vimini vyenu vaeni, kwetu sisi marufuku!

    Amama hoja naweka, kwalo si ufaraguzi,Insani avyoumbika, na wake utenda kazi,Dhahiri ashatuweka, shahiri wetu Mwenyezi,Vimini vyenu vaeni, kwetu sisi marufuku!

    Kwa utashi kuuweka, mbele na yake mapenzi,Pamwe na kubaidika, na Muongozo azizi,Yu sahali kupotoka, ashatujuza Mwenyezi,Vimini vyenu vaeni, kwetu sisi marufuku!

    Kaditama nimeka, nifanye utamatizi,Lengo risala kuka, ya da'wa na uzinduzi,Vimini ninatamka, si yetu yenu mavazi,Vimini vyenu vaeni, kwetu sisi marufuku! ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

    KWELI INSANI, KIUMBE WA AJABU!

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    15/20

    15 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201Makala

    SHEIKH Khalfan Kiumbe,

    ametajwa kuwa atabakia kwamuda mrefu katika nyoyo zaWaislamu hususani wa Ujiji,Kigoma na Afrika Masharikikwa ujumla.

    Jumapili ya Desemba 6,2015, ilikuwa siku aliyofarikina kurejea kwa Mola wakemwanazuoni huyo mkubwa,aliyeacha athari kubwa yaElimu ya Dini ya Uislamu.

    Mwenyekiti wa JuqusutaTaifa, Sheikh HassanKabeke, amesimulia kuwamwanazuoni huyo, aliyatoamaisha yake yote kwa ajili yadini yake. Al-Marhum Sheikh

    Khalfan Kiumbe, ambayealizaliwa miaka ya 1925, kwamujibu wa kumbukumbu zaSheikh Hassan Kabeke, katikauhai wake aliitumikia diniyake bila kuchoka na kutoamchango mkubwa katikakuelimisha Uislamu kwaWaislamu.

    Sheikh Kiumbe, ambaye nimzaliwa wa Mji Mkongwewa Ujiji, alikuwa mtoto wamwanazuoni mkubwa wazama hizo Sheikh MuhamedMaqsudi Kiumbe. SheikhKabeke anaeleza kuwamara baada ya kuzaliwa(Sheikh Kiumbe), baba yakealimpeleka kwa Sheikh wake,akiitwa Sheikh Khalfan

    bin Muhamed Zindijalikusomeshwa. Mzazi wakehuyo alimweleza SheikhKhalfan, kwamba amepatamtoto wa kiume na SheikhKhalfan, akamwambia huyoni mimi, atakuwa kama mimina zaidi ya mimi. HapoAl-Marhum Sheikh KhalfaniKiumbe, akabeba jina laSheikh wa Baba yake.

    Sheikh Khalfan Kiumbe,anatajwa kuwa alikuwa na

    elimu kubwa na hasa kwazama zake katika upandewa Ilimu ya Aala, hakuwana mfano wake. Lakini piaanatajwa yeye na mwenzieMaalim Bakari Suleiman,(Bwera), ndio walioasisi kituomaarufu cha siku nyingicha Elimu cha Ghazali,Kigoma. Kwa mujibu waSheikh Kabeke, kituo hichokilipata baraka kubwa nakuweza kutoa wanazuoniwakubwa waliobobea, haswakatika maarifa ya Uislamu

    Hatasahaulika Sheikh Khalifan KiumbeNa Bakari Mwakangwale

    na walikuja kuwa msaadamkubwa nchini Tanzania nanchi jirani.

    Katika safari yakekielimu, Al-Marhum, SheikhKhalfan Kiumbe, alisomakwa Masheikh mbalimbaliakianzia kujifunzia ilimuhiyo nyumbani. Pia aliifataelimu ya Dini katika visiwavya Unguja ya zama hizo nahakuna Sheikh wa Unguja,katika miaka hiyo ya 1950shadi 1960s, ila alitabaruk nae.Al-Marhum, Sheikh Khalfananatajwa kuwa ni katika yaMasheikh wachache katikamiaka ya 1980s, aliyebahatikakuwemo katika msafara waMasheikh waliopata mualikowa kutembelea Hijaz yamiaka hiyo (Saud Arabia).

    Imeelezwa kuwa kutokanana kuwa na bahari ya elimu

    ya dini, Masheikh wakubwawa zama hizo waliobahatikakutembelea Mji wa Kigoma,kama Sheikh Hassan BinAmir (Abalmubarak) nawengine wengi walikanyumba kwa Sheikh Kiumbe.Akiwa huko katika ziara hiyo,inaelezwa aliwashangazawengi, kutokana na umbilelake kuwa dogo mpaka watuwaliokuwa wakimtembeleahawakuamini sifa za elimuyake wakilinganisha naumbile lake.

    Shkh Kabeke, anamtaja

    Al-Marhum, Shkh Kiumbe,kuwa ni mwanazuoni waaina yake, kwamba katikamaisha yake hakujulikanigenge lake kwani muda woteutamkuta ama anajisomeavitabu mbalimbali au

    anajibu maswali kutoka kwaWaislamu. Katika taratibuuliozoeleka hata katika miakahii wa kudarasisha nyakatiza Mwezi wa Ramadhani,tofauti na sasa wauminihuanza wengi na kupunguakadiri mwezi unakwendalakini Shkh Kabeke, anasemahajapata kuona, kwani darsaya Shekh Kiumbe, ilikuwaikifunga mtaa, mahudhiriohayo ni kwa mwezi mzima(mwanzo mwisho).

    Katika uhai wake ShkhKiumbe, amefanikiwa

    kuwa na wanafunzi wengiambao wameenea sehemumbalimbali ndani na nje yaTanzania. Miongoni mwawanafunzi wake, wapompaka waliopata daraja yaUmufti, katika baadhi ya nchi.

    Amewataja miongonimwa wanafunzi wake kuwani Sheikh Tawiq IbrahimMalilo, Sheikh MuhamedIbrahim Kabeke, SheikhAmran, ambaye aliwahi kuwaMufti wa Rwanda, Sheikh Ali

    Kahenga.Wengine ni Sheikh Swaleh

    Ramadhani Ndauga, SheikhThabiti Sibumwe pamoja naeSheikh Rajabu Kiigiza, ambaohao ni wachache katikamamia ya wanafunzi wake,huku wajukuu zake katikaelimu, hawana idadi.

    Akichangia maoni yakekuhusiana na kumbukumbuya Sheikh Kiumbe, SheikhAbdi Kabange, alimshuhudiana kunusa darsa zake,anasema hakika SheikhKhalfan Kiumbe, alikuwana ilimu kubwa ni bahatimbaya tu wakati wake

    teknolojia ilikuwa badohaijakia kiwango cha sasa,kwani darsa zake zingewezakurekodiwa katika pichaza video au audio ummaungefaidika sana.

    Amesema, yeye wakatihuo alikuwa kijana mdogowa miaka 15-18 na alikuwahakosi darsa za SheikhKhalfan za mwezi waRamadhani hata siku moja,hata hivyo anasema leoamekuwa ni mtu mzima, naamebaini kwamba SheikhKiumbe, alikuwa ni ilimusana.

    Alikuwa anafahamu vizurna alikuwa anazitumia fanitakriban zote kubwa za ilimukwani alifaham Mantik,Swarafu, Balagha, maani, nazote hizi akizitumia vemaalipokuwa anafundishatafsirul Qur an katika darsazake. Anasimulia SheikhKabange.

    Anasema, si Al-MarhumSheikh Kiumbe tu, bali kwaumri wake sasa amewaonana kuona mchango waokatika ilimu ya Ujiji (hususankupitia Ghazal Muslim

    School).Anawataja baadhi yaokuwa ni akina MarhumuSheikh Omary HimidMkunda, Almaruhum SheikhMuhammed Ibrahim Kabekepamoja na Almarhum SheikhMussa Mbaruku Lumbi,hakika anasema Ujiji ilikuwahazina ya ilimu.

    Tunamuomba Allah (s.w)awalipe Masheikh hawa kwailimu waliyotoa kwa ummawa Kiislamu, Tanzania, Afrikna Dunia kwa ujumla.

    SHEIKH Khalfan Kiumbe (kushoto).

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    16/20

    16 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201Makala

    Jinsi nchi za Magharibi zinavyotengeneza ugaidi-2Inatoka Uk. 8

    mkubwa zaidi wa mvurugano

    ndiyo nafasi yao.Endapo Abdurrahman Wahidangeruhusiwa kubaki kamaRais wa Indonesia, uwezekanomkubwa ni kuwa kusingekuwana ugaidi. Nchi hiyo ingepitiamageuzi ya kijamaa, kuwekahaki za kijamii, kuwatoakifungoni na kuwapa uhuruWakomunisti na kukumbatiaitikadi huru.

    Katika nchi zenye mwelekeowa kijamii wenye mizania boraya haki, ugaidi haushamiri. Hiyoisingekubaliwa na Himaya. Inamaana kurudi tena kwa mfumowa Sukarno! Taifa kubwa zaidila Kiislamu duniani haliwezikuachwa kwenda njia linayotaka

    lenyewe, kulenga Ujamaa, nakuondoa vizalia vya ugaidi.Ni lazima liwe katika ncha.

    Liwe tayari kutumiwa kamakete. Lazima liwe la kuogopa nakuogopesha. Na ndivyo ilivyo.

    Michezo ambayo nchi zaMagharibi zinafanya ni yamiingiliano maridhawa namipana. Yana chembe zaupotofu kihisia na uharibifu. Niya kiharibifu kiasi kwamba hatawachambuzi wa kina wanapatataabu kuelewa wanachoona namisimamo ya hoja inayokiwa:'Hivi hii inaweza kutokea?'

    Jibu rahisi ni kuwa: Ndiyoinaweza. Ndiyo, imetokea kwamiongo mingi na karne nyingi,"

    Kihistoria, ugaidi ni silaya ya

    kawaida ya nchi za Magharibi.Ilitumiwa bila kipingamizi nawatu kama Lloyd George, wazirimkuu wa zamani wa Uingereza,ambaye alikataa kutia sainimakubaliano ya kuondoa upigajimabomu angani maeneo ya rais,akitumia mantiki isiyoteterekaya Uingereza: "Tunaitunza hakiyetu ya kuwalipua makari(niggers) wale." Au

    Winston Churchill, wazirimkuu mwingine wa Uingereza,ambaye aliunga mkonokutumiwa silaha ya gesi dhidiya watu wa rangi ya chini, kamawa-Kursi na Waarabu.

    Ndiyo maana akitokea mtukutoka kwingine, nchi kamaRussia ikaanza kuhusika,

    ikaanzisha vita halisi dhidi yamakundi ya kigaidi, nchi zaMagharibi zinaanza kuhangaika.Russia inavuruga mpango waomzima! Inavuruga mlinganio wakikoloni mamboleo uliopangwakwa uangalifu sana. Angaliajinsi kila kitu kinavyofurahisha:baada ya kuunda mamiaya mamilioni ya watu koteduniani, nchi za Magharibi sasazimesimama kama mdau mkuualiyejipangia mwenyewe kuwamtetezi wa kwanza wa uhuruna haki za binadamu. Badozinakandamiza dunia kikatili,zikisomba mali na kuidhibiti-lakini bado zinakubalika

    kama kiongozi mkuu, mshaurimwenye nia njema, na eneo pekeyake linaloaminika katika dunia.

    Na hakuna mtu anayecheka,hata mmoja.

    Kwa vile wote wanaogopa!Makundi yake ya kikatili ya

    wapiganaji katika Masharikiya Kati na Afrika yanavuruganchi moja baada ya nyingine,yanakotokea siyo vigumukupaona, ila ni vigumu kwa mtuyeyote kufuatilia na kugusa.Baadhi ya wale waliokaribu,walikufa. Jinsi makundi hayaya kutengeneza ya kikatili yakupandikizwa yanavyozidikutisha, ndiyo nchi za Magharibi

    zinavyoonekana ni nzuri. Yoteni maigizo. Yana vianzio vyakekatika matangazo ya biasharana uzoefu wa miaka mia kadhaaza kuendesha vyombo vyapropaganda.

    Halafu nchi za Magharibizinajifanya kupigana namakundi haya ya utawala wagiza. Inatumia lugha yenyenguvu, ya 'kutenda haki,'ambayo ina msingi wake katikamafundisho ya kina na kiimla yaUkristo wa jadi.

    Unaanza mzunguko wakra za kubuni, kama katika'Ring,' tamthilia ya RichardWagner (opera), mtunzi wainsha na mashairi ya mrengo wakifashisti.

    Wapiganaji wa kigaidiwanawakilisha uovu, siyomatumizi makubwa yaWizara ya Mambo ya Nje yaMarekani, Umoja wa Ulayana NATO. Ni wabaya zaidikuliko Shetani mwenyewe!Na nchi za Magaribi, zikiwazinamwendesha yule farasimweupe, labda zikiwa zimelewakiasi kwa mvinyo, lakinimuda wote zikiwa zinajisikiavizuri, zinaonyeshwa kamawaathirika na wapinzani wakuuwa makundi haya makundi yakishetani ya kigaidi.

    Ni igizo ambalo ni vigumukuamini. Ni mzaha wa

    kuogofya. Angalia chini yakifunika uso cha mwendesha

    farasi, angalia meno hayoyalivyo nje nje, tabasamu lakutisha! Angalia macho yake

    mekundu, yaliyojaa ula,tamaa na ukatili.

    Na tusije kusahau: ukolonina ubeberu ni aina mbilimbaya sana za ugaidi. Na hiz

    bado ndizo silaha mbili kuuza huyu mwendesha farasiambaye anaikosesha pumzidunia!

    (Makala hii: How theWest Creates Terrorism,imeandikwa na AndreVltchek na kutafsiriwa kwaKiswahili na Anil Kija)

    (Makala hii: How theWest Creates Terrorism,

    imeandikwa na AndreVltchek na kutafsiriwa kwaKiswahili na Anil Kija)

    Inawatanganzia Waislam wote kuwa imeandaa safari ya Hijja mwaka 201sawa na mwaka 1437 Hijria kwa Dola US$ 3,555

    Kutakuwa na punguzo la asilimia 16% kuanzia muda huu mpaka Fe29/2016. Itakuwa Dola $2986 tu.

    Kuanzia mwezi Machi 01-2016 mpaka Juni 12-2016 kutakuwa na punguzla asilimia 6% sawa na Dola $3,341 tu.

    MAMBO YATAKAYOGHARAMIWA

    1. Semina za Hija, 2. Huduma za afya na kuchinja 3.Airport Charge nticket za Ndege 4.Nyumba Makkah na Madina 5.Irham na Kuchinj

    kwa ajili ya Tama-tuu 6.Chakula wakati wote 7.Usafri na ziarMakkah na Madina 8.Mahema Mina na Arafa.UMRA MWEZI WA RAMADHANI ITAKUWA NI DOLA US $1995

    Fomu zinapatikana sehemu zifuatazo:-1.Osi ya Ahlul Daawa Dar es Salaam Mtaa wa Dosi na Mkadi

    nyumba Namba 26 mkabala na Showroom ya magari Tell. 071730 444, 0773 804 101 ,0785 930 444 au 0773 930 444.2. Osi ya Ahlu Daawa Zanzibar Rahaleo Tel: 0777 484 982, 077

    413 987.3. Abubakr Maulana wa Markaz Kiwalani Dar es Salaam, Te0784 453 8384. Abdallah Salehe Mazrui (Hoko) Dar es Salaam, Tel: 0715 72

    4445. Abdallah Hadh Mazrui, Wete Pemba Tel: 0777 482 665

    6. Mohammed Hadh Mazrui Mkoani Pemba 0777 456 911

    7. Sheikh Daud Khamis Shekha Tel: 0777 679 692

    8. Maalim Seif Humoud Hamed (Kijichi Zanzibar) 0777 417 736

    WAHI KULIPIA

    1. Osi ya Ahlul Daawa Dar es salaam Tel: 0713 730444, 077

    804101,0785 930444.2. Osi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel: 0777 48498

    0777 413 987.Maalim Seif Humoud Hamed (Kijichi Zanzibar) Tel: 0777 417 73

    TANBIH(a) Atakaemaliza taratibu zote mwanzo nd

    atakayeshughulikiwa mwanzo(b) Ili uwemo katika fungu la kwanza unatakiwa umaliz

    taratibu zote kabla ya punguzo(c) Kumbuka kikundi cha Ahlul Daawa kwa bei nafuu kulik

    wote na huduma kuliko wengi.

    Wabillah Tawq

    Ahlu Daawa Hajj and Travel Agency

    WINSTON ChurchillLLOYD George

  • 7/25/2019 ANNUUR_1215.pdf

    17/20

    17 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA FEB 5-11, 201MAKALA

    JUMANNE ya wiki hii,Sheikh wa mkoa wa Dar es

    Salaam Alhadi Musa Salum,chini ya mwavuli wa BarazaKuu la Waislamu Tanzania(BAKWATA) mkoa wa Dares Salaam, alifanya mkutanona waandishi wa habariofsini kwake kwa lengo lakukishawishi Chama chaWananchi (CUF) kighairi azmayake ya kutoshiriki UchaguziMkuu wa Marudio na badalayake kishiriki uchaguzi huounaotarajiwa kufanyikaVisiwani humo mnamo 20Machi,2016.

    Kwa wasiomfahamu Sheikhhuyo na historia ya BAKWATAyake, wanaweza kupigwa

    butwaa na kushindwa kubaininini hasa mantiki na sababuiliyomfanya Kiongozi huyowa kidini kuamua kuitishamkutano na wana habari nakuzungumza aliyoyazungumzasiku hiyo kuhusiana