annuur 1082

Upload: mzalendonet

Post on 08-Aug-2018

648 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1082 RAMADHAN 1434, IJUMAA , AGOSTI 2-8, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Inawatangazia Waislamu wotekuwa imeanza maandalizi yake

    kwa ajili ya HIJJA 2013 kwa lengo

    la KUONGEZA UFANISI KATIKAIBADA ZA MAHUJAJI WETU kwa

    gharama za Dola 4300. Lengoletu ni kukamilisha mipango yetu

    kabla ya kumaliza mwezi mtukufuwa Ramadhani.Tafadhali wasiliana

    nasi ifuatavyo: Tanzania Bara:

    0717224437; 0777462022;Unguja:

    0777458075;Pemba: 0776357117.

    (22) AHLU SUNNA WAL JAMAA

    BAKWATA kusambaza

    Mashushushu misikitiniNa Bakari Mwakangwale

    Magaidi wa gazeti la Raina kisa cha Jessica Lynch

    Binadamu sio mtu wa Ndio tuTutumie vyema neema ya akiliTusiwe vipaza sauti visivyojijua

    BAADHI ya wafanyakazi wa Benki ya Amana wakikabidhi misaada kwa kituo chawatoto yatima cha Tahfidhil Quran Al-hidaaya cha Buguruni kwa Mnyamani, IlalaJini Dar es Salaam hivi karibuni.

    Profesa ailaumu Serikali

    malalamiko ya WaislamuAgusia uwiano mbaya katika ajiraAibua mauwaji ya MwembechaiAhoji ripoti ya mabomu Arusha

    B A R A Z A K u u l aWaislamu Tanzania,B A K W A T A ,limetangaza mpangowake wa kusambaza m a s h u s h u s h u Misikitini.

    Akitangaza mpango

    huo, Mufti wa Barazhilo Sheikh Issa ShaabanSimba amesema kuwmashushushu hawataku wa waki to

    taarifa zao Polisi.Mui Simba amesemk u w a h a t u a h i yinakuja kufuatia hal

    Inaendelea Uk.

    IMEFAHAMIKA kuwaJarida litakalo fahamikakw a j i na l a Za nz i ba rDaima litazinduliwa hivi

    Zanzibar Daima

    ulingoni karibuniNa Mwandishi Wetu

    karibuni.Jarida hilo la kila mwez

    litakuwa likichambua kwkina matukio yanayojirZanzibar.

    Litasheheni makala zInaendelea Uk

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    2/16

    2AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Makala

    KWA mujibu wa habariiliyotolewa na gazetila NIPASHE Jumapilitarehe 28 Julai, 2013,Sheikh Mkuu na Muftiwa Bakwata ametangazakuunda vikundi vyaulinzi na usalama kwa

    kila msikiti nchini.Akasema kuwa lengola kuanzisha vikundihivyo ni ili vifanye kaziya ukachero.

    Na kwamba kazi yakekubwa itakuwa kubainiviashiria vya uvunjifu waamani na vitakuwa vikitoataarifa Polisi.

    Kw a m a a na k u w avitakuwa ni mashushushuwa Bakwata wanaoitumikiaSerikali/Polisi ndani yaMisikiti.

    Kisa na mkasa, anadaikuwa Misikiti inatumikak a m a m a j u k w a a y a

    kisiasa.Kwa upande mwingineSheikh Khalifa Hamisakanukuliwa akiwahimizaPolisi wachunguze Misikitikwa sababu hata ndani yaMisikiti kuna wahalifu.

    Kwamba wasidhanikuwa ndani ya Misikitihakuna vi tendo vyaJINAI.

    Akaunga mkono raiya Mufti wa Bakwataya kuunda vikundi vyakikachero ndani ya Misikitiila akatahadharisha kuwaviundwe na watu halali.

    Kwa upande mwingineakasema kuwa karibunizi taanza harakat i zauchaguzi Serikali zaMitaa na kisha UchaguziMkuu mwaka 2015, kuwatahadhari ichukuliwemisikiti isije ikatumikak a m a v i j i w e v y awanasiasa.

    Wo te k w a pa m o j awaliyasema hayo katikafutari iliyoandaliwa nataasisi ya Imam Bukharii n a y o o n g o z w a n aSheikh Khalifa Hamisina kuhudhuriwa na RaisMstaafu Ally HassanMwinyi.

    Mufti Simba ukacheromwachie Said Mwema

    Unda vikundi vya usafi MisikitiniAnza Msikiti Bakwata Makao Makuu

    Akifafanua juu yav i k u n d i h i v y o v y akikachero Misikitini,M u f t i w a B a k w a t aanasema kuwa uamuziwa kuunda vikundi hivyovya kikachero katikaMisikiti umebuniwa kwa

    pamoja na Mkuu waJeshi la Polisi nchini SaidiMwema katika kikao chaocha pamoja kilichohusishamakamanda wa ngazimbalimbali wa Polisi.

    S i s i t u n g e p e n d akusema kuwa pengineM u f t i w a B a k w a t aangeshughulishwa kwanzana usafi wa Misikiti yaBakwata. Haya ya ukacheroawaachie wenye kazi zao.

    Tunafahamu kuwa kilanchi ina vyombo vyake vyausalama mitaani, maofisini,makanisani, misikitini nahata katika kada na jamii

    ya vichaa.Hakuna Serikali yoyoted u n i a n i i n a y o n g o j ak u p e w a t a a r i f a n aMasheikh au vikundivilivyoundwa na ma-Mui. Na ikiwa hivyo, basiMasheikh na ma-Ustadhhao watakuwa wamepewamafunzo na kuajiriwa naSerikali. Hawateuliwi walakupewa kazi na Mui waBakwata.

    Mpaka mwezi wa tanomwaka huu, Msikiti uliopoMakao Makuu ya Bakwata,Kinondoni jijini Dar esSalaam, ulikuwa haunamaji ya kuaminika. Ukifika

    kuswali inabidi ukiendamsalani ubebe maji nakopo kutoka mapimayaliyowekwa nje ya choo nasehemu ya kutawadhia.

    Hali ya usafi wa vyoohivyo utata mtupu. Si vyoovyenye hadhi ya Msikitiwa Makao Makuu yaBakwata.

    Mtu mmoja aliyesalihapo kwa mara ya mwishomwezi wa tano, alibakiakiuliza:

    Hivi inahitaji shilingingapi kujenga vyoo visafikatika Msikiti huu wa

    BAKWATA?Inahitaji shilingi ngapi

    kuvuta maji ya uhakikahapa badala ya mtindohuu wa kujaza maji katikamapipa na kuchota kwamakopo, hali ambayo ki-usafi ni utata mtupu?

    H u u n i M s i k i t iwanaposwali viongozi waSerikali ama Ijumaa au siku

    za Eid, hivi wakishikwa nahaja watawapeleka katikavyoo gani?

    A l i s i m u l i a m t uh u y o j a m b o a m b a l ol i m e t h i b i t i s h w a n awengi. Sasa labda kamani kubadilika, hali iweimebadilika katika mwezihuu wa sita na saba ambapogazeti hili halapata taarifampya.

    Sasa sisi tungependakushauri kuwa pengineSheikh Mkuu wa Bakwatana viongozi wenzake,watakuwa wamefanya

    ja mbo ku bwa sa na , nalipo katika uwezo wao,kama watahakikisha kuwaMisikiti yao ni misafi

    na inawaki l isha yalemafundisho ya UislamuAl Islam nadhiifu.

    H a y a y a k u f a n y au k a c h e r o M i s i k i t i n ihawayawezi na wakaribuyatazidi tu kutia nguvumadai ya Waislamu wengikuwa Bakwata ni chombocha Serikali zaidi kulikokuwa cha Waislamu.

    Wakati wa uchaguzimkuu uliopita, Maaskofuwal i toa I lani yao yauchaguzi. Na ilisemekanakuwa baadhi ya watuwazito (Wakristo) walioserikalini , walishir ikikuandaa Ilani hiyo. Kanakwamba hiyo haitoshi,Maaskofu mbalimbaliwal ishir ik i kumpigiakampeni mtu waliyedhanikuwa ndio anafaa baada yakuona kuwa lile waliodhanikuwa ni chaguo la Mungu,halifai tena kwa mtizamowao.

    Ilifika mahali katikabaadhi ya sehemu, wauminiwalitengwa na makanisayao baada ya kuonekana

    kuwa wanaunga mkonmtu asiyetakiwa na kanisVurugu zilizotokea Arush

    bara baada ya uchaguzmpaka kuleta maafailikuwa wazi jinsi maaskofwalivyokuwa wakishabikwakiwa upande fulani wwanasiasa na wa chamfulani. Hilo mpaka hivsasa halijasemwa kw

    uzito na vyombo vya doau viongozi wa makanisna kuoneshwa kuwa ntatizo la kuharibu amanna usalama wa nchi.

    Lakini leo kauli kamhizi za Masheikh wetuitajengwa picha kuwa tatizla nchi hii ni Waislamu kwhiyo nguvu zote za dokama alivyowahi kujisemeAlhaji Ally Hassan Mwinykwamba nguvu zote zDola ziwaangukie.

    Hii ni katika mlolongule ule wa kuwapachikuovu Waislamu sawa na uwa kuwapachika ugaidi.

    Hebu Masheikh wetwasaidie kujenga Uislamna nchi.

    W A P E N Z I W a i s l a m u ,siku za mwezi mtukufuwa Ramadhani zinaelekeatamati. Hivi sasa tupo katikakumi la mwisho la kuwekwambali na moto, kati yamakumi matatu ya mweziMtukufu wa Ramadhani.

    Wakati tukiwa katika kumihili la mwisho, ni vyematukajiuliza, tumefaulu kwakiasi gani na makumi mawiliyaliyopita ya Ramadhani.Yaani kumi la Rehma la lilela pili la Maghfira.

    Ni vizuri tukajitathminikwa vitendo vyetu kabla yakufika siku ya kufanyiwahisabu. Hata hivyo badowakati upo na fursa yakuendelea kufanya mamboya kheri bado inaendelea.

    Katika kumi la mwisho,Waislamu wameruzukiwaneema nyingi na za kherikatika maisha yao hapaduniani na kesho akhera.

    Hazina kubwa katika kumi

    hili la mwisho la Ramadhani,ni Waislamu kuruzukiwausiku mtukufu wa LailatulKadr. Wengi wanaufahamukama usiku wa cheo, usikuwa kuachwa huru na maasina mja kuzaliwa upya.

    Ndugu Waislamu, Allah( S W ) a n a u p e n d a s a n aumma huu wa Waislamu.Kwa mapenzi yake juu yaumma huu, kaujalia malipona thawabu nyingi kwakutekeleza ibada ndogoya usiku wa cheo, usikumtukufu, usiku moja lakinithawabu zake ni nyingikushinda thawabu za ibadakatika miezi elfu moja.

    KUMI LA MWISHO RAMADHANIMwenyezi Mungu awajaalie Waislamu kupata Lailatul Qadri

    Ama kwa hakika ni usikumuhimu sana katika umriwa mwanadamu , ndani yakekuna Mwenye kuafikiwausiku huo, basi amepata kheriya dunia na akhera.

    Na mwenye kukosa usikuhuo, basi amekosa kheri ya

    dunia na akhera. Ni khasarailioje mtu kuishi dunianimiaka mingi kisha aondokeduniani patupu bila ya kupatakheri ya dunia wala kheri yaakhera. Ndugu Muislamutafakari na uzingatie, hujuikama utafika mwakani iliuweze kufunga Mwezi waRamadhani.

    Baadhi ya sunna za kumila mwisho ni kufanya bidiikuswali swala ya usiku.Ni vyema kila Muislamuakawahimiza watu wakenyumbani kwake kuamkakuswali pamoja.

    Amesema Mtume (Saw), M w e n y e k u s i m a m ausiku katika mwezi wa

    Ramadhani kwa Ikhlasi nakutarajia malipo kwa Allah,atasamehewa madhambi yakeyaliyo tangulia.

    Moja ya mafundisho katikaSunna za Mtume (s.a.w) nikuwa, ilipokifika kumi lamwisho, alikuwa akiamshawake zake na familia yakekujitahidi kusimama usikukatika swala.

    Kutia nia ya kukaa msikitinikwa lengo la Kufanya ibadaya Ibada ya Itikaaf, kusomazaidi Quran katika kumi hilila mwisho, ni jambo zuri kwaWaislamu katika siku hizi.

    Kuzidisha juhudi kutafutausiku wa cheo, usiku bora

    kuliko miezi elfu moja, ni borkuliko vitu vyote vilivyomduniani. Mwenye kuafikiwkupata usiku huu, basi nhakika amefaulu na kupakheri ya dunia na akhera.

    Katika mafundisho yMtume (s.a.w) alishasem

    kuwa ni sunna kuzidishkusoma Quran kwa wingkumsifu Allah, kumtukuzkumsalia Mtume na kutosadaka na ni sunna kuombdua kwa wingi.

    Ndugu Waislamu, sikkumi katika kumi la mwishni chaguo lake Allah (SW) kwUmma wetu na ukombokwenu.

    Umri wetu ni mfupi sanmwanadamu hajui kamataweza kupata nafasi tenkufikia mwezi wa Ramadhamwakani.

    Jambo la msingi ni kufanybidii na juhudi kubwa kutafuusiku wa cheo katika kumhili la mwisho, ili tupate khe

    ya usiku huu.Yule atakaye bahatikkupata usiku huu, kwa hakikhuyo amefaulu hapa duniana kesho akhera.

    Ni jukumu lenu kufanyb i d i i k u m u i g a M t u mkatika ibada zake zote, nkushindana katika kutafusiku wa cheo (Laylatul Qadrkatika kumi hili.

    Tunamuomba Allah (SWatuajalie kuwa miongonmwa waliochaguliwa kupaLailatul Qadri na hatimaykutuingiza pamoja nMtume (s.a.w) katika JannatuFirdaws.

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    3/16

    3AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 201Habari

    BAKWATA kusambaza Mashushushu misikitiniinayoendelea ambapoamedai kuwa Misikitii m e g e u z w a k u w amajukwaa ya kisiasa na

    hivyo kuhatarisha amaniya nchi.

    Akasema, baadhi yawanasiasa wamekuwaw a k i w a h a m a s i s h aWaislamu kuasi Bakwatakiasi cha kufikia kudaik u w a B a r a z a h i l olifutwe.

    W a i s l a m uw a n a c h u u z w a n awanasiasa na kusemaBaraza la WaislamuTanzania lifutwe, misikitisi kwa ajili ya siasa bali nisehemu ya kuwaelekezawatu kutenda mema,alinukuliwa Mui Simba

    Inatoka Uk. 1 akisema.A k a o n g e z a k u w a

    kutokana na hali hiyoBAKWATA inakusudiakuanzisha Kamati za Ulinzi

    na Usalama Misikitiniili kubaini viashiria vyauvunjifu wa amani.

    Kwa mujibu wa taarifaza baadhi ya magazeti,Sheikh Mkuu, MuftiS i mba wa Bakwataamesema kuwa mpangohuo umependekezwana Mkuu wa Jeshi laPolisi nchini (IGP) SaidMwema.

    Akasi s i t i za ku wamakachero hao waBakwata wakishabainiviashiria vya uvunjifu wa

    amani, watatoa taarifaPolisi.

    Katika kufanikisham p a n g o h u o w a u s h u s h u s h u Misikitini, Maimamu naMasheikh wa Bakwatawatashir ikiana kwakaribu na makamandawa Polisi na kwambaB A K W A T A M a k a oM a k u u i t a s a m b a z ataarifa kwa Maimamuwa misikiti nchini namnaya kutekeleza na kufanyamawasiliano na maofisawa Polisi.

    M s i k i t i w o w o t eutakao kuwa na viashiriavya uvunjifu wa amani,taarifa itatolewa Polisi(mara moja) ili kulindaamani ya nchi, MuftiS i mba amesema na

    kunukuliwa na gazeti

    moja wiki iliyopita.Sheikh huyo Mkuu

    wa Bakwata ameyasemahayo alipohudhuriafutari iliyoandaliwa naTaasisi ya Imam Bukhar,

    inayoongozwa na SheikKhalifa Hamis.

    Katika futari hiyal ikuwepo pia RaiM staa fu Al ha j i AHassan Mwinyi.

    Kamati ya Maafa Shurayatembelea wafungwa

    KAMATI ya Maafa yaS h u r a ya M a i m a m uimetembelea Magereza yaKimbiti Mngaru pamojana Dondwe Mvuti, MkoaniPwani, ambayo baadhi ya

    Waislamu wa maandamano

    wamefungwa.Katika ziara hiyo, Kama

    imetoa misaada kadhakutoka kwa Waislamkatika Mwezi huu wRamadhani.

    Miongoni mwa misaadwaliopatiwa Waislamu ha

    waliohukumiwa baadya kudaiwa kuandamankupinga Sheikh Pondkunyimwa dhamana nMchele kilo 135, Tendkilo 20, mafuta ya kula li20, pamoja na Maharagwkilo 35.

    Mbali na mahitaji haykumbuka awali Waislamhao waliomba vitabmbalimbali vya dini, hivytulipeleka vitabu vya tafsiza hutuba za Ijumaa pamona vitabu vya swala nmaamrisho yake. AlisemP o nd a a l i y e o nhg o zmsafara huo.

    Kwa mujibu wa SheikPonda, hali za Waislamhao ni nzuri na katikmaongezi yao wameelezkuwa hawana cha kujutkatika hatua hiyo na kuwwatakuwa mstari wa mbekupigania Uislamu, hat

    baada ya kifungo hicho.Alisema, Waislamu ha

    wamekuwa wakiendelezibada na kuwafanyiDaawa wafungwa wengin

    jambo ambalo wamedawamefaulu kuwabadilishkitabia miongoni mwwafungwa waliowakuthuko.

    Sheikh Ponda alisemkwa ujumla wameshukurkwa kupata misaada hiy

    huku wakiomba zaidkukumbukwa hata siku ysikuku ya Idd, ili na wawaweze kufurahi na kuvizuri katika siku hiyo ysikuku.

    O m b i l a o h i ltunalifanyika kazi lakinpia hii ni taarifa kwWaislamu wengine ambawangependa kuwasaidndugu zao walipo hukoAlisema Ponda.

    Katibu huyo wa Jumuiyna Taasisi za Kiislamualisema mwishoni mwa wihii ( Jumapili) wataendelena ziara katika magerezmengine matatu ambay

    Bawazir azungumzia miaka 1447 ya QuranWAKATI Qur an tukufuikitimiza miaka 1447, tangukushuka kwake, Umoja waWanazuoni wa KiislamuTanzania (Hay-at), umeutakaUlimwengu kuishi kwakutambua kuwepo kwaMwenyezi Mungu.

    Wito huo umetolewa na

    Sheikh Abdallah Bawazir,akiongea kwa niaba ya Umojahuo katika ofisi zao zilizopoKariakoo Jini Dar es Salaam,Jumatano wiki hii.

    Sheikh Bawazir ambayeni Makamu Mwenyekiti waUmoja huo, alikuwa akitoapongezi kwa Waislamu ndanina nje ya nchi kwa kushuhudiaQur an, ikifikisha miaka 1447,tangu ishushwe ardhini.

    Pongezi kwa wingi kwaWaislamu wote Ulimwengunikwa ujumla, kwa kufikiamiaka 1447, (Jumatano hii)tokea ishuke Qur an katikaardhini. Tunasheherekea

    katika kumi hili la mwisholenye Lailatulqadir, sikuambayo imeshuka Qur an.Amesema SheikhBawazir.

    Alisema, wakati Qur an,imekuja ikiwa ni mwongozokwa wanaadamu balaalilipo duniani hivi sasa niwatu kujaribu kumkataaMungu, ilihali vitabu vyotevimekuja vikielezea uwepowa Mwenyezi Mungu.

    Qur an ni kitabu cha nne,katika vitabu vyenye uongofu,ambavyo Mwenyezi Mungukaviteremsha kwa Mitumewake. Imeshuka Taurat,Zaburi, Injiri na Qur an ni

    kitabu cha mwisho ambachokimekusanya vitabu vyotehivyo, ikitoa muongozo wamaisha ili wanaadam tuufuatena tuweze kuishi kwa amani.Amesema Bawazir.

    Sheikh Bawazir, alisemaUlimwengu wa leo unakwendamahala pabaya, badala yaMataifa makubwa kuwamstari wa mbele kufundisha

    ustaarabu duniani, lakiniyamekuwa yakihamasishawatu kwenda kinyume namaarisho ya MwenyeziMungu.

    Alisema, Mataifa hayoy a m e k u j a n a s e r a y akuhamasisha ndoa za jinsiamoja kitu ambacho ni kinyumekabisa na mwongozo naMwenyezi Mungu alipinga nakutolea adhabu siku nyingi.

    Bawazir alisema suala hilihalijaruhusiwa hata katikavitabu vilivyotangulia, tanguTaurat, Zaburi, Injiri mpakaQur an, akasema ndani yavitabu hivyo hakuna sehemuilipohalalishwa mahusianoya jinsia moja.

    Leo Ulimwengu unatakakuleta baa kubwa zaidi yahata ya lile la kipindi chaNabii Luti, tunapoangaliakatika vitabu tunavyosomahayo yalikuwa yakifanyika,lakini hawakufikia hatuaya kuhalalisha ndoa kamaambavyo hayo Mataifamakubwa wanavyo shinikizaUlimwengu ukubali sualahilo. Alisema Bawazir.

    Sheikh Bawazir alisemawakat i wa N abi i Lu t i ,ilikuwa katika kijji kidogona baadhi ya vi vya jirani

    vilihitaji kwenda kinyumena mwongozo wa MwenyeziMungu anavyotaka, navikaangamizwa maangamizitofauti.

    Alisema, wanaadamu leowanajiona wameendeleasana, na kutaka kufanyawatakavyo wakisahau kuwaupo muongozo wa MwenyeziMungu.

    Nadhali hii ya makosa aukufuru hii ya kupingana naQur an ikiendelea sambambana mashinikizo wanayoyatoaya kuzuia misaada mpakasuala hilo la kuwadhurumuwanawake haki zao nakuwadhalilisha wanaumelikubalike tufahamu kwambayaliyotokea wakati wa NabiiLuti, yatatutokea na sisi.

    Kumbuka kama vilevilikuwa ni viji j i na leotunaambiwa kuwa Dunia nikama Ki kimoja unadhanihali itakuwaje. AlitanabaishaBawazir.

    B a w a z i r a l i s e m awanaokataa uwepo waMwenyezi Mungu wana

    malengo ya kuweka sheriana taratibu zao nje ya zile zaMwenyezi Mungu.

    Alisema, kutokana na halihiyo ndiyo Mitume wengiwalipata upinzania kutokakwa watawala na hata kufikiamiongoni mwao kuuwawa,kama ilivyokuwa kwa NabiiZakaria, Nabii Yahaya.

    Alisema, kabla ya kushukaQur an, kadhia ya kumjuaMwenyezi Mungu ilikuwainajulika ambapo Quran, imekuja kutilia nguvusuala alilokuja nalo NabiiAdam (a.s) kuwa Munguyupo na yeye ndiye pekee

    anayestahili kuabudiwa kwakufuata sheria zake na kuachamakatazo yake.

    Bawazir, alisema hatawashirikina wa Mji wa Makka,waliokuwa wakimpinga kwanguvu zote Bwana MtumeMuhammad (s a w), walikuwawanakubali kuwa Munguyupo, ingawa walikuwaw a k i a b u d u m a s a n a m uwakiamini kuwa yapo karibu

    na Mungu wa kweli, lakinizaidi wakihofia maslahi yao.

    Alisema, hivi sasa Mataifamakubwa yanapambanakuhakikisha kwamba watuwenye itikadi sahihi yakuwepo Mungu hawezikuongoza, hivyo wanawapigavita ili waweze kuweka sheriazao ambazo zinapingana namuongozo wa MwenyeziMungu.

    Awali Sheikh Bawazir,alisema kwamba Qur an,ilishuka kwa muda wa miaka23, kidogo kidogo, kwahekima, ili kumpa nguvuMtume Muhammda (s w a),katika kazi yake ya Daawa.

    Alisema, kadhia ya kwanzailiyoshuka katika Qur an,ni elimu, na kubwa zaidi niile elimu inayoambatana nakumjua Mwenyezi Munguna asili ya mwanaadamni kukubali kuwa Munguyupo.

    Hii ndiyo itikadi sahihiiliyokuja na Qur an Kariim,lakini zile zilizo zuka zakumkataa Mungu hizo niitikadi za makosa, kwa maanakwamba mtu wa kwanzani baba yetu Adam, ambaosisi wote asili yake inarejeakwake. Alisema Shkh.Bawazir.

    Na Bakari Mwakangwale

    Na Mwandishi Wetu

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    4/16

    4AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 20HABARI/Tangazo

    Profesa ailaumu Serikali malalamiko ya WaislamuPROFESA Benadetha Kilianiamesema hadi sasa serikaliimeshindwa kuchukuahatua sahihi kushughulikiakiini cha kuwepo hatari yakutoweka amani nchini.

    Profesa Kiliani ambayeni mtaalam wa Sayansiya Siasa na Utawala kwaUmma na Mhadhiri waShule Kuu ya Uandishi waHabari, ameyasema hayokatika mdahalo wa kujadilimstakabali wa amani ya taifaletu miaka hamsini ayo.

    Mdahalo huo umefanyikakatika ukumbi wa Nkuruma,Chuo Kikuu cha Dar esSalaam mwishoni mwa wikiiliyopita na kuwashirikishawan as ias a , wah adh ir i ,wanachuo, taasisi za serikalina zisizo za kiserikali,viongozi wa vyombo vyausalama na wa serikali.

    Katika mada yake Pro.Kilian alitolea mfano wamigogoro ambayo imekosaufumbuzi wa kudumu kuwani tatizo la udini kati yaWaislamu na Wakristo.

    Alisema kuna tatizo katiya Waislamu na Wakristo,a m b a p o W a i s l a m uwanalalamikia uwiano waajira kati yao na Wakristoserikalini.

    A kas em a, Wais lam uwanaona kwamba wanakosahaki katika mamlaka zaserikali na utawala kwau j u m l a h u k u w e n z a oWakristo wakiwa ndio wengikatika medani hizo.

    A i d h a a l i k u m b u s h a

    matatizo mengine ambayohayakupatiwa suluhu nakusababisha jamii kuendeleakuishi kwa chuki kuwa nisakata la Mwembe Chai,am balo a l i l i ta ja ku walilikuwa maarufu zaidi kamaMwembechai saga.

    Alisema kuwa matatizokati ya Waislamu na Wakristohayajapatiwa ufumbuziwa kudumu, zaidi ya dolakutumika kudhibiti tu tatizo,jambo ambalo amesema nila hatari zaidi kwa amani yaTaifa siku zazo.

    H ata h iv yo a l i s em amigogoro ya kidini haipo katiya Waislamu na Wakristo tu,bali hata ndani ya dini moja.

    S o t e t u n a k u m b u k amgogoro wa KKKT Dayosisiya Meru kule Arusha,mgogoro mwingine ni ulekatika Dayosisi ya Pare n.k.Alitoa mfano Prof. Kilian

    Akibainisha zaidi namnaserikali inavyoshindwak u t a t u a m i z o z oi n a y o h a t a r i s h a a m a n inchini , a l isema mpakasasa Watanzania hawajuialiyelipua bomu katikamkutano wa CHADEMAkule Arusha ni nani.

    Kulipuliwa Kanisa kuleOlasiti Arusha tumeambiwaal ikam atwa k i j an a wapikipiki, hatujui yule kana

    Na Shaban Rajab alikuwa peke yake au lah,lakini baada ya taarifa zilempaka leo kimya, alisemaProf. Kilian.

    Katika hali hiyo ikasemwakuwa kukosekana hakim i o n g o n i m w a j a m i i

    ya Watanzania, kukithirim i g o g o r o y a u d i n iisiyotatuliwa, ndio viashirikavikubwa vya kutoweka amaninchini.

    Aidha imeelezwa kuwaSerikali ndiyo itakayoingialawamani kwa kushindwakuchukua hatua sahihikatika kutatua mizozo yakidini na kusimamia hakimiongoni mwa wananchiwake, kiasi cha kusababishakukithiri migogoro ya kidinina dhulma, hali inayotishiausalama wa nchi siku zausoni.

    Akiwasilisha mswadawake mbele ya wajumbew a l i o h u d h u r i a k a t i k a

    m j a d a l a h u o , P r o f e s aBenadetha Kiliani, alisemahadi sasa serikali imeshindwakuchukua hatua sahihikushughulikia kiini chakuwepo hatari ya kutowekaamani nchini.

    Badala ya serikali kuchukuahatua za kuchunguza viinivya matatizo yanayohatarishaamani nchini na kupatasuluhu ya kudumu, yenyeweimekuwa ikitumia vyombovya usalama kudhibit imigogoro na malalamikoyanayotolewa.

    Kutokana na hali hiyo,Prof. Kiliani alisema pamojana kwamba serikali inaonakuwa njia hiyo ni salama nasahihi, lakini tusitegemeekamwe kwamba vyombohivyo vya usalama vitatatuamigogoro inayohatarishaamani kwa kuthibiti zaidi.

    Alitoa mfano kwambamara nyingi njia inayotumikakudhibi badala ya kutatuatatizo ni kuwepo kamatak a m a t a i n a y o f a n y i k a ,mtuhumiwa kubambikiwakesi, milipuko ya mabomu yamachozi, wakati mwinginekukamata na kupiga hadikuua n.k. , kwa maanakwamba serikali imekuwai k i s h u g h u l i s h w a n amatokeo tu ya tatizo kulikokuchunguza na kutatuachanzo cha migogoro.

    Alisema kwa staili hiyo,serikali inadhibi tu siokuchunguza na kubainic h a n z o c h a t a t i z o n akukiondoa.

    Aidha alivikosoa vyamavya siasa na wanasiasa kwaujuma, ambao wanatumiam u da m win gi ku wazakuingia madarakani hukuamani ya nchi ikiwa katikahali tete bila kuchukuliwahatua za kuinusuru namapema.

    Alisema viongozi wakisiasa wamejikita kwenyemasuala ya uchaguzi kulikokushughulikia mogogoro yaamani na sababu kubwa niuchu na uroho wa madaraka

    na kwamba hivi sasa vikaovya kuwania madarakanani awe rais ndio mjadalamkuu.

    CCM hivi sasa wanatumiamuda mwingi kuzungumziau c h a g u z i m k u u u j a o ,

    nani atakuwa mgombea,CHADEMA nao wanatumiamuda mwingi kujihamina polisi na kufuatilia kesimahakamani.

    Tunaweza kujifunzakwa CUF, nao walikuwa namisimamo ya jino kwa jino,ngangari, lakini walibadilimbinu, wakaja na falsafaya kujadili mambo kwaamani na imewasaidia kwakiasi kikubwa, leo tumeonawalivyofanikiwa. Kuna hajaya kubadilika, wana siasatuanze kujadili zaidi juu yaamani iliyo hatarini, alisemaMhadhiri huyo.

    Zilitajwa sababu nyinginezinazoleta hofu ya kuondoka

    amani kuwa ni pamoja nahali ya upinzani kuja juuna kulazimu chama tawalakinajihami kutokana namabadiliko hayo.

    Aidha kuongezeka kwakiwango cha umaskinina kushitadi mfumo wakiliberali, kumechangiamatabaka katika jamii nauhuru wa kutoa maoni tofautina enzi za siasa za ujamaa zachama kimoja.

    Mhadhiri wa Sheria wa

    Chuo hicho, Dk. OnesmoKyauke aligusia mfumo wautendaji wa Jeshi la Polisikatika kusimamia amani yanchi, ambapo alisema jeshihilo limekuwa likikiuka sheriana maadili katika kutekeleza

    majukumu yake, hivyo kuwachanzo kikubwa cha uvunjifuwa amani nchini.

    Kuzuia maandamano yaamani na kifo cha mwandishiwa habari Daudi Mwangosi,ilikuwa mifano ya udhaifukatika jeshi hili.

    Dk. Kyauke alisema tatizojingine katika jeshi hili kiasicha kuhatarisha amani nikukubali kuingiliwa nawanasiasa na kuelekezwajambo la kufanya kwa maslahiya wanasiasa hao badala yaumma wa Tanzania.

    K w a u p a n d e w a k eMhadhiri katika ShuleKuu ya Habari Dk. AyoubRioba, alisema nchi ambazohazikurekebisha makosa

    ya kihistoria ya ukoloni,ndizo zinazotishiwa zaidi naukosefu wa amani.

    Aidha alitaja tatizo jinginekuwa ni upendeleo katikaugawaji wa keki ya Taifa,rushwa kugombea madaraka,ubaguzi kwa lugha yawenzetu na ukandamizaji.

    Alivitaka vyombo vyahabari kwenda mbali nakuchimbua historia zaidi ilikutambua kwamba historiaya Taifa hili sio baada ya

    uhuru bali tangu ukoloni.A i d h a a m e v i s h a u

    vyombo vya habari kuachkutumiwa kwa maslahi ywanasiasa na kusababishmogogoro na kuvunja amankwani mara nyingi wanasia

    huwa wanavitumia kambunduki na kujikuta vinaingkatika kuleta machafuko nkuvunja amani ya nchi.

    Akihitimisha mjadala huWaziri wa Mambo ya NdaDk. Emmanuel Nchimbalikiri kuwepo upungufupande wa serikiali na wasasi nyingine za kisiasa.

    Hivyo alishauri UDASkutoishia hapo walipofikibali waandae zaidi madaya amani ili kuikosoa serikana kuelekezana njia nzuri zkulinda amani ya nchi.

    D k . N c h i m baliwahakikishia waandaaji nwaliohudhuria mjadala hukwamba, atafanya juhudkuhakikisha madala ya ainhiyo inakwenda mikoani ha

    wilayani na hatimaye Taikwani kati ya mambo ambayyanampa changamoto namani ya nchi hii.

    Alisema ingawa kuna vikabado vin aende lea kati yserikali na viongozi wa dinlakini tatizo la udini badhalawekewa mikakati.

    A l i s e m a k u w a w awalirithi nchi ikiwa na amanhivyo wa deni la kurithishnchi hii kwa kizazi kachikiwa na amani.

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    5/16

    5AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 201Habari za Kimataifa/Tangazo

    BEIRUTK a t i b u M k u u w a

    harakati ya Hizbullah yaLebanon, Sayyid HassanNasrul lah, amesema

    kuwa suala muhimukwa wanaharakati haoni kwamba wanaungwamkono na wananchiwa Lebanon, mataifa yaKiarabu na ulimwengu waKiislamu.

    Hassan Nasrul lah,ambaye alikuwa akijibuhatua ya Umoja wa Ulayaya kuiweka Hizbullahkatika orodha yake yamakundi ya k igaidi ,alisema Jumatano jioniwiki hii, katika karamuya futari iliyotayarishwan a H i b z u l l a h m j i n i

    Beirut kwamba, wanamapambano wa Hizbullahwamebadili kanuni zamapigano, wakabatilishamipango ya adui nakukomboa mateka na ardhiza Lebanon zilizokuwak a t i k a m a k u c h a y aWazayuni na wataendeleakuwa mwiba katika jichoza Israel.

    S a y y i d N a s r u l l a ha m e se m a H i z bu l l a hhaikushangazwa na hatuaya Umoja wa Ulaya yakuiweka katika orodhayake ya makundi ya

    kigaidi, kwani uamuzihuo ulikuwa ukisubiriwakwa muda mrefu nakwamba,wameshangazani wahusika kuchelewa nauamuzi wao huo.

    Katibu Mkuu huyowa Hizbullah amesema,Umoja wa Ulaya (EU)u na tu m i k i a m a s l a h iya Israel na kwamba,umoja huo umetwishwamaamuzi hayo kwa sababuyanapingana na thamaniza nchi za Ulaya.

    Nasralla amesisitiza

    kuwa, harakati hiyo yamapambano itaendeleakuwepo na itashinda kwauwezo wake Allah.

    Awali Umoja wa Ulayakuliwawekea vikwazowanaharakati ya HizbullahLebanon, ambapo Bw.Nasrallah alisema, nchihizo 28 za Ulaya zinafuatakibubusa maagizo kutokaMarekani.

    J u l a i 2 2 , c h i n i yashinikizo la Marekani nautawala dhalimu wa Israel,Umoja wa Ulaya uliamua

    Hizbullah inaungwa mkono na wananchikuliwekea vikwazo tawila kijeshi la Hizbullah,ambapo sawa mataifahayo yameamua kuiingizaHizbullah katika oodha yamakundi ya kigaidi.

    K w a m u d a m r e f uHizbullah imethibitishakuwa, imekuwa ngomeimara mbele ya chokochokozote za utawala ghasibuwa Israel na vitimbivya nchi za Magharibiambazo zimetambuakuwa, wapambanaji waHizbullah ni kisiki kikubwak i n a c h o k w a m i s h amalengo yao machafukatika eneo hilo.

    Nchi kadhaa dunianiikiwemo Iran, zimeonyeshaupinzani dhidi ya uamuzi

    huo wa Umoja wa Ulaya(EU) wa kuiweka harakatiya Hizbullah katika orodhayake ya makundi ya kigaidi,na kulaani hatua hiyo yakuchukiza ya Umoja waUlaya na kuitaja kuwa niya kisiasa.

    Spika wa Majlisi yaIran, Ali Larani, amelaanivikali hatua amesisitizakuwa Jamhuri ya Kiislamuitaendelea kuunga mkonokikamilifu harakati yaHizbullah ya Lebanon.

    Bw. Larani ameongezakuwa uamuzi wa Umoja

    wa Ulaya umetokana nasababu kuwa, Hizbullahimekuwa ik iwal indawatu wa Lebanon ambaowanakabiliwa na uhasamamkubwa wa utawalawa Kizayuni wa Israel.Larani aliashiria ushindiwa Hizbullah dhidi yaIsrael katika vita vyasiku 33 mwaka 2006 nakusema, ushindi kama huoumezitia wasi wasi nchi zaMagharibi.

    Nchi za Kiarabu naulimwengu wa Kiislamuzimetilia wasiwasi uamuzi

    huo wa Umoja wa Ulayana Israel na washirikawake. Imeelezwa kuwahatua hiyo ya Umoja waUlaya itazidisha chukina hasira za walio wengikatika Mashariki ya Katina kwenye Umma waKiislamu dhidi ya umojahuo.

    I m e e l e z w a k u w akushindwa mara kwa marakwa utawala wa Kizayunikatika mapambano naHizbullah huko Lebanon,k u m e z u a w a s i w a s i

    mkubwa utawala ghasibuwa Israel na washirikawake wa Kimagharibi.

    K u t o k a n a n a h a l ihiyo Israel na nchi hizo

    z a Ul a y a z i m e a m u akuchukua hatua kamahizo za kuiweka Hizbullahkatika makundi ya kigaidi,

    lengo likielezwa kuwa nikutoa nafasi ya kundi hilokujengewa chuki na jumuiaza kimataifa, lakini zaidiikiwa ni kusaka sababuya kulipiza kisasi dhidiya wapambanaji hao waHizbullah katika upandewa pili.

    A i d h a k w a h a t uhiyo, Umoja wa Ulayunaelezwa kuwa unatakkuzipotosha f ikra zwalimwengu kuhusu surya kigaidi ya Israel n

    kuhusu misaada yake kwmakundi mbalimbali ykigaidi ya Mashariki yKati hususan huko Syria

    Zanzibar Daima ulingoni karibuniInatoka Uk. 1

    kisiasa, uchumi, burudani nautamaduni wa Kizanzibari.

    Hata hivyo taarifa kutokavyanzo vyetu vya habarindani ya Zanzibar na katikamtandao vinafahamishakuwa kwa kuanzia jarida hilolitakuwa likipatikana katika

    mtandao wa Mzalendo.net nablog ya Zanzibar Daima.

    Upatikanaji wa jarida hilokatika mfumo wa gazeti namajarida ya kawaida kwauchapaji na kuuzwa mitaani,unatarajiwa kuwepo baadaya muda kulingana nalitakavyopokewa na jamii napia kukamilika taratibu zakisheria.

    Habari za ujio wa jaridah i l o z i m e k u j a k a t i k akipindi ambapo kumekuwana malalamiko mengi yawananchi juu ya hali tete yakisiasa, kamii na kiuchumiZanzibar.

    Kwa upande mmoja,wananchi wanalalamikakuwa hali ya maisha inazidikuwa ngumu kila uchaohuku huduma za kijamiizikizidi kudorora.

    Inadaiwa kuwa wananchiwanakosa mlo bora na wakutosha huku wakikosa piahuduma za afya, maji naelimu bora.

    Hali si shwari pia kamii nakiutamaduni ambapo maadilina akhlaq za Wazanzibarizimekuwa zikipotea sikubaada ya siku.

    Ulevi na hasa wa madawaya kulevya, limekuwa balaakubwa kwa vana ambapohivi sasa makundi ya vanawanaonekana wakipitamitaani huku wanasinzia nakutiririka mate bila breki..

    Kwa upande mwingine,kuna kila dalili kuwa halisi shwari mbeleni kisiasakutokana na visa mbalimbaliam bav yo v in ao n ekan akuviza hali ya maelewanoiliyopo baada ya kupatikanakwa Serikali ya Umoja waKitaifa.

    Kuwekwa ndani kwamuda mrefu Masheikh waJu mu iya ya Mihadha raya Kiislamu bila ya kesi

    yao kuzungumzwa hukuwakizuiliwa dhamana, nimoja ya matukio yanayodaiwakurejesha zile kesi za zamaza siasa za fitna, chuki nauhasama.

    Katika zama zile inadaiwakuwa kesi nyingi zilibuniwakisiasa kwa kuonekana tu mtu

    kutofautiana na msimamo wakiongozi au chama tawala,na hilo likatosha kumuwekandani miezi kama si miaka nabaadae kesi kufutwa.

    M i o n g o n i m w awaliokumbwa na mikasahiyo ni baadhi ya viongozi waChama cha Wananchi, CUF,ambao baadhi yao wamondani ya Serikali hivi sasa.

    Hali hii imetajwa kamani ukandamizwaji wa hakiza kibinadamu, kubanauhuru wa watu kutoa maoni,dhulma na uvunjaji wa sheriana katiba ya nchi.

    Maoni ya wengi ni kuwaMasheikh wanaoshikiliwa

    bila kesi zao kuzungumzwa,kama kungekuwa na kosalinalozungumzika kisheriamahakamani, kusingekuwana sababu ya kucheleweshakesi hiyo kwa takribanimwaka mzima sasa bila yakuzungumzwa.

    Jar ida hil o linakuja piakatika kipindi muhimu kwasiasa za Zanzibar ambapokumekuwa na mgonganowa mawazo juu ya hatmaya muungano na hadhi yaZanzibar katika muungano.

    Wakati baadhi ya wananchiwakitaka muungano waSerikali Tatu, wenginewanataka muungano wamkataba huku makadaw a C C M w a k i j i t a h i d iku was h ib is h a waf u as iwao msimamo wa kudaikuendelea na muungano waSerikali mbili.

    Kwa upande mwingine,hiki ni kipindi ambapohata Serikali ya Umojawa Kitaifa imeonekanakutokuwa madhubuti nailiyo pamoja hii ikionyeshwana kauli zinazotofautianana kukinzana za viongoziwake.

    L a k i n i k w a u p a n d e

    mwingine, hata taasisi zSerikali vikiwemo baadhya vyombo vya habarvimekuwa vikitolewa mfanwa kutoa taarifa zenye kubezbaadhi ya viongozi ndani yserikali hiyo.

    Kinachojitokeza ni kuwkila anayekuwa na msimam

    tofauti na ule wa makadwa CCM juu ya muunganna hadhi ya Zanzibar katikmuungano huo, huonekankama msaliti.

    Haya ndiyo yanayowakuwalio katika ile Kamati yMaridhiano, wenye maonya kuwa na muungano wmkataba na wanaotakSerikali tatu.

    Hata kama mtu alikuwkada mzuri wa CCM nkiongozi katika SMZ, lakinm a r a a n a p o o n e k a nk u t o k u u n g a m k o nmuundo wa Serikali mbil

    basi anakuwa hapendez

    tena.Wala haichukuliwkuwa hayo ni maoni yakna ana uhuru huo, tenwa kikatiba na kisheria nhata kisiasa kwa sababhuu ni wakati wa kutomaoni.

    Kinachotarajiwa ni kuwujio wa Jarida hili, ZanzibaDaima, labda itasaidikuchambua masuala haylakini kubwa zaidi kutoelimu watu wawe na moywa kuwavumilia wenymaoni tofauti na yao.

    N a k w a m bmwisho wa yote, kamk i n a c h o z u n g u m z wni demokrasia, haki nutawala bora, basi kauli ywengi ndio isikilizwe.

    Mas lah i ya ku du mya Z an zibar h ayawekupatikana kwa kukandamizmawazo ya wengi, japukandamizaji huo unawezk u w a n a m a n u f a a ymuda mfupi ya baadhi ywanasiasa.

    H ao n i wale am bawan ap o s im am a kat ikmajukwaa hutema chechwakidai kupigania masilaya nchi kumbe nchi yenyewni nafsi zao.

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    6/16

    6AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 20Makala

    Magaidi wa gazeti la Rai

    na kisa cha Jessica LynchBinadamu sio mtu wa Ndio tuTutumie vyema neema ya akiliTusiwe vipaza sauti visivyojijua

    NI kutoka katika unabiiwa Isaya ambako tunapatahadithi ya anayebakia- anayebaki kati ya rohoambaye atapeleka habariambayo ilikuwa inapitajuu ya vichwa vya umatiwa watu. Kizazi cha Isayakilikuwa kinaishi katikanyakati ngumu, na taabukubwa zaidi zilikuwahazijafika bado. Umatiwa watu ungeendelea nanjia zao mbaya na kafarazao za damu, bila kujalighadhabu inayokuja,Lakini tumaini la sikuzi jazo l i l ikuwa kwaaliyebaki ambaye, lichaya kuzongwa mara nyingina kupuuzwa, angekuwaamebaki na ufahamu nahata uwezo wa kuweza

    k u w a o n g o z a n d u g uzake wapotofu, wakatihatimaye wakiwa tayarikusikiliza.

    T u n a c h o k i o n a n imwelekeo katika shughuliza watu ambazo, kamahautasitishwa, unawezakuvuruga mpangilio wetuwa maisha na uhuru wetuwa kijamii na kiuchumi.Hilo ni suala muhimukwa umma mzima wa

    binadamu, hadi kuifikiaroho iliyo duni zaidi katikauso wa sayari hii.

    Sasa kwanini umati

    haugutuki? Kwa sababuh a w a j a s t u s h w a , a uw a m e s h t u s h w a n aviashiria batili. Wanaendamara moja, halafu nyinginekatika misukumo ambayoinawazamisha zaidi katikakuchanganyikiwa!

    ( I m e nu k u l i w a nakutafsiriwa kwa Kiswahilikutoka: Hidden Menace toWorld Peace- by James GibbStuart (1993))

    Yapo mambo katika jamiiyakiachwa yakakubalika,madhara yake yanakuwa

    Na Omar Msangi ni makubwa mno naja po waka ti mwingi neyanafanywa na watuwachache, lakini inakuwakama ule msemo kuwamchuma janga hula nawa kwao.

    Katika hali kama hiyoinakuwa ni wajibu kwa

    kila mmoja wetu kufayakila awezalo kuhakikishakuwa anainusuru nchi nawatu wake.

    Kiasi wiki tatu zilizopitagazeti la Rai liliandikakatika ukurasa wake wambele habari iliyodaikuwa mamia ya vijanakutoka Arusha walikuwaw a m e c h u k u l i w akupelekwa Somalia naDarfur kwa ajili ya kupewamafunzo ya kigaidi.

    W a k a t i J i j i l aArusha likiwa bado nakumbukumbu ya milipuko

    m i w i l i y a m a bo m u ,imebainika kuwa zaidiya vana 200 wapo nchiniSomalia na jimboni Darfur,Sudan, kwa ajili ya kupewamafunzo ya kigaidi.

    Il isema sehemu yahabari hiyo katika Rai yaAlhamisi Julai 11, 2013.

    Ukitaja Al Shabab,S o m a l i a n a S u d a n ,anachosema mwandishi

    bi la ku ta mk a ni kuwavijana 200 wa Kiislamuwapo Somalia na Sudankujifunza ugaidi. Kwalengo gani?

    H a ba r i h i i y a R a iilitanguliwa na taarifailiyotolewa na Mkurugenziwa Upelelezi wa Makosaya Jinai (DCI) RobertManumba ambaye alidaik u w a a m e k a m a t w amtu akiwa na komputampakato yenye manenoya kichochezi, yenyekuhamasisha watu wa dinimoja kuwaangamiza watuwa dini nyingine.

    Ja po DC I Ma nu mb ahakutaja dini wala watuwa dini gani wanataka

    kuangamizwa, lakini kwamuktadha wa kipindihiki na kwa mazingira yaTanzania, maneno haya niya kuchochea chuki bainaya Waislamu na Wakristona maneno ya kuchocheaWakristo kuuwa Waislamuau Waislamu kuuwa

    Wakristo. Lakini kwasababu aliyekamatwaana jina la Kiislamu, basiitakuwa sahihi kusemakuwa mtuhumiwa huyoa l i k u w a a k i c ho c he aWaislamu kuwaangamizaWakristo.

    L a k i n i M a n u m b ahakuishia hapo. Akagusiakitisho cha al Shababambapo alisema kuwaTanzania si salama tenakwa sababu magaidi waal Shabab wanavinjariT a nz a ni a na Af r i k aMashariki kwa ujumla

    wakitafuta sehemu zakushambulia.

    Ukichanganya taarifahii ya DCI Manumba naile habari ya gazeti laRAI kuwa vana 200 (waKiislamu) wapo Somaliana Sudan kujifunza ugaidi,haya ni madai mazito.Mkristo akisoma habarikama hizi, moja kwa mojaanajenga mawazo/maoni(opinion) kuwa akina Ali,akina Iqbal ni maaduiw a Wa k r i s to w e ny euchu wa kuangamizaWakristo. Kibinadamunaye, kwanza atawaonahawa ni maadui. Ataishina kukaa nao kimtegokimtego akiwa na wasiwasikuwa muda wowoteanaweza kushambuliwa.Kwa hiyo naye anakaakimaarifa tayari tayari kwakujihami.

    Kwa upande mwingine,kama itatokea shambuliola aina yoyote na ikatokeaakauliwa Mkristo, hatakama aliyefanya hivyo nikichaa au lilikuwa tukiola bahati mbaya (ajali),

    Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCIRobert Manumba.

    l a k i n i a k i to k e a m tukusambaza habari kuwawahusika ni Waislamu,yeye wala hatasubirikupata ukweli na usahihiwa madai hayo. Moja kwamoja ataamini kuwa ndioyale yale waliyokuwawameambiwa kwambakuna watu (Waislamu)w a n a h a m a s i s h a n a

    kuangamiza Wakristo.Kwa hiyo taarifa kamaz i l e z i l i z o to l e w a naMkurugenzi wa Upeleleziwa Makosa ya Jinai (DCI)Rober t Manumba nazile habari za gazeti laRAI, kwa kweli zinawezakuacha athari mbaya nakuleta madhara makubwakatika j amii ambayohayakutarajiwa.

    Sina sababu na naaminihakuna yeyote katikasisi Watanzania anawezakusimama na kuleta madaikuwa haviamini vyombo

    vyetu vya dola. Lakini hojaya msingi hapa ni kuwakuna haja ya kuchukuatahadhari kubwa katikakutoa taarifa: Kwanzakuhakikisha kuwa tarifazeyewe ni za kwel i .Ilivyosemwa ndivyo kweliilivyokuwa? TunaposemaAl l y a l i k a m a tw a nakomputa mpakato yenyemaneno yanayochocheaWaislamu kuwaangamziaWakr isto , n i kwel ikomputa hiyo ilikuwa namaneno hayo? Ni kweli

    kumputa hiyo ilikuwa yAlli na ni yeye Ali kaandikmaneno hayo? Na katikmazingira ya nchi yetlazima tujiulize, ni kwehuko maofisini tulipo nmitaani tunapoishi, hainaonyesha kuwa kunchuki baina ya Wakristo nWaislamu kiasi cha kufikkila upande kuhamasishwatu wa upande wakkuangamiza watu wupande mwingine?

    P r o f e sa M a hm o oM a m d a n a m e a nd i kkitabu chake alichokip

    jina: GOOD MUSLIMBAD MUSLIM-Americthe Cold War, and the Rooof Terror.

    Katika kitabu hichukurasa wa 196 mpaka 19ametoa visa viwili. Kimoni simulizi ya muuguzNesi (nurse) wa Kuwaambaye alitoa ushahidkwamba aliwaona aska

    wa Iraq wakivamia wodya wazazi katika hospitaa na po f a ny a k a z i nkuuwa vitoto vichangkwa mamia. Ushahidi huuliotolewa katika Bunge Congress, ndio uliopelekeBunge hilo kupiga kurkwa wingi kuidhinish

    jeshi la Marekani kuingvitani kumpiga SaddamHussein katika vita ymwaka 1991 iliyopew

    jina la Operation DerseStorm.

    Inaendelea Uk.

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    7/16

    7AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 201Habari/Tangazo

    Magaidi wa gazeti la Rai

    na kisa cha Jessica Lynch

    Inatoka Uk. 6Hata hivyo, baadae

    ilikuja kufahamika kuwakumbe yule hakuwamuuguzi. Alikuwa bintiwa Balozi wa Kuwait,Washington, na kwambahiyo ni propagandai l iyotengenezwa nakampuni ya RendonG r o u p ( M e d i aConsultancy) ambayoi l ikuwa imeaj i r iwarasmi kwa ajili ya vitaya propaganda. Gazetila New York Times latarehe 20 Februari, 2002lilifichua zaidi habarihiyo pale lilipoandikakuwa kuelekea vitai l i ku wa i meu ndwaOfisi iliyoitwa Officeof Strategic Influence(OSI) na kwamba chiniya gener a l i S i monWorden, OSI, ilitakiwakuzua habari za uwongoi l i m u r a d i z i w e z akusaidia masilahi yaMarekani. Na katika

    jumla ya mikakati yakeilikuwa kuipa kandarasikampuni ya RandomGroup ya dola 100,000kwa mwezi kusaidiakazi hiyo.

    Anasema P r ofesaMamdan kuwa baada yakufichuliwa habari hizo,OSI ilivunjwa rasmi.Hata hivyo anasemakuwa kuibuka tenakisa cha Jessica Lynch

    rescue, inaleta utatakama kweli kitengohicho kilivunjwa.

    Ufupi wa manenoanasema kuwa: MweziApr i l 2003 , kar i butelevisheni zote, redion a m a g a e t i n c h i n iMarekani, zi l ikuwazimepambwa na kisacha ujushaa wa kikosimaalum cha Marekanik i l i c h o f a n i k i w ak u m u o k o a a s k a r iwake akiitwa JessicaLynch. Ikadaiwa kuwatarehe 23 Machi, 2003

    J e s s i c a a l i v a m i waghafla na askari wa Iraqakapambana nao mpakarisasi z ikamuishia .Hapo ndipo akapigwarisasi na kujeruhiwakwa visu akafungwakamba na kupelekwahospitali katika mjiwa Nasariyah. Akiwahospitali akapigwa nakuteswa sana na askariwa Iraq. Wiki moja

    baadae kikosi maalumcha askari wa Marekaniwalivamia hospitali

    hiyo wakawashindanguvu askari wa Iraqwaliokuwa wakimlindaw a k a m u o k o a n ak u m p e l e k a h a d iKuwait.

    P r o f e s a M a m d a nanasema kuwa ilipigwapropaganda kubwana habari kupambwaik i lenga ku onyeshaukatili wa askari waIraq kuwa wanatesa hatawagonjwa hospitalini

    lakini pia ikionyeshau shu jaa wa ki kosimaalum cha askari waMarekani. Jioni ya sikuhiyo hiyo Rais GeorgeW Bush akahutubia taifakutoka White House nakuita tukio hilo kuwaUokozi kwa taifa.

    Kiasi siku nane baadaya tukio Wizara ya Ulinziya Marekani ikasambazapicha za video za tukiohilo kwa vyombo vyahabari.

    Mara baada ya vita

    kumalizika waandishiwa habari kutoka NewYork Times, the TorontoStar, El Pais na BBC,walikwenda Nasariyahk u p a t a u k w e l i w atukio lile. Askari katikahospitali al iyokuwaa n a t i b i w a J e s s i c awakawafahamisha kuwaaskari huyo alifikishwahapo akiwa na mejeraha,amevu nj i ka mkonona mguu na kwambamajeraha hayo yalikuway a m e s a b a b i s h w an a a j a l i y a g a r ialilokuwa akisafiria.Hakuwa amepigwarisasi kabisa. Habarihizo zil i thibitishwapia na madaktari waKimarekani waliokuwaIraq.

    Kuhusu kuteswa je?Madaktari walisemakuwa Jessica Lynchalipofikishwa hospitalia l ikuwa ameishiwadamu kutokana na

    kuvuja damu nyingikat ika majeraha nakwamba jambo la kwanzawalifanya juhudi kupatadamu na kumuwekea.Akiongea na waandishihao Dr. Saad AbdulRazak anasema kuwayeye mwenyewe nafamilia yake walitoadamu kumpa Jessicakwa sababu damu yaoni O Postive kamailivyokuwa ya Jessica.

    I think that we save herlife. Alinukuliwa Dr.

    Abdul Razak akisema.Vipi kuhusu uokoaji:

    Uchunguzi wa waandishihao unaonyesha kuwa

    baada ya Jessica kupatan a f u u , m a d a k t a r iwalitafuta namna yakufikisha habari kwavikosi vya Marekanikupitia Shirika la MsalabaM w e k u n d u ( R e dCross) kwamba kunaaskari wao hospitaliniw a n a w e z a k u j akumchukua. Red Crosswalimchukua Jesicca nakumpeleka katika kambiya jeshi la Marekaniiliyokuwa karibu, lakiniwakashambuliwa naaskari wa Marekaniikabidi wakimbie naku mr e jesha Jess i cahospitalini. Usiku wasiku hiyo hiyo (alfajirihakujapambazuka), ndiokikosi maalum kilifikana kuanza kufyatuar i s a s i o v y o h u k umakamanda wakitoaamri mbalimbali.

    It was like in Hollywoodfilm. There was no Iraq

    soldiers, but the AmericanSpecial Forces were usingtheir weapons. They firedat random and we heardexplosions. They wereshouting Go! Go! Go! Theaack on the hospital was akind of show, or action filmwith Sylvester Stallone.

    A n a s i m u l i a D r .Amnar Uday akiongeana mwandishi wa BBC

    John Kampfner.T a a r i f a z a i d i

    zinafahamisha kuwawakati uvamizi huo

    Rais wa zamani wa Marekani George W Bush

    u n a f a n y i k a m p i gpicha wa filamu mmojaliyeshiriki kutengenezfilamu inayojulikankwa jina la Black HawDown alikuwa akipigpicha za video za tukizima.

    P r o f e s a M a m d aanasema kuwa hili n

    tukio ambalo lilipigiwzumari sana na kuwkama nembo ya ushujawa askari wa Marekankatika vita 2003. Hathivyo anasema kuwtukio hi lo l i l ikuwuwongo mtupu kamulivyokuwa uwonguliopelekea Marekankuivamia Iraq: Madakuwa Saddam Husseiana silaha za maangamzna madai kuwa yeyna al Qaidah ni kitkimoja.

    Ni kwa sababu hnadhani kuwa tuna kilsababu ya kuwa makinna taarifa ambazo zinkila dalili ya kuletmtafaruku katika nchi

    H o j a n i k u winawezekana kwetukawakamata akinTom na Ally wakiwa nkomputa mpakato zenymaneno ya kuhimizWaislamu kuwakatmakoo Wakristo nkinyume chake, lakintu na u haki ka gank w a m b a h a o k i nAlly na Tom sio kamyule bint wa Balozi w

    Kuwait aliyedaiwa kuwni nesi?Mtu ni ndiyo... Ndiy

    kwa maisha. Ndiyo kwupendo. Ndiyo kwukarimu. Lakini mtpia ni hapana. Hapankwa kudharauliwa kw

    binadamu. Hapana kwunyonyaji wa watuHapana kwa kuchinjwkwa kile ambacho ni chkibinadamu zaidi katikutu: uhuru. (-FrantFanon: Black Skin, WhitMasks)

    U n a p o k u b a lkufanywa kipaza sau

    k i s i c h o p i m a k a mk i n a c h o s e m w a nkweli au uwongo, kinmadhara au faida, kwkweli ni kujidharaulishkulikopita mipaka.

    M t u y e y o ta n a y e j i t a m b u a nanayejali heshma na utwake, hawezi kukubalAtasema hapana.

    Atasema hapana kwsababu hakuna kiwangcha pesa kinachowezkuwa ndio thamani yubinadamu, heshma

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    8/16

    8AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 20Makala

    H I V I k a r i b u n i k w atakriban miezi miwilikumekua na midahalombali mbali ambayoimekuwa ikiendelea katikanchi nyingi za maswalaya Ulinzi mtandao katikanchi za Afrika.

    Katika Vikao tofautivilivyo fanyika mjadilaulikuwa ni hali ya usalamawa kimtandao kwa ngaziya kidunia na kudhihirikaya kua kumekua naongezeko kubwa katikamwaka huu wa 2013 lamakosa mtandao na wakatihuo huo nchi baadhi tayarizimeweza kupiga hatuakatika kukabiliana na halihiyo.

    Bwana Yusuph Kileommoja wa Watanzaniaalipata fursa kuhudhuriakatika mikutano hiyoakiwa ni mwanachamawa kudumu wa kikundikinacho jihusisha na Ulinzimtandao katika nchi zaAfrika

    K a t i k a k i k o akilichofanyika AfrikaKusini hivi karibuni,taarifa iliyowasilishwa naProfesa Hamadoun Tourekutoka ITU (InternationalT e l e c o m m u n i c a t i o nUnion) iliyo chini yaUnited Nations (Umoja waKimataifa) ilisema kunamategemeo mwishoni

    mwa mwaka huu wa 2013pakawa na watumiajibilioni 2.7 wa mtand aona kwa takwimu hizozimeonyesha kupandakwa kasi kulinganishana takwimu za awalizilizotolewa mwishonimwa mwaka.

    A i d h a r i p o t iiliyowasilishwa na ITUhuko Geneva ilisema,kumekua na ongezekok u b w a l a m a d h a r aya mtandao ambapoilielezwa mitandao imekuaikiathiriwa zaidi kwa

    Asilimia 30, Phishing Sitesspoofing social networksimeongezeka kwa asilimia125 na kuelezwa nusuya vijana wenye umrikati ya miaka 13 hadi17 uliimwenguni kotewamekua wakiathirrika nakilichotambulishwa kamaCyberbulling.

    Vile vile Tafiti zilizowasilishwa katika ripotiya the World Federationof Exchanges and the

    I n t e r n a t i o n a lOrganization of Securities

    Usalama wa kimtandaoNa Mwandishi Maalum

    Bwana Yusuph Kileo Akibadilishana Mawazo Na Bwana Craig RosewarneAmbaye Ni Mwenye Kiti Wa Jumuia Ya Maswala Ya Security Mara BaadaYa Kikao Katika Mkutano Ulio Fanyika Nchini Afrika Kusini Mwishon Mwa

    Mwaka Jana Ili Kupitia Hali Ya Makosa Ya Kimtandao Uliohusisha WataalamWa Uchunguzi Wa Makosa Ya Digitali Na Mtandao Duniani

    Commissions zimeelezanusu ya taasisi za fedhad u n i a n i z i m e w e z akuathirika na Cyber-attacks pamoja na wizimtandao hadi kufikiamwaka jana mwishoni hukuikielezwa kushindikanakutatua hali hiyo kwatakriban robo nzima yataasisi hizo za fedha dhidiya tatizo hilo.

    H a y o na m e ng i nemengi ambayo yamepatakujadiliwa kwa kinayalionekana kuwa nichangamoto kubwa katikadunia ya sasa ambapokutakua na ugumu sanakukimbia utumiaji wateknolojia katika maishayetu ya kila siku hukuBwana Yusuph Kileoakitolea mifano hali yautumiaji wa mitandao

    k u o n g e z e k a n c h i n ikatika sekta mbali mbalikuanzia kufanya miamalaya biashara hadi katikasekta za elimu na maeneomengine mengi.

    Bwana Kileo alioongezakwa kusema wimbi kubwanchini limeongezeka lawatu kuwa na matumizimabaya ya mitandaoambapo imekua ikiletaathari kubwa kwa jamiikatika maeneo mengi hasaya kibiashara lakini pia hatakutishia hali ya usalama

    wa nchi kwa kusambazwamaneno mbali mbali yakutishia Amani ya nchikwa kipindi kifupi tofautina awali wakati matumiziya mtandao hayakua naongezeko lililoko sasa.

    Bwana Kileo alisema

    Ni kweli kila mtu hivileo anahitaji teknologiaili kuweza kuwasilianana mwingine, kufanyamiamala ya kibiasharana hata kupata hudumambal i mbal i ambazozimesogezwa karibu nawananchi kwa msaada wamtandao, lakini pia kunawatu baadhi wanatumiaf u r sa h i y o k u f a ny amambo yasiyo faa kupitiam i ta nd a o h i y o h i y oambapo baadae inawezakupelekea usalama wataifa letu kuingia dosari

    Akimnukuu ProfesaH a m a d o u n T o u r e ,Bwana Kileo alisema,ITU imeweza kuelezamafanikio ya jitihadakuubwa zilizofanywa nanchi mbali mbali ambapoimepelekea Umoja waUlaya (EU) kuanzishakilicho tambulishwa kamaFramework katika ulinzimtandao ambapo kila nchimwanachama amewezakunufaika katika hilo.

    Bwana Kileo alielezakwa sasa ITU imeanzisha

    a l i c ho k i ta m bu l i shakama Worlds FirstComprehensive AllianceAgainst Cyber Threatsambapo nchi 145 zinapokeahuduma hiyo kwa kuwaletapamoja wadau mbalimbali wenye uwezo wa

    kupambana na matishio yakimtandao. Uhamasishom k u bw a u m e to l e w akwa serikali mbali mbali,sekta binafsi pamojana jumuia mbali mbalikuweza kulichukulia sualahili la makosa mtandaokwa sura ya kipekee ilikuweza kuunganishanguvu ya pamoja kwanchi zote duniani kuwezakukabiliana na tishiomtandao Cyber threatsambapo baadae inawezakugharimu dunia yetu yaleo.

    Pia Bwana Kileo alielezakwa sasa nchi ya Australiawametoa muongozo wakutekeleza mbinu kuunne (4) za kiusalama kwamitandao ili kukabilianana athari zinazowezasababishwa na matatizoya matumizi mabaya yamitandao huku ikielezwah a t u a h i y o i t a w e z akupunguza kwa asilimia85 ya kuingiliwa kwamitandao ya nchi hiyo.

    Bwana Yusuph Kileoalieleza imefika wakati sasa

    na Tanzania kuiga mfanya jitihada za nchi nyinginili kuweza kuweka hali yusalama mtandao nchinkatika kiwango kizurPia Alizisifu nchi kubwkama China, Urusi nMarekani kwa kuwekemkazo maswala ya ulimtandao kwa kuazish

    majadiliiano mbali mbaikiwemo pia kufadhimajadiliano mbali mbayanayo husiha maswala yulinzi mtandao.

    Amewataka wananchk u a c h a k u t u m a akusambaza ujumbe wkichochezi katika simzao, kwani amenasihwaupatao ujumbe kamhu o k u to k a se he mnyingine wasiusambaz

    badala yake waufute ikuepuka nao kuingia katikmatatizo ya kiusalama.

    Am e w a ha d ha r i sh

    wananchi kuacha kutumujumbe wa uchochezmatusi au kashfa kwankufanya hivyo ni kuvunsheria za nchi.

    Vile vile alitoa sifa katiknchi za Afrika ikiwemAf r i k a Ku s i n i hu kakieleza viongozi wengwa Umoja wa Wataalam wUlinzi Mtandao ambapyeye ni mwanachama wkudumu na huku akitolemfano Kenya kwa jitihadkubwa za kuwa na umowa wanachama katikmaswala ya teknologkwa ujumla ambapo had

    sasa wamekua wakiongozvikao kadhaa ambavywataalam mbali mbawa Afrika hususan AfrikM a sha r i k i w a m e k uwakikutana na kujadichangamoto zinazo husteknologia kupitia kivucha umoja huo kutokenchini Kenya.

    A m a k w a u p a n dmwingine bwana Kileameeleza, yuko katikhatua za awali kufanyia kayale yaliyo patikana katikvikao mbali mbali akiwkama mtaalam wa Ulin

    Mtandao na Upelelezi wMakosa ya Digitali kwkuanzia na kile alichkieleza Tanzania CrimAwareness Campaign nhasa anategemea kuangalzaidi wenzetu katika nchmbali mbali walipotilimkazo ambapo ni katikmakosa mtandao. Ingawhakuweka wazi njia hasa m b a z o a m e j i p a n gkuzitumia kwa sasa akid

    ba do ni ma pe ma sa nkueleza kwa kina dhamiryake hiyo.

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    9/16

    9AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 201Makala

    Palestine Information Centre (Tanzania)Kituo cha Habari cha Palestina (Tanzania)

    Negotiations

    1 August 2013

    Israeli-Palestinian Negotiations ResumeUS Secretary of State JohnKerry told reporters inAmman that Israeli andPalestinian negotiatorshave set the groundworkto resume peace talksfrozen for the past threeyears.

    PLO negotiator SaebErakat and his Israeli

    counterpart have met inWashington to begininitial talks within the nextweek or so.

    Kerry has visited theMiddle East six times inan effort to resume talks,which have been stalledsince September 2010 dueto the illegal expansionof Israeli settlements inthe occupied Palestinianterritories.

    One of three mainPalestinian demandsfor resuming talks has

    been the release of abouta hundred Palestinians

    who have been jailed sincebefore the signing of theOslo peace accords in1993. The other demandsare using the 1967 pre-war

    borders as the basis fornegotiations, and freezingIsraeli selement activityin the West Bank and East

    Jerusalem.Although the PA has

    called for a halt to theconstruction of illegals e t t l e m e n t s , I s r a e l iministers have voicedopposition to a freeze onselement expansion.

    T he pr e se nc e a nd

    continued expansionof Israeli settlements inoccupied Palestine hascreated a major obstaclefor the efforts to establishpeace in the Middle East.

    More than half a millionIsraelis live in over 120illegal settlements builtsince Israels occupation ofthe Palestinian territoriesof the West Bank and Eastal-Quds more than fourdecades ago.

    The Palestinians areseeking to create anindependent state onthe territories of the

    West Bank, East al-Quds(Jerusalem), and the GazaStrip and are demandingthat Israel withdraw fromthe Palestinian territoriesoccupied in the Six-DayWar of 1967.

    Tel Aviv, however,has refused to return tothe 1967 borders and is

    unwilling to discuss theissue of al-Quds.The United Nations and

    most countries regard theIsraeli selements as illegal

    because the territories werecaptured by Israel in a warand are hence subject tothe Geneva Conventions,which forbids constructionon occupied lands.

    Since January 2013,US President Obamaand Secretary of StateKerry have led a neweffort in order to resumenegotiations between Israeland Palestine. Israeli PM

    Benjamin Netanyahu hasdeclared that he is willingto negotiate withoutpreconditions.

    Such an Israeli approach,illustrated by Israeli factson the ground, is an Israeliattempt at normalizingd a i l y a g g r e s s i o n ,oppression, discriminationand attacks against theo c c u p i e d p e o p l e o fPalestine. It shows onceagain that Israel is notinterested about reachinga just and lasting peace butrather in maintaining the

    status quo while resistinginternational pressure.

    An Israeli commitmentto the two-state solutionin line with the vision ofPalestine and the rest of theinternational communitywould be a positive step.

    U n f o r t u n a t e l y ,statements and actionsm a d e by pr o m i ne ntmembers of the Israeligovernment prove thatthere is a clear ri within theIsraeli government on theissue of the peace process,

    while Palestine and theinternational communityis exerting effort to resumemeaningful negotiations.

    M a n y p r o m i n e n tfigures of the ruling Israelicoalition are publiclyopposing the two-statesolution. At the same time,

    continued actions on theground, many of whichfall under the banner ofIsraels illegal selemententerprise, demonstrate aclear intention to destroythe possibility of twostates living side by side.

    O f f i c i a l I s r a e l igovernment statisticsrevealed that duringthe first quarter of 2013,construction in the WestBank increased by 335%in comparison to the lastquarter of 2012 - reachingthe highest level in seven

    years.Settlement activity

    embodies the core of thepolicy of colonial militaryoccupation of the landof the Palestinian peopleand all of the brutalityof aggression and racialdiscrimination againstour people that thispolicy entails (PresidentMahmoud Abbas).

    In the short periodduring which Israel hastalked about peace, asa response to US efforts

    to resume negotiations,the Palestinian peoplehave been subjected tonumerous and appallingviolations at the hands oftheir supposed partner inthose talks.

    These are not merelyviolations which prejudicethe outcome of the two-state solution, not merelyviolations which make theprospect of meaningfulnegotiations incrediblydiff icult , not merelyviolations which breach

    international law andalmost every basic humanright, but violationswhich are physically andcontinuously harmingthe lives and livelihoodsof normal people.

    Palestinians face dailyterror aacks and violencefrom the Israeli militaryand settlers who aregranted full support fromthe Israeli governmentand its officials.

    What is most shockingis that these policies andviolations are carriedout with a completelack of accountability.This impunity that Israelcurrently enjoys is notthe right environment formeaningful negotiations.The only way to opena door for c rediblenegotiations is for Israelto implement previousagreements and respect

    international law. Theo nl y pa r ty a b l e toensure this environmentis the internat ionalcommunity.

    I n a h i g h- pr o f i l edismissal of the embryonicprocess, Israels formerforeign minister AvigdorLieberman, wrote onFacebook that there wasno solution to the Israeli-Palestinian conflict, atleast not in the comingyears, and whats possibleand important to do isconflict-management.

    N a f t a l i B e n n e t t ,

    economics minister ,insisted constructionon Jewish settlementsin the West Bank andEast Jerusalem wouldcontinue, regardless oftalks.

    The comments by twocrucial partners in theIsraeli coalition are asign of deep hostilitywithin the governmentover the agreement forpreliminary talks forged

    by Kerry on Friday.The main sticking

    point continues to be thPalestinian demand thathe pre-1967 borders formthe baseline for territorianegotiations, a guarantewhich Israel refuses tgive. If Kerry fails tpersuade the Palestinianthey have firm US backin

    on the issue, talks may fato get off the ground.

    T h e r e i s a l sdisagreement over tht imeframe. Israe l ipushing for negotiationto last up to a year, fuellinconcern among criticwho believe Netanyahis seeking to give thappearance of diplomatico-operation while stallinfor as long as possible oany outcome.

    Although the PA hacalled for a halt to thconstruction of illegas e t t l e m e n t s , I s r a e lministers have voiceopposition to a freeze oselement expansion.

    Its inappropriate fothe Jewish people, fothe land of Israel anfor a sovereign state,Housing Minister Uri Ariesaid. We are in favouof building as much apossible.

    The United Nations anmost countries regard thIsraeli selements as illega

    because the territories wercaptured by Israel in a wa

    and are hence subject tthe Geneva Conventionwhich forbids constructioon occupied lands.

    International RelationCommission- Fateh

    Ramallah - Palestine

    Contact us: P.O Bo20307, 612 UN Roa Upanga West, Dar eSalaam Tel: 21528132150643 Fax: 215325Email: [email protected]: www.pal-tz.org

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    10/16

    10AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 20Mashairi/Barua

    Ndugu MhaririTafadhali, kwa ruhusa yakonaomba nitoe kadhia shida yamaji inayotupata sisi wakaziwa maeneo ya Kibamba naMbezi kupitia gazeti lakomakini, ikiwa ni jitihada zakujaribu tu kufikisha kwawahusika ujumbe juu yaadha tunayoipata wakazi wamaeneo haya hivi sasa.

    N i k i r i k w a m b a k w amuda mrefu kidogo, wakaziwa maeneo ya Kibamba,Makondeko na baadhi yamaeneo ya Mbezi, walikuwawakipata huduma ya maji ya

    bomba ya DAWASCO marambili kwa wiki.

    Hali hiyo imebadilikaghafla kiasi cha miezi miwilisasa imepita, wakazi haowamekuwa wakiteseka bilakupata huduma hiyo kufuatiamabomba kukata kutoa majikama ilivyozoeleka.

    Wakati bomba za wakaziwa maeneo hayo zikicheuau p ep o kwa ko s a m a j i ,vituo vya kuuzia maji vyaDAWASCO katika maeneohayo vimekuwa vikiendelea nabiashara ya ya maji wakiwauzakwa wenye maboza, ambaonao huwalangua watu majihayo.

    Jumatano alipigiwa ofisa

    mmoja wa DAWASCO namkazi mmoja wa eneo hilona kutakiwa kueleza tatizola kutopatikana maji katikabomba za wana nchi. Yeyealijibu kuwa tatizo lililopolinashughulikiwa na majiyatatoka hivyo wakazi haowavute tu subra hadi haliitakapotengemaa.

    Lakini ajabu ni kwamba,w a k a t i D A WA S C O

    Mhe. Maghembe chunguzautendaji DAWASCO Kibamba

    Mabomba ya wakazi hawana maji, viosk vyao vinalangua maj

    Jipatie vitabu vyenye mafunzo ya Funga ya Ramadhani, vilivyoandaliwa na Sheikh NurdiKishki kama vile:- Hadithi 30 kuhusu Funga ya Ramadhan. Hukumu za Funga ya RamadhanIpi Idadi sahihi ya Swala ya Tarawehe. Vingine ni Ndoa Talaka na Eda. Pamoja na Uislamsi Dini ya Ugaidi.

    Kwa mahitaji ya jumla na reja reja, fika dukani kwa Saimu Gwao, Msikiti wa Mtoro au IbnHazim MediaCentre.

    Simu:-0713 471 090, 0715 825 672, 0773 194 646.

    RAMADHAN KARIM

    wakishindwa kutoa sababuza kueleweka za kukosekanamaji katika bomba za watu,kwenye vioski vyao vyakuuzia maji, hususan katikakituo cha Kimbamba kwaMangi na Kile cha MbeziMwisho, maji hayakaukin a b i a s h a r a y a m a j iimechanganya kikamilifu.

    Tunashangaa, iweje bombaza wananchi zikose majikatika kipindi chote hicho,na wakati huo huo vituovyao vya kuuzia maji kwawenye magari vinatoa majina kuyauza kila siku?

    D a w a s c o i m e k u w aikiwauzia wanye mabozandoo shilingi 20. Na wenyemagari huwauzia wananchimaji hayo ndoo shilingi 200.

    Katika mazingira haya niwazi kwamba kuna kila daliliza hujuma katika upatikanajiwa maji katika bomba za raiaili wawe wateja wazuri wawenye maboza, ambao naondio wateja wakubwa wa majiya vioski vya DAWASCO!.

    Ni vyema tukaelezwasasa kama DAWASCOkatika maeneo yaliyotajwa,wameamua kuwahujumuwananchi ili wafanye biasharana wenye maboza, ambaonao ndio msimu wao mzuri

    wa kuwalangua wananchikwa kuwa bomba zao hazinamaji.

    N i v igu m u ku am in ikwamba kwenye vioski vyaovya kuuzia maji, yanatokakila siku, lakini maji hayohayo hayapatikani kwenyebomba za wakazi kwa sikuzote!.

    N i c h u k u e f u r s a h i ikumueleza Waziri wa Maji

    Mhe. Jumanne Maghembkwamba watendaji wakk a t i k a m a m l a k a hwan am u an gu s h a . S ashawatoi huduma ya mabali wamekusudia kufanybiashara na wenye mabozkwa kuwakosesha wathuduma ya maji kwenybomba zao.

    Ni vyema Mhe. MAghembukafanya uchunguzi wkina ili kubaini ukweli dhiyta watendaji wa eneo hila Kibamba na Mbezi,ikuwaondolea wananchwa maeneo haya mateskatika kupata huduma hii ymsingi.

    Tunatambua kwambM a a n a D A WA S Cwalichukua vioski vyavilivyokuwa vikisimamiwn a n a j a m i i , b a a d a ykubaini kwamba waliopewkusimamia vioski hivywalikuwa wakichuma fedhnyingi kwa kuwalangua ramaji, huku wao wakishindwkuwasilisha katika shirikkiasi cha fedha stahiki.

    Lakini kwa jinsi hali ilivysasa, kihuduma hatuontofauti ya wao kuchukuvioski hivyo, kwani bwanayuzia maji yao sio bwanayouziwa wananchKwa bahati mbaya, vioshivyo siku hizi huuza makwa wanaonunua maji kwkiwango kikubwa tu, wawanaonunua kwa ndoo amadumu hawana nafakatika vioski hivi.

    Niseme tu kwamba, samwezi wa pili tunaishi bikupata maji ya bomba, bikutolewa taarifa za msingi zkukosekana maji hayo kutokDAWASCO.

    Mazinde MakekaMbezi Luguruni -Dar

    Kifo ni haki ya mtu, na siri yake mananiNami silaumu katu, qadari za subhaniViumbe twapenda vitu, vilo bora na thamaniPia twakumbuka watu, kwa matendo ya thamani

    Saona kama mama, nakiri toka moyoni

    Ukweli ninausema, sifae nampa shaniDaima likuwa hima, kuniweka furahaniUlipo lale salama, kiama wekwe peponi

    Linilea kwa mapenzi, ukanikanya mabayaLiniasa siwe shenzi, kuwa na tabia mbayaStare ziso enzi, anasa na UmalayaLeo metunga utenzi, iwe ndo yangu hidaya

    Ukabaji hata wizi, hukutaka nihusikeUlisema majambazi, maishao sekesekeHeshima busara vazi, nivae nistirikeNisome nipate kazi, nitafanya uridhike

    Zabibu hata senene, ulonipa enzi zileWakubwa pia wanene, nikaenda nao shuleKanambia niwabane, madrasa nikawale

    Lipefika kenda nane, sisahau siku ile

    Siku uliyofariki, wakaenda kukuzikaMoyo ulitaharuki, umati uliofikaMiaka kumi sifiki, mama mola kakutakaKifocho hakikwepeki, kaburi kakufunika

    Mama ninakuahidi, wasia nitafatishaDini nitajitahidi, kusoma na kufundishaNinamuomba wadudi,Adhabuye kukwepeshaPeponi ukafaidi, siku utayoamshwa

    NA NASRI KIONE0759202192 (tungo zenye ulimbo)[email protected]

    SIKU NIKIFANIKIWA

    Siku nikifanikiwa, swali hili nitatizaKweli nitashukuriwa, na watu wasojiwezaYatima walofiliwa, nitawapa mwangazaAu taharibikiwa, kwa kuanza kujikweza

    Watu nitawaibia, nifanikiwe kwa shariDhulma tawafanyia, kwa jeuri na kiburiUchawi nitatumia, urozi tangu dahari

    Freemason taingia, nikawe hata kafiri

    Au nitashughulika, fanikiwe kwa halaliMaharage taridhika, mchunga huku ugaliNinazoa takataka, kazi yangu ni dhaliliKoradhi kusulubika, kipato kiwe halali

    Nitawapa sikitiko, ndugu pia MarafikiTulogombea makoko, kipindi nanuka dhikiKutokumbuka miiko, kuwaona watubakiMbekenyera Kirinjiko, tulisoma kwa hilaki

    Nitaheshimu wazazi, au nitawadharauNitakumbuka malezi, au nitayasahauNitamfata Mwenyezi, diniye chake kirauNitakuwa siwezi, kwa anasa na vidau

    Nitafanya ihsani, au tatenda machafuNitakuwa kama nani, lingana wake wasifuNami hapa duniani, nitakuwa maarufu

    Maswali mengi kichwani, fikira zangu kifipo

    Tamati nimefikia, ila jibu satoaKazi ninawapatia, Islam lobakiaMdabiri na kujua, kisha mtaniambiaTahadhari ninatoa, nafsi kujitambua

    NASRI KIONE MIBAVU0759202192 ([email protected])

    MAMA

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    11/16

    11AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 201Habari/Tangazo

    Innalillah wainaillahi RajiunMzee Athuman Songoro wa MasjidMtambani, Kinondoni amefarik

    dunia.

    Marehemu Songoro alifariki siku ya

    Alhamisi (jana) na kuzikwa Adhuhurya siku hiyo hiyo katika makaburi ya

    Ilala, Jijini Dar es Salaam.

    IMAMU

    Masjid Mtambani

    SULEIMANI Omary Allywa Al Hikma ameibukamshindi wa Juzuu thelathinina kujinyakulia pesa taslimshilingi milioni kumi,Laptop pamoja digi talQuran na cheti.

    N a f a s i y a p i l ii m e i c h u k u l i w a n aA bdal lah A bdu l - Qadr iMuhamad kutoka Alhikmaaliyejichukulia pesa taslimmilioni tatu na laki mbili nathemanini, pikipiki, digitalQur-an na cheti.

    Nafasi ya tatu ya juzuuthelathini ilichukuliwa naHaytham Sagar Ahmadkutoka Kenya aliyejipatiamilioni moja laki sita naarobaini elfu, pikipiki, DigitalQuran na cheti.

    K a t i k a k i l e l e c h amashindano hayo, Mleziwa Taasisi ya Alhikma,Alhaji Ali Hassan Mwinyi,amewashukuru Waislamukwa kuonyesha kuungamkono mashindano yakuhifadhi Qur`an.

    Alhaj i Mwinyi al i toas h u k r a n i h i z o k a t i k amashindano ya 14 yak u h i f a d h i Q u r a nyaliyoandaliwa na Taasisi yaAlhikma Education Centre,

    na kufanyika katika viwanjavya saba saba jijini Darmaarufu kama viwanja vyaMwalimu Nyerere mwishonimwa wiki iliyopita.

    Waislam tunatakiwakukihifadhi na kukifuatakitabu kitukufu cha Qur`an,kwani ndio muongozo wawanadamu. Alisema AlhajMwinyi.

    Alisema kuwa kutofuatakitabu hicho ni upotevu uliomkubwa na kwamba, ndiomaana watu wanafanyamambo ya ajabu na kupatwana mengi mabaya kwakutokuwa na muongozosahihi ambao ni Qur`an.

    Alhaji Mwinyi alibainisha

    kuwa ili kuepukana na huuutandawazi unao haribuvizazi vyetu katika jamii,dawa ni moja tu, nayo nikufuata barabara mafundishoya Qur`an.

    Naye Sheikh NurdinKishki alisema kuwa nivyema Waislamu wakawana yakini kwamba, lengola kufanya mashindano yakuhifadhi Quran sio kutafutapesa, bali ni kuwapa vanahamasa waweze kuendelezaQur`an.

    A i d h a a m e w a t a k aWaislamu kuacha kupupiamambo yasiyofaa na badalayake waisome Qur`an na

    Mshindi apata milioni kumimashindano ya Quran DarNa Azza Ally Ahmed kuitekeleza katika matendo

    yao ya kila siku.Alisema kuwa mwanafunzi

    aliyehifadhi walau Juzuumoja, hata akipewa shilingim i l i o n i m o j a h a i w e z ikulingana na thamani yakuhifadhi Quran hiyo.

    Zawadi hizi pamoja napesa tunazowapa wanafunzihawa, ni kuwapa motisha tuna sio malipo sahihi kulinganana jambo nzito wanalofanya.Alieleza Sheikh Kishki.

    Katika mashindano hayo,washindi walipewa zawadizikiwemo fedha taslimuambapo mshindi wa kwanzakatika kuhifadhi Juzuu moja

    alikuwa ni Salumu Aarif,kutoka Alhikma. Yeye alipatashilingi laki nne pamojana jiko la gesi na cheti chaushindi.

    Mshindi wa pili alikuwani Sharifu Twaha, ambayealipata shilingi laki tatu nacheti cha ushindi, akifuatiwana mshindi wa tatu ambayeni Sakina Ashrafu kutokaMadrasa Muuminat Temeke,al iyepata shil ingi lakimbili huku nafasi ya nneikienda kwa AbdulrahmanAbdulhakim kutoka Madrasaya Uthmaan, aliyepata shilingilaki moja na cheti na wa tanoalikuwa ni Haadad Masudkutoka Alhikma aliyepata

    elfu hamsini na cheti.Kwa upande wa Juzuutatu, mshindi wa kwanzaalikuwa Yusuph Said kutokaMadrasa Anour aliyeshikanafasi ya kwanza na kupatashilingi laki tano na jiko la gesipamoja na cheti cha ushindi.Alifuatiwa na Khairat Salumkutoka Madrasa Tauhidy yaKichi, aliyepata shilingi lakitatu, Rice Cooker pamoja nacheti cha ushindi.

    Mshindi wa tatu wa Juzuutatu ni Raya Mohammed waMadrasa Qaadiriya aliyepatashilingi laki moja pamoja nacherehani na cheti.

    Kwa upande wa Juzuutano, mshindi wa kwanza niJafar Ahmad kutoka AlhikmaTemeke aliyepata laki sita,redio pamoja na cheti, hukumshindi wa pili wa Juzuutano Abdu-karim Bakar waMadrasa Muuminaat kutokaTemeke ambaye alijipatialaki nne pamoja na cheti chaushindi, huku nafasi ya tatuikichukuliwa na SwaleheSuleiman wa Madrasa Anouraliyepata pesa taslim lakimbili pamoja na cheti.

    Katika ngazi ya Juzuu saba,nafasi ya kwanza ilienda kwaMohammed Faiz aliyepatashilingi laki nane, baiskelina cheti.

    Nafasi ya pili ilikwendakwa Hashim Abdul- Kadir wa

    aliyepata shilingi laki sita friya mezani pamoja na cheti nanafasi ya tatu ilichukuliwa naKhamis Abdallah, ambayenaye alipata shilingi laki nnebir ika la kuch emshia majipamoja na cheti cha ushindi.Washindi wote wametokeaMadrasa Alhikma, Temeke.

    Kwa upande wa washindiwa Juzuu kumi, nafasi yakwanza ilichukuliwa naAnwar Yahya wa MadrasaAl Hikma aliyejinyakuliashilingi laki tisa na Flat Screenna DVD pamoja na cheti.

    Nafasi ya pili ilichukuliwana Hamad Khamis kutokaDarul- Ulum aliyepata

    shillingi laki tano na cheti.Katika ngazi ya Juzuuishirini, nafasi ya kwanzailikwenda kwa Abdallah Jumawa Madrasa ya Al Hikma nakupata shilingi milioni moja,pikipiki na cheti.

    Nafasi ya pili ikikwendakwa Yahya Ally wa Madrasaya Darul- Uluum aliyepatashilingi laki nane baiskelina cheti.

    Anas Abdul-Hafidh wa AlHikma alishika nafasi ya tatuna kupata shilingi laki sita,Sub-woofer na cheti.

    MAKAMU wa Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania,Dr. Ghalib Bilali, anatarajiwakuwa mgeni rasmi katika haflaya kutoa zawadi kwa washindiwa usomaji Qur an, katikaMsikiti wa Istiqama, IlalaJijini Dar es Salaam, leo(Ijumaa).

    Mashindano hayo yalianzaJulai 21, yanatarajiwa kufikiakilele leo Ijumaa Agosti 2Msikitini hapo.

    Akiongea na gazeti hili ,msimamizi wa mashindano hayoUstadhi Saleh Omari Salehe,amesema hafla hiyo itafanyikamsikitini hapo kuanzia saa mbiliusiku baada ya swala ya Ishah.

    U s t . O m a r a l i s e m am b a l i n a M a k a m u w aRais, pia mashindano hayoyatashuhudiwa na Masheikh nawageni mbalimbali.

    Alisema mashindano ambayoyanafanyika kwa mwaka wa tatusasa tokea yaanzishwe, ambapomwaka huu yameshirikishawashiriki 39.

    Bilali kutoa zawadi washindiQuran Masjid Istiqama leoNa Azza Ally Ahmed

    SULEIMANI Omary Ally wa Madrasa Alhikma, aliibukmshindi wa Juzuu thelathini na kujinyakulia pesa taslim shilinmilioni kumi, Laptop pamoja digital Quran na cheti.

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    12/16

    12 MAKALA

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

    AN-NUUR12 RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 2013

    BENKI ya Kiislamu ya

    Amana inayoendeshashughuli zake kwamujibu wa taratibuzinazofuata sheriaza Kiislamu nchini,imetoa futari kwawatoto yatima nawajane jijini Dar esSalaam.

    Akizungumza naAn-nuur katika zoezila utoaji wa futari hiyo,Meneja Masoko waBenki hiyo Bi. FatumaM r u m a , a l i s e m akatika kipindi hikicha mwezi mtukufuwa Ramadhani, Benkihiyo imeamua kutoafutari na sadaka kwawatoto ya t i ma nawajane waishio katikamazingira magumu.

    Leo tumejaaliwakutembelea kat ikaKituo hiki cha TahfidhilQuran Al-hidaayacha Buguruni kwaMnyamani, Ilala JiniDar es Salaam, lakinitumekusudia kuzifikiafamilia zipatazo ishirinindani ya Ramadhani ya

    mwaka huu, akiwemomama mjane anayeishina watoto saba Sinza.Al i fafanua MenejaMasoko huyo.

    Alisema kuwa tayariJopo la wafanyak aziw a B e n k i h i y ow a m e t e m b e l e a n aku wafar i j i wato toy a t i m a w a n a o i s h ikwenye vi tuo vyakulelea watoto haowaishio maeneo yaT e m e k e , T a n d i k a ,Kigamboni na Mtoni

    Amana watoa futarikwa yatima, wajane

    Na Abdulkarim S.Msengakamba.

    jini Dar es salaam.Naye Meneja Mirad

    Bw. Dassa M u ssaa l i s e m a m s a a d

    uliokabidhiwa katikvituo viwili vya kulewatoto yatima na familiza wajane, una thamanya shilingi milioni tatu

    Zoezi la kukabidhfutari hiyo lilifanyik

    baada ya swa la yIjumaa wiki iliyopita.

    Kwa upande wakm k u u w a k i t uTahfidhil Quran Ahidaaya Ust. RashidHamisi Hakungwaalielezea historia fupya kituo hicho alisemkilianzishwa mwak

    2008 kikiwa katikmadrasa iliyoanzishwmwaka 2007.

    Alisema kituo kilianzna watoto watano nhivi sasa kina vijansitini, wavulana 40 nwasichana 20, wotwakiwa ni wa umrkuanzia miaka 5 had15.

    Ustadhi Hakungwalitoa shukrani zake zdhati kwa Benki hiykwa kuwakumbukyatima, hususani katikmfungo huu wa mwenz

    mtukufu wa Ramadhanna kuwapatia futari.H a t a h i v y o U s

    huyo amesema kuwbado wanakabiliwa nchangamoto nyingi, hasgharama za uendeshawa kituo.

    Naye Bi. Zena Omarmkazi wa Sinza ambayn i m j a n e m w e n ywatoto saba, hakuwnyuma kwa kuishukurkwa dhati Benki yAmana kwa msaadwaliompatia.

    W A N A F U N Z I w aKiislamu wa Shule zaMsingi wanatarajiwakufanya mtihani wakuhitimu elimu yaMsingi katika somo laDini ya Kiislamu.

    M i t i h a n i h i y o

    inatarajiwa kuanzaAgosti 14, 2013, katikaS h u l e m b a l i m b a l ikote nchini, chini yausimamizi wa IslamicEdu cat i on P annel ,a m b a p o h a t u a z aawali za maandalizi yakukamilisha zoezi hiloimesha kamilika.

    Aki zu ngu mz a nagazeti hili, Jumanne wikihii kiongozi muandamiziwa Islamic EducationPannel, Ust. Ibrahim

    Darasa la Saba kufanyamtihani wa IslamicNa Bakari Mwakangwale Kunema, alisema tayari

    semina zimeshafanyikakwa wasimamizi wamtihani hiyo.

    K u n e m a a l i s e m ausajili wa wanafunziwanaotarajiwa kufanyamtihani huo wa somola dini umeshafanyikamapema tofauti na miakay a ny u m a , a m ba po

    i l i c h u k u l i w a k a m achangamoto na kufanyiwakazi mwaka huu.

    Hata hivyo Kunemaalisema, mwaka huu kunaongezeko la Shule nawatahiniwa ukilinganishana mwaka jana, kwanialidai Ji Dar es Salaam,Shule 276 zitashiriki nakufanya idadi ya wanafunziwatakaofanya mtihanihuo kuwa zaidi ya 2500,ambazo wamethibitishakushiriki.

    Al isema, wandaaj i

    w a m i t i h a n i h i y owanatarajiwa kuanza zoezila usambazaji wa mitihanisiku ya Ijumaa (leo) au

    Jumamosi (kesho) katikaShule shiriki hususani

    Jini Dar es Salaam.Ama kwa upande wa

    mikoani Ust. Kunemaalisema, yeye si msemajikwa ujumla ila alidai hana

    shaka kuwa mitihani hiyoitakuwa imeshasafirishwana kufika katika vituoh u s i k a t a y a r i k w akuwafikia watahiniwa,katika siku iliyopangwa.

    Tunatazamia safarihii (mwaka huu) mtihanihuu kufanyika takribaniMikoa yote ya TanzaniaBara na Visiwani, nakohuko suala la wasimamizilimeshafanyiwa kazi kamailivyokuwa hapa Jijiji.Alisema Ust. Kunema.

    WASHINDI wa shindano la kuhifadhi Qur'an lililofanyika PTA Sabasaba jin Dar esSalaam wakiwa na baadhi ya Masheikh mara baada ya shindano hilo lililofanyikamwishoni mwa wiki.

    Tanzania Muslim Hajj TrustSafari ya Hijja 2013

    Uandikishaji unaendelea gharama za Hijja nidola za Kimarekani $ 4200. Safari ni tarehe5 na 7 Octoba, na Kurudi Tarehe 27 na 28

    Octoba, 2013.Wahi kujiandikisha Sasa.

    Uandikishaji wa Hijja Zijazo 2014, 2015 kwaKulipia kidogo kidogo, unaendelea.Simu: 0717 000 065, 0784 222 911,

    0754 304 518, 0754 498 888Au kupitia Tovuti yetu. www.hajjtrusttz.org.

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    13/16

    Safari ya Hijja Dola 4450

    tu. 1434/2013Taasisi ya Khidmat Islamiya inawatanganzia Waislamu

    wote Safari ya Hijja kwa Gharama ya Dola 4450 tu.unaweza kulipa kwa awamu

    (Kuhijiwa) ni Dola 1450 tu.Kuondoka ni 5/10/2013 kurudi 27/10/ 2013

    Piga Simu 0784 786680, 0713 986 671, 0774 786 680E-Mail) [email protected] , Tovuti

    (Website) www.khidmatislamiya.com

    Markazi Ummu Suhail ni kituo cha kuhifadhisha Qur aankwa Mabinti wa Kiislamu. Kituo ni cha bweni kipo mkoaniKilimanjaro wilaya ya hai.Umri: kuanzia miaka 13 na kuendelea.Kituo kitafunguliwa 9/08/2013 Inshaalah. Fomu za

    kujiunga zinapatikana msikiti wa Riadha, wahi nafasi nichacheKwa mawasiliano zaidi tupigie simu namba 0754 029 518Mlete mwanao apate elimu yenye manufaa.

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    14/16

    14AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 20

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    15/16

    15AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 201

  • 8/22/2019 ANNUUR 1082

    16/16

    16AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 20