annuur_1213.pdf

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 26-Feb-2018

1.174 views

Category:

Documents


2 download

TRANSCRIPT

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    1/20

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1213RABBIUTH THAN 1437, IJUMAA , JANUARI 22-28, 2016 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected]

    Soma Uk.

    Ya Sitakishari yasikie tuPolisi Dar walivyomtesa mtuhumiwa

    Awali Mahakama ilimwona hana hatia

    Akadaiwa ana kombati za Al Shabaab

    ALIPONIONA tu, alieleza kuwa amenitajaili nike nimuone katika hali aliyokuwanayo, hata akifa ifahamike kuwa amekufaakiwa mikononi mwa Polisi. Kweli jamaa

    alifariki usiku wa saa nane, siku ile ileniliyoingia mimi.

    Maalim amegongamsumari kichwani

    Papa Francis akitoa agizo kwa JPM'Sanamu za Babeli' zaporomoka Zbar

    Soma Uk. 9 PAPA Francis SEIF Sharif Hamad.

    Kutoka kushoto: Bi Ummukhayr Sadri Abdulla, BMaryam Said Aboud na Bi Khadija Abubakar Abdulkadwakiwa kortini Mombasa Machi 30, 2015. Soma Uk. 1

    Khartoum SalafSawa Mzee Punch wa UDSMAlihusika kadhia ya Bint Sadr?Aeleza alivyo wagaragaza MUM

    Habari kamili Uk.

    MUATHIRIKA wa mateso yaPolisi, Ustadh Saidi MichaelDanieli.

    Mapinduzi hayakuwana maana ya ubaguzi

    WAZIRI wa Mambo ya Ndani,Mhe. Charles Kitwanga.

    MKUU wa Jeshi la Polisi,IGP Ernest Jumbe Mangu.

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    2/20

    2 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201Mafundisho ya Qur'an/Uwanja wa Maarifa

    Fethullah-Gulen

    Jee Unajua?

    MASUALA1.Yataje majira manne ya Kiswahili, kwa kizungu Summer, Winter, Sprinna Autumn. Jawabu: Kiangazi, Kipupwe, Masika, Vuli.2.Jee sauti inatembea kwa haraka kwenye: Maji, Hewa, Mtungi? Jawabu: Ma3.Wakati wa kiangazi Mchana huwa. na usiku huwa? JawabMrefu, Mdogo4.Wakati wa Kipupwe Mchana huwa . Na Usikhuwa? Jawabu: Mdogo, Mrefu5.Nyezo gani kuu inayosababisha kupatikana kwa misimu? Jua, Mwezi, Makujaa na kukupwa. Jawabu: Jua6.Jee ni kweli kila Sayari duniani ina miongo sawa? Ndio, Sio. Jawabu: Sio7.Dunia inaizunguka: Jua, Mwezi au Wenyewe? Jawabu: Jua8.Sayari ipi iliokubwa koliko zote kati ya 9? Mars, Venus, Jupiter. Jawab

    Jupiter9.Zitaje Sayari 9 kwa mpangilio kutokea kubwa hadi ilio ndogo. JawabuJupiter, Saturn, Uranus, Neptune, Earth, Venus, Mars, Mercury, Pluto.10.Jee Afrika ni Sayari, Bara au Nchi? Jawabu: Bara.

    JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA: 35

    CHEMSHA BONGO: 36Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.

    MASUALA1.Sayari ipi ilio na baridki kali kabisa?2.Sayari ipi ilio na uzito mkubwa kuliko zote?3.Jua lina asilimia ngapi ya Hydrogen na Helium?4.Umri wa Jua miaka mingapi?5.Masafa ya kutoka duniani hadi mwezini.6.Kwenye Mwezi kuna maisha? Ndio, Sio.7.Mwezi wa Kiislamu hufwata mzunguko wa 8.Mwezi wa Kizungu hufwata mzunguko wa9.Matumaini ya maji kupatikana yapo katika Sayari ipi?10.Jua likitoka Magharibi itakuwa nini?

    1.Inasadikiwa kuwa lugha ya Kitamil ni kati ya lugha kongwe duniani ikiwinazungumzwa hadi hivi sasa. Lugha hii ina umri wa zaidi ya mika 500 katiksurvey iliofanyika miaka 14 iliopita inaonyesha kuwa kuna magazeti 1,86yanachapishwa kwa lugha ya Kitamil hii ni hoja ilio wazi kuwa ni moja kaya lugha kongwe na ilio hai: hp://www.aina.org/ata/20150809113734.htm2.Awujale Sikiru Kayode Adetona, Mfalme wa Ijebuland huko Nigeria nmmoja kati ya Masultani waliokaa juu ya viti vyao kwa muda mrefu, tangkukalia kiti hicho ni miaka 55: hp://www.theguardian.com/uk-news/201jan/23/top-10-oldest-monarchs-in-the-world3.Asili ya ndizi ni nchi za Kusini mwa bara la Asia, kwa nchi ya Papua NewGuinea ilianza kutumika miaka 5000 B.C kabla ya kuzaliwa Mtume Iss(AS): hp://blog.mapsofworld.com/2011/08/26/where-do-bananas-comefrom/4.Mbatata (Viazi ulaya) vilianza kuonekana kwa mara ya kwanza katikMilima ya Andes iliopo Kusini mwa Bara la Amerika: hp://www.livescienccom/32433-where-did-potatoes-come-from.html5.Nchi ya China ndio msarishaji mkubwa wa Mchele ikifwatiwa na IndiIndonesia, Vietnam, Thailand, Bangladesh, Burma, Philippines, Brazil, Japanhp://www.whichcountry.co/top-10-exporters-of-rice/6.Nchi ya Brazil inaongoza uzalishaji wa Machungwa duniani, huzalishmachungwa ya tani 35,735: hp://worldknowing.com/top-10-largest-orangeproducing-country-in-the-world/7.Nchi ya China inaongoza kwa uzalishaji wa Tikiti maji, huzalisha tan71,754,604 za Tikiti maji kila mwaka: hp://worldknowing.com/top-10largest-watermelon-producing-countries-in-the-world/8.Nchi ya San Marino ndio yenye watu wake wenye magari mengi? Kwkila watu 1,000 huwa na magari yapatao 1,262: hp://worldknowing.comtop-10-countries-with-most-motor-vehicles-per-capita-in-the-world/9.Kama kupata kibaru ni rahisi nchini Singapore, nchi hio inaongoza kwkutenegeneza nafasi nyingi za kazi, ikifwatiwa na Hon Kong, Falme zNchi za Kiarabu, Austria, France, China: hp://worldknowing.com/top-1countries-with-highest-job-opportunities-in-the-world/10.Maeneo yalio sa kabisa yenye kuvutia duniani moja wakpo ni bonde lNeelum liliopo Azad Kashmir, mwaka mzima eneo hilo hunawiri kijani nmito na maziwa yake hayakauki: hp://worldknowing.com/top-10-mosbeautiful-natural-places-in-pakistan/

    NA haikuwa tobakwa wale ambaowanafanya maovu, mpakayatakapomdhihirikiammoja wao mauti anasema

    hakika nimetubia hivisasa wala wale ambaowanakufa na hali ya kuwawao ni makari, haotumewaandalia adhabuyenye kutiwa uchungu.[AN-NISAA 18]

    Kitambo cha kukatatamaa ndicho kitambo chamwisho katika maishaya binadamu ambayehaikukubaliwa imani yake.Isipokuwa jambo muhimuni kuuainisha mwanzo wakitambo hiki. Mwanzo huuunakuwa katika nyakatiambazo anakata tamaandani yake mtu katika

    An nisaa: 18vitambo vyake ya mwishovya kurudi katika maishaya dunia na kuishi humo,kwa hisia yake ikiwaimekamilika. Na katikamtazamo mwingine, hichoni kitambo ambacho anakatatamaa ndani yake mtuambaye anakaribia kufa. Nawamekata tamaa pia waleambao wamemzungukapambizoni mwake, kwamaana kuwa wamekatatamaa kuwa atarejea tenakwenye maisha ya dunia.

    Ndiyo inakubaliwaimani ya mtu mpaka katikavitambo vyake vya mwisho muda wa kuwa anazimilikinguvu zake za kiakili. Iwapoataweza kuamini. Na hikindicho kitambo ambacho

    alikariri ndani yake Mtume(s.a.w.) kutaka kwakekuamini kwa Ammi yakeAby Twalib. IsipokuwaAbaa Twalib alitaja ikiwani msukumo kutoka nje kwamba yeye atakufa

    juu ya dini ya Abd Al-Mualib. Na tukio jinginelinastahiki kusimama

    juu yake nalo ni tukiola mtoto wa Kiyahudiambaye ni mgonjwa. Kwahakika Mtume (s.a.w.)alimtembelea mtoto waKiyahudi anayekaribiakufa akamfundisha aseme:Hapana Mola anayestahiki

    kuabudiwa kwa haki,isipokuwa Allah, yulemtoto akamwangaliababa yake kana kwambaanamtaka ruhusa, mzaziwake akampa ishara yakukubali, pale pale akaanzamtoto kutangaza imaniyake, na kutamka tamkola Shahada. Kwa msingihuo, muda wa kuwa hisiasi yenye kutetereka kwahakika milango ya mbinguniinakuwa wazi kwa ajili yakuikubaliwa Imani (na toba).

    Ndiyo kitambo chakukata tamaa maanakitambo ambacho haikubalindani yake imani nikile kitambo ambachohamiliki ndani yakemtuhisia yake na hali ya

    kuwa yeye yuko karibukuiacha dunia. Katika halihiyo, haikubaliki imaniyake. Isipokuwa iwapokitapatikana kinyume,hapo kwa hakikainaangaliwa niya ya mtukama mbegu ambayoitakuwa katika maisha yaBarzakh kati ya duniana akhera na katikamaisha ya kukusanywaitakuwa kubwa naitakuwa ni kichanga cha

    jaza na malipo yake.Kwa msingi huo,

    muda wa kuwa mtukabla ya kitambo chakuhudhurikiwa na mauti

    hajakata tamaa ya kurejeakwenye maisha ya duniana hakukata tamaa namaisha hayo kwa hakikakuelekea kutoka katikaukari na kwenda kwenyeimani, kunakuwa ni kwenyekukubaliwa, wakati wote.Ikiwa hali ni kinyume chahivyo, hilo litakuwa nahukumu tofauti. Maana nikwamba iwapo kutapatikanakukata tamaa na dunia nayakafunguliwa mapazia yakuangalia kwenye maishaya akhera, kwa hakikafursa inakuwa imepotea.Kwa sababu hapana tenanafasi ya kufanya tendololote jema. Linapokuwani tamko zuri narehma yaMwenyezi Mungu inatoanafasi kwa wale ambaowameyachafua maisha yaoya dunia, kwa maasia nauovu, iwapo wataaminina watatubia na hilo nikufuatana na aya hii tukufu:

    Waambie waja wanguambao wamevuka mpaka juuya nafsi zao msikate tamaa narehma ya Mwenyezi Mungu,hakika Mwenyezi Munguanasamehe madhambi yote.[AZ-ZUMAR 53]

    M P L U T O U N M M M U B K

    A N E P T U N E R A F R A K

    S S A T U R N D E J U A R I

    I M E R C U R Y F I P N A A

    K J U P I T E R U P I U J N

    A E A R T H V E N U S S U G

    J U P I T E R M A R S L A A

    M W E Z I E S I O N D I O Z

    D A K I K A 8 V J U A S O I

    K I P U P W E 1 3 4 V U L I

    B J N E P T U N E M W J S 384,400 Km

    I C A R T O O N P A O U O 980,00Km

    L H E L I U M N U R R A L 111,111,000Km

    O R O M E S P A I S L A A 788

    N F M W E Z I W O S D N R 88,888

    I L O L T O S F Y K G K S 12,345,679

    4.5 R O I T E R S A W E E Y 875

    M W I S H O W A D U N I A 888,999 Km

    A L A S K J U P I T E R 25

    N E P T U N E Z S I O 75 35

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    3/20

    3 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201Habari

    Ya Sitakishari yasikie tuSAIDI Michael Danieli,

    anasimulia alivyoteswa akiwamikononi mwa Polisi, hukuakiwa hana hatia.

    Aidha, anasimulia piamwenzake alivyokufa baadaya kupigwa na kuteswa kamanamna ya kumlazimishakukiri kuwa ni gaidi baadaya kukamatwa akituhumiwakuvamia Kituo Cha Polisi ChaSitakishari, Ukonga Jijini Dar esSalaam.

    Saidi ambaye ni muumini waDini ya Kiislamu aliyesilimumwaka 2012 Jijini Mwanza,anasema alijikuta anajumuishwakatika kadhia hiyo baadaya kutajwa na Muislamumwenzake, ambaye alikamatwamwanzoni akihusishwa na tukiohilo.

    Kijana Said amedai kuwaalikamatwa mwaka jana nakushushiwa kipigo na askariPolisi, huku akitakiwa kuelezawapi zilipo silaha walizoporakatika kituo cha Polisi chaSitakishari, Ukonga, Jijini Dares Salaam na kutakiwa kuelezawapi walipo wenzake wengine.

    Muathirika huyo wa tukiohilo, kwa sasa yupo uraiani

    baada ya kuachiwa Desemba 31,2015, akitokea katika gereza laSegerea kutokana na hali ya afyayake kuzidi kuendelea kuwambaya kutokana na athari ya

    kipigo na mateso.Akifafanua juu ya afya yake,alisema maradhi yanayomkabiliameyapata baada ya kuingizwa

    jiti katika sehemu yake ya hajakubwa sambamba na vipigo vyaaskari Polisi waliomkamata nakumtesa wakati wakimhoji.

    Mateso hayo yalimleteaathari mbaya ambapo alikuwaakitokwa na mkojo bilamwenyewe kujitambua hukuakikohoa na kutapika damu.

    Awali wakati wakinitesanilijikuta nimerusha ngumi kwahasira nikijaribu kujitetea nailimpata askari mmoja mdomoni,hapo sasa ndio niliamsha hasira

    zao, walinivua nguo zote nawalianza kuniingiza jiti sehemuza haja kubwa.

    Kama haitoshi, mti huoukawa unasokotwa, kwa kitendohicho nilipoteza fahamu nanilipokuja kuzinduka nilijikutanipo wodini katika Hospitali yaMuhimbili. Alisema Said.

    Hata hivyo Polisiwalimuondoa hospitalini hapo

    baada ya kupata fahamu, kishaalirudishwa tena Upanga nakuendeleza mada ile ile wakitakaawaeleze wapi zilipo bundukiwalizopora Sitakishari nawenzake wengine wapo wapi.

    Bw. Said alisema cha

    Na Bakari Mwakangwale

    IGP Ernest Jumbe Mangu.kusikitisha zaidi ni kwamba, yule

    jamaa yake Muislamu aliyemtaja,alifariki usiku wa saa nane, sikuambayo aliingia yeye kutokanana kipigo cha Polisi.

    Awali akielezea mkasa huomzima Said Daniel, alisemaalikamatwa Agosti 17, 2015,na moja kwa moja alipelekwasehemu fulani maeneo yaUpanga, Jijini Dar es Salaam,na kuelezwa kwamba ametajwana mtu mmoja kuhusika katikatukio la uvamizi wa kituo chaPolisi cha Sitakishari.

    Alisema baada ya maelezohayo alionyeshwa mtu aliyemtajayeye na alimtambua.

    Mtu huyo alikuwa katika halimbaya na alikuwa hatamanikikwa kipigo alichopewa.

    Kweli nilipoonyeshwanilimfahamu, alikuwa akiitwaKhalfan, alikuwa ni jamaa yanguwa karibu sana na aliponionaalieleza kuwa amenitaja tuili nike nimuone katika halialiyokuwa nayo na hata akifaifahamike kuwa amekufa akiwamikononi mwa Polisi, kweli

    jamaa alifariki usiku wa saanane, siku ile ile niliyoingiamimi. Alisema Said.

    Alisema, pamoja na maelezoya jamaa yake huyo, ambayoyalikuwa na ishara ya kutohusikakatika tukio hilo, bado Polisiwalitaka awafahamishe walipoSaleh, Yusuph na Ibra, hatahivyo akasema aliwajibu majinahayo kwake yalikuwa ni magenikwa maana hawafahamu.

    Alisema, waliendelea zaidikumlazimisha aeleze zilipo

    bunduki za Sitakishari, ambapoaliwaeleza kuwa kwa ujumlahahusiki katika tukio hilokwani wakati linatokea alikuwamahabusu Polisi Changombe,kwa tuhuma za ugaidi.

    Alisema, walimtaka awapelekenyumbani kwake Buguruni kwaajili ya upekuzi.

    Alidai, msafara ulianza ukiwana kingora mbele na katikagari aliyopakiwa yeye likiwalimefungwa kitambaa chekundu

    na yeye akafungwa kitambaausoni.

    Tulipoka Buguruni,maeneo nipowaelekeza kuwani nyumbani walinifunguakitambaa ili niwaonyeshenyumbani, nilishangaa kuonaaskari wakiwa wengi sana hukuwakiwa na bunduki kila mmoja.

    Alisema, waliingia ndani nakupekuwa kadri walivyowezakila mahala lakini hawakupatawalicho kusudia, lakini walikutakaptula yenye mabaka ya sareza Jeshi na koa yake, vyotevya mtoto wa miaka nane, kishawalichukua CD za mawaidha za

    Sheikh Aboud Rogo.Alisema, wapojiridhisha

    waliambiana wanipelekeMikocheni, alipodai kuwawenyewe wanapaita Task force.Hao task forcewalipigiwa simu nawalikakumchukua.

    Akiwa katika hali mbayaya maumivu makali hukuakikohoa na kutapika damu, hajandogo ikimtoka bila kutambuahuku akiwa amefungwa kwamipira, badala ya Mikocheniwaliamua apelekwe katika eneola tukio Sitakishari Polisi, iliwakamtambue.

    Said alisema akiwa hapoSitakishari, katika mahojianoaliulizwa kama aliwahikukamatwa na Polisi, yeyealiwajibu kuwa aliwahiakituhumiwa kwa ugaidi kablaya mwezi wa Ramadhani mwaka

    jana na aliachiwa siku moja kablaya sikukuu ya Idd.

    Kwa maelezo hayo, alisemawalimtaka awatajie askari yeyoteanayemfahamu, alimtajia afandeMajaliwa, kuwa ndiye aliyekuwaanashughulikia kadhiayake, walimpiga picha kishawalimtumia afande Majaliwana kumuuliza habari zake kamaanamtambua.

    Alisema, afande huyo

    aliwajibu kuwa anamtambua nakuwafafanulia kwamba Said,wakati wa tukio la Sitakishari,alikuwa Mahabusu ya Polisi

    Changombe, zaidi ya miezimitatu na kwamba hahusiki natukio hilo.

    Pamoja na maelezo hayoya afande Majaliwa, badowaliendelea kuninganganiana nilikaa hapo Sitakishari kwamuda wa siku nane na baada yahapo nilipelekwa Buguruni, napwakaniweka mwezi mmoja,siku moja usiku walinitoa nakunipeleka Mikocheni na kulewalinifunga jirani na jenereta,hapo mwili wangu ulikuwaumevimba sana na kunidhihakikwa kuulinganisha na kiazikilichoiva. Alisema Said,aliyewahi kuwa kiongozi waKanisa kabla hajasilimu.

    Alieleza kuwa akiwa hapoMikocheni, tuhuma za uvamiziwa Sitakishari zilibadilika, ikajahoja ya kukutwa na Kombatiza Jeshi la Somalia, (kaptula nakoa).

    Hata hivyo alidai kuwaelezakuwa nguo hizo zilikuwa zakijana mdogo aliyekufa kwakipindupindu, jambo ambalohawakukubaliana nalo.

    Alisema baada ya hapoalipelekwa Mahakamani nakatika kuhudhuria kwakehapo Mahakamani, Hakimualiamuru akatibiwe kutokanana kuchafua mazingira kilaalipoingia hapo kwa sababu haja

    zilikuwa zikitoka bila mwenyewkujitambua.Awali waumini wa Msikiti

    wa Makukura, walifuatiliakadhia yake ili kuweza kumtoledhamana, lakini waliambiwakesi yake haina dhamana.

    Lakini hali ilivyozidi kuwambaya na askari kutoonekanaMahakamani, aliachiwa.

    Ilipoka Desemba 31,2015, tuliporudishwa tenaMahakamani, sikusomewahata shitaka maana nilivyokatu mle ndani, haja ndogoikawa inatoka kwani hali yakujizuia haikuwepo tena katikamfumo wa mwili wangu hivyoiliamuliwa nitolewe.

    Kwa sasa nina nafuu kiasi,ukilinganisha na awali nilipokuwa mikononi mwa Polisi na

    baadae gerezani, kwani nawezahata kutembea maana nilikuwani mtu wa kubebwa tu. AlisemSaid.

    Alisema, nafuu hiyo ameipatakutoka kwa Waislamu waMasjid Makukura, waliompelekHospitali ya Amana Ilala, baadaya kuachiliwa na Mahakama,ambapo alichoma sindano nakupewa vidonge tiba ambavyovimesaidia kupunguza maumivna tatizo lililosababishwa namateso ya Polisi.

    WAZIRI wa Mambo ya Ndani,Mhe. Charles Kitwanga.

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    4/20

    4 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201Tahariri/Makala

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAHAKAMA nichombo kilichoanzishwakwa mujibu wa Katibana kupewa mamlakaya kutafsiri sheriana kutoa haki katikajamii kuhusu mashaurimbalimbali ya kijinaiau madai. Ni chombocha kutoa adhabu kwamkosaji na asiye nahatia aachwe huru.

    Mahakama ni chomboambacho kinatuhususote tajiri na masikini.Tunaelezwa kuwa katikamahakama zetu hakunaaliye juu sheria. Hilolimeanishwa pia katikakatiba.

    Katiba imeruhusukuanzishwa kwamahakama katika ngazimbalimbali kuanziamahakama ya mwanzo,wilaya, mkoa, MahakamaKuu na Mahakama yaRufaa.

    Hata hivyo, pamojana nia nzuri ya kuwepomahakama zetu,lakini wapo ambaowamekosa uadilifuna hofu ya MwenyeziMungu, wanaozitumiamahakama zetu kinyumena kusudio lake.

    Tulilo na hakikanalo ni kwamba wapowatumishi wa mahakamaambao wanatumia nafasizao katika mahakamakujinufaisha kupitiarushwa. Lakini pia wapowenye mamlaka, wenyenafasi za juu katika dolana wafanyabiasharawenye fedha, ambaowanatumia fedha na

    vyeo vyao kuingiliauhuru wa mahakama,ili wadhulumu nakupindisha haki.

    Kwa upandemwingine, tunaona

    baadhi ya sheriazikitumika kuzuia aukuminya haki ya mtumbele ya mahakama.Kwa mfano Mkurugenziwa Makosa ya Jinaianaweza kuamuakuzuia dhamana kwamtuhumiwa, japotuhuma zenyewezinaweza zisiwe na uzito

    Majipu katika vyombo vya Dolana Sheria nayo yatumbuliweunaoweza kumfanyamtuhumiwa akose hakiyake ya dhamana.

    Maeneo hayatuliyoyataja niudhaifu mkubwaambao umesababishawatuhumiwa wengikuumia na kupataadhabu zisizokuwarasmi katika mchakatowa kuendesha kesi zao

    mahakamani.Ni vyema ikaelewekakwamba, msingi mkuuwa amani na utulivu naupendo katika nchi nikuwepo haki na uadilifu.

    Tabia ya baadhi yawatu wenye nguvu,kugeuza mahakamakama hifadhi ya dhulumana maovu au chuki zaodhidi ya wengine kwamaslahi yao, imeotamizizi hapa nchini.

    Tunafahamu wazikwamba katika baadhiya mahakama zetu nakatika jeshi la polisikuna mitandao yarushwa inayoshirikishawanasheria feki, polisina mahakimu kukoseshahaki.

    Mitandao hiyoinaathiri utoaji hukumu,inachangia kucheleweshakesi kwa makusudi,ulaghai katika kuwatoawatuhumiwa waliopomahabusu.

    Kwa upandemwingine, rushwahutolewa ili dhamanaitolewe na kulazimishwakumaliza kesi kabla yahukumu. Wanaoonekanakuwa wagumu kutoa

    fedha za kinachoitwakusukuma mwenendowa kesi basi hao kesizao au za ndugu zaozitakuwa ni za kutajwana kuahirishwa, alimradiusumbufu ili watieadabu.

    Tunaelewa kwambaRais Magufuli aliahidikuunda mahakamamaalum kwa ajili yamasadi na wahujumuuchumi. Hilo ni wazozuri na pia ameonyeshania yake sa yakunusuru maendeleo ya

    Watanzania wote.Lakini pia Rais

    Magufuli afahamu kuwaumeka wakati sasaserikali, kama ilivyotiliamkazo katika kuwabanamasadi na weziserikalini, kuwabana nakuwatia adabu wazembena wavivu katika osi

    za umma, basi nguvuhiyo ielekezwe katikamahakama zetu nakatika vyombo vyadola, ambavyo kimsingindivyo vyenye jukumu lakuona haki inatendeka.

    Akiingia huko,hatuna shaka kwambaatashuhudia nakustaajabu kwa mengiyanayokwaza haki.Ataona ni namnagani watuhumiwawanavyoteswa na

    kudhalilishwa katikavituo vya polisi,wananyimwa matibabu,wanavyobambikiwana kubadilishiwa kesi,rushwa inavyonunuahaki za watu nk.

    Ni muhimu Rais JohnPombe Magufuli kufanyaharaka kurekebisha

    mfumo wa utendaji sektahii muhimu kwa ustawiwa amani na utulivunchini, ili kukomeshamazoea haya mabayaya wenye mamlaka nawenye fedha kutumiavibaya vyombo vyamuhimu vya dola nakuvigeuza kuwa vyakukandamiza wanyonge.

    Kazi kubwa yamahakama ni kutafsirisheria za nchi na kutoahaki, lakini imekia

    baadhi ya watu hawanatena imani na utendajiwa mahakama. Na ndiomaana yanakuwepomatukio ya wananchikuchukua sheriamkononi.

    Wala hatuhitaji RaisMagufuli aanzishe Tumeya Ukweli na Maridhiankama ile aliyoianzishaMzee Nelson Mandela,kutoa nafasi kwa walewaliofanya dhulmawakati wa utawala wakibaguzi na mapambanodhidi ya ubaguziwa rangi warudisheimani kwa wale wotewaliowadhulumu.

    Watanzaniawanachotaka kuona nimajipu yakitumbuliwakatika mihimili hiyo yahaki, ili haki ya kweliipatikane kwa wananchiwote.

    SHUKURANI zoteanastahiki MwenyeziMungu, rehema naamani zimkie mjumbewa Mwenyezi Mungu,kipenzi chetu Mtume(s.a.w).

    Miongoni mwaRehema za MwenyeziMungu Mtukufu ambazozimekuja na Mtume wetuMuhammad (S.A.W),ni kwamba alikuwahawapeleki watu katikahukumu kwa maramoja kwa ujumla, nawala alikuwa hatii uzitokatika hukumu zake. Baliilikuwa ikianza kwa pole

    pole.Haya yamepatikanakatika hukumu nyingi nahasa katika kuharamisha(kukataza) kamakuondoa masanamupembezoni mwa Kaaba(Makka). Na harakatihizo za kuondoamasanamu zilifanywamara kadhaa na kwamuda maalum nakwamba, hayakutolewaisipokuwa siku yakuikomba Makka.

    Kwa mfano pombehaikukatazwa isipokuwapole pole kulinganana jinsi ilivyokuwa

    Msitie uzito katika kutekeleza maamrisho ya Allah (s.w

    Na Sheikh Mohamedal-Amiri

    ikiendelea kusababishamadhara katika jamii nawala haikukatazwa kwamara moja. AmesemaMwenyezi MunguMtukufu, Wanakuuliza

    juu ya pombe na kamari,sema hayo ni madhambimakubwa na manufaakwa watu na madhambiyake ni makubwa zaidikuliko manufaa yake.Al-Bakarat.

    Enyi ambaomlioamini, msiingiekatika swala mkiwammelewa hadi mjueambalo mnalisema

    Nisaa.Enyi ambaomlioamini kwa hakikaPombe na kamari namasanam na kupiga

    bao (ramli) ni uchafumiongoni mwa matendoya shetani, jitengeni nayohakika mtafaulu Al-Maaidah.

    Allah amenitia wepesikatika sheria za faradhi(lazima), kwa hakikamwenye kuzingatia katikasheria za Kiislam atakutazimejengewa uwepesi,hakika ya uwepesi ndiomuongozo wa MwenyeziMungu wa Mtume na nialama ya uwazi miongoni

    mwa alama za dini hiitukufu.

    Katika aya na dalilikwamba dini yetuimejengewa juu ya uwepesi,ni neno lake MwenyeziMungu katika Surat AlBakara Anataka MwenyeziMungu kwenu uwepesina wala hataki uzito.

    Neno lake Natunakuwepesishiakuendelea kwenyewepesi al-Aalaa na tokakwa Abii Hurairat (R.A)toka kwa Mtume (S.A.W)amesema, Kwa hakikadini ni nyepesi na hatoitiamtu uzito isipokuwa

    itamshinda fanyenimambo kwa wastanina jisogezeni bashiriniombeni msaada asubuhina jioni na sehemu yausiku.

    Bukhari toka kwaAnasi bin Maliki (R.A)toka kwa Mtume (S.A.Wamesema wepesishenina wala msitie ugumuwabashirieni na walamsifukuze.

    Mtume (S.A.W)alipokuwaanawalingania watualikuwa akiwaamrishakuwepesisha basi toka

    kwa Saidi bin ABIIBURDA toka kwa babayake toka kwa babu yake(R.A) toka kwa Mtume(S.A.W), alimtumaMuadhi na Abaa Mussakwenda Yemen akasema,Wepesisheni na walamsitie ugumu na bashirienna wala msifukuzewatu, kubalianeni nawala msihitaliane(msigombane) Bukhari naMuslim.

    Na ni katika dalili hizizinazoamrisha uwepesikwa fadhila za MwenyeziMungu na wingi wathawabu zake, na wingi wavipawa vyake.

    Alikuwa Mtume

    (S.A.W) ni mfano wa juukatika kuwepesisha nailikuwa uwepesi ndiodini yake na ni muongozowake. Basi toka kwaAisha (R.A) amesema,hajapatapo kuchaguzwaMtume (S.A.W) kati yamambo mawili isipokuwaalichagua lililo jepesimno... AmepokeaImamu Bukhari naMuslim.

    Bali sheria yenyehekima na kamawalivyoelezeawanachuoni, iwe ninguzo kubwa katikasheria. Ugumu huvutauwepesi.

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    5/20

    5 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201Habari za Kimataifa

    MKUU wa Chama cha Labourcha nchini Uingereza, JeremyCorbyn, amemtaka Donald Trump,anayewania kuteuliwa na chamacha Republican kugombea uraisnchini Marekani kutembeleaMsikiti mjini London, huendaakapata somo.

    Nimeamua kumwalika DonaldTrump, atakapotembelea Uingereza,afuatane na mimi hadi katikajimbo langu kwa sababu naonaana matatizo na Wamexico naWaislamu. Alisema Bw. Corbyn.

    Corbyn amesema hayo baadaya kuzuka mjadala katika Bunge laUingereza wakati wakijadili iwapoTrump aruhusiwe kuingia nchini

    humo au la.Mkuu huyo wa chama cha Labouralisema kwa mtazamo wake, haonihaja ya kuzuiwa Donald Trumpkuingia nchini humo, na iwapoatambelea Uingereza, anapendaampeleke Msikiti wa London iliakapate somo.

    Kama unavyojua, mke wangumimi ni Mmexico na jimbo languni jimbo lenye watu wa makabilana tamaduni nyingi tofauti, sasanitakachofanya ni kumchukuaTrump hadi Msikitini katika jimbolangu, ili aweze kuzungumza nawatu huo. Alibainisha kiongozihuyo.

    Wabunge wa Uingereza walikuwana mjadala kuhusu kupigwamarufuku au la kwa anayewanianafasi ya kupeperusha benderaya chama cha republican katikakinyang'anyiro cha urais waMarekani, Donald Trump kuingianchini Uingereza.

    Mjadala huo uliochukuamuda wa saa tatu, ulikuja baadaya karibu nusu milioni ya watunchini Uingereza kuunga mkonohatua ya kumzuia Trump kuingiaUingereza baada ya Trump kusemakuwa Waislamu wote wazuiwekuingia marekani ikiwa ni njia yakupambana na vitendo vya kigaidi.

    Hata hivyo Wabunge haohawakuonyesha shauku kubwaya kumfungia milango Trump, iliasiingie Uingereza kwani hakunakura yeyote iliyopigwa mwisho wamjadala.

    Mmoja wa wabunge wa

    Uingereza ambaye ni Muislamualisema kauli za Trump ni sumu,huku msemaji wa Idara ya Mamboya Ndani Jack Dromey, akisemakuwa Trump azuiwe kuingiaUingereza.

    Wakati chuki zake zikiwakeraWaingereza na kujadiliwa bungeni,Trump ameendelea na kampenizake, akizungumza katika chuocha Liberty, chuo binafsi chakikristo kilicho Lynchburg, Virginiaamewaambia wanafunzi wa kikristokuwa wanapaswa kuunganakuilinda dini yao.

    ''Tunapaswa kuilinda kwakuwa kuna mambo yanafanyika,mambo mabaya sana, sijui ninini lakini hatuungani labda dini

    Donald Trump aalikwaMsikitini akajifunzeAtaka Wakristo waungane

    nyingine wanaungana kuzuia,hapa tunayo...ukitazama nchi hii,asilimia 70 mpaka 75 ni Wakristo,watu wengine wanasema hatazaidi ya hiyo, inadhihirisha nguvutuliyonayo, tunapaswa kuungana''alieleza Trump katika kampeniyake.

    Donald Trump ametumia witowake wa kutaka Waislamu wazuiwe

    kuingia Marekani kwa mudakwenye tangazo lake la kwanza lakampeni kwenye televisheni.

    Tangazo hilo lilipeperushwaruningani mara ya kwanzaJumatatu.

    Tangazo hilo la sekunde 30linasimuliwa na sauti nzito yakiume na linaonyesha pia picha zamgombea wa chama cha DemocratHillary Clinton na Rais BarackObama.

    Aidha katika tangazo hilokuna picha za washambuliajiwalioua watu 14 San Bernardinojimbo la California, wapiganajiwa Islamic State, manowari yaMarekani ikifyatua makombora,

    jumba likilipuliwa na wahamiajiwanaodaiwa kuwa wanavukampaka wa Marekani na Mexico.

    Tangazo hilo linamalizika kwaTrump kutoa kauli mbiu yake yakutaka kurejesha tena fahari yaMarekani.

    Bw. Trump amesema atatumiakaribu dola milioni 2 (1.4 milioni)kila wiki kwa matangazo ya runingakatika majimbo ya Iowa na NewHampshire. BBC

    Aidha Bw. Trumph anatumiapia wazo lake la kutaka ua ujengweukuta katika mpaka wa Marekanina Mexico kuzuia wahamiajiharamu kuingia Marekani.

    Anataka ujenzi wa ukuta huoulipiwe na Mexico. BBC/irib

    JEREMY Corbyn.

    RAIS Kenyaa amesema nchiyake haitawaogopa Al Shababna kuweka bayana kwamba,Kenya itawashughulikiawahalifu hao waliohusikana shambulizi lililogharimumakumi ya askari wake nchiniSomalia na damu ya wanajeshihao haitopotea bure.

    Rais wa Kenya, UhuruKunyaa akiri kwambawanajeshi kadhaa waKenya wameuliwa baada yawanamgambo wa kundi la Al-Shabab Somalia, kushambuliakambi ya jeshi.

    Imeelezwa kambi hinyo ni yaUmoja wa Afrika iliyopo katika

    mji wa El-Adde, unaopatikanatakriban kilometa 60 kusinimwa mji mkuu wa eneo laGarbaharey.

    Rais Kenyaa alisemanchi yake na washirika wakewataendelea kubaki nchiniSomalia kukamilisha mpangouliowapeleka huko.

    Wapiganaji wa Al Shababwalivamia lango kuu la kambihiyo wakiwa na takriban magarimanne yakiwa na milipukona kuwashambulia kwa risasiwanajeshi wa Kenya ambaowalikuwepo kambini hapo.

    Kwa mujibu wa kundi laAl-Shabab, linadai limewauawanajeshi 60 wa vikosi vyaKenya.

    Lakini Naibu Gavana waGedo, Mohamed Hussein Isaakameiambia VOA kwambawanajeshi wa Kenya waliouliwani kati ya 35 na 40 na vikosivingine vilifanikiwa kukimbiakutoka kambini hapo.

    Aidha Bw. Isaak alisemandege za kivita za Kenyazilirusha mambomu kwawapiganaji wa Al Shababkuzunguka mji wa El-Addena kuharibu magari mawiliyaliyokuwa na silaha.

    Mashuhuda wamesema Al-Shabab walipandisha benderayao baada ya kulitwaa eneohilo na kushikilia silahakatika magari ya kivita.

    Misheni ya Umoja waMataifa nchini SomaliaAMISOM imethibitisha tukiohilo japokuwa haikutoa taarifaza kina.

    Waziri wa Usalama waSomalia Abdiqadir Aheikh AliDinii, ameshutumu shambulizihilo katika kambi ya Umoja waAfrika. VOA.

    Kenya yathibitishawanajeshi wakekuuliwa Somalia

    SHEIKH Mkuu wa Chuo Kikucha Dini cha Azhar nchini Mis

    amesema kuwa kwa mujibuwa siasa za chuo cha Azhar,kinakubali madhehebu yote zaKiislamu.

    Sheikh wa Azhar ameyasemahayo katika mwendelezo wamzungumzo yake ya kila wiki,ambapo wiki hii alilazimikakutetea chuo cha Azhar,kutokana na kile kilichodaiwakuwa kinafundisha ugaidi nakupinga madhehebu mengine.

    Tamko hilo la Sheikh AhmadTaib, ambaye ni Sheikh Mkuuwa chuo hicho alilitoa baada yavyombo vya habari vya Misrikutoa taarifa kuwa chuo hichocha dini, kinafundisha baadhiya masomo yanayosababishakueneza ugaidi, hali ambayoimetokea baada ya uongozi wachuo hicho kukiri na kutangazakuwa kuna mamia ya wanafunzkutoka nchi mbalimbaliwamejiunga na vyuo vya kigaidna wameamua kuwafukuzachuoni hapo.

    Sheikh huyo alisema tanguchuo cha al Azhar kiasisiwekina muda wa miaka 1060,katika kipindi hicho chotekimekuwa kikifanya juhudi zakuwa na mwenendo wa wastanna kujiepusha na kasumbana ushabiki wa madhehebu,ikiwemo kuheshimu madhehebna wafuasi wa madhehebunyingine na mpaka hivi sasa

    juhudi zao ni kuhakikishakuwa wanawalea wanafunziwao kwa misingi ya Kiislamuya kuheshimiana, hivyoAzhar kamwe hakijawahikuwakarisha wafuasi wamadhehebu yeyote nyingine.

    Aidha alisema hivi sasawanasikia baadhi ya tuhumadhidi yao kuwa katika ratibaya baadhi ya masomo ya chuowanakuza kira potovu yakigaidi, hali ambayo wanafunziwa chuo hicho wako mbali natuhuma na mafunzo ya kigaidi,huku akisisitiza kuwa yeyeyupo katika chuo hicho zaidi yanusu karne na hajawahi kuonamafunzo yaliyokuwa na misinghiyo ya kigaidi.

    Sheikh Ahmad Taib alisema

    siasa ya chuo cha dini chaAzhar kinakubali rasmimadhehebu zute za Kiislamu,na kuwasuka wanafunzi wotekuwa katika mstari huo, hukuakibainisha kuwa katika chuohicho kuna tahakiki nyingiwanazozifanya wanafunzi,zinazohusu madhehebu yaKishia, tahakiki ambazo hufanyuchunguzi kuhusu nadhariaza wanazuoni wa kishia, kwamaana mwenendo wa Azharni kutowakalisha wafuasi wamadhehebu mengine hukuwakiamini kuwa kila mtuatakaye tamka shahada mbilikuwa yeye ni Muislamu. ABNA

    Tunakubali madhehebuyote ya Kiislam-SheikhMkuu

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    6/20

    6 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201Hoja ya Juma Kilaghai

    UGONJWA wa moyo, kiharusi,saratani, kisukari na magonjwamengine ya kimfumo ndiyosababu kubwa ya vifo duniani.Magonjwa haya yote yanauhusiano wa moja kwa mojana lishe. Takwimu za hivi sasazinaonyesha kuwa 80% yavifo vinavyotokana na hayamagonjwa, hutokea katika zilenchi zenye vipato vya chini navile vya kati. Tazama takwimuhapa chini.

    Kuna uhusiano gani kati ya chakula na maradhi?

    NCHI KWA MUJIBU WA KIPATO VIFO VINAVYOTOKANA NAMAGONJWA YA KIMFUMO

    ZENYE KIPATO CHA JUU 20%ZENYE KIPATO CHA KATIKINACHOKARIBIANA NA JUU

    8%

    ZENYE KIPATO CHA KATIKINACHOKARIBIANA NA CHINI

    37%

    ZENYE KIPATO CHA CHINI 35%

    Hali haikuwa hivi siku zote.Huko nyuma, hususan kwenyemiaka ya 1950 kurudi nyuma,kuenea kwa maradhi hayakatika nchi za kipato cha chinikulikuwa kwa kiwango kidogosana ukilinganisha na zile nchiza kipato cha juu. Tazamatakwimu hapa chini.

    Chanzo:www.who.int/chp/chronic_disease_report/en/

    NCHI 1940 -1950 1950 -1960 1960 -1970 1970 -1980 1980-1990 1990-2000

    NCHI ZA KIPATO CHA JUU Ongezeko lakasi

    Kilele Kuanzakushuka

    NCHI ZA KIPATO CHA KATIKINACHOKARIBIA JUU

    Ongezekokidogo

    Ongezeko lakasi

    Kilele kwabaadhi yanchi

    NCHI ZA KIPATO CHA KATIKINACHOKARIBIA CHININA NCHI ZA KIPATO CHACHINI

    Viwango vyachini

    Ongezekokidogo

    Ongezekola kasi kwabaadhi yanchi

    Ni kitu gani kimetokea nakuzisukuma nchi za kipatocha chini kutoka katika nchizilizokuwa na vifo vichachevinavyotokana na maradhi yakimfumo, hadi kuwa ndiyo nchizinazoongoza katika miaka hii?

    Katika makala iliyoandikwana Dylan Neel aliyoipa kichwacha habari The Sugar Dilema,na kuchapishwa katika

    jarida la Global Health Reviewlinalochapishwa na HarvadCollege, mnamo tarehe 24Octoba, 2012, Dylan anasema.Tunanukuu:

    Uzito wa magonjwa yasiyoya kuambukiza kwa duniaumekia kiwango cha kutishakatika kipindi cha muongommoja uliopita. Kwa maraya kwanza katika historia yamwanadamu magonjwa hayakwa mfano kisukari, saratani, naugonjwa wa moyo yamekuwani tishio kubwa la kiafya kulikomagonjwa ya kuambukiza,ambapo yanasababisha kiasi chavifo 35 milioni kila mwaka!.

    Pamoja na kwamba zikosababu nyingi zinazopelekeakatika hali hii, moja ya sababukubwa na isiyo na ubishi ni

    Chanzo: WHO, NMH/MNC

    ongezeko kubwa la matumiziya sukari ya viwandani. Utandawazi umepelekeavyakula vya sukari kuenea kwakasi katika nchi zinazoendelea.Katika kipindi cha miaka50 iliyopita, matumizi yasukari yameongezeka mara 3dunia nzima. .Vyakula vyachapchap (fast food), ice cream,keki, juisi za viawandani nasoda mbalimbali ni vyakula

    ambavyo vina kiasi kikubwasana cha sukari za glucosena fructose. Mchanganyikowa sukari hizi unapoingiamwilini ini huubadilisha bilakuchelewa kuwa mafuta, nahali hii inaweza kupelekeakwenye tatizo la seli za mwilikuigomea insulin kufanya kazi

    yake (insulin resistance). Kwasasa inaaminika kwamba halihii ndiyo kisababishi nambamoja cha unene uliopindukia, nimoja ya visababishi vikuu vyamagonjwa ya moyo, kisukaricha ukubwani, na baadhi yasaratani..

    Jarida la Vascul Pharmacolla April 2014 limechapaishamatokeo ya utati uliopewakichwa cha habari Vihatarishivya magonjwa ya moyo namafuta ya mbegu ya kupikia

    Matokeo ya utati huuyanaonyesha kuwa mafuta ya

    mbegu hayafai kwa matumizi yakupikia kwa sababu yanapopata

    joto hubadili muundo wakewa kikemia na kutengenezakitu ambacho kina madharamakubwa kwa afya ya moyo namishipa ya damu. Kwa mujibuwa utati huu, matumizi yamuda mrefu ya mafuta hayakama kiungo kilichotumikakupikia chakula yamehusishwana kuongezeka kwa shinikizola damu, ongezeko la lehemukwenye mzunguko wa damu,mfuro (inammation) kwenyemishipa ya damu, na mabadilikomengine kwenye mfumo wa

    mzunguko wa damu, ambapovyote kwa pamoja vimebainikakuongeza kitisho cha mkakamowa mishipa ya damu.

    Tangu mwaka 1953kumekuwa na mgogoromkubwa sana kuhusu mafutaya kula. Katika mwaka huoDk. Ancel Keys alichapishamatokeo ya utati wakealiouta The Seven CountriesStudy. Dk. Keys alisema kuwakuna uhusiano wa karibusana kati ya kiasi cha mafutakoza (saturated fat) yaliyokokwenye chakula na kiasi chautando-nta (sludge) kwenyemishipa ya damu. Pamoja nakwamba baadhi ya wanasayansiwalimpinga sana Dk Keys kwamadai kwamba kulikuwa natakwimu kutoka mataifa 22

    ambazo alichagua kuzifumbiamacho na kutoziingiza kwenyematokeo ya utati wake kwasababu hazikuunga mkono kilealichokitaka, hawakusikilizwa.Kuanzia hapo ilianzishwakampeni kubwa na ya kutishadhidi ya ulaji wa mafuta kozaikishikiwa bango na vyombovya habari, madaktari na hatamamlaka za kusimamia masualaya afya katika nchi mbalimbali.Baadhi ya watu wanadai kuwakulikuwa na mtu. Kwa mujibuwa watu hawa kampeni hiiilifadhiliwa kwa kiasi kikubwana wasindikaji wa mafuta yambegu.

    Kitu cha kushangaza nikwamba mpaka leo nadhariahii imeota mizizi na inaungwamkono kwa kiasi kikubwa namadaktari. Inashangaza kwasababu akili ya kawaida tuilitakiwa ihoji juu ya kuwepokwa ongezeko kubwa lamagonjwa ya moyo na mengineya kimfumo, huku kimsingimafuta ya kula kwa sasa yakiwatakriban yote ni yale ya mbegu!Akili hiyo hiyo ilitakiwa ihoji: Nikwa nini magonjwa ya kimfumokatika miaka ya 1950 kurudinyuma, wakati huo matumizi yamafuta ya mbegu ukilinganishana yale koza yakiwa kidogosana, yalikuwa nayo ni kidogosana?

    Tumalizie kwa kuzungumziakundi la chakula la protini. Hilindiyo lile linaloitwa la kujengamwili! Ukweli wa mambo nikwamba protini ina majukumengi mwilini. Baadhi yamajukumu haya ni:

    1) Protini huhitajika kwaajili ya ukarabati na ujenzi watishu mbalimbali za mwili kwamfano nywele, ngozi, misuli, naviungo mbalimbali vya ndani.

    2) Protini ni moja ya vyanzovya niashati ya kuendesheamwili. Protini iliyozidi mwiliniambayo haihitaji kwa majukumu

    muhimu ya ukarabati na ujenziwa tishu za mwili na majukumumengine ya lazima ndani yamwili hugeuzwa kuwa nishati ykuendeshea mwili. Inapotokeakuwa haihitajiki, na wakati huohuo kuna vyanzo mbadala vyanishati, mathalani wanga, basiprotini hiyo iliyozidi hugeuzwakuwa seli za mafuta ndani yamwili.

    3) Protini inahusika katikauundwaji wa baadhi ya homonikwa mfano insulin. Homonini kemikali inayozalishwa namwili kwa ajili ya kuwezeshautendwaji wa majukumu fulanifulani maalumu katika mwili.

    4) Protini inahusika katikauundwaji wa vimengenya(enzymes) mwilini.

    5) Protini huhitajika

    katika usarishaji na utunzajiwa molekuli mbalimbali. Kwamfano, wakati hemoglobin niprotini inayotumika kusarishana kusambaza gesi ya oxygenkote mwilini, ferritin ni protiniinayotumika kuwezesha madinya chuma kuhifadhiwa katikaini.

    6) Protini huhitajika katikauundwaji wa chembechembezinazotumika kuulinda mwilidhidi ya maambukizi namaradhi zinazoitwa antibodies.Protini hizi hutambua nakusaidia katika kuwaangamizamaadui mbalimbali walioingiamwilini ikiwa ni pamoja na

    bakteria na virusi. Protinihizi mara nyingi hufanyakazi pamoja na seli zinginezinazohusishwa na mfumo wakinga za mwili, kwa mfanochembechembe nyeupe zadamu.

    Maisha hayawezekani bilaulaji wa protini. Pamoja naumuhimu huu wa protini,protini inaweza kuwa chakulacha hatari pale inapoliwa bilamazingatio. Protini ni chakulakinachozalisha tindikali kwawingi sana mwilini baada yakuchakatwa ili kupata nishati nviini lishe vilivyopo.Tindikalihii ni lazima itolewe mwilini lasivyo itaweuweka mwili katikamsongo mkubwa wa kiziolojiana kusababisha seli za mwilikushindwa kufanya kazi kwaufanisi. Wingi wa tindikalikwenye mwili unaaminikakuwa ni chanzo kikuu chamaradhi mengi sana ya kimfumkama vile saratani, magonjwaya mifupa na magonjwa yamzunguko wa damu.

    Taarifa nyingi ambazo nirasmi zinaonyesha kwambamtu mzima mwanammeambaye hana mambo mengi yakuushughulisha mwili wakeanahitaji kiasi cha gramu 56

    Inaendelea Uk.

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    7/20

    7 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201Makala

    Kuna uhusiano gani kati ya chakula na maradhi?Inatoka Uk. 6

    tu za protini kwa siku. Aidhataarifa hizo zinaonyesha kuwakwa upande wa wanawake, mtumzima ambaye haushughulishisana mwili wake mahitaji yakeni gramu 46 tu. Hata hivyo

    baadhi ya wataalamu wanasemaviwango hivyo ni vya chinisana na vinaweza visitoshelezemahitaji ya kiafya ya mhusikaiwapo ataongeza kiwango chakuushughulisha mwili wake.Waliomo kwenye kundi hiliwanapendekeza kiasi cha gramu124 za protini kwa mwanammekwa siku na gramu 102 zaprotini kwa mwanamke kwasiku.

    Kundi la tatu la wataalamulinasema kuwa ukweli wamambo ni kwamba miili yetuinahitaji kiwango kidogo sanacha protini kuweza kujiendeshakwa ufanisi. Wataalamu hawa

    wanadai kuwa kuna tatizinazoonyesha kuwa mahitajiya mwili ya protini kwa sikukwa mtu mzima hayatakiwikuzidi gramu 25. Kwa mujibuwa wataalamu hawa, tatihizi zimeonyesha kuwa ulajiukikia kiasi cha gramu 47 kwasiku mifupa ya mwili huanzakupoteza madini ya calcium nakuifanya iwe kama chekeche.Dk. M.Ted Morter, Jr., kupitiakitabu chake kinachoitwa Healthand Wellness amejenga hojanzito kuhusiana na suala hiliambako ametoa mifano halisikuhusiana na madhara ya ulajiwa protini uliopindukia mipaka.Hoja hizi zina mazingatio

    makubwa ukizingatia kuwatamaduni zetu zinawaonawatu wenye uwezo mkubwawa fedha kama ndio watu borakwenye jamii, na moja ya vipim

    muhimu vya uwezo mkubwawa kifedha katika tamaduni hizni kiasi cha protini, hususannyama, samaki na maziwakinacholiwa na mhusika nafamilia yake!

    HitimishoKuugua ni kitendo chenye

    athari kubwa na mbaya kwenyeuchumi. Mtu anayeumwa marakwa mara uwezo wake wauzalishaji hupungua na hali hiiina athari hasi kwenye mapatoya familia. Kwa hivi sasa sheriana sera za nchi zinazohusuwafanyakazi zinamtaka mwajirikulipia gharama za matibabuza mfanyakazi wake pamoja namatibabu ya familia yake. Hii inmaana kuwa pale wafanyakazi

    na familia zao wanapouguamara kwa mara, uchumi wamwajiri huathirika, kwanzakutokana na uzalishaji mdogo,na pili kutokana na kulazimikakulipia gharama za matibabu.Mwisho wa siku hata uchumiwa nchi huathirika kutokana nakushuka kwa uzalishaji na piamatumizi ya fedha nyingi katikkuagiza madawa na vifaa tiba.

    Hakuna shaka yoyotekuwa uwekezaji katika elimuya afya kwa wafanyakazi nawananchi kwa ujumla, hususankatika masuala ya lishe, ndiyosuluhisho endelevu na lakudumu kwa afya na uchumi wwadau wote.

    UMOJA wa Vijana wa Chama ChaMapinduzi (UVCCM) Zanzibar,ulitia doa sherehe za miaka 52

    ya Mapinduzi ya Zanzibar kwakushabikia ubaguzi wa rangimiongoni mwa raia wa visiwahivyo. Akizungumza katikaTelevisheni ya Azam, Jumanne yawiki hii, Mwanahistoria maarufuSheikh Mohammed Said, alisemavijana hao wa CCM, wamezitia doasherehe hizo kwa kusheherekeakwa mtindo wa ubaguzi wa rangihuku Watanzania na Ulimwenguukishuhudia hali hiyo.

    Katika kuadhimisha miaka 52ya Mapinduzi ya Zanzibar, Vijanawa Chama cha Mapinduzi (CCM)katika viwanja vya Maisara, MjiniUnguja, waliibuka na bango lenyeujumbe uliosomeka MachotaraHizbu Zanzibar ni nchi yaWaafrika.

    Bango hilo lilipitishwa mbeleya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar

    na Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi na Makamo Mwenyekitiwa CCM Zanzibar, Dk. AliMohammed Shein alipokuwaakipokea matembezi ya Vijana haowaliotembea katika mikoa minne yaKichama. Sheikh Said alisema kwaujumla katika historia ya sherehehizo, Watanzania hawajapatakusheherekea Mapinduzi yaZanzibar katika hali ya majonzikama mwaka huu, kukiwa nadalili ya mgawanyiko kutokana namkwamo wa kisiasa visiwani humo.

    Tunasheherekea sherehe zaMapinduzi tukiwa katika hali yaCCM Zanzibar wakipanda jahazila ubaguzi wa rangi kupitia Umojawa Vijana (UVCCM), na kwa kupitambele ya umma wakionyeshabango la kibaguzi, wakiwabaguaWazanzibari wenzao ambaohawakuzaliwa na ngozi nyeusi,jambo ambalo limezagaa katikamitandao ya kijamii kama motowa makumbi. Alisema SheikhMohammed.

    Sheikh Said alisema hatakikuamini kuwa CCM Zanzibarimelisika kiasi hicho, kwa kukiakuiacha hali hiyo ambayo waasisiwa Tanzania waliikemea kwanguvu zao zote. Akifafanua maanaya ''Hizbu,'' alisema kuwa ni nenola Kiarabu lenye maana ya ''Chama''na ''Watan,'' likiwa na maana ya''Taifa.''

    Akifafanua zaidi kuonyeshakwamba yaliyofanywa naUVCCM ni kutaka kuiingiza nchikatia ubaguzi wa rangi ambaohaukuwepo tangu enzi hizo,alisema historia ya Tanzania katikakupigania uhuru wa Tanganyikawalikuwepo Wazungu na Wahindi,

    ambao walikuwa ni viongozi waTANU na wakisimama kugombeanafasi za uongozi na wakishindabila kubaguliwa.

    Sheikh Mohammed, aliwatawajabaadhi yao kuwa ni Sophia Mustafa,Ratansey, Amir Jamal, DereckBryceson, na zaidi katika Bunge laTanzania kulikuwa na kila aina yaWabunge mpaka Makalasinga.

    Kwa upande wa Zanzibarimekuwa na Rais Amani AbeidKarume, ambaye baba yake asiliyake ni Mnyasa na mama yake anaasili ya Kihindi.

    Hivi ndugu zetu kama MansourYusuf Himid na Mahamoud ThabitKombo na wengi wao akiwemoMh. Amani Karume (Rais mstaafu)na binti yake Fatma, watajisikiajekwa kauli kama hizi za ugozi?

    Mapinduzi hayakuwa na maana ya ubaguziMansour, Amani Karume watajisikiajeNa Bakari Mwakangwale

    alihoji, Sheikh Mohammed.Hata hivyo Mohammed Said

    alitoa tahadhari juu ya hatariya kuwatumia vijana kamawalivyotumiwa na Adolf Hitlerkwa kutengeneza ''Storm troopers,''au ''Brown Shirts,'' kuwatishawananchi huku akiwataka viongozikuisoma historia ili wapatemafunzo, nini ilikuwa hatima yamambo haya.

    Awali, Sheikh Mohammed Said,akifanya mahojiano na mtangazajiwa Azam TV, Faraja Sindegea

    kuhusu historia ya Mapinduzi yaZanzibar, alisema kumbukumbunyingi za Mapinduzi ya Zanzibar,zimo katika vifua vya watu nawengi wao wameshatangulia mbeleya haki huku wengi katika hao, kwanjia moja au nyingine walishirikiwakiwa Bara katika kuiangushaSerikali ya Zanzibar.

    Lakini kutokana na mauajiyaliyotokea katika Mapinduzi,baadae wengi wao walifungamidomo na hawakutaka watuwajue kuwa walihusika, mfano niAli Mwinyi Tambwe na wenginewengi. Alitoa mfano Sheikh Said.

    Akielezea hali ya baadae yaZanzibar katika hali ya kisiasa kwasasa alisema, suala hilo lipo wazikwamba Wazanzibari wamefanyauchaguzi walioshinda wapewe haki

    yao na walioshindwa wakubalikushindwa.Kwa ufupi ni kuwa, ''The people

    of Zanzibar have spoken,''hakunanjia yeyote nyingine ila kwawalioshindwa kukubali kushindwana maneno ya Mheshimiwa Dr. AliMohamed Shein, kuwa kesi yakeipelekwe mahakamani, isingestahikikutolewa. Itakuwa kichekesho chamwaka mtu akishindwa uchaguzidhahiri na anapoelezwa hivyoaseme, ''Nenda mahakamani mimini rais halali.''. Alisema SheikhMohammed, huku akinukuu kauliza Mh. Ali Mohammed Shein.

    Aidha Bw. MohammedSaid alifanya rejea za Ton TonMacout wa Papa Doc wa Haiti,

    ambae alitumia mbinu za vitishokwa wananchi wake mfano waMazombie wa Zanzibar. Aliwatakaviongozi waisome historia ili

    wapate mafunzo nini ilikuwahatima ya mambo haya.

    Akizungumzia kuhusu hali yabaadae ya Zanzibar, Sheikh Saidalisema hataki kuamini kama

    uongozi wa juu wa CCM Zanzibarwaliwatuma vijana wale kufanyawalichofanya na kwamba akili yakinamkatalia kabisa.

    Sitaki kuamini kuwa tumeanzakuwatengeza akina HendrikVerwoerd na Eugene Terre Blancheweusi katika visiwa vya Zanzibar.Kwa hili CCM Zanzibar inamuiganani katika hili? Hitler na Manazina vijana wao waliojulikana kamaStormtroopers ukipenda waiteBrown Shirts? Hilo bango mbonalitawagusa wengi katika safu yauongozi wa siasa katika Zanzibar nwengine walipatapo hata kuiongoznchi? Machotara? Nani huyuchotara? alihoji.

    Alisema ujumbe wa bangoliliooneshwa na waandamanaji

    wa CCM linaonyesha kwambatumehama kwa Waarabu na sasatuko kwa Machotara! Lakini akahokuwa huyo chotara si ana wajombababu, bibi na mama wakubwa nawadogo Waafrika? Na kwamba ninkhasa tafsiri ya mambo yale ? Hatahivyo alihitimisha maswali yakekwa watu wasubiri na kwambawakati utatoa jibu.

    Vijana wa CCM wakiwa wameshika bango lenye kuashiria ubaguzi warangi visiwani Zanzibar hivi karibuni.

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    8/20

    8 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201MakalaSomalia moja

    MWISHONI mwa mwakajana Waziri wa Mambo yaNje, Ushirikiano wa AfrikaMashariki, Kikanda naKimataifa, Balozi AugustinoMahiga alifanya ziara yasiku moja nchini Burundiili kuangalia hali ya hukokuhusu vurugu zinazoripotiwa.Aliporudi alieleza kuridhishwana hali ya utulivu aliyoikuta

    Burundi. Waziri alisema, kulikuwa na utulivu na watuwaliendelea na shughuli zaosikusikia mlio wa risasi nasikuwa na haja ya kusindikizwana polisi kwenye ziara labdakama ni mikoani, lakini jiji(Bujumbura) lilikuwa tulivu.

    Mahiga pia alisema serikaliya Burundi ilimhakikishiakwamba inashiriki kikamilifukatika mazungumzo yakurejesha amani yanayofanyikanchini Uganda. Tanzania nanchi nyingine wanachama wa

    Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) pia zinashiriki. Wenginewalioalikwa ni pamoja na Umoja

    wa Afrika (AU), Umoja wa Ulaya(EU), Umoja wa Mataifa (UN) naMarekani.

    Ziara hiyo ya Mahiga ilitokanana agizo la Rais John Magufuliambaye ni mwenyekiti wa EAC,kwa lengo la kutafuta suluhu yamgogoro wa kisiasa ulioikumbaBurundi kutokana na makundiyanayompinga Rais PierreNkurunzinza kuongoza awamuya tatu baada ya kushindauchaguzi mkuu uliofanyika Julaimwaka jana. Mie sina hakikaiwapo ziara ya siku moja yaMahiga inatosha kujua iwapokuna utulivu au machafukonchini. Pia kama kuna utulivu,kwanini yafanyike mazungumzoya kurejesha amani? Lakinindivyo tulivyoelezwa.

    Pia ni vizuri tukajiuliza,iweje katika amani ya Burundiinayozungunziwa nchiniUganda waalikwe wajumbekutoka Ulaya na Marekani?Kuna wasiwasi kuwa mgogorohuu unaweza ukaibua tenamapigano ya wenyewe kwawenyewe ambayo yaliendeleakuanzia 1993 hadi 2006. Wakatihuo wananchi wa Kihutu waliowengi nchini walipambanana jeshi lililokuwa na Watutsiwengi. Matokeo ya mapiganohaya ni kupotea kwa roho za

    Somalia moja inatutosha

    Na Nizar Visram

    Tusitume tena majeshi Burundi

    raia 300,000. Hii ndio Burundiambayo leo inakumbukwakwa masikitiko makubwa.

    Mapigano hayo yalimalizikabaada ya makubaliano yaArusha yaliyosainiwa napande zilizokuwa zinapingana.Walikubaliana kuunda jeshila pamoja na serikali ya mpitoiliyoongozwa na Nkurunziza.

    Sasa mgogoro umeanza upyatangu Aprili mwaka jana wakatiRais Nkurunziza alipotangazania yake ya kugombea uraiskwa muhula wa tatu ambaoyeye anasema ni wa pili. Anadaimuhula wa kwanza ni ile serikaliya mpito. Hata hivyo mahakamailikubaliana naye na kusemakuwa ana haki ya kugombeakwa vile katiba inamruhusu.Wapinzani walipinga na kusema

    jopo la majaji lililazimishwakutoa uamuzi huo, hasa kwavile mmoja wa majaji haoaliamua kutoroka nchinikwa vile alipinga uamuzihuo. Mara moja baadhi yamakamanda wa jeshi walifanya

    jaribio la kuipindua serikali yaNkurunziza. Walishindwa namwezi wa Julai 2015 uchaguziukafanyika na Nkurunzizaalitangazwa mshindi. Wapinzaniwakayakataa matokeo.

    Alimradi nchi imekosautulivu. Shirika la kimataifa lahaki za binadamu (AmnestyInternational) limeripoti kuwatarehe 11 Disemba mwaka

    jana majeshi ya serikaliyaliwashambulia wananchikatika jiji la Bujumbura. Ripotihiyo inasema watu wasiopungua87 waliuawa, wanane wakiwawanajeshi. Kwa ujumla watuzaidi ya 300 inasemekanawamekufa tangu Nkurunzizakuchaguliwa. Aidha zaidi yawatu 220,000 wamelazimikakuikimbia nchi yao na kwendanchi za jirani kama Tanzania.Wengine wengi wamegeukawakimbizi ndani ya nchi yao.

    Machafuko kama haya kwahivyo hayawezi yakawa ya nchimoja peke yake. Ni lazima nchi

    za jirani zitahusika kwa namnamoja au nyingine. Burundi nimwanachama wa EAC. Ndio

    maana jumuiya hiyo imeamuakuingilia kati na kusuluhisha.EAC imemteua Rais Museveniwa Uganda kuzikutanishapande husika. Mwishoni mwaDisemba 2015 Waziri wa Ulinziwa Uganda alisema makundi 14yalitarajiwa kushiriki mjadala

    jijini Kampala. Ni pamoja nachama tawala, vyama vyaupinzani na asasi za kiraia.Mipango imefanywa pia kwaajili ya mazungumzo mjiniArusha yakifuatiwa na mkutanowa marais wa nchi za EAC chiniya uwenyekiti wa Rais Magufuli.

    Kuna watakaouliza iwapoEAC itafanikiwa kuwasuluhishaWarundi wanaozozana.Makubaliano ya Arusha yalitiwasahihi na pande zote baada ya

    jitihada kubwa zilizofanywa naMwalimu Nyerere na viongoziwengine wa Afrika. Yote hayayamesahauliwa na kwa maranyingine Tanzania na nchiza EAC zinaitisha mikutanoya usuluhisho. Lakini huo niwajibu wetu. Mgogoro waBurundi ni dhahiri unazigusanchi za jirani. Nchi yakwanza ambayo itaathirika niRwanda kwa sababu nchi hizimbili zinafanana kihistoria,kitamaduni na kikabila. Ndiomaana Rais Kagame wa Rwandaaliingilia kati na kumtaka

    Nkurunzinza asigombeemuhula wa tatu. Lakini tatizoni kuwa Kagame mwenyewehataki kuachilia kiti cha urais.Atawezaje kumshauri mwenzie?

    Nchi ya pili inayohusikamoja kwa moja ni Ugandaambako Rais Museveniameitisha mkutano akiwamsuluhishi. Tangu Julaimwaka jana aliteuliwa na EACawe msuluhishi. Lakini naMuseveni naye anaendeleakukalia kiti. Mnamo 2005alibadili katiba ili imruhusukuendelea kukaa madarakani.Hivyo na yeye naye si rahisi

    kumshauri Nkurunzinzaagatuke. Labda Rais Magufuliataweza kumshauri. Lakinitatizo la Tanzania ni kuwainaonekana ina kigeugeu. Hapoawali ilimwambia Nkurunzinzaaachie kiti. Lakini baadaeikamnyamazia kimya. Kwavyovyote vile, itabidi EACiwasuluhishe Warundi kamaalivyofanya Mwalimu.

    Kuna wanaosema njia pekeeni kutumia majeshi. Hii si rahisihata kidogo. Tuangalie Somalia

    jinsi majeshi ya nje yalivyozamakatika matope, yakishindwakujitoa na yakishindwa kuzuiamachafuko. Nadhani Somaliamoja yatutosha.

    Hata hivyo, AU imeamuakutuma majeshi ya usalamayatakayoitwa Kikosi cha Kiafrikcha Kulinda Usalama nchiniBurundi (African Prevention anProtection Mission in Burundiau MAPROBU). Wameamuahata jina. Na huo usalamawatakaoulinda uko wapi?

    Kikosi hiki kitakuwa nawanajeshi 5,000. AU eti imetoasiku nne kwa serikali ya Burundkukubaliana na uamuzi huu, lasivyo kikosi kitapelekwa bila yaidhini ya serikali. Suali ni je, AUinaweza kutuma majeshi bila yaidhini ya nchi husika? Katiba yAU kifungu cha 4 (h) inaruhusuAU kuingilia kati kijeshi kamanchi inayokabiliwa na mauaji yahalaiki au uhalifu wa kijeshi auuhalifu dhidi ya mwanadamu.Ni nani wa kuamua iwapoBurundi imeingia katika halihii? Tumeona Waziri Mahigaakisema kuna utulivu!

    Na Nkurunzinza naye

    ametangaza kuwa anakataawazo la AU kutuma majeshiyake. Amesema huo utakuwa nuvamizi wa kijeshi usiokubalikakatika nchi huru inayojitawalakama Burundi. Bunge la Burundnalo limekubaliana naye kwakukosoa uamuzi wa UN. Bungeliliitaka serikali isikubali nchikurubuniwa na AU wakati kunautulivu nchini. Wabunge piawalilaani kuingilia kwa nchiza magharibi katika mambo yandani ya Burundi.

    Hili suala la nchi za Magharibkujiingiza katika mambo yaBurundi linahitaji maelezo.Burundi ina madini aina yanikeli (nickel) ambayo inaongozkatika ubora wake duniani.Utajiri huu unamezewa matena makampuni ya kimataifaambayo yanataka kuudhibiti.Makampuni ya Marekaniyamekuwa yakifanya bidiikudhibiti nikeli ya Burundilakini serikali ya huko imesainimkataba na kampuni ya Urusi.

    Jambo hili limeikasirisha sanaMarekani. Ni katika muktadhahuu ndipo tunaelewa mbinuza Magharibi kutumia majeshihuko Burundi. Sio kwa kutumiamajeshi yao bali kwa kupitianchi za Kiafrika.

    Inaendelea Uk. 1

    WAZIRI wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustino Mahiga

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    9/20

    9 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201Makala

    KATIKA hatua ambayokwa uchambuzi wa harakainaonekana imekoseakiprotokali, au kimantiki,kongozi wa upinzaniVisiwani na mgombeaurais, Seif Shari Hamad,amechua kupeleka baruakwa Mkuu wa KanisaKatoliki duniani, PapaFrancis, kuingilia kati sualala kutangazwa matokeo.Kilichosemekana ni kuwaMaalim Seif amemshitakiRais wa Zanzibar Dk. AliMohamed Shein kwa PapaFrancis, hali ambayo ilikuwa

    inazua utata wa kihisia nakiprotokali. Ila ukiiangaliabarua kwa undani utata huounapotea.

    Barua hiyo ya Novemba25 mwaka jana ina umuhimumkubwa kwa jinsi ambavyosuala la mzozo wa matokeouchaguzi wa urais Zanzibarlinatatuliwa na nafasi yaserikali ya Muungano katikasuala hilo. Ni kwa kuinuanafasi ya dini na taasisi zakezitumiwe uwezo zilizo naoau ushawishi miongoni mwawakuu wa nchi, na hasa Raiswa Jamhuri ya Muungano,Dk. John Magufuli ambayeni muumini katika JimboKuu Katoliki la Dar esSalaam, chini ya AskofuMkuu Polycarp KardinaliPengo. Huyu aseme, "nataka,takasika...."

    Anachokisema MaalimSeif katika barua hiyo nikuwa Chama cha WananchiCUF kimekuwa kikishindauchaguzi mara zote tangu1995 lakini matokeoyanabadilishwa, ili CCMiendelee kukaa madarakani.Tofauti ni kuwa safari hii

    Maalim amegonga

    msumari kichwaniPapa Francis akitoa agizo kwa JPM'Sanamu za Babeli zaporomoka Zbar

    Na Anil Kija

    MAALIM Seif Shari Hamad

    MKUU wa Kanisa Katolikiduniani, Papa Francis

    Rais wa Jamhuri yaMuungano, Dk. John Magufuli

    kulikuwa na waangaliziwa kimataifa ambaowamethibitisha kila hatuaya uchaguzi huo kwendasawa, watu kupiga kura nakura hizo kuhesabiwa, namtitiriko wa kura kutokavituoni na majumuisho yamajimbo unaonyesha bayanakuwa CUF imeshinda. Ilakama ilivyo kawaida yao,CCM hawataki. Ndiyo hojaya Maalim Seif Shari Hamadkwa Papa Francis.

    Kwa maana hiyo MaalimSeif kama Katibu Mkuuwa CUF na mgombea uraisambaye haki zake zinaporwakwa mara nyingine tena,anamwangukia Papa Francisawatumie watu wake hapanchini, asiporwe tena Urais

    wake safari hii. Hasa nimwakilishi wa Papa (aliye nahadhi ya Balozi) na utawalawa Kanisa Katoliki, kwambaasasi hizo zikitilia maananihaki katika suala hilo,litatatuliwa. Ila wakiendeleakujicha katika protokali yakisheria na udanganyifu wamazungumzo, halitamalizika.

    Licha ya kuwa wasomina wachambuzi ngazitofauti hawaoni mantikiya kiongozi wa kisiasaMuislamu kumshitakikiongozi mwingine wa kisiasa

    pia Muislamu kwa Mkuuwa Kanisa Katoliki duniani,

    barua hiyo ni kielelezo chayale ambayo wengi kati yawanaharakati wa Kiislamuwamesisitiza kwa miakamingi. Wana ainisha nguvuya kisiasa ya Kanisa Katolikikatika mfumo uliopo, ambakokitakwimu ni rahisi kuelewa,kwani waumini wa KanisaKatoliki ni takriban robotatu ya Wakristo kwa jumla,wakati Bunge la Jamhuri (njeya wabunge toka Zanzibar)takriban robo tatu jadi niWakristo.

    Ushawishi wa KanisaKatoliki hasa ni palekunakuwa na jambolinalogusa Kanisa moja kwamoja na wakie tamati fulani

    kwa kauli moja, kuwa sualakama hilo litarekebishwa nautawala ulioko madarakani,

    bila kujali dini ya aliyekomadarakani, kuelekea kilekinachotakiwa na Kanisa.Ila kwa masuala mengineambayo hayalijumuishiKanisa kwa dhati, sauti auushawishi ambao unawezaukatoka huku au kule katikaKanisa hilo au mengine,unaweza usiwe na nguvuza kutosha miongonimwa watawala. Ndichoanacholenga Maalim.

    Anamtahadharisha PapaFrancis kuwa katika yale

    ambayo Kanisa Katolikilinatilia maanani na kuwekamsimamo wa pamoja, sualalirekebishwe kwa matakwayake, nje ya mwelekeo ambaoserikali itakuwa imechukuahadi wakati huo, mojawapoliwe ni kutanguliza hakikatika uchaguzi wa RaisZanzibar. Kwa lugha yaharaka, Maaskofu Katolikiwakikia msimamo wapamoja kuwa ni budi hakiitendeke kuhusu matokeo yauchaguzi wa Rais Zanzibar,hilo litafanyika. Wasipokiamsimamo huo, basi tusije

    kulaumiana.Maalim Seif kwa barua hiy

    amelikisha suala hilo liwe nkati ya taasisi za kidini, sualaambalo kwa wachambuzi waKatiba na siasa ni kosa auhalina mantiki, kwani Kanisahalihusiki katika kufanyamaamuzi ya suala hilo. Ilakatika hali halisi MaalimSeif hajakosea. Amegongamsumari kichwani. Kuwaendapo Kanisa litatiliamaanani suala hilo, lisikilizekilio cha CUF na waangaliziwote wa uchaguzi ndani nanje ya nchi, basi litatatuliwa.Endapo Kanisa Katoliki,huku limepata barua hiina kuitafakari, litapuuziasuala hilo, basi litakuwalimeridhia matokeo yoyoteyanayotokana nayo, ikiwani pamoja na kubebeshwazigo la kutotendwa hakiVisiwani Zanzibar, ipatishwetaabu kwa dhulma hii. Kuwalimekiuka wajibu wake wakitaasisi inaoutambua ka.

    Ukiangalia kwa mantiki yamaandiko ya Kikristo, barua

    DK. Ali Mohamed Shein.

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    10/20

    10 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201Makala

    HIVI sasa zipo ripotinyingi zinaibuka,zikichua jinsi uwongoulivyotumika kuchocheachuki dhidi ya kiongoziwa Libya Muamar Gadda

    na kuhalalisha kupigwa,kupinduliwa na kuuliwakwake. Nakumbuka sikumoja tulikuwa tukijadilihabari za Libya na rakiyangu mmoja. Jamaayangu yule akisema kuwaGadda hana aqida sahihi.Hatawali kwa Kitabu naSunna, kwa hiyo ni sahihikabisa kupigwa na NATO.Akisema hayo, wakatihuo, taarifa za vyombovya habari zinafahamishakuwa makundi ya Salakatika Libya yameshikasilaha wakisaidiwa na

    Marekani na NATO.Nilichomwambia jamaayangu yule ni kuwaGadda anaweza kuwambaya, lakini haiwezikuwa Marekani na NATOwakawa watu wemawa kuwasaidia Salawamwondoe Gaddaili wapate kusimamishaKitabu na Sunna. Jamaayangu yule hakunielewakabisa. Hata Balozi waMarekani katika Umojawa Mataifa Susan Rice,alipotoa taarifa za uwongona propaganda katika

    Baraza la Umoja wa Mataifa(UN) kwamba Gaddaanawapa wanajeshi wakeViagra na kuwaamurukusambaa mitaani kubakawanawake, jamaa yanguyule aliona inawezekanahayo kufanyika kwa vilealishamuhukumu Gaddakuwa hana aqida sahihi.(Tazama: Gadda 'suppliestroops with Viagra toencourage mass rape',claims diplomat).

    Yakafanyikayaliyofanyika. Labda sasandio anaweza kuona kuwakumbe Salaf wa Libyawalitumika tu kama footsoldierswa proxy warya mabeberu wa NATO.NATO wapo angani namidege yao ya kivita,Salaf wapo ardhini nasilaha walizomiminiwana Marekani. Gaddaakawa hana pa kukimbilia.Mchezo umemalizika,Kitabu na Sunnahakijasimama Libya.

    Katika jumla ya habarizilizotikisa vyombovya habari mwaka jana,

    Na Omar Msangi

    KIONGOZI wa zamani wa Libya Muamar Gadda.

    BALOZI wa Marekani katika Umoja wa Mataifa Susan Rice.

    ni pamoja na ile yakukamatwa mabinti watatuwaliodaiwa kuwa walikuwanjiani kwenda Somalia,kujiunga na Al-Shabaab.Mabinti hao walitajwakuwa ni Ummul-KhayrSadri Abdullah, MaryamSaid Aboud na KhadijaAbubakar Abdulkadir.

    Mimi ni mmoja wa watuambao waliguswa sanana kishindo cha habarizile kwa sababu Sadri,baba wa Ummul Khayr,ni raki yangu ambayetuliwahi kuwa pamojakatika uongozi wa Umojawa Wanafunzi wa ChuoKikuu cha Dar es Salaam(MSAUD) miaka ya 1980s.

    Kwa bahati nakijuaChuo Kikuu cha Kimataifacha Afrika Khartoumalichokuwa akisomaUmmul Khayr na dada

    yake Sumaiyyah naniliwahi kufanya kozi fupiya mwezi mmoja katikachuo hicho wakati huokikiwa Markaz (IslamicCentre). Nilichokuwa nauhakika ni kuwa haiweziyaliyomkuta UmmulKhayr yakatokana namtaala wa chuo hicho,

    bali ni kama ilivyotokeakwa Mberesero waMazengo, Dodoma. Nakwangu mimi lililokuwawazi ni kuwa mabintiwale walikuwa trapped,walikuwa wahanga wamchezo wa entrapment.Hata hivyo nikiri kuwasikuwa nimelifuatilia kwaundani zaidi na kujuakilichokuwa kikiendeleampaka kurahisisha hizoentrapmentkatika chuohicho.

    Ilikuwa ni mapema

    mwezi huu ambaponilikutana na jina la taasisimoja ambayo taarifa zakezilinistua kidogo. GlobalService High Court(GSHC)au Khartoum Sala, ndiojina la taasisi yenyewe.Nilikutana na jina hili

    katika mtandao nikiwakatika jitihada za kutatijuu ya huu uhusianounaojitokeza baina yaSala na harakati zamabeberu wanaozivamiana kuzivuruga nchi zaKiislamu. Taarifa zaGSHC (Khartoum Salaf)katika ukurasa waomtandaoni, hawaonyeshikuwa tofauti na Salawengine. Mtizamo ni uleule, kuwaona wenginewote hawana Aqida sahihina kwa hiyo wanajipajukumu la kufundisha

    Aqida maana wanasemakuwa hata Sheikh NassorBachu hakufundisha AqidaAlichofundisha SheikhNassor ni Fiqhi ya Jeneza(qh tu). Sasa KhartoumSalaf inakuja kuendelezaharakati za Sheikh NassorBachu kwa kufundishaAqidah. Mtu unawezakujiuliza, kama SheikhNassor hajafundisha Aqidakiasi cha mtu kusemakuwa Sheikh Nassorkajishughulisha tu na qhya jeneza, hiyo Aqidayenyewe maana yake ninihasa?

    Ukisikiliza over viewya GSHC hadi mwisho,kinachoelezwa nikushadidia mifarakanomiongoni mwa Waislamukwa kupandikiza msimamwa usahihi wa Sala nawengine wakidaiwa kuwana aqida mbovu. Wanaelezwalivyowagaragazawalimu waliokuja na aqidmbovu kutokaMuslimUniversity of Morogoro(MUM) kwa masomo yajuu (Masters na PhD). Kwa

    kutokufuata manhaji yaSala, walimu hao kutokaMUM walionekana kamawatu walio na imani potofujuu ya dini na kwambaulipofanyika mdahalowalipigwa mwerekawakajikuta hawana hoja.PhD na Masters zaohazikuwasadia mbeleya mabinti wa kisalawalioiva.

    Lakini kilichonitishazaidi ni mambo matatu.

    Inaendelea Uk. 1

    Khartoum SalafSawa Mzee Punch wa UDSM

    Alihusika kadhia ya Bint Sadr?Aeleza alivyo wagaragaza MUM!

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    11/20

    11 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 20111AN-NUU

    Makala

    Inatoka Uk. 10

    Kwanza kutajwa mtotowa Sadri kuwa ni katikawanafunzi wa Sheikh waKhartoum Salaf. Sheikh waKhartoum Salaf anamtajaBint Sadr kuwa alikuwakatika wanafunzi wake

    mahiri walioiva katikaManhaj Salaf na waliokuwana ujasiri wa kupambanakwa hoja na watu wasiokatika Manhaj hiyo.Anatamba akisema kuwajapo walikuwa wanafunziwa Medicine (wakisomeaShahada ya Udakitari),lakini aliwapika kisalawakaiva.

    Hawa ni wanafunziwanaosoma medicine.tunawapa self condence,haikutokezapo miakayote tupo hapa kwamba

    hata wale waliosomathanawiyati na wanajiitaMasala, hakuna sikuwaliyowahi kuradi. Lakinijamaa wakakiona sikuhiyo kilichomtoa kangamanyoya. Watoto wa kikehawakukubali maanaaliyekuwa mbele yaokabisa, ni Baratai Sadri.Baratai Sadri natumai wapomwaka wa pili. Vijanawalisimama hawakucheleakuwa huyu ana PhDhuyu alikuwa mwalimu,wakaradi shubuhat. Jamaa

    walishangaa, walikirikwamba wakijadilianana hawa watoto wa kikemambo yataenda sawa,yakakwama.

    Anasimulia Sheikh waKhartoum Salaf aliyejitajakwa jina la Mkongwe:Al hidhri YoussouphServe alivyowaivishawatoto wa kike katikamsimamo wa Kisalana kuwajenga kujiaminikutetea msimamo huo.Katika kufuatilia habari

    hizi, nilipata kufahamukuwa mabinti wa rakiyangu Sadri ni UmmulKhaiyr ni Summaiyah.Sasa huyu Baratai (yawezanikawa sikumnukuu vizurimsemaji katika kanda yavideo) Sadri, yaweza kuwani kufanana kwa majinaya baba zao. Hata hivyo,muhimu hapa ni uwepowa Khartoum Salaf namsimamo inaowajengeawanafunzi. Muhimuzaidi ni kuwepo kwake

    Kutoka kushoto: Bi Ummukhayr Sadri Abdulla, Bi Maryam Said Aboud na

    Bi Khadija Abubakar Abdulkadir wakiwa kortini Mombasa Machi 30, 2015.

    Zanzibar kwa sasa. Nainavyoonyesha KhartoumSalaf imezamia katikakukamata mabinti naakina mama. Maanahata ilipoingia Zanzibar,imeanza na darsa laakina mama, dauru kwadauru. Hatua iliyofuata nikuwaita akina baba kwahoja kuwa haiwezekaniSheikh kusomesha wakeza watu bila kujuana nawaume zao. Nini kitafuata

    hatujui. Lakini maadhaliakina baba hao wamejisajilikatika fomu maalumwalizopewa kupitia kwawake zao, huenda baadaya muda nao wakasajiliwakatika mtandao wa GSHCkwamba ni memba waKhartoum Sala.

    Tunajua yaliyomkutammoja wa watoto wa SadrAbdullah. Ukijaaliya kuwanaye alikuwa mmoja wawaliokuwa wakihudhuriadarsa za Khartoum

    Sala, ambapo anajengwakuwa na msimamo kuwawengine wote hawanaaqida sahihi, pichainayokuja hapa ni kamaimesashwa njia kwa waliona program za entrapmentna false ag terror aackskumnasa kirahisi.

    Hapa sisemi kuwaKhartoum Salafinachochea watu kujiungana Al Shabaab au IS. Lahasha. Hoja hapa ni kuwa,ukimpa mtu somo na

    msimamo kuwa Salapekee ndio wenye aqidasahihi, ndio Waislamu (nakwa maana hiyo wenginewote ni watu wa motoni),mafunzo na msimamohuo unamfanya iwe rahisikuchotwa. Ni kiasi chakumwambia tu kuwawote wanaokuzunguka nimakari, hawana Aqida,wenye aqida sahihi pekeeni Al-Shabaab/IS naukimuonyesha kuwa kuna

    uwezekano wa kwendakuishi na wenzake wenyeaqida sahihi Mogadishu,ushampata. Nadhani hikindio chambo na mtegouliotumika kuwanasa kwahadaa mabinti wale ilikuendeleza (hoax)- mzahawa kitisho cha Al Shabaab.

    Jambo la pili lililonivutakuitati zaidi KhartoumSalaf, ni picha potofuinayojengwa ili kuipacredibility GSHC. Katikaukurasa wa mtandao

    wake, inaoneshwa kanakwamba KhartoumSalaf ni sehemu ya ChuoKikuu cha Kimataifacha Afrika, Khartoum.Maana katika ukurasahuo inatajwa GSHC,kisha yanakuja maandishiInternational Universityof Africa, na kuandikwaprogram zinazoendeshwachuoni hapo. Ukijakusikiliza maelezo niniKhartoum Salaf (KhartoumSalaf Over View) kama

    yalivyorekodiwa nakiongozi wake, Mkongwe:Al hidhri Youssouph Servendio unagundua kuwakumbe ni Masala waKitanzania wanaosomachuoni hapo na programzao ni nje ya program

    za chuo. Na wenyewewanasisitiza kuwawanawafundisha Aqidawanafunzi wanaokujakusoma hapo kwa sababuchuo hakifundishi Aqida(sahihi).

    Jambo la tatu lililonistuani kuona kuwa GSHCimetangaza katika mtandawake kuwa imepata mtajiwa kuanzisha harakatizake Zanzibar kupitiakundi la akina mama waliowakusanya na kuwapamafunzo mwezi Septembamwaka jana 2015. Na

    kwamba darsa zinaendeleaawamu kwa awamu.

    Mwaka jana nilipatakuelezwa kisa cha kijanammoja wa jijini Mwanzaambaye katika mweziwa Ramadhani alikuwaanajifungia chumbanina kufuturu peke yake.Alikuwa akisema kuwamama yake na wadogozake hawana Aqidasahihi. Ni makari hawezikufuturu na makari. Wapkayapata hayo? Alikuwammoja wa wafuasi wa

    Masheikh wa ManhajSalaf waliopo Mwanza.Kwa waliosoma Chuo

    Kikuu cha Dar es Salaammpaka mwishoni mwamiaka ya 1990s aumwanzoni mwa 2000swanakumbuka habari zaMzee Punch. Kwa vitukoalivyokuwa akifanya kilamwaka, mwenyewe akidaikuwaadabisha watu waovualipewa cheo kwamba yeyeni mwanafunzi asiyemalizamasomo. Mzee PunchNever Graduate. Kwambakila mwaka yupo akipokea

    wanafunzi wapya nakwenda nao mpakawanamaliza maisha yao yachuo. Anabaki.

    Sasa inavyoonekanaKhartoum Salaf(GSHC) ni Mzee Punchaliyejichimbia katika ChuoKikuu cha Kimataifa chaAfrika, Khartoum, Sudanakiwasubiri vijana kutokanchi za Afrika Mashariki,wanaozumguza Kiswahilikuwatia katika utumishi wGSHC-Khartoum Salaf.

    Khartoum Salaf

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    12/20

    12 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 20112 Makala

    Uzanzibari ni nini hasa?Tujifunze yaliyowakuta WanubiKujitenga imekuwa nuksi, balaa

    NILIWAHI kuandika makalailiyokuwa na kichwa chahabari Je! Mwarika nikwa kuzaliwa Afrika au nikuwa mtu Mweusi? Kwaleo nitazungumzia kichwacha habari hapo juu. Kwanzakabisa, niseme kuwa, hapa

    duniani kuna njia mbili tu,au miongozo miwili tu yakumuongoza mwanadamukatika maisha yake. Kwanzani mwongozo wa MwenyeziMungu (swt) na pili nisheria za shetani ambazoziko kinyume na Sheriaza Mwenyezi Mungu s.w.Ndiyo maana MwenyeziMungu akatutahadharishahivi:

    Enyi mlioamini msifuatenyayo za shetani; naatakayefuata nyayo za shetani(atapotea) kwani yeye huamrishamambo ya aibu na maovu.

    (Quran 24:21).Ninyi ni wa baba yenu ,Ibilisi, na tamaa za baba yenundizo mpendazo kuzitenda.Yeye alikuwa mwuuaji tangumwanzo; wala hakusimamakatika kweli, kwa kuwa hamnahiyo kweli ndani yake. Asemapouongo, husema yaliyo yakemwenyewe; kwa sababu yeyeni mwongo, na baba wa huo.(Biblia-Yohana 8;44.)

    Kwa bahati nzuriWatanzania tuna dini kuumbili; ikimaanisha kuwaasilimia nyingi ya Watanzaniani wana dini. Na viongozi

    wetu wa dini wana pigiadebe katika kampeini zauchaguzi, kauli mbiu yao nikuwa wachaguliwe viongoziwacha Mungu; na wagombeawanajinadi katika majukwaaya kampeni kuwa wao niwacha Mungu; sikwambiikitu kuwa wa Zanzibarizaidi ya 99% ni Waislamuna viongozi wao. Na kitabuchao cha dini yao ni kimoja,Quran.

    Pamoja na viongozi waserikali ya Tanzania barawanaoongozwa na vitabuhivyo viwili, Quran na Biblia;

    waliojinadi kuwa ni wachaMungu, tuwaulize kwa hayayanayoendelea Zanzibar nahata huku bara, wanaongozakwa muongozo upi kati yahiyo miwili niliyoitaja hapo

    juu?Viongozi wetu wa dini

    na wa serikali wamekuawakipokea sera za nchiza Magharibi, katikakuongozea nchi zetu; kiasikwamba, huoni tofauti katika

    baadhi ya mambo ambayowakoloni waliyafanya nawanayoendelea kufanya.

    Chukulia mfano wa karibu,wa nchi ya Sudani; nchiza Ulaya na Marekeni naIsraeli, zimepiga propogandaya udini na ukabila, kuwaSudani inatawaliwa naWaarabu wa Kaskaziniambao ni Waislamu.Wanawanyanyasa WaafrikaWakristo wa Kusini; Wanawaua na wanachukua mali yamafuta ya Sudani Kusini nakuwaacha Wasudani Kusinimasikini.

    Viongozi wa nchi zetu

    za Afrika, wamemezeshwakasumba hiyo hadikukaa vikao vya A.U. Nakuigawa Sudani. Yaliyo nayanayotokea Sudani Kusiniinayotawaliwa na Wakristowatu Weusi-Wadubi,tumeyaona! Hata hivyohaionyeshi kuwa viongoziwetu wamejifunza kitu.

    Tukija Zanziba, kasumbani ileile, ya Waarabu naWaarika. Ndiyo maanakatika makala zangu niliatakuuliza Mwafrika ni mtualiyezaliwa Afrika au ni mtuMweusi tu? Na leo pengine

    niulize, Mzanzibari ni mzawaau ni mtu Mweusi tu?Kwa elimu iliyopo hapa

    duniani siku hizi, na elimuwaliyonayo wanadamusiku hizi, hasa elimu ya

    Jiograa ya hii dunia kwajumla; na elimu ya historia yawakaazi wa Bara la Afrika; nauhusiano na nchi za Arabunina za Asia, ni Aibu tenaaibu sana, kwa MtanzaniaMweusi kumwona Mtanzaniamwenye asili ya Kiarabu auKiasia kuwa si mwananchi,wakati amezaliwa hapa na

    baba, babu n.k. walizaliwa

    hapa.Afrika haina mpaka

    na Arabuni na Asiauliotenganishwa na

    bahari. Mfereji wa Suezi,umefanywa kuchimbwa, ilikuunganisha bahari ya Shamna Mediterranian. Na majinahaya ya mabara yamewekwana mabeberu, ambayo sasayanatufarakanisha.

    Jina Zanzibar lilijulikanamiaka mingi kabla ya jinala Tanganyika na jina hilosi la kibantu ni la lugha yaKiarabu; na hatulifuti na

    hatutalifuta katika historia,ila kuna dalili ya kutakakuwafanya watoto wetuwaamini kuwa Zanzibar niya watu Weusi tu.

    Lakini la msingini kuwa Tanganyikakabla ya mwaka 1885ilijulikana kama Mrimawakoloni walipo igawaAfrika mwaka wa1884-85, ndio walio toa jinala Tanganyika, baadaya wale wapelelezi wao

    waliowatuma kutafutamakoloni, wakijiitaWamissionari nawavumbuzi (majasusi)waliporudisha mrejesho,ndipo kikakaa kikao hichonchini Berlin UjerumaniMagharibi, wakaigawa

    Afrika. Ndiyo maana, watuwanaoishi mipakani mwakila nchi, ni wa asili yapande mbili Wamakondewa Mtwara-Msumbiji,Wanyasa wa Malawi-Tanganyika Wajaluowa Kenya- Tanganyika,

    Wamasai wa Kenya-Tanganyika, Wamanyemawa Kongo-Tanganyika-Warundi wa Rwanda-Tanganyika n.k.

    Tuwasihi viongozi wetuwa nchi na wa dini, kuwa,wasikubali kutumikiaagenda zinazoongozwana sera za Ibilisi, zakuwabagua watu nakuwagawa matabaka.Waiangalie Sudani yaKusini na propoganda zaUarabu na Uafrika, Ukristona Uislamu waliovishwa

    na kujitenga na wenzaowa Kaskazini na maafayanayowakuta hadisasa. Mwenyezi Munguatuepushe na watini wanwa Ibilisi.

    (Khatibu Juma Mziray,0757 013 344.)

    Mtoto Hawa/Machwi Kakimamwenye umri wa miaka 13(pichani kulia)amepotean y um ba n i k wa o t a n g uNovemba 30, 2015.

    Alikuwa akiishi na mamayake mkubwa Mivinjeni jijiniDar es Salaam.

    Yeyote anayejua aliko aukuwa na taarifa zake aukumpata tunaomba apelekekituo chochote cha Polisi auapige simu namba0754 025142, 0654 333595,0712 953871.

    Mtoto amepotea

    BAADHI ya Mashekh Na Walimu wa chuo cha Kiislam cha MarkaChang`ombe cha Jijini Dar es salaam, wakiwa katika kongamanmaalum la kumbukumbu ya Mazazi ya Mtume (S.A.W) lililoandaliwna kufanyika katika ukumbi wa chuo hicho hivi karibuni.

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    13/20

    13 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201Makala

    Tujiimarishe kiuchumi

    K

    WA mujibu wa kra namafundisho ya Uislamu,itikadi na imani za

    watu ndizo ambazo hutoamuongozo wa namna miamalambali mbali ya kiuchumi nashughuli zingine za kimaishazinavyoweza kuendeshwa.Kwa msingi huo, uchumi waKiislamu ni lazima uwe namafungamano ya moja kwamoja na masuala ya kimaadilina kiitikadi. Na ndivyo ilivyokatika uchumi wa Kiislamukwamba mafungamanoyaliyopo ni makubwa kiasikwamba ni vigumu mno amani muhali wakati mwinginekuweza kutenganisha bainaya viwili hivyo. Na eneo hilindilo linaloleta tofauti kati yauchumi wa Kiislamu na wakitwaaghuti. Kutenganishabaina ya viwili hivyo, nikutengeneza mazingiraambayo yanaweza kupelekeaupatikanaji wa chumolisilokuwa la halali.

    Utoaji wa zakah, kwamfano, una munasaba wamoja kwa moja na masuala yakiuchumi, lakini kwa hakikavinahesabiwa kuwa ni sehemuya masuala ya kiibada, na shartila kukubaliwa mambo hayombele ya Mwenyezi Mungu,ni mwanadamu kutia nia yakujikurubisha kwa MwenyeziMungu. Halikadhalika, ibadaya hija haiwezi kutekelezwa,

    ila mtu awe na uwezo wa mali(fedha) ili kwayo imuwezeshekulipa nauli sanjari na gharamazingine muhimu. Usimamishajiwa nguzo hizi mbili, zakahna hija una mafungamano yamoja kwa moja na fedha (mali)ambayo kwa hakika hutegemeauchumi.

    Hata hivyo, uchumihaupatikani tu, kwa mtukufanya adhikar kwa wingi,kuleta tasbih, tahlili na mfanowa hayo, bali kwa kufanyakazi, tena kwa bidii. Lakinikama tulivyotangulia kusemakwamba, miiko ya kimaadilihaiwezi kuepukika kwakuwa ni jambo la kiitikadina kiimani zaidi. Hivyo basi,kazi inayokusudiwa hapa niile shughuli yoyote ya halaliinayoweza kumuingizia mtukipato.

    Dini ya Uislamu inatambuavyema kazi na bidiiinayofanywa na mja kwa ajili yakuboresha maisha na kukidhimahitaji yake yeye na familiayake, na kwamba yote hayayakifanywa kwa ajili ya Allah(swt) huhesabika kuwa ni ibada.Kazi na harakati za kutafutakipato mbali na kuwa sababu yaustawi na maendeleo ya maishaya kidunia iwapo itafanyika

    kwa nia ya kutekeleza amri yaMwenyezi Mungu na kufanywa

    kwa ajili ya malengo aali zaidi,huwa sababu ya kupewa ujirana thawabu huko Akhera. Kwasababu hiyo Mtume Muhammad(saw) amesema: "Dunia nishamba la Akhera" kwa maanakwamba, dunia na vilivyomovinaweza kutayarisha uwanjamzuri wa ustawi wa kiroho wamwanadamu na kuwa sababuya kupata makazi mazuri hukoAkhera kwa sharti kwamba vituhivyo vitumiwe kwa njia sahihi.Njia inayozingatia mipaka yaMwenyezi Mungu Mtukufu.

    Kwa mantiki hiyo basi,mfumo wa uchumi wa Kiislamuunafanya bidii za kuimarisha

    zaidi thamani za kidini nakimaadili katika nafsi yamwanadamu. Kwa hakika sualahilo ni msingi muhimu na hivyo

    basi malengo makuu katikamfumo wa uchumi wa Uislamuikiwa ni pamoja na KujitegemeaKiuchumi, Uadilifu, Hali Boraya Maisha ya Jamii, Ustawiwa Kiuchumi na kadhalikavinaarishwa kwa mujibu wamalengo hayo.

    Katika mafundisho yaUislamu, akhlaki na maadilimema na thamani za kirohohutawala mienendo yakiuchumi ya mwanadamuili kuzuia dhulma, kuchupamipaka au kukanyaga haki zawatu wengine. Harakati zoteza kiuchumi za Mwislamukatika mtazamo huo hufanyikakwa ajili ya kupata radhi zaMwenyezi Mungu na kutekelezamaamrisho na makatazo yake.Mwanadamu kama huyohufuatilia faida na maslahiya kiuchumi yanayooanatu na imani na itikadi zake.Mwanadamu kama huyuhufanya jitihada kadiri yauwezo wake kuhakikishakuwa wanadamu wenzakewanafaidika pia na neema zaMwenyezi Mungu.

    Mwanadamu anayefaa

    katika mfumo wa kiuchumi waKiislamu ni yule anayetambua

    kuwa, mali na utajiri ni amanaaliyopewa na Mwenyezi Munguambayo analazimika kuitumiavyema kwa ajili ya ustawi namaendeleo ya kimaada nakiroho ya jamii. Kwa msingihuo Mwislamu wa kwelihujitambua kuwa anawajibikakufanya kazi kwa bidii kwaajili ya kuboresha na kuijengadunia. Mwenyezi Mungu (swt),anasema katika aya ya 61 yaSuratu Hud kwamba: Ni Yeyendiye aliyekuumbeni kutokanana ardhi na akakupeni jukumula kuijenga...

    Ikiwa ukweli ndio huo, sisiWaislamu wa Tanzania tuna

    haja ya kuunganisha nguvu zetukwa lengo moja tu, ambalo niuchumi ili kuwezesha kukiwakwa malengo mengine ambayo,aghalabu uchumi ndiyo nyenzopekee ya kuyafanya kwa sahalina aali zaidi. Mwalimu JuliusKambarage Nyerere, aliyekuwaRais wa awamu ya kwanzaTanzania, alipata kusemamaneno machache lakinikimsingi yalilenga dhana hii yauchumi. Akihutubia Taifa kwamara ya kwanza akiwa WaziriMkuu wa Kwanza mnamomwaka 1961, alisema:

    Mara nyingi sana nimesemananyi juu ya umaskini, ujingana maradhi, lakini kwa kweliadui yetu mkubwa ni umasikini.

    Tukiweza kumshinda aduihuyu, tutakuwa tumewezakupata silaha itakayotuwezeshakuushinda ujinga na maradhi.

    Katika hotuba hii ni wazikuwa, kulikuwa na changamotoya uchumi (umasikini), elimu(ujinga) na afya (maradhi).Hivyo, kwa maoni ya Mwalimuni kwamba, ikiwa kweliunataka kupambana na ujingana maradhi basi uchumi ndiosilaha pekee itakayorahisishakushinda vita hii. Maneno hayayana ukweli na yafaa kuyafanyiakazi bila kujali ama kuangaliamsemaji.

    Tutafanikiwa katika hili kamatutaweka pembeni tofauti zetu

    na kutengeneza nia, mikakati,program na miradi madhubutiya kujenga na kwuaimarishaWaislamu kiuchumi.

    Kimsingi hatuna sababu yakuendelea kulalamikia serikaliyetu, kulalamikia taasisi zetuza dini ambazo zimesaidiakwa kiasi kikubwa vijana wetukupata elimu, bali tuingiekwenye utendaji na kufanyayote yaliyo ndani ya uwezowetu kisha Allah atatufanyiatawiq katika sehemu iliyobakiNa kwa kuwa msikiti ni taasisiinayojitegemea kama zilivyotaasisi zingine, hebu tuiwekeemazingira sadifu na nyumbufuili iweze kukidhi haja zaWaislam na jamii kwa ujumla.

    Allah Mtukufu katikakitabu chake kitukufu, Qur-ananatutaka tushikamane kwenyekamba yake wala tusifarikiane.[03:103]. Mwenyezi Munguanatutaka tushikamanenina Dini yake, wala tusifanye

    jambo litakaloleta mfarakanobaina yetu. Hakika katikakushikamana huku kunafaida nyingi mno ambazohawanufaiki nazo isipokuwawenye kushikamana. Nyanjazote za kimaisha kama UchumiSiasa, Elimu, Afya na mengineyyanahitaji msukumo unaotokanna mshikamano thabiti uliopo

    baina ya wanajamii.Kupitia mshikamano

    huibuliwa kra mbali mbali,kwa kuwa Mwenyezi Munguamewafadhilisha baadhi juuya wengine. Ni kwa msingi

    huu ndio unakuta wenginemadereva, walimu, madaktari,wakulima na kadhalika. Yotehaya hayakuja kwa bahatimbaya. Lakini pamoja nauwepo wa fani tofauti, jambola msingi na la pekee ambalolitaweza kuleta ustawi tarjalini mshikamano. Makundihaya yanaishi katika hali yakutegemeana kwa kiwangokikubwa kabisa.

    Pamoja na hayo, changamotokubwa iliyopo mbele yetuni umasikini, jambo ambaloendapo hatutafanya jitihadaza makusudi kuitatuainaweza kuleta farka baina

    yetu. Tujenge, tuimarishe natudumishe mshikamano natuutumie mshikamano huokatika kujiimarisha kiuchumi.Hata nguzo ya tatu ya Uislamuambayo ni Zakah, nayoinatulazimu kujiimarishakiuchumi, vinginevyotutashindwa kuitekeleza. Hatunsababu ya kushindwa kutekeleznguzo hii wakati MwenyeziMungu ametupa elimu nawataalamu wa fani mbali mbalitunao.

    Wabillah Tawiq!!(Juma Jumanne ---- KATESH

    MANYARA.0659 - 789468)

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    14/20

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    15/20

    15 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201Safu ya Ben Rijal

    SHEIKH Abdalla bin Wazir wa Ndsujini na na SheikhMuhammadbin Ahmad bin Hassan Al-Muronynni Masheikhe wawili wenye kufanana na walikaZanzibar kustakimu na kujichotea elimu. Unaposomajuu ya Masheikhe hawa wawili itakupa sura kuwaZanzibar kwa Masheikhe kupambana na watawalayanarudi nyuma sana na wengine waliamua siku hizokatika mwanzo mwanzo wa karne ya 20 kukihamakisiwa na wengine wakaendelea kuhama katikamiongo mine ya mwisho wa karne ya 20

    Sheikh Abdalla bin WazirMdsujini

    Sheikh Abdalla bin Wazirni kati ya wasomi wakubwaw a l i o p a t a k u k u w e p ovisiwani Zanzibar na alikuwagwiji wa kuitafsiri Quranna kuweza kuwavutiawengi katika darasa zake.Alipokuwa anadarasishail ikuwa hata watu waaila ya kifalme walikuwawakihudhuria darsa zakendipo pale ilipopelekeawakati wa Mfalme SeyyidAli bin Said kumtukuzana kumtanguliza mbele,akafanywa kuwa kama Muftiwa Zanzibar na kufanywakuwa Wazir-al-Awkaaf nakutakiwa kuongoza Wakfwa nchi kuwa chini yake nainasemekana aliweza kuweka

    Sheikh Abdalla bin Wazir wa Ndsujini na na Sheikh MuhammadbinAhmad bin Hassan Al-Muronyn -11

    msingi mzuri wa Wakf katikavisiwa vya Zanzibar nataratibu alizoziweka zikajakufwatwa kwa muda mrefu.

    Sheikh Abdalla bin Wazir

    aliifanya kazi yake kwauadilifu na kwa uungwanalakini kulikuwa na baadhiya watu hawakupendezewaku o n a ayaf an yayo n akutamani nafasi yake hiokupewa mtu mwengine,na hayo yakaja kukamilikanyakati za za Mfalme SeyyidHemed bin Thuweyny ambaehakuwa anamuona kamaalivyokuwa anatukuzwa namtangulizi mwenzake, kwahio Mfalme Seyyid Hemed binThuweyny akammpa notisiya kuondoka na kumfanyakuwa mtu asiotakiwa nakupewa Persona Non Grantakama aliyopewa baadayeSheikh Hassan bin Ameir.Alirejeshwa visiwa vyaComoro na huko alipokelewakwa mikono miwili na wakaziwa huko walifurahi ghaya ya

    furaha kumpata Sheikhewa sampuli hio. Juu yakurejeshwa Comoro alikuwaroho yake yote ipo Ungujakwa namna alivyozowea

    nakuwaacha wanafunziwengi ambao aliamini kuwawatakuja kuwa wasomiwakubwa akiwa mmoja nimwanawe wa kumzaa.

    Shikh Abdalla binWazir alirudi Unguja bada yakuaga dunia Mfalme SeyyidHemed bin Thuweyny.Sheikhe huyu al ikuwaakisikilizana na Sheikhemwengine mkubwa ambayenitakuja kumzungumzakwa upana naye ni SheikhAbdalla Abubakar Bakathir,walijuana Masheikhe hawawawili na wakapendanana kufunga udugu na hatawakawa wanasoma pamojana kutalii pamoja.

    Katika darsa ake zakutafsiri Quran zilikuwa nakugusia kila fani ya elimuiwe lugha na nahwi yake

    na balagha, sarfu, mantikitarekhe, sira pamoja naulimwengu ulivyokuwa kwa

    wakati wake na harakatizake hilo likamfanya kuwakwa wakati huo alioishihakukuwa na Sheikhealiobobea kuisomesha tafsiriya Quran zaidi yake naalikuwepo Sheikh aliokuwaakijulikana kwa jina laSheikh Abdulshakur ambayeakipenda kuwakosoa baadhiya Mashiekh lakini kwaSheikh Abdalla bin Waziralikuwa akisema Tafsirichapa kwa Sheikh AbdallaWazir

    Msikiti wa Chale(Charlie) uliokuwepo hadileo katika eneo la Mkunazinikaribu na kwa AbulrahmanM a p e r e m e n d e n d i p oalopokuwa akidarasisha,Msikit i huu ni mdogohaubebebi zaidi ya yawatu 100 lakini darasazake zikiujaza na wasomajiwengine wakiwa wanakaanje ya Msikiti.

    Juu ya kusomeshakwake wanafunzi wengiwatu walipenda mwanaweSheikh Mohammaed binAbdaalla bin Wazir ashikemakamo yake, lakini SheikhMohammed bin Abdalla binWazir hakuwa akihudhuriadarsa za baba yake kikamilifuna alikuwa akipenda jioniba ad a ya sa la ya Al as ir ikwenda kucheza mchezo waGolf (gofu) wengi wakilaumukwa kusema mtoto waSheikh anacheza Golf badaya kujitahidi kusoma kujaku ch u ku a m akam o ya

    babake. Alipofariki SheikAbdalla bin Wazir wanafunwake wakaona sasa ule utam

    waliouzowea wa darsuliokamilka umekwishk w a n i h a w a m u o natakayeweza kudarasisha nkufwata nyayo za SheikhBada ya maziko mwanawS h e i k h M o h a m m ebi n Ab da ll a Wazi r kwmshangao wa wengi alisemdarsa ipo na itaendelea nyeye ndio atakayedarasishilikuwa kama changamona kila mmoja kumuambmwenzake kuwa ShiekMohammed eti anajitia darsipo na yeye atadarasishbaada ya siku 3 kupita huulikuwa ni mtindo siku hizhapa visiwani mtu akifarihusomwa Khitima kwa sik3, siku 2 za mwanzo wathupewa tangawizi na sikya mwisho hutegemea imhupewa visheti au haluZilipomalizika siku 3 SheikMohammed Abadala biWazir alifika Msikiti wChale na kukuta Msikiumesheheni hakuna pakutmguu, akauliza wanafunwaliof ika katika darswalipoka na alipoambiww a l i p o f i k a a k a a n zkudarasisha na kupita njzilezile ambazo babakakizipita na yeye alivyokuwakikichapa Kiengereza sawsawa ikawa anayaelezehata ya magazeti yamesemnini? Wanafunzi wa babakwalipigwa na butwaa nkuulizana huyu mtu kasom

    Inaendelea Uk. 1

    Miti duniani na maisha yetu - 2KATIKA makala iliopita ilikuwa ni utangulizi juu ya Makala15 mfululizo yatakayo eleza miti mbalimbali, makala hii yamwanzo itauzungumzia mti ulio maarufu hasa kwa wakaziwa maeneo ya Pwani sio mwengine ila ni Mnazi. Mswahilianamsemo wake usemao, Kua kama Mbuyu faida kamaMnazi, kwa kuwa Mnazi kila sehemu yake inapatikanafaida.

    Ubaiti wa Nazi :Ukitaka kutafuta, Sisumbuke nenda pwaniKila kona tazikuta, Mjini na mashambaniZilopangwa kwa matuta, Uchague hadharani

    J i n a l a k i t a a l a m u :Cocos nucifera, Familia:Arecaceqacea

    Majina ya Mnazi kwalugha mbalimbali :

    Kispani unaitwa Cocoteroor Palmera de coco, Kihindi[naariyal], Urdu, KifaransaCocotier cultiv au Noix decoco au r Palmier de coco,Kichina [Yzi], Kijapani[Kokonattsu, KitalianoNoce di cocco or Palmada cocco, Kireno Coco,Kikorea [kokoneos], Kirusi [kokos], Kiyunani [karda], Kiyahudi,Kijarumani Kokosnusspalmeor Kokospalme, Kipolandorzech kokosowy, KiengerezaCoco, Coconut or Coconutpalm, Kidachi Kokosboomor Kokosnoot or Kokospalm.Czech Kokosovy`ooech,Filipino Buko, Hawaian Niu,Hindi Khopra, IndonesiaKilapa, Kiswahili Mnazi,Kisomali Qumbe, TamilThenggai, Kiveinam Tra'idu*`a, Kiarabu Juzu minalhindi.

    Kuonekana kwakeMinazi inaonekana zaidi

    katika nchi za tropiki zilizona joto. Inaelezwa kuwaMnazi ulifikishwa katikamaeneo ya Hawai kutokea

    Mnazi wa Kitamli

    visiwa vya Polynesia nanazi iliokuwa haijafuliwainaweza kubakia baharini nakutembea kwa masafa narefupasina kupoteza ubora wake.Minazi kwa kipindi kirefuilionekana katika maneoya visiwa vya Caribbeanna katika sehemu za bahariya Atlantiki na maenenoya Afrika ya magharibi,inaelezwa kuwa ChristopherC o l u m b u s m v u m b u z ialioaminika kuivumbuaMarekani ameandika katikamaandiko yake kuiona Minazikatika Amerika ya Kusini.Christopher Columbus

    wazungu wanajivunia sanaju u ya um ah ir i wake nakuweza kuvumbua Barala Marekani, kunaushahidiunaonyesha kuwa kufikakwake Marekani alisaidiwana kijana wa Kiafrika ingawamaandiko mengine yanasemaalikuwa Chotara wa Kiafrikana Kizungu al iyokuwaakiongoza msafara wakekwa kutumia nyota na hivisasa ugunduzi uliofanyika nawataalamu wa mabaki kutokaChuo Kikuu cha Cambridgec h a h u k o U i e n g e r e z a

    Inaendelea Uk. 16

  • 7/25/2019 ANNUUR_1213.pdf

    16/20

    16 AN-NUU

    RABBIUTHTHAN 1437, IJUMAA JANUARI22-28, 201Safu ya Ben Rijal

    Sheikh Abdalla bin Wazir wa Ndsujini na na Sheikh MuhammadbinAhmad bin Hassan Al-Muronyn -11

    Inatoka Uk. 15

    lini? Wengine wakasema kapewa Ijazakitu h